Teacher Dorry una kiti chako mbinguni, nakupenda mnoooo unajua matumiz ya mtandao, wengne hawana ada ya kulipia chuo ila kwako elimu bure, God bless you🙏
Asante sana mwalimu Nipo marekani ila kimgereza sijuwi kabisa lakini toka nianze kukufuatilia naona unanisaidia sana Pendekezo langu na mimi nataka utufundishe jinsi gani kuomba kitu Kama kazi Ruhusa Vitu kama hvyo asante
Tunakuelewaaaa na unazingatia vizur nature of learner kwa sabubu tupo tunaoelewa harak,kidogo kidogo,na tunaoelewaa taratibuu,hivyoo BC pongezi ni kwakoo hukuikwepa teaching practice wakt wa ujifunzaji wakooo
😊 siku zote nilikuwa nimekrem kusema kama hivyo unavyofundisha lakini nilikuwa sijui kufafanua hasa umiliwa wa mtu unafafanuliwaje so Big Yes to you Dorothy na Asante sana
Thank you madam Deborah kwa somo zuri pia nataka nifundishe Kama unataka kumuambia mtu akupigee sim video call na yupo nje ya Tanzania au ndani ya Tanzania nakupenda Sana mwalim wangu ❤️🥰🥰
Asante sana my love umenifanya naweza kuondoa aibu sasa nakujikuta naongea .namkumbuka mwalim wangu Abrahaman. alikuwa ananambia rey ukipata nafasi yakunyanyuliwa class shkuru watu wanaitafua mimi sikunyanyuwi kuwa nakutaka nataka uwe imara 😐😐nikaja nikaikumbuka kauli hii nilipo enda nchi zawatu. asante na my mungu akubariki akuzidishie elemu uzidi kutupa nasie
Asante mwalimu nashukuru kwa hiki kinacho endelea mim ningependa utuunge na group kwa sisi tunao soma hapa ili tuweze kukosoana pale tunapo kosea pia naomba namba yako dada samahani ni mimi mwanafunzi wako saumu
Asante sana kwa video hii, mwalimu! Nina swali kuhusu sentensi hii : ‘Hii ni gari yake’. Nilijifunza ‘Hili ni gari lake’. ‘Hili ni gari lake’ si sahihi?
Madam nimefurah Sana sikujua kama ungefundisha Maana nilijua tayari una Road map Yako Kama mwalimu,,, kwasasa ningetamani ufundishe zile Who,when,why, which, what, but kuna OBJECTIVE PRONOUNS ( Viwakilishi Vya Kutendewa ) hujazifundisha Bado, Hebu malizia hapo Halafu Uwape watu sentensi Zinazoweka Viwakilishi Vyote vitatu Kwa Pamoja,,, Mfano I know HIM, HE is a doctor and HIS parents are politicians
Habari. Asante kwa mawazo mazuri. Road map ipo Lakini Napenda wanafunzi wangu wajiskie huru kuuliza kuhusu Mada Ambazo ni changamoto kwao. Inasaidie na wengine. Karibu
Samahani teacher naweza nikapata huduma ya kujifunza kingereza kwa njia ya whatsap? Mana nipo inch ya watu nakati ya changamoto kubwa ninayo kutananayo ni iyo yakuongea kingereza naomba mrejesho teacher wangu.
Asante Sana dada Mimi ni Joseph naomba utusaidie kutupangiya mustari ambao utakua mu future alafu ingine verbe ya kufwata itakuwaje? Mfano : nitaenda sokoni jioni nikisha maliza kula
Amjambo kwamajina ni Babu Lukungula Eemanwelu kazizurikwako mungu akupe ujesiliwa kutufunza, naomba vo ya alfabeti ya kingereza natafsiriake kwa kiswahili asante asubuhijema
Teacher Dorry una kiti chako mbinguni, nakupenda mnoooo unajua matumiz ya mtandao, wengne hawana ada ya kulipia chuo ila kwako elimu bure, God bless you🙏
Thank you my teacher I proud of you ❤❤ good bless you more
Uko vizuri dada
Safi endelea kufundisha Mwenyezi Mungu Akubariki sana KWA kuamwua kufundisha SoMo hili
Asante sana dada doroth kiukweli unatusaidia mi binafs nimejifunza mengi kupitia hili darasa
Asante mwalimu tunakufatilia ningependa kushauri mada zisiwe zinachelewa sana wengine tuko Kasi tunataka kujua haraka .
