Ingekuwa mwanamke ndio kamsaliti mwanaume angeshachomwa kisu au kupigwa riasasi ila wanawake sis wanyonge tunafanyiwa mauzi tunavumilia ila dada kazi usijali ndio maisha ya ndoa
Unasema ngoja nimpe heshima mume wangu angalau uheshimike kuwa mume ana cha kufanya kumbe ndio Unatafuta kunguni wa kukunyonya damu ufe🙌🙌🙌nimejifunza hapa pole dada fungwa mkanda pambana kwa ajili ya watoto
Mimi nawachukia wanaume masikini sitaki kabisaaaaaa usenge ona mtu unamsaidia mwisho wake anaenda kutomba kuma zingine mxiii bora mwanaume mwenye pesa kapuku sitakiiiii.
Duuu kweli huyu ndiye Fundi cherehani anashona huku na huku.Duu kweli kuna wanaume wanabebwa na wanawake kumbe hata kitendea kazi anachofanyia ni cha mwanamke duuu! Pole sana Dada ndio uolewaji huo wanaume hawaridhiki kbs.
Jmn na Mimi ndio kilicho nishinda hiki.mtu akuachie elfu mbili wewe hlf akuambia Sina hela hlf aenda kujidai maisha haya jmn tunakutana na mengi jmn wanawake
Ndomaana nilimuomba mume wangu niende Oman kufanya kazizandan alivyo kubali nimekuja ninamwaka sasa anasema nimtumie pesa niende kununua kiwanja nikamwambia situmipesa nitakuja kununua mwenyewe maana namjua akipata pesa halali nyumban sasa nitume pesa akahinge subutu mwanangu nimepeleka kwa mama siamini mwanaume mimi
hamna lolote kosa la mwanamke hapo acha kubadilisha mjadala….kwa kifupi ni mafuska tu na ushamba wa kukosa mawazo!! mi ndio maana sipendi mwanaume mshamba ona sasa!
Daah cc wanaume tunamatatzo sana cyo siri ila bas maana mwanamke anakupa Kila ktu ili muendeleze maisha unakuja kumfanyia upuuz na ushenz aisee pole Sana dada angu achana nae mpuuz uyo mm nalilia bahat yey anachezea bahat mshamba kwel uyo
Wanaume wanapenda sana wasamehewa kwenye upumbavu wao ila ingekuwa mwanamke kafanya hilo kosa dunia nzima ingemkana na kumuunga mkono mwanaume amuache mwanamke wake. Mi nasema we mama beba vyako sepa, huyo mwanaume suruali siyo baba yako mpaka umlee hivyo utapata aliye rijali.
Huyo Mume kasahau Mkewe ni Mbongo, Wa Mbongo ni welevu ndo mana Wakaitwa Wambongo, Subutu wewe Mume, Heehee Mtagazaji nawe wa tufulaisha eti pengine kaenda kushonea kwa Mteja😂
Pole saana dada wanaume wa siku hizi usimuweke rohon ukaumia moyo muweke mkonon wanaume ilikuwa zaman ukimshaur kitu anafnikiwa maendeleo wa siku hz hawashaulk huwaza wanawake utasema ndio atatajirka
Kila siku wanasema nyuma ya mwanaume mwenye mafanikio kuna Mwanamke imara nyuma yake🤦♀️ mtu una vumilia ili mwenzio ameki mfanye maendeleo kumbe mwenzio anaenda Kuhonga uko daaaah🙌 INAUMA MNO
Kwenye miti hakunaga wajenzi kabisa wanawake tunapambana tunawaongoza lakini wapi.Yani dada uyo piga chinii mm nilikua na mwanaume dizsini hiyo nampa ushauri ila akipata pesa nyodo kutusi dharau bdo kupiga chakufia kwakweli nilisepa tu na nilikus simtegemei.Mungu atanipa wa kufanana nae dada sepa
Mijanaume iliyo mingi cku hiz haielewek do!!, mi nimelitoroka nipo Oman.. Natafutia wanangu kesho Yao, kila cku ooo nimejirekebisha, we Mt unataka maendeleo unalivumilia kenyewe Lina fanya mambo ya kijinga. Tupa kule.........
