Hatari! Ukikiuka sheria hizi 18 nchini Korea Kaskazini ni adhabu ya kifo au Maisha Jela

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • Makala 360 inakuletea mambo ya kustajabisha kuhusu baadhi ya sheria kali na za ajabu ambazo zipo nchini Korea Kaskazini, sheria hizi pengine hukuzijua na ungetamani kuzifahamu. Tega sikio lako mpaka mwisho, ukizisikia sheria hizi hakika hutatamani kukanyaga korea kaskazini, na pengine unaweza kushukuru kabisa kwamba hukuzaliwa na kuwa raia wa nchi hiyo.
    Ndani ya mipaka ya Korea Kaskazini

Komentáře • 195

  • @LigandukaOfficia
    @LigandukaOfficia Před rokem +6

    TANZANIA tuna amani hata kama Maisha yanatubana ❤️Jah bless brother sky

  • @sidrasidra8616
    @sidrasidra8616 Před rokem +9

    Insha'Allah ipo siku Mungu atawauliza unyama huyo kuua watu bila hatia

  • @Mbeyaconscious
    @Mbeyaconscious Před rokem +16

    Mungu Ibariki Tanzania 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @user-px6fq9fb2d
    @user-px6fq9fb2d Před 8 měsíci +2

    Daaaah iyo mzuri iyo Sheria ya Korea kaskazini ingekuwepo na apo nchini kwetu Tanzania Yani nchi ingekuwa na adabu sana

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 Před rokem +5

    Dah Allahmdhulilah nashkuru kuwa mkenya

  • @dieudonneniyotwizeye5955

    La!!! Sio inchi hii ni gereza tayari, tuna bahati sisi wenye tulizaliwa inje adhabu mpaka vizazi vitatu jamani...

  • @tatuhongeranurushaus485
    @tatuhongeranurushaus485 Před rokem +3

    Yaaan kwa sheria ya kucheka mi nisingevumilia nahisi ningeuwawa mchana kweupeeee kwa jinsi ninavyopenda kucheka

  • @chunanachu2529
    @chunanachu2529 Před rokem +3

    Unasimulia vizuri hongera bro sky unatufanya tuskilize

  • @bashirumkopi2638
    @bashirumkopi2638 Před rokem +6

    NAKUPENDA NCHI yangu 🇹🇿🇹🇿

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 Před 2 měsíci

    Kutoka nairobi nilichelewa kuingalia ihii video . Karibu crown media Fredrick budala❤

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu Před rokem +2

    Wangeruhusu Raia kusafiri huyo kiduku angebaki peke yake wallahi maana kumbe huko ni sawa na kuzimu tu

  • @edwinikhanje5153
    @edwinikhanje5153 Před rokem +3

    N sawa tu maana bnadamu tukipewa uhuru sana tunajisahau

  • @oscarkasalile3966
    @oscarkasalile3966 Před rokem +3

    Siku moja nitakuwa Rais wa Tanzania na nchi ambazo zitakuwarafiki ni 1. Russia,Cuba, Korea kaskazini, Iran na china. Lakini china kunakitu nitaongea nao kama tutakubaliana wakija africa wasitufanye sisi watumwa.

  • @fzlcomrajabu9514
    @fzlcomrajabu9514 Před rokem +7

    God bless sns 🙏

  • @francisjackson6524
    @francisjackson6524 Před rokem +4

    Siokilakitu unachoambiwa kuhusu Korea kaskazi nichakweli, vingine vinachochewa na inchi za maghalibi

    • @albert-kkitwenga4889
      @albert-kkitwenga4889 Před rokem

      Sio vyote. Jaribu kutafuta hadithi za wazawa wa North Korea waliokimbia nchi yao, utagundua Wana hadithi za kutisha na kuvunja moyo.

