THESE ARE ORIGINAL AFRICAN MUSIC INSTRUMENTS AND WE WERE NOT BROUGHT TO US BY THE WHITES... MANY CENTURIES AGO OUR GRANDPARENTS USED THESE INSTRUMENTS TO PLAY MUSIC AND ENTERTAIN THEMSELVES EVEN BEFORE THE ARRIVAL OF THE WHITE INVADER FROM EUROPE. WHEN THE WHITE COLONISTS WERE USING GUITARS THEY BORROWED "THE OUD" INSTRUMENT FROM ARABIA, WE AFRICANS THROUGH OUR GRANDPARENTS ALREADY HAD ZEZE MALIMBA AND MANY INSTRUMENTS PLAYING SWEET MUSIC THAT ENTERTAINS THE HEART.
Kama diamond amewachukua Hawa ataawahiribu kabisaaa 😎 hili kundi Ni Bora Sana la muzikiii wa kitanzania linafaa Sana linatambulisha utanzania wetu, diamond anatambulisha ushoga aawaachee hawaa😎
Hawaa ni zaidi ya wasafi ambao wanaimba imba tuu hovyoo bila kuangalia maudhui.... Kazi yao ni kuburudishaa tuu lakini kuelisha jamii Kama hawa jamaa hawaweziii... Big up Sana Wamwinuka band
HUU NDO MZIKI SASA!! HUU MZIKI UPEWE PROMO, BASATA MKO WAPI KAMA MNAWEZA KUFUNGIA WASIO NA MAADILI KWENYE SANAA, BASI NAAMINI MNAWEZA KUWAPA PROMO WENYE MIZIKI YENYE MAANA KAMA HII IKIWEZEKANA WAPEWE TUZO!!
African rythm at it's best. Ni baraka kubwa kuwa nimejaliwa kuwasikia hawa vijana. Shukran kwa wote waliowafikisha machoni na masikioni petu.
This is the best band in Africa very natural from dressing, instruments ,name them this is now our africanism
Hawa jamaa wanaujumbe kuzidi wasanii wote ambao wako chini ya rebo ya Wasafi akiwemo diamond
100%
Ni kweli kabisa,mm mwenyewe nimewafumania mbona mpaka wamenimalizia MB zangu.
Mnooo😂❤❤
😅😅😅😅😅😅😅😅 eti nimewafumia 😅😅😅@@sosomacharles9920
😂😂😂Sasà ugomvi huo
unyama mwingi chakunyumba 🎉🎉🎉❤
Wow Africa on top 🥰 much love from Uganda 🇺🇬 the pearl of Africa
The man untd Jersey guy is feeling the vibes than the artists themselves.
Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 blessed country with so many talents ❤
Mama o❤❤❤❤❤❤❤
Sisi ndo wasafwa wenye mbeya yetu
Proud of my tribe my culture my nature
Iwala kwetu
THESE ARE ORIGINAL AFRICAN MUSIC INSTRUMENTS AND WE WERE NOT BROUGHT TO US BY THE WHITES... MANY CENTURIES AGO OUR GRANDPARENTS USED THESE INSTRUMENTS TO PLAY MUSIC AND ENTERTAIN THEMSELVES EVEN BEFORE THE ARRIVAL OF THE WHITE INVADER FROM EUROPE. WHEN THE WHITE COLONISTS WERE USING GUITARS THEY BORROWED "THE OUD" INSTRUMENT FROM ARABIA, WE AFRICANS THROUGH OUR GRANDPARENTS ALREADY HAD ZEZE MALIMBA AND MANY INSTRUMENTS PLAYING SWEET MUSIC THAT ENTERTAINS THE HEART.
From USA.u bros u always doing great 😅😅 kmmk
Kama diamond amewachukua Hawa ataawahiribu kabisaaa 😎 hili kundi Ni Bora Sana la muzikiii wa kitanzania linafaa Sana linatambulisha utanzania wetu, diamond anatambulisha ushoga aawaachee hawaa😎
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Thank you Wamwiduka band to remind parents to care about their families🙏🙏🙏
Pure talent,there's no need of auto tune
Yule jamaa wa kutembea uchi na masuruali makubwa makubwa aje aone muziki wenye asili ya kiafrika
Mimi nawakubali sana wamwiduka band 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤
Kweli kula padogo panawatesa wengi
Safari, kilingeni na usizime mziki napenda sana ngoma xenu🙏🙏🙏, watching from Kenya
Yoli baba amwe
Hello I really like your songs haki I'm congolese but i Liv in kenya NAIROBI
Kazi nzur
Hawaa ni zaidi ya wasafi ambao wanaimba imba tuu hovyoo bila kuangalia maudhui.... Kazi yao ni kuburudishaa tuu lakini kuelisha jamii Kama hawa jamaa hawaweziii... Big up Sana Wamwinuka band
Hawa jamaa mimi nawakubaligi sana, wana komfidensi sana ya kuimba.
Huku timweli hoombwa❤❤
😂 😂 😂 Nimeikumbuka hatia na pqnguso Jaman Kwan ndugu wa Jimmy mafufu hawaa😂🎉😮❤❤
Tasafwaa humwanyaa proud from mbeya tz
HUU NDO MZIKI SASA!!
HUU MZIKI UPEWE PROMO,
BASATA MKO WAPI KAMA MNAWEZA KUFUNGIA WASIO NA MAADILI KWENYE SANAA, BASI NAAMINI MNAWEZA KUWAPA PROMO WENYE MIZIKI YENYE MAANA KAMA HII IKIWEZEKANA WAPEWE TUZO!!
Wamwiduka band ....nyie mna talanta kweli....napenda vile mnajituma
Mchezaji pale nyuma kula tano.....umetisha sana
Simply the best..natural voice..❤
🙏🙏
Kaujumbe hako acha tu!
Kweli mkuu. Tujitahidi tule 700 tuchepue 300
Wamwiduka band kileleni, mpenzi kutoka Kigali
Mmetisha sanaa...
Ule wimbo msizime mziki iongezee mishororo kadhaaaaaa naipenda kweli
Wakali sana sana kuliko diamond na zuchu
mmmmh jamaa wametisha sana
calabash guy🔥🔥
Ilove the beats talented
Thanks for you help and support you
Hatar na nusu baba
Beautiful! Simply gracious!
🕺🕺🕺💃💃💃💃💃💯💯🔥🔥🔥🔥
Wazee wa msalato dodoma
Hawa jamaa wanafaa kujiunga na wasafi
I really love your music but I don’t understand the language. Especially the guy shaking the tambourine
Elewa sana hapo UNAKULA PADOGO😂😂😂
Asante kwa ujumbe holowane
Ngoma Safi sana
Hawa jamaa nilikutana nao sumbawanga asee wanakamua live
Kazi kazi wazee
Big up
Huyu mpiga manyanga anaitwaje?
Anajua sana
Muziki mutamu😢 w😢
Mi huwaga ananikosha mpiga many manyanga 😂😂😂😂😂
💕💯💯💯💯💯🙏
Safiiiii
Kazi safi sana eti
Nipeni namba za wamwiduka.