Asante sana mwalimu
Nipo marekani ila kimgereza sijuwi kabisa lakini toka nianze kukufuatilia naona unanisaidia sana
Pendekezo langu na mimi nataka utufundishe jinsi gani kuomba kitu
Kama kazi
Ruhusa
Vitu kama hvyo asante
Me naomba unifundisha pekeangu
Uko na akili na busara sana mwl,asante sana God bless u
Asante mwalimu uzidishe mifano
Thenk you my teacher
Aksante dada niko kenya napendezwa kabisa na kufuza kwako
asanta dada kwahelimu yako nzuri pia nasi tumipatia helimu nzuri kutoka kwako ,god bless you
May God bless you my teacher
mihigo nyagahigi asante
Napenda Sana kujua
Tunakuelewaaaa na unazingatia vizur nature of learner kwa sabubu tupo tunaoelewa harak,kidogo kidogo,na tunaoelewaa taratibuu,hivyoo BC pongezi ni kwakoo hukuikwepa teaching practice wakt wa ujifunzaji wakooo
Mungu akubariki maadam,mimi Sasà naweza kuongea kingereza mwanazoni nilikuwa nashindwa kabisa, Asante mwalimu, Mimì jitaendelea kufuata vipindi vyako,kweli unakipaji kikubwa endelea kutusaidia
Uko vizuri mwalimu, kakini hujaongelea kuhusu wanyama viwakilishi vyao vinakuwaje
Thank you my sister for teaching Us
Well done Dot, wanasema nabii hakubaliki kwao, but mimi nakukubali, keep it up, its me aunt martha
Asante teacher Dorothy Bado hujaharibu
😊 siku zote nilikuwa nimekrem kusema kama hivyo unavyofundisha lakini nilikuwa sijui kufafanua hasa umiliwa wa mtu unafafanuliwaje so Big Yes to you Dorothy na Asante sana
Nimekupenda buree yaani unaweza Safi barikiwa
Thank you teacher for your subject
God bless you
Asante sana. Mwalimu wetu. Mungu akubariki.
Thenkyou🌹🌹🌹🌺🌺🌺
Be blessed teacher Doroth😍
Nafurahi sana
Ahsante sister Dorith kwa juhudi zako
Asante sana dada kutufunza kingereza tunakufatilia kuto Congo drc
You are teaching good. God bless you
Thank you
May god give you a long life and continue to teach us. Frome Paris
Thank you
Thank you madam Deborah kwa somo zuri pia nataka nifundishe Kama unataka kumuambia mtu akupigee sim video call na yupo nje ya Tanzania au ndani ya Tanzania nakupenda Sana mwalim wangu ❤️🥰🥰
Vizur sana mwalim
👍👍👍
Asante sana Sister kwa mafunzo yako niko Bujumbura nakufatilia sana
thanks teacher,tunazidi kuelewa mungu akubariki uzidi kutufundisha inabidi tuanze nachakuongea
God bless you teacher
Asante mwalimu Doris, mi ni mgeni lakini nafurahia
somo lako nzuri tunaomba fika mpasa seeme ya 100 maana niko seemu ya23
God bless you from UAE
Thanks so much our teacher I love you
Thanks so much our teacher
Unajitahidi mdada unapatkana wapi penda sana kz yako❤❤❤❤❤
Thanks you so much teacher
mambo dors napendasana kigereza irabado sijaiva sana kuongea kingereza irakwamasomo yako doris uhakika nitaerewa tunakuomba uenderee kutufunza tunakupendasana mungu akutangurie
Asante mama Mimi ni peter ongeza tena pasr tensi na kutumiya negation dani ya misemo.
Asante my ssiter
Dorithi uko vizuri mno nitakuwa na wewe kila siku.
Karibu sana
Thank you.
Samahani Doris mimi sjui nifanye je
Mwalim nashukuru kwa darasa lako nimehangaika mno thank you madam
Thanks so my teacher doroth❤
Asante sana mwalimu we love you so much
Asante sana my love umenifanya naweza kuondoa aibu sasa nakujikuta naongea .namkumbuka mwalim wangu Abrahaman. alikuwa ananambia rey ukipata nafasi yakunyanyuliwa class shkuru watu wanaitafua mimi sikunyanyuwi kuwa nakutaka nataka uwe imara 😐😐nikaja nikaikumbuka kauli hii nilipo enda nchi zawatu. asante na my mungu akubariki akuzidishie elemu uzidi kutupa nasie
Naomba tuwe tuna practice wote, Sina mtu wa ku practice naye. If you don't mind, I will send you my namber. Thanks.
Mm ninaombi teacher tufundishe maneno mengine tofauti tofauti
Thank you my techer, we love you
Nakupenda mwalimu wangu
Asante my sister God bless you ♥️
Asante mwalim k nimejifunza kutoka kwako kiengereza
bless your Ms
Tufudishe kuhesabu 1 hadi 10.000
Thank you so much.
Hongera kwa kazi nzuri.Pia naomba ufundishe namna ya kujibu maswali ya Comprehension.