Dada chukua, mashine zako kaanzishe biashara ndani ya mwaka utakuwa umesimama imara achana na uyo mpuuzi wanaume akiwa hana hela anajifanyaga mwema ila akipa anajiona kidume anatafuta wanawake wengine. Kaishi mwenyewe uyo mzee asikutoe uzazi kisa ndoa sijui kuzaa nae msamehe ila usimrudie.
Yani wanaume hawa duuh kwa ss wenzangu na mie ambao hatujaingia kwenye ndoa kazi ipo ndio tunajifunza kupitia heka heka na kumuomba mungu nasikuizi hakuna mwanaume wapeke yako
Ingekuwa mwanamke ndio kamsaliti mwanaume angeshachomwa kisu au kupigwa riasasi ila wanawake sis wanyonge tunafanyiwa mauzi tunavumilia ila dada kazi usijali ndio maisha ya ndoa
Wanawake kama tulivyojadiliana kwenye kikao kilichopita mwanaume hamna kumsaidia hata iweje mwache apambane mwenyewe sio wema haooooo
Upendo Maokola hahahaaa
Kweli kabisa
We kazi yako mshauri tu lakini usijifanye mama huruma utalia kilio cha mbwa ndomo juu
Ni kwel pendo
Nikweli pendo dawa nikuyachuna tuu
Yaani huyo kweli fundi cherehani haswaaa🤭anashona vyote huyoo👌wanaume walio wengi hawaaminiki hata wafanyiwe nini khAAAAAH 🙄yaani we fundi kumfanya mwenzio mlinzi kisa nn🙄🙄anaeftatilia Heka heka kila hatua kama mie tujuane plzzzz 🙏
Mm apa 🤝
Swadaqta
Inauma sana kwa kweli!! Wanaume hawa !!! Wanawake wavumilia mengi kwa kweli!! Huyu mwanaume anataka kuwatia watoto wakati mgumu!
Wanaume wengi wanaisaidiwa na wanawake hawana shukrani,shenzi
Da! Wanaume nyoko
Kabisaaaaa mpenzi
type kabisa ….
Kweli my yani
Unasema ngoja nimpe heshima mume wangu angalau uheshimike kuwa mume ana cha kufanya kumbe ndio Unatafuta kunguni wa kukunyonya damu ufe🙌🙌🙌nimejifunza hapa pole dada fungwa mkanda pambana kwa ajili ya watoto
Penye mwanamke shupavu nyuma yke kuna mwanaume wa ajabu
Kabisaa
Kweli kabisa
Yaani
Kabisa
😂😂😂😂
Mimi nawachukia wanaume masikini sitaki kabisaaaaaa usenge ona mtu unamsaidia mwisho wake anaenda kutomba kuma zingine mxiii bora mwanaume mwenye pesa kapuku sitakiiiii.
Kbssssss
Uko sawa daa heri awe na hela zake
Usibabaike saana dada tuliza moyo wako ulee wanao watakuja kukufaa InshaaAllah kwa baadae
Wanawake tunavumilia mengi sana, elfu mbili kwa usawa huu jamani mh
Ukiona raha za kutazama video....soma comment za watu
Duuu kweli huyu ndiye Fundi cherehani anashona huku na huku.Duu kweli kuna wanaume wanabebwa na wanawake kumbe hata kitendea kazi anachofanyia ni cha mwanamke duuu! Pole sana Dada ndio uolewaji huo wanaume hawaridhiki kbs.
Jmn na Mimi ndio kilicho nishinda hiki.mtu akuachie elfu mbili wewe hlf akuambia Sina hela hlf aenda kujidai maisha haya jmn tunakutana na mengi jmn wanawake
Bi maisara acha tyu wanawake tuna mengi
We Acha Tu
@@taborakonanishopkonani999 mungu tu atusaidie wallah.
Bi maisara Nkamia ameen
Aisee nime umia sanaa dada achana na uyo baba chukua vitu vyako anza maisha yako lea wanao ata kuletea wagonjwa uyo baba
Wewe Marioo
Vyerehani unyang'anywe tu.