    • @Football-cl2hj
      @Football-cl2hj Před rokem

      @@albert-kkitwenga4889 ndo ivyo ww CIA ndo wana fanya ivyo soma historian ya North Korea na south korea

  • @VellonicaClement-lb8fq
    @VellonicaClement-lb8fq Před rokem +2

    Nilitamani kuwa mwingizaji wa kolea ila mh nimeghaili😂😂😂😂😂😂

  • @jesusezra3678
    @jesusezra3678 Před rokem +9

    Hii nchi nilitamani sana kwenda nashukuru kwa hii tarifa

  • @josephjulio6112
    @josephjulio6112 Před rokem +1

    Hii inchi naipenda sana

  • @mscantraah8210
    @mscantraah8210 Před rokem +3

    Wallah mimi natakani nikaishikuko nitakuwa naamani ya ubongo wow very good life 🤲🏻🤲🏻💃🏼💃🏼 insha'Allah itakujakwenda huko milele

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard4872 Před rokem +2

    Hilo Ni gereza sio nchi!

  • @mansourabdul3902
    @mansourabdul3902 Před rokem +8

    Ubalozi wao uko wapi ni ka apply visa ya kwenda kwenye hii nchi, nchi imenyooka sana unaweza usiawelewe ila kwa upande wangu nimewaelewa

  • @Tino_Official_tz
    @Tino_Official_tz Před rokem +6

    Namshukuru sana Mungu kwa kunifanya nizaliwe Tanzania 🇹🇿 🙏 😢

  • @mbarakahmed3892
    @mbarakahmed3892 Před rokem +4

    Uyu atafrauni anaafadhali mungu saidia

  • @thierrybisimwa3312
    @thierrybisimwa3312 Před rokem +2

    Izi sheria ni nzuri kuzidi ushoga. Ila wazungu watulewesha upumbafu. Kim ni mwanaume.

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před rokem +1

    Dah acha nibaki kwetu😅😅🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤️❤️

  • @labankarani6973
    @labankarani6973 Před 11 měsíci +1

    Hii nchi aina uhuru wowote

  • @johnycavishe5207
    @johnycavishe5207 Před rokem

    Mbona Wana atar Sana duu uyu Kim mbona anawanyima Uhuru sana

  • @sudeismohamed716
    @sudeismohamed716 Před rokem +1

    Thank god for living in tanzania

  • @sandraechiveraya8570
    @sandraechiveraya8570 Před rokem +2

    No freedom of speech, no freedom of movement, no freedom of communication when it comes to foreign countries,,,, weh religion be it Muslim or christian u are not allowed weh,, I choose my country 💯

  • @AnwarySaid-lj2ve
    @AnwarySaid-lj2ve Před 9 měsíci +1

    Safi kabisa

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Před rokem +1

    Kheee apo kwenye adhabu adi kizazi cha 3 jamani mweee ,,, Duh Nyie kwaiyo nisicheke kisa maombolezo mwee ningekua nishakufa 😂😂😂😂🙌🏻

  • @habari254
    @habari254 Před rokem +3

    Kazi Safi Sana The Sky

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 Před 11 měsíci +1

    Ila dunia hii ina baadhi ya nchi ina sheria zenye masharti ya ajabu ni kichaa tu ndo aweza kuyafanya

  • @ashamsusa7617
    @ashamsusa7617 Před rokem +3

    naipenda sana iyo nchi iko vizur sana ya kibabe

  • @amehassanrehanirehani7906

    Yani iyo nchi so ya kuishi inawanyima haki zao wananchi wananchi wanaishi kam bado wapo kweny utumwa wapo kweny ukoloni bado maan hawan uhuru kweny nchi yao na yote anafany hayo kw kumuogopa mmarekani inachekesha

  • @sanoureyaliwadoakaroyo1696

    Hizi Sheria zao Ni nzuli Tena Uwon Watu Wakiandamana Wananchii wake Wapo Pamoja na serkali Yao
    hii Yote hawataki Nchii Yao Kuingililiwa na Mataifa Ya Magharibi

    • @panadomadola3064
      @panadomadola3064 Před 3 měsíci +1

      Wewe unaongea usichokijua ata kama ni kuzuiwa wasingiliwe na nchi za magharibi lakini ubanwe hata usicheke !! Unamaana sheria hizo zingewekwa hapa nchni ungezifurahia?!

