Jamani mchumgaji Mungu akupe maisha marefuu baba nakupenda sana kwa mafundisho yako baba. Familia yako inapaswa ijivunie kuhusu wewe sana .Mungu akupe maisha marefu baba
Ameen hakika Baba ni heri kigunduliwe kifaa cha moyo meter au kengele kwa mwanandoa ambaye ni musaliti. tena mimi nakutia moyo endelea kukazia haya mafundisho maana ndiyo yanalenga familia nakwambia Taji yako ipo mara mia duniani na bado Mbinguni heeee Mungu atusaidie wanandoa.
Lawrence hezron Mwakalebela,hujui unachokisema,hela ngapi alikuwa nazo, aliziweka benki gani na maandiko kitabu /sura ipi. Dunia na vyote vilivyomo ni Mali ya Bwana. Alimwambia kijana tajiri akauze vyote alivyo navyo akawagawie maskini na hakuafiki. Yesu hakuwa maskini maana vyote pamoja na Wewe ni Mali yake.
Nimejifunza kitu kwako much. Nimegundua sisi wanaume ndiyo dhaifu lakini wanawake they're very strong. Ndiyo maana Adamu alimkubalia Hawa na hakukumbuka tena habari za Bwana God. Ila wanahuruma ndiyo maana tunaishi nao.
Kweli kwa sababu Ndiyo walio kutana na shetani sisi atukuwayi kumufahamu shetani wala kakutana naye lakini usmati wao ulitokana naurafikiwao na ibilisi
Jamani mchumgaji Mungu akupe maisha marefuu baba nakupenda sana kwa mafundisho yako baba. Familia yako inapaswa ijivunie kuhusu wewe sana .Mungu akupe maisha marefu baba
Mchungaji uchongewe sanamu makumbusho na upewe ulinzi 😂😂😂😂🤣🤣 am blessed much
Wallah wewe baba nakuelewa sana yan mm muislam lakin napenda sana kukufatilia mafunzo yako mungu azidi kukupa afya njema 🙏
Umesema ukwel amina
Amina
Yaan wewe acha tu anaongea mambo ya point sana
Baba umenena sanaaaaaa
Safi
Mchungaji Mugogo unahubiri Injili ya kweli inagusa maisha ya jamii. Bravo.
Asante san🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mtumishi mungu akusaidie 🎉🎉🎉🎉😢😢😢
Mchungaji Daniel mgogo Hoya mafunzo mazuri Sana,waliopinga ndo walalamikaji tena Sana.
Mungu akubariki kwa ushilikisho mtumishi hakika maneno yako yanapenya nyoyo
Ukiondoa umchungaji ,huyu jamaa ni comedian 😀😀😀😀😀
Nimejifunza jambo kubwa sana mchungaji nimepata jambo la kuweka kwenye ufahamu asante kwa ujumbe mzuli
Amen pst ni ukwl kabisa jamani utaniuwa n kicheko
Kila wakati huwa najikuta narudia rudia injili hii be blessed Man of God
God bless you daddy nahisi siku moja niwe live katika ibaada yako wewe unanibariki sana
Ameen hakika Baba ni heri kigunduliwe kifaa cha moyo meter au kengele kwa mwanandoa ambaye ni musaliti. tena mimi nakutia moyo endelea kukazia haya mafundisho maana ndiyo yanalenga familia nakwambia Taji yako ipo mara mia duniani na bado Mbinguni heeee Mungu atusaidie wanandoa.
😭😭😭
Like zenu jamani kwawanao mpenda mchungaji danieli 🙏
Asante sana Pastor kwa mahubiri nzuri
Machine detector is too much 😃😃 watching from 🇺🇸 My God bless you.
😂😂😂😂😂😂😂ni hatali Kabisa yani wewe mutumishi wamungu umeja roho mtakatifu amen 🙏 mungu akubaliki! from American 🇺🇸
Mwiriwe
@@peaceisrael8158 mwiriwe chane murakomeye hiyo?
Praise God
Praise God
Hahahhahahaa aminaaaa mchungaji wanguuu,daniel mgogo,unajua kunifurahishaa sana katk mahubiriii yako
Mafundisho ya mazingira ya jamii ni ya yesu mwenyewe kwani HAYACHOSHI - Bigup mch Mgogo.