Huyo mwisho wa siku atakuacha na wtt na wewe kila senti unamkabidhi,amka usingizini.
Ndomaana nilimuomba mume wangu niende Oman kufanya kazizandan alivyo kubali nimekuja ninamwaka sasa anasema nimtumie pesa niende kununua kiwanja nikamwambia situmipesa nitakuja kununua mwenyewe maana namjua akipata pesa halali nyumban sasa nitume pesa akahinge subutu mwanangu nimepeleka kwa mama siamini mwanaume mimi
Umefanyalaamaana wengi wanaliwa huku Oman na wanaume
Daaah inauma Sana,,, hapo mwanume mwenzetu umeyumba
Pole San Dada pambna we wenyew utaweza wanaume akuna sikuuzi kilichobak kudangnyna!!
Duuuh! Kazi amekutana na mke wa kichaga! Ila nanyie wanawake wakati mwingine mnawanyima sana waume zenu ndani ya nyumba mnasababisha hatari.
Hapo hujasema kabisa huyu ameaga anakesha kushona dec nguo nyingi sio mambo nakupeana hapo
Wanamme hamlizikii hata mpewe jicho Mim nasema iviii simpe mwanaume pesayangu hata Mia akinipenda anipende tu asiponipenda akafe mbele
Wanaume hamuridhiki Yani mtu unamkamuwa mpaka ila anatafuta wengine au anakunyima anaenda kutafuta mwanamke mwengine amkune wanaume muridhikee
Poleni wanaume kaoa wake 2 kenda kufia kwa hawara hamtoshekiiiii
hamna lolote kosa la mwanamke hapo acha kubadilisha mjadala….kwa kifupi ni mafuska tu na ushamba wa kukosa mawazo!! mi ndio maana sipendi mwanaume mshamba ona sasa!
Daah cc wanaume tunamatatzo sana cyo siri ila bas maana mwanamke anakupa Kila ktu ili muendeleze maisha unakuja kumfanyia upuuz na ushenz aisee pole Sana dada angu achana nae mpuuz uyo mm nalilia bahat yey anachezea bahat mshamba kwel uyo
wanaume wengine midudu tu.inatiya huruma na hasira mnateseka wote unamwangusha mkeo.pole dada mungu atakusaidiya atabalika, kama ni mwelevu.
Aise mm kumsaidia mwanaume labda nizaliwe upya na mama yangu wallah
Wanaume wanapenda sana wasamehewa kwenye upumbavu wao ila ingekuwa mwanamke kafanya hilo kosa dunia nzima ingemkana na kumuunga mkono mwanaume amuache mwanamke wake. Mi nasema we mama beba vyako sepa, huyo mwanaume suruali siyo baba yako mpaka umlee hivyo utapata aliye rijali.
Wanaume mnatuvunja moyo kwa kweli,tue pamoja bc tufikie malengo
🤔🤔🤔🤔🙄🙄🙄🙄🙄jamani wanaume mungu Anawaona
Chukua chako mbwa huyo akafie mbele
Mwanaume si mtu daw nikuyachuna Tuu hata kama umezaa nae wToto kumi bora kulichuna tuu jana haja ya kulibembeleza
hira hao ndo akina ss walhai mungu aninusuru yasikute mnapanga na mwezio vizuri arafu yeye anafanya ujinga
Subhanaallah hivi kaka kama wanake kafanya alivyo fanya huyo Baba siangemuwa
Wa bongo kwa Kuchomoa Bety 😂😂😂😂
Vunja tuu hata hapo TOA vyako
Pole dada yani wanaume wanashida sana jamni
Na Mimi yslinikuta mmmmh inauma sana pole ssna mwanamke mwenzangu wanaume mnanyanyasa
Dada Geah jaman mbona mazimbu Morogoro clouds FM haipatkan takribani wiki ya 3 hii jaman kunani
Mm yashanitokea.. Kama ivyo wamsaidia mtu zaidi ya ndugu yako mwisho wa siku anaenda kudanga hadi kupeana mimba Yani nachukia mapenzi hadi basi
Nakubali sana .
kuzaa c tatizo haina haja ya kuwa na mwanaume asiyekuwa nafaida bora uchukue watoto yatima ukawalea
Apoa angefanya mwanamke sasaivi afai
Da wanaume tumewachoka sana basi tu
😃😃nimecheka kwel japo si vyakucheka haha eti kaenda kushonea kwa mteja daah nyie baba nyie mungu anawaona
Kweli Kabsaaaa Kunguru hafigiki,Funzo hili,duuh Pole dada.Za Mwizi 40.
