TENSI YA PAST TENSE (WAKATI ULIOPITA); JINSI YA KUULIZA & KUJIBU MASWALI: SOMO LA 20
Vložit
- čas přidán 17. 08. 2022
- Leo ninawafundisha jinsi ya kuuliza na kujibu maswali kwa kutumia tensi ya PAST TENSE. Hii tensi inatumiwa kueleza vitendo ambavyo ulifanya kwa wakati uliopita. #learnenglish #jifunzekiingereza #swahili #swahililanguage
Thanks you so much actually naendelea vizuri with English leaning course
Niko Mamlaka ya maji hapa,niko na free net naijoy sn kumsikiliza mwali wangu,inshort i love much my beloved teacher
Napenda sana masomo yako mwalimu!
Appreciate for That Teacher 🫂🫂🫂🤝🤝
God bless you teacher
Mungu akubariki mwalimu wetu.
Nashukuru sana dada
Mungu akupe maisha marefu
Thank you so much
Thank you ubarikiwe Dada Amen 🙏.
Asante mrembo kwaelimu unayo tupa mungu akupe maisha marefu
Asante sana mwalimu Dorothy, tumefaidi mengi na nimeipenda somo hii, Mungu akubariki na ningependeleya huwe natufunzi na ma conversation
Thanks very much madam God blc U
Mungu agubariki san nafaat masomomoyako
❤ God bless you teach
Thank you teacher
Asante mwalimu
God Bless Madam
Asante sana mwalimu wangu utufundishe matunda mbonga navigine
Thanks so much God bless you
Asante sana mwalimu
Thank you 💕 teacher for Lean us,,,,ila si kwa ubaya iyo flana yako maana yake nn ,kwa kingreza
Haina maana yoyote ila ni jina la chuo kikuu kikubwa sana kipo Marekani. Harvard University
❤️
Thanks for everything ilove you
Honger sana madam
Good teacher
Mungu akubariki sana 😂
Nashukuru.nakupenda.
Thanks for teaching me
Thank you 💕💕💕 teacher
W ni fundi sana asnte.
Mwalimu wangu nakupenda sana na ninakusalimu sana
My sister congratulation
This was amazing ❤️
Napenda❤ sana unavyo fundisha mwalim Dorothy
Asante madam
Mungu akupe Maisha marefu,
Nimependa sana unavo fundisha thanks
Umenisaidia sana
JUSTIN ❤❤❤❤❤❤❤🎉
Thank you sister
Habari yako mwalimu wangu Asante Sana kwa kutufunza, ombi langu ni kwamba uwe unatupatia japo masomo mawili kwa wiki mana tunamisi sana
Nitajitahidi
Good Job mom 💯🎉 God bless you and the family 👍🙏👍🙏
Barikiwa sana
Thank you my T,,,❤️
Thanks a lot malimu muzuli
Shukrani mwalimu
Thanks you ❤
Ilove my sister
Mungu akupe umri mrefu mwalimu wetu ili uzidi kutufunza
Madam wangu mzur
Duh uku mbele ni🔥🔥🔥
Barikiwa ticha wetu👏
Thanks you so much
❤❤❤❤❤
Thank you.
Shukran. Hapa nitachúkua muda kidogo
Asante Sana kabisa njo nahelewa sasa
i want learning english and dorithy
i need so much
Thanks i lot my techert
Nawashukuru
God bless you sister Dorothy ❤️🙏
Thank
Thank you
Thenk you napenda Sana kujifunz na kujua
I ate inagoma kichwani italainika kweliiiiii 😢😢😢😢❤❤❤❤🎉🎉🎉
Hello sister I name is peter, Niko somo la 18 i need unisaidie tofaut ya Reed na stundy
Nice
Tank you so much mamy
Waoow ❤️❤️❤️
Thank you
Thank you so much teacher 🙏
good job
Kichwa kimeanza kuchoka mwalum wangu niombee nijue 🙏
UPEWE ULINZI WA KUTOSHA ISHI MIAKA MINGIII
Ahsante
good
I love you
Madam Dorothy. Your subject is very luscious. Kiss for you!
Asante mwalimu wangu ila ningeomba uunde group la wsp uwe unatupa mtihani kama hautojali
Asante
Nafurahi kwanini hautufundishi sehemu damwiri
Kiukweli hiri somo la reo haliingie kichwani kabisa we acha tu😂😂❤
😂😂😂😂😂dah nilijua mm tu yaan inabid urudie wiki mzima
❤️😍😍
I love you so much
Treasure
nkupenda w dada
Mwarim wangu mimi niko Burundi nagusikiya vizur
Nimependa vile unavo fundisha
Hauna darasa maalumu ambalo unafundisha tofauti na you tube
Teacher nime penda sana unavyofanya
Nimeelewa sana,but je Kuna maneno zaid ya hayo au ni hayo tu?
Wewe ni furaha ya kila wakati
Kama last year nimekua mugojwa nitajibu aje?
What did they last week
Naomba No Yako mwalim
nafatilia sana
What did they last week, ipo sahihi hiyo madam
Mwarimu ubarikiwe sana?
Hili somo nimerudia zaid na zaid ila tutelewa tu
Teacher Doro how old are you?
Nilikuwa nauliza utaweza kunifundisha?
Nilisoma kuanzia sehemu ulipoanzia mkakasehemu ulipomalizia sehemu ya kumina suta (16)
App nikumeza mwanzo mwisho
Vidio za madarasa ya nyuma nazipataje
Me ningeomba kungekuwa na group WhatsApp tuongee lugha mawazo ty