FUNDI CHEREHANI KIMEMKUTA KITU/AMUAGA MKEWE ANAENDA KUKESHA KUSHONA NGUO ZA SIKUKUU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 09. 2024

Komentáře • 238

  • @wahidashabaz5982
    @wahidashabaz5982 Před 4 lety +16

    Ingekuwa mwanamke ndio kamsaliti mwanaume angeshachomwa kisu au kupigwa riasasi ila wanawake sis wanyonge tunafanyiwa mauzi tunavumilia ila dada kazi usijali ndio maisha ya ndoa

  • @pendoanzigar3172
    @pendoanzigar3172 Před 4 lety +42

    Wanawake kama tulivyojadiliana kwenye kikao kilichopita mwanaume hamna kumsaidia hata iweje mwache apambane mwenyewe sio wema haooooo

  • @ashurabakiri8427
    @ashurabakiri8427 Před 4 lety +24

    Yaani huyo kweli fundi cherehani haswaaa🤭anashona vyote huyoo👌wanaume walio wengi hawaaminiki hata wafanyiwe nini khAAAAAH 🙄yaani we fundi kumfanya mwenzio mlinzi kisa nn🙄🙄anaeftatilia Heka heka kila hatua kama mie tujuane plzzzz 🙏

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 Před 4 lety +8

    Inauma sana kwa kweli!! Wanaume hawa !!! Wanawake wavumilia mengi kwa kweli!! Huyu mwanaume anataka kuwatia watoto wakati mgumu!

  • @mamawa3mamawa321
    @mamawa3mamawa321 Před 4 lety +34

    Wanaume wengi wanaisaidiwa na wanawake hawana shukrani,shenzi

  • @happinessmwanga4224
    @happinessmwanga4224 Před 4 lety +4

    Unasema ngoja nimpe heshima mume wangu angalau uheshimike kuwa mume ana cha kufanya kumbe ndio Unatafuta kunguni wa kukunyonya damu ufe🙌🙌🙌nimejifunza hapa pole dada fungwa mkanda pambana kwa ajili ya watoto

  • @muznahmuznah8601
    @muznahmuznah8601 Před 4 lety +33

    Penye mwanamke shupavu nyuma yke kuna mwanaume wa ajabu

  • @alexandrinadomaino9868
    @alexandrinadomaino9868 Před 4 lety +5

    Mimi nawachukia wanaume masikini sitaki kabisaaaaaa usenge ona mtu unamsaidia mwisho wake anaenda kutomba kuma zingine mxiii bora mwanaume mwenye pesa kapuku sitakiiiii.

  • @azzaalmaamry76
    @azzaalmaamry76 Před 4 lety +2

    Usibabaike saana dada tuliza moyo wako ulee wanao watakuja kukufaa InshaaAllah kwa baadae

  • @naimasaid7763
    @naimasaid7763 Před 4 lety +6

    Wanawake tunavumilia mengi sana, elfu mbili kwa usawa huu jamani mh

  • @juliusphabian6336
    @juliusphabian6336 Před 4 lety +2

    Ukiona raha za kutazama video....soma comment za watu

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 Před 4 lety

    Duuu kweli huyu ndiye Fundi cherehani anashona huku na huku.Duu kweli kuna wanaume wanabebwa na wanawake kumbe hata kitendea kazi anachofanyia ni cha mwanamke duuu! Pole sana Dada ndio uolewaji huo wanaume hawaridhiki kbs.

  • @bimaisarankamia4153
    @bimaisarankamia4153 Před 4 lety +15

    Jmn na Mimi ndio kilicho nishinda hiki.mtu akuachie elfu mbili wewe hlf akuambia Sina hela hlf aenda kujidai maisha haya jmn tunakutana na mengi jmn wanawake

  • @ciarajohn6927
    @ciarajohn6927 Před 4 lety

    Aisee nime umia sanaa dada achana na uyo baba chukua vitu vyako anza maisha yako lea wanao ata kuletea wagonjwa uyo baba

  • @emmymatigula4870
    @emmymatigula4870 Před 2 lety

    Wewe Marioo
    Vyerehani unyang'anywe tu.
    Huyo mwisho wa siku atakuacha na wtt na wewe kila senti unamkabidhi,amka usingizini.