MWANAHALIMA MWACHILI Mungu atupe subra
@@salmaabubakar9120 Àamiin.
Huyo mwanaume wa hovyo sana, pesa huna unatesa mwezio,kuchua wanawake mwingine wa nini pesa huna!!??
Mtihani wallah
Pole sana dada yangu
Huyo Mume kasahau Mkewe ni Mbongo, Wa Mbongo ni welevu ndo mana Wakaitwa Wambongo, Subutu wewe Mume, Heehee Mtagazaji nawe wa tufulaisha eti pengine kaenda kushonea kwa Mteja😂
Duuuuhhhh pole Dada hao ndio wanaume mimi nataka niwasikie tu ila sio kuwa nae
Pole saana dada wanaume wa siku hizi usimuweke rohon ukaumia moyo muweke mkonon wanaume ilikuwa zaman ukimshaur kitu anafnikiwa maendeleo wa siku hz hawashaulk huwaza wanawake utasema ndio atatajirka
Kila siku wanasema nyuma ya mwanaume mwenye mafanikio kuna Mwanamke imara nyuma yake🤦♀️ mtu una vumilia ili mwenzio ameki mfanye maendeleo kumbe mwenzio anaenda Kuhonga uko daaaah🙌 INAUMA MNO
wanaume malaya tu waongo
Alafu uyo mwanamke mchaga
Sasa umemkomesha mumeo au umejikomesha wewe hasira hasara wewe ungevumilia tu au ungeondoka kwenu
Pole sana dada waume wasojitambua hao
Kuvumilia watoto wawil el ya kula 2000 kila kit mwanamke ndio anafanya alafu unafikil huko anatoa nn
Yani iko hivi mwanaume akizingua unamvumilia analeta bangi Anza upya mungu hatakuacha usivumilie ujinga Leo wanao wanaume pasua kichwaaa
Inauma sana jamani wanawake tunapitia Mambo mazito sato xana pole xana mamy
Fundi kaenda kushona nguo kwa mteja,usiku kucha😀😀😀.loo
Dooh! 😂😂😂 makubwa haya 🙌
jamani wanaume mnanini hivi nani kawaroga
Haha mkewangu nimetoka kuoga nyooo Haha mkekakesha@usimsamehee kabisa huyo msingi toa mashini xako mwache
Dada yeah jamani unatusaidia sana mm natamani kupata hiyo namba ya hekaheka
SUBHANNAH ALLAH, jamani mimi mapenzi basii, duuh kila leo heri ya jana
dada wanaume hawanaga shukrani mimi nilihakikisha nimechoma mpaka chupi niliyonunua
Pole sana dada
Jamani mbona Moro hamsikiki? Hapa mpk tuweke bando kwa simu. Clouds vipi jamani
Wanaume hawaridhikag jmn
Ata umpe ziro hawatoshekiyapswa kujitambua
Sikuhz hkn mapenz nikundanga2 si Mme wa mtu wal mke w mtu
Wanaume ht uwpe mkd hawlzk
@@dianashaban7358 🤣🤣🤣umeona eeh
Jose Mara unamambo et kaend kushonea kwa mteja
Hahahakushonea kwa mteja tena
Jose Mara ndo kasema
😂😂😂 kaenda kushonea kwa mteja
Hahahaaaaaa
Duh mbongo kuna maajabu kweli
Una mwachia MWANAMKE 2000/= kwa siku? Na bado una msaliti shame on u my brother, Ndio maana MUNGU anashindwa KUMPA KIPATO KIKUBWA.
Darsaalam ya dar ndo nini ndugu watangazaj jmn
Duuuuuh inauma sana
Kichwa cha habari tu me mbavu Sina!!!