You teach two langueges at the same time merci 🙏🙏🙏
Tufudishe jinsi yakuhesabu 1 hadi 10.000 ninzuri sana
Thanks
Ahsante sana dada dorthy
Mwalim ningependa upunguzekas sijaerewa
Very nice madam
❤❤❤🎉🎉
Shukran sana mwalimu
❤️❤️❤️❤️
Dada nimekuelewa sana pikipiki kwa kingereza inaitwaje
❤
Thank you so much my dear 💋💋💋
Asanteni sana mwalimu kwakufundisha vizuru sana swali langu nihilo je uko kwa inchi gani?
Napenda sana masomo yako
Mimi nasjukuru Sana moto wangu nilikua siwez kingerez kabisa lakinsasa nawez kidogo kwahivo nakushukuru
Mm nataka unifundishe kingereza live
Shukran dada 🥰🥰🥰🥰🥰
Unge weka madalaja tukimaliza la kwanza tuna fanya mtihani
Unaonaje tufungue group tujifunze zaidi
Nimelipinda somo lako
Asante mwalimu nashukuru kwa hiki kinacho endelea mim ningependa utuunge na group kwa sisi tunao soma hapa ili tuweze kukosoana pale tunapo kosea pia naomba namba yako dada samahani ni mimi mwanafunzi wako saumu
Sisi tunafatilia
Asante sana dada jitaidi kupakilia siku moja kuweka live
Dada asante Sana kutufundisha kingereza mimi nilimaliza masomo alakini nilikuwa sidjuwe kuhandika morning kwasasa nilishadjuwa byamingi kupitiya wewe. Balibetu balikiwa natudanganya sana.kwenyekingereza.
Madam Dorothy kazi yako njema sana naomba wenye hili somo fundisha jinsi ya kuuliza maswali. Kwa mfano : Gari hii niya nani?
TeacherDorothy vp naona kimya unachelewesha masomo
🥰🥰
Asante sana kwa video hii, mwalimu! Nina swali kuhusu sentensi hii : ‘Hii ni gari yake’. Nilijifunza ‘Hili ni gari lake’. ‘Hili ni gari lake’ si sahihi?
Mwalim tunaomba utuunge kwenye group ili tupate kuzirejea zanyuma ok
Mm ninahitaji kujifunza madam naomba namba yko
🙏🏻🙏🙏🏻🙏🙏🏻
Naomba utufundixhe tens zote za wakati iliyopita na ujao
Dolith hapa umeupiga mwingi nilikuw na maneno mengi lakin Hutu tuneno tudogo nilikuw na mix ila now nimeelewa 🙏🙏🙏
Naomba namba yako
Shukrani mwilimu wetu hadi burundi tunakufatilia endelea nikazinzili tunagulahia
Madam nimefurah Sana sikujua kama ungefundisha Maana nilijua tayari una Road map Yako Kama mwalimu,,, kwasasa ningetamani ufundishe zile Who,when,why, which, what, but kuna OBJECTIVE PRONOUNS ( Viwakilishi Vya Kutendewa ) hujazifundisha Bado, Hebu malizia hapo Halafu Uwape watu sentensi Zinazoweka Viwakilishi Vyote vitatu Kwa Pamoja,,, Mfano I know HIM, HE is a doctor and HIS parents are politicians
Habari. Asante kwa mawazo mazuri. Road map ipo Lakini Napenda wanafunzi wangu wajiskie huru kuuliza kuhusu Mada Ambazo ni changamoto kwao. Inasaidie na wengine. Karibu
@@jifunzekiingerezanadorothy ok sawa 🙏
thank you very much madam dorothy for the knowledge you have to give us your students❤❤❤❤
👍
Sorry teacher Doroth mm nimekuwa mwepesi Wa kuelewa kusoma but kuelewa hili neo linamaanisha nini imekuwa ngumu sana nifanyaje sasa my teacher
24 ndo mwisho au Mana sioni mwendelezo teacher
Samahani teacher naweza nikapata huduma ya kujifunza kingereza kwa njia ya whatsap? Mana nipo inch ya watu nakati ya changamoto kubwa ninayo kutananayo ni iyo yakuongea kingereza naomba mrejesho teacher wangu.
My God bless your teacher Dorothy 🙏
Asante Sana dada Mimi ni Joseph naomba utusaidie kutupangiya mustari ambao utakua mu future alafu ingine verbe ya kufwata itakuwaje? Mfano : nitaenda sokoni jioni nikisha maliza kula
Nitafundisha
Amjambo kwamajina ni Babu Lukungula Eemanwelu kazizurikwako mungu akupe ujesiliwa kutufunza, naomba vo ya alfabeti ya kingereza natafsiriake kwa kiswahili asante asubuhijema