  • @kihanda2554
    @kihanda2554 Před rokem +1

    Mi na urafi wangu wa Movies za Mbele. Sasa hivi ningekuwa Marehem🤣🤣🤣

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 Před rokem

    Duuuu hapo kwenye kucheka jmniiiiiiiiii ningepewa adhabu dk 0 tu mana ile mtu anatangaza kuanzia leo hamna kucheka mie sasa 👉🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @chunanachu2529
    @chunanachu2529 Před rokem +2

    Hiyu rais aje Tanzania ataware hata mwaka mmoja watu wanyoke inchi imekuwa ya watu wa hovyo sana

  • @mussajuma7460
    @mussajuma7460 Před rokem +1

    Nahisi hizi habari umezipata kwenye vyombo vya wamagharibi watu ambao wana bifu na kim kiduku mimi siwezi kuamini sheria hizo zote zipo

  • @elidiustudoy2640
    @elidiustudoy2640 Před 2 dny

    Napenda ivo kilamtu atambue wajibu wake

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Před rokem +1

    Hizi sheria kiduku akifa zitaendelea au...!watafik mbingun hoi Korean kaskzin

  • @Sadi_Tv
    @Sadi_Tv Před rokem +2

    sio kweli,sio sheria zote zlizotajwa ni za kweli.zingine ni propaganda za nchi za magharibi

    • @albert-kkitwenga4889
      @albert-kkitwenga4889 Před rokem

      Hapana. Kwa North Korea, yaliyosemwa humu ni kweli kabisa. Tena hapa Kuna baadhi ya taarifa chungu mno za nchi hiyo hazijasimuliwa. Jaribu kutafuta hadithi za wazawa wa North Korea waliokimbia nchi yao. Hadithi zao zinavunja moyo na kusikitisha mno.

    • @kautharsalat6449
      @kautharsalat6449 Před rokem +1

      Shukuru mungu amezaliwa nchi ya amani

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr Před rokem +1

    Hizo sheria nyengine km kunyoa kwa kweli mtihani

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Před rokem +2

    Aaaah hawa jamaa nawakubali sana

  • @ramadhanidaudihaji2174
    @ramadhanidaudihaji2174 Před rokem +4

    Hatari Sana daah 🙌🙌🙌

  • @rizikivincent5255
    @rizikivincent5255 Před rokem +1

    Hajafanya vibaya kujuwa kulilinda taifa lake lisipokonyeke yeye ni mzalendo wa kweli mno mungu amsaidie sana

  • @highskills5883
    @highskills5883 Před rokem

    Hyo inaitwa tii sheria bila shuruti

  • @JohnKichiba-yw6eq
    @JohnKichiba-yw6eq Před rokem +1

    hiyo nimeipenda sheria ya korea

  • @kempanjucharles5786
    @kempanjucharles5786 Před 5 měsíci +1

    niatali kabis

  • @issakamangila4143
    @issakamangila4143 Před rokem +4

    Hao wananchi wanaishi au wanaishiwa

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 Před rokem +3

    Mimi naona hizo taarifa za kupikwa na vyombo vya magharibi ni za uongo kabisa mwenyewe nimeona walivyotuzushia tanzania kwamba rais alikua gaidi na wakati sisi hatujaona gaidi

    • @agapemunyi2095
      @agapemunyi2095 Před 6 měsíci

      Toka lini ukamsikia mtu yeyote kajipost anaenda north Korea ,lini wasanii wakubwa dunian ukawasikia wameenda kutumbuiza north Korea , wap kuna baloz za north Korea ,Vip unajua hta wimbo mmoja wa north Korea ,tuoneshe raia wa north Korea kwenye jamii yako, hta walii Tu, tuambie Imani yao ya kuabudu,kila mnorth Korea anaejitokeza hadharan husema mabaya ya nchi yake na sio wanaikingia kifua nchi yao, kabla ya kujua ni propaganda jiulize hya

    • @panadomadola3064
      @panadomadola3064 Před 3 měsíci

      Kuhusu Korea kz hili ni kweli kabisa,sababu kuna mtanzania aliye wahi kuishi huko anasema kule hakufai hata kidogo, hakuna uhuru kabisa

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 Před rokem +5

    Korea wako sawa nimependa msimamo wao
    Binafsi

  • @user-mq6iy4nh6l
    @user-mq6iy4nh6l Před měsícem

    Lakini kwa hili la kupiga marufuku Biblia takatifu kwa wananchi wake ni kukimyima raia wake sio sawa.