  • @roseuwambe8089
    @roseuwambe8089 Před 4 lety +1

    Ndomaana nilimuomba mume wangu niende Oman kufanya kazizandan alivyo kubali nimekuja ninamwaka sasa anasema nimtumie pesa niende kununua kiwanja nikamwambia situmipesa nitakuja kununua mwenyewe maana namjua akipata pesa halali nyumban sasa nitume pesa akahinge subutu mwanangu nimepeleka kwa mama siamini mwanaume mimi

  • @allybora4021
    @allybora4021 Před 4 lety +1

    Daaah inauma Sana,,, hapo mwanume mwenzetu umeyumba

  • @salhaissa2619
    @salhaissa2619 Před 4 lety +1

    Pole San Dada pambna we wenyew utaweza wanaume akuna sikuuzi kilichobak kudangnyna!!

  • @medadiissa324
    @medadiissa324 Před 4 lety +7

    Duuuh! Kazi amekutana na mke wa kichaga! Ila nanyie wanawake wakati mwingine mnawanyima sana waume zenu ndani ya nyumba mnasababisha hatari.

    • @nurafedrick378
      @nurafedrick378 Před 4 lety +1

      Hapo hujasema kabisa huyu ameaga anakesha kushona dec nguo nyingi sio mambo nakupeana hapo

    • @aishajuma712
      @aishajuma712 Před 4 lety +6

      Wanamme hamlizikii hata mpewe jicho Mim nasema iviii simpe mwanaume pesayangu hata Mia akinipenda anipende tu asiponipenda akafe mbele

    • @rizikisalum9678
      @rizikisalum9678 Před 4 lety +2

      Wanaume hamuridhiki Yani mtu unamkamuwa mpaka ila anatafuta wengine au anakunyima anaenda kutafuta mwanamke mwengine amkune wanaume muridhikee

    • @salmaalbarwani2618
      @salmaalbarwani2618 Před 4 lety

      Poleni wanaume kaoa wake 2 kenda kufia kwa hawara hamtoshekiiiii

    • @vevo3130
      @vevo3130 Před 4 lety +1

      hamna lolote kosa la mwanamke hapo acha kubadilisha mjadala….kwa kifupi ni mafuska tu na ushamba wa kukosa mawazo!! mi ndio maana sipendi mwanaume mshamba ona sasa!

  • @jimmycroud8934
    @jimmycroud8934 Před 4 lety

    Daah cc wanaume tunamatatzo sana cyo siri ila bas maana mwanamke anakupa Kila ktu ili muendeleze maisha unakuja kumfanyia upuuz na ushenz aisee pole Sana dada angu achana nae mpuuz uyo mm nalilia bahat yey anachezea bahat mshamba kwel uyo

  • @benjaminfataki6898
    @benjaminfataki6898 Před 4 lety

    wanaume wengine midudu tu.inatiya huruma na hasira mnateseka wote unamwangusha mkeo.pole dada mungu atakusaidiya atabalika, kama ni mwelevu.

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 Před 3 lety

    Aise mm kumsaidia mwanaume labda nizaliwe upya na mama yangu wallah

  • @barikiwa22
    @barikiwa22 Před 4 lety

    Wanaume wanapenda sana wasamehewa kwenye upumbavu wao ila ingekuwa mwanamke kafanya hilo kosa dunia nzima ingemkana na kumuunga mkono mwanaume amuache mwanamke wake. Mi nasema we mama beba vyako sepa, huyo mwanaume suruali siyo baba yako mpaka umlee hivyo utapata aliye rijali.

  • @rosemarymbungi9434
    @rosemarymbungi9434 Před 4 lety +1

    Wanaume mnatuvunja moyo kwa kweli,tue pamoja bc tufikie malengo

  • @sikuzanibusanya6423
    @sikuzanibusanya6423 Před 4 lety +3

    🤔🤔🤔🤔🙄🙄🙄🙄🙄jamani wanaume mungu Anawaona

  • @zainabothman2351
    @zainabothman2351 Před 4 lety +5

    Chukua chako mbwa huyo akafie mbele

  • @irenemacha7457
    @irenemacha7457 Před 4 lety +1

    Mwanaume si mtu daw nikuyachuna Tuu hata kama umezaa nae wToto kumi bora kulichuna tuu jana haja ya kulibembeleza

  • @mimaakenirram1405
    @mimaakenirram1405 Před 4 lety +2

    hira hao ndo akina ss walhai mungu aninusuru yasikute mnapanga na mwezio vizuri arafu yeye anafanya ujinga