Hahahhaaaaaaa
Nacheka kama vile mazuri.
Muhhhh mm siongei kwayalio nikuta NA hivi viumbe
Wamikato..pole mwaya.
Eeeh wanaume wanamambo meusi kweli😭
chezea wanaume wanaume nyama
Yan acha tu Wanaume wachawi acha tu
Kwenye miti hakunaga wajenzi kabisa wanawake tunapambana tunawaongoza lakini wapi.Yani dada uyo piga chinii mm nilikua na mwanaume dizsini hiyo nampa ushauri ila akipata pesa nyodo kutusi dharau bdo kupiga chakufia kwakweli nilisepa tu na nilikus simtegemei.Mungu atanipa wa kufanana nae dada sepa
Umeonaee nikusepata tu hakunachakubembeleza
Mijanaume iliyo mingi cku hiz haielewek do!!, mi nimelitoroka nipo Oman.. Natafutia wanangu kesho Yao, kila cku ooo nimejirekebisha, we Mt unataka maendeleo unalivumilia kenyewe Lina fanya mambo ya kijinga. Tupa kule.........
Tupeane mchongo bas,nami nimuhanga
Mjasiri mwenza😁😁tupige pesa mwaya
@@yaninashebe4307 wataka kuja ee
@@hafsanahafsana4527 haswaaa
Mashaallah atamimi sihanisiwi na mwanaume Mimi pia nipo omani
Uyo fundi ajahaza leo wala jana anaelekeya ndotabiyayake
Jamani awo wanaume unaofanya nao kazi da gea wanaboa kweli wamuache mama wawatu afanye anavo jisikia suluhu apo baadae ila kwasasa mtayavuruga
Hatari
Ni bora angeowa mke kuliko anavyofanya mke wa kwanza akajuwa kama anamwengine
Yani Sijamuelewa Jose eti kama kaendakushonea kwamteja ,G Mzima kweli 😄😄😄😳😳
Wanaume nikama wote niakili moja niwachache sana wenye hawana michepuko
eeeeeeeh mungu weèee
Wanaume bhana Mfyuuuuu
Jamani uu
Masikini duh polesana dada
Dada chukua, mashine zako kaanzishe biashara ndani ya mwaka utakuwa umesimama imara achana na uyo mpuuzi wanaume akiwa hana hela anajifanyaga mwema ila akipa anajiona kidume anatafuta wanawake wengine. Kaishi mwenyewe uyo mzee asikutoe uzazi kisa ndoa sijui kuzaa nae msamehe ila usimrudie.
Uyo ni fundi abasi wa mwananyamala au maana nasikia abasi abasi 😃😃
Clouds fm mbona haipatikani huku lushoto
Duuu wanaume wa bongo . Bora nitafute zee langu la kizungu tu huko
Yaleyale ya Ebitoke
Achana naye huyo choko tafuta rijali
Wanaume mnateteana tu nawe musa , hata kapo katumia busara wallah, anamoyo angekuta kichwa kama changu kilichojaa mabungo angefurahi na rohoyake
ndio maan staki kuolewa kabisa😭😭😭😭😭😭😭
👌🏽💯
Ndio maana naiamini nafsi yangu tu bas siamini mtu yeyote,
Janaume la pumbavu sanaaa,alafu hata hajui kundagaya
Polesan dada baadhiyawanaumme waleo nimtihan kbs
Jose unaongea nini wewe!! kwa taarifa yako bora kukaa na debe tupu likatika kuliko lililojaa taka !!
Yani wanaume hawa duuh kwa ss wenzangu na mie ambao hatujaingia kwenye ndoa kazi ipo ndio tunajifunza kupitia heka heka na kumuomba mungu nasikuizi hakuna mwanaume wapeke yako
Unajua ni vile wanaume hawasemi yanayowakuta ndiyo maana mnasema hivyo, lakini wangekuwa wanasema kwa kweli mngetuhurumia sana sana
Inauma jamani elfu mbili unaitumiaje jamani unamvumilia MTU kumbe hela anaenda kuchangamsha damu
Da
Siku hizi hakuna cha mume wala nini yote niyakuchuna tuu