ALE_WÀNE_ Episode_13 ( Bondowood Movie)
Vložit
- čas přidán 21. 08. 2024
- nakukaribisha kufwatilia mkasa huu
Ambao unaitwa ALE WÀNE "Kiruga"
tafsiri ya kiswahili ni"Ni wakwangu"
Toa maoni ,sambazia wengine Asante sana
Tufwatilie kwenye mitandao mingine kwa jina la
#RAJABU_MMEO_RAMSEY
Wakwanza Leo Ni Mm nipeni like nzangu jamani 💯🙏🙏♥️
Mbona mnachelew kutow tararibu saana mnatupa uvivu wakufata movie zenu
Nzuri sana, ila msichelwe sana kutuwekea ya 14 & 15😢❤❤🎉
Nipeni likes zangu guys ❤❤✌️
Wa kwanza kutoka swideni nawapenda saan cha like apa ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
𝐁𝐫𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐩𝐨𝐤𝐞𝐲𝐚 🌹🌹🌹🌹👈𝐥𝐚 𝐝𝐚𝐝𝐚
Aaaaahhhh mmenibowa watu wangu nilifikili watajuwana pale alipokuwa anatoka ndani mmenipa presha kubwa
❤❤❤❤❤
Woow nimeipenda sana iyi mzidi kubarikiwa nature nanguvu yakucheza nyengine kama iyi
Ongera kwenu jamani mmejua kunifuraisha mungu awafanyizie wepesi kwenye kazi yenu 🙏♥️♥️♥️👌
Ahiseee tuna mshukuru saaaaana kweli ❤️❤️ tuna i like saaaaana apa Uganda 🇺🇬 but tuna subiri mwenderezo fanya fast Mr because wengi apa Uganda 🇺🇬 watakufa n'a precha
Brother all the best kweli tuna wa penda saaaaana ❤️❤️
Huyo msichana Brenda alicheza vizuri Sana hii episode kbs
To be continued
Sasa jey una kawiza kutowa
Amutoi nyingine bina
I love the film you guys play
Naipenda iyi
Nzuri san
Jmnn 😂😂😂 kiswahili
❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mbona kafupi❤❤❤
Ila zinakuwa fupi sana alafu tena mnakawa kuzutoa toweni picha please
Well done
Brenda ayupo siriazi 😊😊
Nawapenda sana jamani🎉🎉❤❤
Ale WA'NE😂😂😂😂😂😂
Hacheni dhalau.jamani 😅.mbona mapema inakatika Leo tuwekehee mbili Bon garçon msale 😅
Mnafupisha sana guys
Wakwanza mimi hapa nipeni like zangu nawapenda sana
Metoooo
Nitam,ila inachelewa kaka
Kwa utazamo wa Brenda kweli inabidi mumupe mameno yakilo ku party 14 jua Msale
Ila mwenye kosa ni Brenda cz Pic aichanguwi under 🔞 ao over 🔞
Ila Brenda anamapenzi ya kweli kwa Msale
Mmi apa natoka South Africa 🇿🇦
Asante sana kwakutufwatilia
Zabibu muachiye Brenda mpenzi wake
Hekoooooo😂😂
Mimi ndo wa kwanza Leo 😂
This my African favorite movie now😂😂❤
Tupeni 14ep please
Kazi mzur sana
🎉🎉🎉 Aweeeeee mume waza sana lakini muko na kawiya 😔❤❤
Tuko makini
Wa kwanza leo love from Australia 🇦🇺🇦🇺🇦🇺🇦🇺🇦🇺❤️
😂😂😂
I can’t wait now 🎉🎉🎉🎉
Twende nalo
Nakukubali sana mtu wangu, ahuja wahi ku feli hata siku moja
Asante kwa ihi kitu
Viewed by Erasto Busumani tz🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
We need more ❤❤
Muko nakawiya kutowa ingine kwanini?
mambo ni 🔥🔥💯💪❤❤❤
Wow wow jamani jamani adi raa kweli
Nipeni like guy ❤❤
Napenda 🎉🎉🎉🎉
Please bro Take number fourteen brother tafad 14
Kali
Movie ndo imenoga
Mbona hivyo mnatuma kamoja mtumeata tano
Weweeee 😂😘 nice job
Good ❤❤❤Sawa 🙏🙏
Wow wow msale kule kule 😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😊
Ukweli msale na Brenda wana ujuwa ila wana pishana sn
Nawapenda sana 🎉🎉🎉🎉
🔥🔥🔥
Ok❤
Usimfanyie mtu mabaya mahesabu ni hapa sio binguni sio mtoto eti alisha Biblia ya maneno
Finally 😂
Rajabu ninini lkn kushelewesha movie hivi
Mmmh mumeboa sana sasa kwanini awakuzungumza pale mlangoni walivo kutana jmn?😢😢 mume ni kera
Apana ndo inatakiwa iwe
Msale kulekule 😂
Musikawi basi jamani munatuacha ewani ivu 🎉🎉🎉❤
Big up sana kweli kuhigiza kaziiii kweliii
😂😂😂
❤❤❤❤❤
😂😂😂