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 Před 2 lety

    Subhanaallah hivi kaka kama wanake kafanya alivyo fanya huyo Baba siangemuwa

  • @emmyyahya8358
    @emmyyahya8358 Před 4 lety +5

    Wa bongo kwa Kuchomoa Bety 😂😂😂😂

  • @zainabothman2351
    @zainabothman2351 Před 4 lety +5

    Vunja tuu hata hapo TOA vyako

  • @tinnaebunka8848
    @tinnaebunka8848 Před 4 lety

    Pole dada yani wanaume wanashida sana jamni

  • @yusrakamili6401
    @yusrakamili6401 Před 4 lety +1

    Na Mimi yslinikuta mmmmh inauma sana pole ssna mwanamke mwenzangu wanaume mnanyanyasa

  • @nasrakabesselah3253
    @nasrakabesselah3253 Před 4 lety +2

    Dada Geah jaman mbona mazimbu Morogoro clouds FM haipatkan takribani wiki ya 3 hii jaman kunani

  • @zunirasalim7660
    @zunirasalim7660 Před 4 lety +1

    Mm yashanitokea.. Kama ivyo wamsaidia mtu zaidi ya ndugu yako mwisho wa siku anaenda kudanga hadi kupeana mimba Yani nachukia mapenzi hadi basi

  • @hrockstarr9584
    @hrockstarr9584 Před 4 lety

    Nakubali sana .

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 Před 3 lety

    kuzaa c tatizo haina haja ya kuwa na mwanaume asiyekuwa nafaida bora uchukue watoto yatima ukawalea

  • @irenejustine2765
    @irenejustine2765 Před 4 lety +5

    Apoa angefanya mwanamke sasaivi afai

  • @fatmamohd4957
    @fatmamohd4957 Před 4 lety +1

    Da wanaume tumewachoka sana basi tu

  • @asmahomary7833
    @asmahomary7833 Před 4 lety +1

    😃😃nimecheka kwel japo si vyakucheka haha eti kaenda kushonea kwa mteja daah nyie baba nyie mungu anawaona

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 Před 4 lety +1

    Kweli Kabsaaaa Kunguru hafigiki,Funzo hili,duuh Pole dada.Za Mwizi 40.

  • @vero57
    @vero57 Před 4 lety +1

    Huyo mwanaume wa hovyo sana, pesa huna unatesa mwezio,kuchua wanawake mwingine wa nini pesa huna!!??

  • @fatoomfatoom5590
    @fatoomfatoom5590 Před 4 lety +1

    Mtihani wallah

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 Před 4 lety

    Pole sana dada yangu

  • @carolmuchiri9921
    @carolmuchiri9921 Před 4 lety +1

    Huyo Mume kasahau Mkewe ni Mbongo, Wa Mbongo ni welevu ndo mana Wakaitwa Wambongo, Subutu wewe Mume, Heehee Mtagazaji nawe wa tufulaisha eti pengine kaenda kushonea kwa Mteja😂

  • @shababygirlshambuwa8388

    Duuuuhhhh pole Dada hao ndio wanaume mimi nataka niwasikie tu ila sio kuwa nae

  • @azzaalmaamry76
    @azzaalmaamry76 Před 4 lety

    Pole saana dada wanaume wa siku hizi usimuweke rohon ukaumia moyo muweke mkonon wanaume ilikuwa zaman ukimshaur kitu anafnikiwa maendeleo wa siku hz hawashaulk huwaza wanawake utasema ndio atatajirka

  • @latriciah01augustino67
    @latriciah01augustino67 Před 4 lety +7

    Kila siku wanasema nyuma ya mwanaume mwenye mafanikio kuna Mwanamke imara nyuma yake🤦‍♀️ mtu una vumilia ili mwenzio ameki mfanye maendeleo kumbe mwenzio anaenda Kuhonga uko daaaah🙌 INAUMA MNO

  • @jumamanywa8223
    @jumamanywa8223 Před 4 lety +1

    Alafu uyo mwanamke mchaga

  • @yassirhalimamohammedmohamm5913

    Sasa umemkomesha mumeo au umejikomesha wewe hasira hasara wewe ungevumilia tu au ungeondoka kwenu
    Pole sana dada waume wasojitambua hao

    • @sukhailatausisaidi6964
      @sukhailatausisaidi6964 Před 4 lety

      Kuvumilia watoto wawil el ya kula 2000 kila kit mwanamke ndio anafanya alafu unafikil huko anatoa nn

  • @dalianakerefu490
    @dalianakerefu490 Před 4 lety +4

    Yani iko hivi mwanaume akizingua unamvumilia analeta bangi Anza upya mungu hatakuacha usivumilie ujinga Leo wanao wanaume pasua kichwaaa