  • @jaymbawal249
    @jaymbawal249 Před rokem

    Iyo amna kuchek ndo nime ipenda 😂🤣🤣

  • @aishaafricanas7519
    @aishaafricanas7519 Před rokem +3

    Mungu wangu 😪😪😪😪

  • @mwalimunaftalirotich6696
    @mwalimunaftalirotich6696 Před 4 měsíci

    daah! maajabu haya

  • @JosephMroki-gg9nc
    @JosephMroki-gg9nc Před 3 měsíci

    Mesheria yote hiyo migumu ya kutesa raia wake ni kuiepuka marekani dah!

  • @messaabbas739
    @messaabbas739 Před rokem +1

    Mmmh,,🤔,, nchi ngumu hataree

  • @MikeMwaibanje-nw6oq
    @MikeMwaibanje-nw6oq Před rokem

    Hilo gereza la sobibo

  • @janifajani8875
    @janifajani8875 Před rokem

    Apo kwenye bangi lipuka na mibangi yako alafu kifo kikuiteee😂😂😂😂😂😂😂sns kwenye bangi nimecheka sana

  • @JosephMroki-gg9nc
    @JosephMroki-gg9nc Před 3 měsíci

    Gereza lanye eneo kubwa kushinda yote duniani ni gereza la korea kaskazini😅😅😅

  • @trillionthamani
    @trillionthamani Před rokem

    Hapo kwenye bangi wamatisha.hivi hatuna ubalozi wao

  • @kassimhashi49
    @kassimhashi49 Před rokem +1

    Sky walker

  • @user-ui1qs9yl1n
    @user-ui1qs9yl1n Před 2 měsíci

    alafu kuna washenzi wa likuwawanasema magufuli alikuwa dikteta come on man

  • @fimboezekiel9654
    @fimboezekiel9654 Před rokem +1

    Ningekuw nimeshakufa

  • @ibrahimroble3837
    @ibrahimroble3837 Před rokem

    Millitary country

  • @officialnalapa1527
    @officialnalapa1527 Před rokem

    Ahsante mungu kuzaliwa tz 😁😁

  • @issaramadhaniathuman
    @issaramadhaniathuman Před 11 měsíci

    Aaaah

  • @yudadaniel4867
    @yudadaniel4867 Před rokem

    sasa hii ni nchi au jehanamu?

  • @fatumajumanne5961
    @fatumajumanne5961 Před rokem

    Yaan hata MUNGU mwenye anagawa pumz kwa Kla mja wake na haban kufkia huko watalpa kwa hayo kuuwana bla 7bu Za mcng MUNGU NLINDIE NCHI YANGU 2WE NA STARA ILA 2CFKIE HUKO.

  • @JosephMroki-gg9nc
    @JosephMroki-gg9nc Před 3 měsíci

    Wasira angeshaauliwa mana alisinzia bungeni 😅😅😅

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr Před rokem

    Hahahahaha Hahahahaha serikali iweke sheria kupanga watu wa kuishi Dar

  • @ellywillisgotora1473
    @ellywillisgotora1473 Před rokem

    Ubabe umezidi huko sasa hiyo cio haki kabisa

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 Před rokem +2

    Lakin Brother Sky hiki unachokiongea na wewe umekichunguza ama umekicopy sehem nyingine tu unatusimulia kama ulivocopy!?? Maana unaweza kuongea kitu ambacho sio sahihi endapo hujachunguza. Kwann usiende huko Korea kujua ukwel wa mambo.

    • @albert-kkitwenga4889
      @albert-kkitwenga4889 Před rokem +1

      It is absolutely true. The situation there is a lot more grim than narrated here. Try commiting to a Google-check about North Korea, it will leave you jaw-gaping with a heavy heart.

    • @worldhappiness1181
      @worldhappiness1181 Před rokem

      @@albert-kkitwenga4889 absolutely may be is true, but every country has its own principles to defend its community against western propaganda, North Korea and other countries as Asia, Iran etc become the eye spot from western watchdog, so a single mistake is a chance to dethrone their culture and merely a war victims. Actual you are aware that the main weapon nowdays is media, none were able to escape from western media propaganda. I have witnessed strong leaders been killed due to media propaganda, being named dictators and so forth. For N.Korea its absolutel setted some principles, but its all for sake of defend its own citizen and countr, though I have seen some documentary peoples wore jeans and etc.