Iam amuslim,but I don't tire listening to pastor mgogo summons
Ni kweli kabisa mchungaji!!shetani amekimbilia sana kwenye ndoa!!ndoa nyingi tunavilio
BWANA Asifiwe nimebarikiwa Sana Mtumishi nilikosa Mahubiri kwa Mda Mlefu tangu Mwakajana.Mwenge balikiwa.
Mungu akubaliki mgogo unatupa dozi ya kweli sana
Nampenda sana huyu mtumishi wa Mungu,ubarikiwe mno pastor.
Nakupend San mtumish wang mng akupe maisha malef tunao mpend mtumish jaman tujuane
Mtumish wa mngu jamani
Mungu akupe nguvu daima mchunguji danieli mgogo
Kweliiiiiiiiii babaaaaa sema,babaaaaaaaaa ubarikiweeeee,unatuvumbua macho
Ni vizuri mala ya kwanza kusikia muhubiri kuwa Sofi wanawake. Asante muchungaji.
I respect this teaching, Be blessed
Mafunzo ya huyu pastor is in another level I like his teaching iam from Kenya you have been a blessing to me
PP
Lpp
P
Barikiwa sana pastor!!!!!!!
Mchungaji mungu akuweke milele mda mwingi natumia kipindi chako huwa unanigusa sana mi ni mwislam
Nimecheka sanaaaa. Ni kweli na nzuri sana. By Heri HALISI
Urumubyeyimwiza cyane turagukunda cyane
Nange mukunda cyane 😂❤
Mafundisho yenye maana sana ndoa na familia safi sana mchungaji Daniel mgogo
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwa mafundisho yako yenye baraka nyingi.
Mungu akubariki pastor Daniel Mgogo. Mungu akuongeze hekima na maisha marefu
Nabaliliwa mnono Mungu akupe maisha malefu
I love his preaching it's toooooo educative I don't know when u will visit uganda
Mchungaji uko vizuri.
Mungu akubariki sana!
Baba mchungaji ubarikiwe sana sana wanawake tupo makin
God bless your pastor i respect your and i follow your nearly
Maisha mrefu mchungaji I wish ututembelee kenya❤❤❤❤
Mungu akubariki Sana mtumishi wa kwa kazi kubwa Mungu aliyokupa
Napenda sana mahubiri ya mchungaji Mgogo. Niko mozambique. Wenzetu mmebarikiwa kuwa na mchungaji kama Mgogo.
Kweli bonge la pastet
huwa shetani anatuonea anawaondoa haraka
Asante sana mchungaji Mgogo upo sahihi na.vizuri. Mungu akubariki
Very powerful,thank you Lord for this man of GOD
I like this... from Kenya
Nakukubali xana ingawa mm muislam napenda tropiki zako
Mungu azidi kukulinda muchungaji uzidi kutufundisha ubalikiwe Sana maisha malefu kwako
Mchungaji uko vizuri sana mungu akusadie
Mzee wewe ni genius unatisha mafunzo yako yajenga
Mch.Daniel nimekuelewa nimepitiliza Mungu akutunze
Mungu akuweke much❤️
Barikiwa sana baba kweli hawawatu wanachaneli moja
Nimeipenda hyo
Hapo sasa very powerful I'm blessed
Mlalamikaji, Mungu n saidie hiyo doz angu kweli.asante mchungaji kwa huo ujumbe
Mtumishi barikiwa Sana nakufata Sana🇧🇮,asante asante barikiwa sana
Amin San mtumish wa mungu mungu akubariki San umenibadilisha amen 🙏 mungu akubariki San
Mungu ambariki neno lake naendelea kusoma SoMo nzuri ya kunijenga katika maisha
Yangu nianze kukusikiza,maisha yangu yamebadilika,ubarikiwe mchungaji
😂😂😂😂😂😂mimi mchungaji hua unanifanya nicheke mpaka kuisha😂😂kisha naishia kukupa like.coz umeguza ndipo......barikiwa sana.🙏
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤Nina pata raha mahubiri yako mchungaji yananigusa nami upande wangu
Kwa kweli mtumishi hapo umemaliza kila kitu kama ni mtihani umetunga na majibu umetoa ubarikiwe