  • @rechomyombo1827
    @rechomyombo1827 Před 4 lety

    Inauma sana jamani wanawake tunapitia Mambo mazito sato xana pole xana mamy

  • @evalunajohannes469
    @evalunajohannes469 Před 4 lety +1

    Fundi kaenda kushona nguo kwa mteja,usiku kucha😀😀😀.loo

  • @fatmafeisal442
    @fatmafeisal442 Před 4 lety +2

    Dooh! 😂😂😂 makubwa haya 🙌

  • @kajoakother6041
    @kajoakother6041 Před 4 lety

    jamani wanaume mnanini hivi nani kawaroga

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Před 4 lety +1

    Haha mkewangu nimetoka kuoga nyooo Haha mkekakesha@usimsamehee kabisa huyo msingi toa mashini xako mwache

  • @asiamct4025
    @asiamct4025 Před 4 lety +1

    Dada yeah jamani unatusaidia sana mm natamani kupata hiyo namba ya hekaheka

  • @ladymashaallahilikeuaadvis997

    SUBHANNAH ALLAH, jamani mimi mapenzi basii, duuh kila leo heri ya jana

  • @bellahyuzzomylife4428
    @bellahyuzzomylife4428 Před 4 lety

    dada wanaume hawanaga shukrani mimi nilihakikisha nimechoma mpaka chupi niliyonunua

  • @itonyajuma8018
    @itonyajuma8018 Před 4 lety

    Pole sana dada

  • @annafundi7098
    @annafundi7098 Před 4 lety

    Jamani mbona Moro hamsikiki? Hapa mpk tuweke bando kwa simu. Clouds vipi jamani

  • @tausingomeni2568
    @tausingomeni2568 Před 4 lety +9

    Wanaume hawaridhikag jmn

  • @leilamoses172
    @leilamoses172 Před 4 lety +3

    Jose Mara unamambo et kaend kushonea kwa mteja

  • @wardaheluwa734
    @wardaheluwa734 Před 4 lety

    Duh mbongo kuna maajabu kweli

  • @kelvinmchau8815
    @kelvinmchau8815 Před 4 lety +2

    Una mwachia MWANAMKE 2000/= kwa siku? Na bado una msaliti shame on u my brother, Ndio maana MUNGU anashindwa KUMPA KIPATO KIKUBWA.

  • @sophiekigomba4809
    @sophiekigomba4809 Před 2 lety

    Darsaalam ya dar ndo nini ndugu watangazaj jmn

  • @aishamashaka6370
    @aishamashaka6370 Před 4 lety

    Duuuuuh inauma sana

  • @naomijonas6090
    @naomijonas6090 Před 4 lety +5

    Kichwa cha habari tu me mbavu Sina!!!

  • @simonringo4701
    @simonringo4701 Před 4 lety +3

    Nacheka kama vile mazuri.

  • @salmajuma4015
    @salmajuma4015 Před 4 lety

    Muhhhh mm siongei kwayalio nikuta NA hivi viumbe

  • @mwanamisaomar346
    @mwanamisaomar346 Před 4 lety

    Wamikato..pole mwaya.

  • @datiabdallah6012
    @datiabdallah6012 Před 4 lety +1

    Eeeh wanaume wanamambo meusi kweli😭

  • @mariammwapelele945
    @mariammwapelele945 Před 3 lety

    Yan acha tu Wanaume wachawi acha tu

  • @mligosandrah7851
    @mligosandrah7851 Před 4 lety +1

    Kwenye miti hakunaga wajenzi kabisa wanawake tunapambana tunawaongoza lakini wapi.Yani dada uyo piga chinii mm nilikua na mwanaume dizsini hiyo nampa ushauri ila akipata pesa nyodo kutusi dharau bdo kupiga chakufia kwakweli nilisepa tu na nilikus simtegemei.Mungu atanipa wa kufanana nae dada sepa

  • @lailahasan2200
    @lailahasan2200 Před 4 lety +9

    Mijanaume iliyo mingi cku hiz haielewek do!!, mi nimelitoroka nipo Oman.. Natafutia wanangu kesho Yao, kila cku ooo nimejirekebisha, we Mt unataka maendeleo unalivumilia kenyewe Lina fanya mambo ya kijinga. Tupa kule.........

  • @hawasaid8262
    @hawasaid8262 Před 4 lety +1

    Uyo fundi ajahaza leo wala jana anaelekeya ndotabiyayake

  • @aishandayishimiye5127
    @aishandayishimiye5127 Před 4 lety

    Jamani awo wanaume unaofanya nao kazi da gea wanaboa kweli wamuache mama wawatu afanye anavo jisikia suluhu apo baadae ila kwasasa mtayavuruga

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 Před 4 lety

    Hatari

  • @asmamohamedidi585
    @asmamohamedidi585 Před 4 lety

    Ni bora angeowa mke kuliko anavyofanya mke wa kwanza akajuwa kama anamwengine

  • @pamelaog9321
    @pamelaog9321 Před 4 lety

    Yani Sijamuelewa Jose eti kama kaendakushonea kwamteja ,G Mzima kweli 😄😄😄😳😳

  • @annamwanauta8683
    @annamwanauta8683 Před 3 lety

    Wanaume nikama wote niakili moja niwachache sana wenye hawana michepuko

  • @shakilakhamis2109
    @shakilakhamis2109 Před 4 lety +1

    eeeeeeeh mungu weèee

  • @lailmeeea4908
    @lailmeeea4908 Před 4 lety

    Wanaume bhana Mfyuuuuu

  • @aishaawadhimalokimaloki9953

    Jamani uu

  • @faridaabdallah7620
    @faridaabdallah7620 Před 4 lety

    Masikini duh polesana dada

  • @juliethhouseofdesigns147

    Dada chukua, mashine zako kaanzishe biashara ndani ya mwaka utakuwa umesimama imara achana na uyo mpuuzi wanaume akiwa hana hela anajifanyaga mwema ila akipa anajiona kidume anatafuta wanawake wengine. Kaishi mwenyewe uyo mzee asikutoe uzazi kisa ndoa sijui kuzaa nae msamehe ila usimrudie.

  • @latypherngombo1022
    @latypherngombo1022 Před 4 lety

    Uyo ni fundi abasi wa mwananyamala au maana nasikia abasi abasi 😃😃

  • @maalimrajabu1634
    @maalimrajabu1634 Před 4 lety

    Clouds fm mbona haipatikani huku lushoto

  • @jacklinamani7519
    @jacklinamani7519 Před 4 lety

    Duuu wanaume wa bongo . Bora nitafute zee langu la kizungu tu huko

  • @mariachuhila9518
    @mariachuhila9518 Před 4 lety

    Yaleyale ya Ebitoke

  • @barikiwa22
    @barikiwa22 Před 4 lety

    Achana naye huyo choko tafuta rijali

  • @najma3268
    @najma3268 Před 4 lety

    Wanaume mnateteana tu nawe musa , hata kapo katumia busara wallah, anamoyo angekuta kichwa kama changu kilichojaa mabungo angefurahi na rohoyake

  • @reginaphilimon782
    @reginaphilimon782 Před 4 lety

    ndio maan staki kuolewa kabisa😭😭😭😭😭😭😭

  • @salwasuleiman8943
    @salwasuleiman8943 Před 4 lety

    Ndio maana naiamini nafsi yangu tu bas siamini mtu yeyote,

  • @vero57
    @vero57 Před 4 lety

    Janaume la pumbavu sanaaa,alafu hata hajui kundagaya

  • @ZainabZainab-tv9ir
    @ZainabZainab-tv9ir Před 4 lety

    Polesan dada baadhiyawanaumme waleo nimtihan kbs

  • @vevo3130
    @vevo3130 Před 4 lety +1

    Jose unaongea nini wewe!! kwa taarifa yako bora kukaa na debe tupu likatika kuliko lililojaa taka !!

  • @asiajuma8330
    @asiajuma8330 Před 4 lety +4

    Yani wanaume hawa duuh kwa ss wenzangu na mie ambao hatujaingia kwenye ndoa kazi ipo ndio tunajifunza kupitia heka heka na kumuomba mungu nasikuizi hakuna mwanaume wapeke yako

    • @ramadhaniidd
      @ramadhaniidd Před 4 lety

      Unajua ni vile wanaume hawasemi yanayowakuta ndiyo maana mnasema hivyo, lakini wangekuwa wanasema kwa kweli mngetuhurumia sana sana

    • @janengowi3011
      @janengowi3011 Před 4 lety

      Inauma jamani elfu mbili unaitumiaje jamani unamvumilia MTU kumbe hela anaenda kuchangamsha damu

  • @peninasayanga8412
    @peninasayanga8412 Před 4 lety

    Da

  • @irenemacha7457
    @irenemacha7457 Před 4 lety

    Siku hizi hakuna cha mume wala nini yote niyakuchuna tuu