Tunakupenda saaaaaaaana baba muchungaji uku Canada 🇨🇦
Ubarkiwe sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazurii,Mungu akujalie maisha marefu, Amina
Somo zuri mno mchungaji nimelipenda sana linalibaliki sana leo mm
Nakupenda ❤️ xan past Yan maubili yak mazuli xan 🔥🔥🔥🔥
Listening from 254 mchungaji uko juu
mungu akubariki sana kwa message zuri mimi wivu kwangu niatari sana iyo ni point
unatubariki na tunajifunza mambo mengi sanaa
Barikiwa saana pastor uchumbe huu umenifunza saaana
huyu sio mhubiri, hajawahi kutumia neno la Mungu hata siku moja. anasema maisha aliyozoea. michepuko na ukristo wapi na wapi
Ndio ww mlalamikaji
Nyie ndowalalamikaji mnaosemwa
@@amanieliala-ug9wktrue
Lawrence hezron Mwakalebela,hujui unachokisema,hela ngapi alikuwa nazo, aliziweka benki gani na maandiko kitabu /sura ipi. Dunia na vyote vilivyomo ni Mali ya Bwana. Alimwambia kijana tajiri akauze vyote alivyo navyo akawagawie maskini na hakuafiki. Yesu hakuwa maskini maana vyote pamoja na Wewe ni Mali yake.
mtumishi mungu akulinde akusidishie ngufu ni Noah ole nkotinai kutoka kenya,
Asante kwa injili Mungu azidikukuinua
Nimejifunza kitu kwako much. Nimegundua sisi wanaume ndiyo dhaifu lakini wanawake they're very strong. Ndiyo maana Adamu alimkubalia Hawa na hakukumbuka tena habari za Bwana God. Ila wanahuruma ndiyo maana tunaishi nao.
Semina zako mtumishi nafarijika Sana ubarikiwe
Asante baba kwa maneno mazuri
Nakupenda sana paster mungu akubaliki, nakufuatilia sana nikiwa meru
Exactly mungu azidi kukuongoza pastor sababu anaongea ukweli
Mungu akuzidishie neena mtu wa mungu
😂😂😂😂😂😂 wakina mama ni marufuku kuiguakagua zawadi ya mwanaume zaidi ya yote pokea na kushukuru
Thanks pastor ni kweli sisi wanawake tunafanya kazi mingi at once
Haki mungu ako na wewe kabisa thanks waaa mungu anaweza
Jamani hiz tabia mm nnaz mpk najishangaaa duuh ...naomb mungu aniondoshee ...amin
😂😂😂😂😂😂😂
Asante sana mchungaji ubarikiwe na bwana 👏👏👏👏👏👏👏
Haaaahaaaa pastor napendaa mahubirii yko,hakikaa kuna vtu najifunzaaaa ving sanaa,ilaa naaminii utabadilishaa maishaa yngu.Mungu wetu ahimidiweee,hahaahaaa 107 .wanawaume mpoooooo,??????
Kweli kwa sababu Ndiyo walio kutana na shetani sisi atukuwayi kumufahamu shetani wala kakutana naye lakini usmati wao ulitokana naurafikiwao na ibilisi
Mtumishi I salute you tunakukaribisha huku kenya utupe injili hio
MCH.Mgogo be blessed unatulea vyema
Napenda sana mafudisho ya pastor mugogo barikiwa sana
Mchungaji Umenikosha sana Ubariki na mahubiri yako
Vile napenda huyu pastor😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hi
Bwana mungu akutunze mchungaji huduma zako zinatufaa
Kabsa wanawake tunaakili sana
Sio akili ni umalaya
Preach!! Preach!! Preach!!! Wanawake tunauwezo ...barikiwa babaangu. 💪💪💪💪💪💪
Niko americ napenda maubiri yako baba ubarikiwe
Afadhali kidogo mgogo amerisi nafasi ya miti mingi
Sawa sawa mwalimu
Hahahahaaaa nmecheka ile mbay. Hee ubarikiwe Mtumish. Tupone
🤣🤣🤣🤣👍👍Mchungaji Daniel Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu Asante sana 🙏🙏🙏🙏
Yaan nakupenda sana mchungaji kwa mafundisho yako
Amen Amen pastor jameni Leo nimejikuta nacheka