    • @ashurajengela3926
      @ashurajengela3926 Před rokem

      aahh au sio aende ili akaulize waseme jasusi au akacheke sky wetu afe ?

    • @Football-cl2hj
      @Football-cl2hj Před rokem

      @@albert-kkitwenga4889 Google ni wagaribi na Google iko against North Korea

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe Před rokem +1

    Alafu CHADEMA wanasema Tanzania ina ma dictators

  • @sharifunchimbi785
    @sharifunchimbi785 Před rokem +2

    nitakua rais siku moja Kim atakuwa rafiki yangu 🤗🤗🤗

  • @johnymathew5697
    @johnymathew5697 Před rokem

    Kuishi huko ni sawa na utumwa

  • @premier47
    @premier47 Před rokem

    Ndoto yangu ilikuwa ni kwenda kusoma IT lakni sasa duuu

  • @louangesid
    @louangesid Před rokem

    Iyo sheria yakuto kucheka dah😂😂

  • @strong8534
    @strong8534 Před rokem +6

    I love yo narration bro, Sky. Keep it up

  • @azamazam3279
    @azamazam3279 Před rokem

    Kwaiyo raila wetu akekua korea angekua ashauliwa nakusinzia kwake

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 Před rokem +1

    Sina Comment, ila, kila nchi ina historia na sheria zake.ziliwekwa ikiwa ni sababu ya kujiham na kulinda raia wake pia.

  • @salehegiza3305
    @salehegiza3305 Před rokem

    Mbwa wote hao mm ningevunja tu maana najijua nipo vip

  • @mamskiumbe4057
    @mamskiumbe4057 Před rokem

    Atr sna.

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 Před 11 měsíci

    Duuuh 😢😢😢😢😢

  • @NeemaMwita-g1j
    @NeemaMwita-g1j Před měsícem

    Yani nisicheke kwakweli acha niedelee kubaki Tanzania 😂😂😂😂

  • @geofreymahally7115
    @geofreymahally7115 Před rokem

    Hy Kim anajiona mungu mtu yn nmestabisha ht biblia jmn

  • @Qqambaa
    @Qqambaa Před rokem

    Apo kw bangi sawa izo sheria zingine tutavumilia 2 ama aje wazimbiting

  • @sandraechiveraya8570
    @sandraechiveraya8570 Před rokem +1

    So if I was to be Korean citizen ningekuwa wafu weh 😳

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe Před rokem

      🤣🤣🤣

    • @ashurajengela3926
      @ashurajengela3926 Před rokem +1

      Kabisa ata mm ningekua nishakufa nyie Wana sheria za ajabu na ngumu sana

  • @abdallahkwekwete1148
    @abdallahkwekwete1148 Před rokem +1

    hiyo ya usingizi ni haki kabisa

  • @constancekarisa1605
    @constancekarisa1605 Před rokem +1

    Najivunia kua mkenya huko kenya tunatengeneza hata account fake za naibu waraisi kulagai watu watume pesa tunatukana hata raisi

  • @dizodi_vituko
    @dizodi_vituko Před rokem +2

    hii ndyo nchi ya kuigwa duniani ni mfano wa nchi zetu za kiafrica

  • @sanoureyaliwadoakaroyo1696

    Hii Nchii Ni Zuli Sana Yni Kwa Sheria hii uko Korea Kazikazini Hakuna Mateja Wala Majambazi hakuna Uko Maana Sheria zao Ni very tight

  • @vincentmushi1247
    @vincentmushi1247 Před rokem +1

    Kaka sky umesahau sheria moja...raia yoyoye haruhusiwi kunenepa,ukiwa na kitambi unapigwa shaba...kwa hiyo nchi ina fat boy mmoja tu ...na ni mzee wa kiduku...hahahaaaaa

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před 11 měsíci

    Kunasheria za kipuuzi sana hasa hii ya kunyoa,na kusinzia

    • @JosephMroki-gg9nc
      @JosephMroki-gg9nc Před 3 měsíci

      ya kucheka je 😅😅😅 watanzania kibao Sasa hivi tungekuwa marehemu

  • @zanabuhassan4879
    @zanabuhassan4879 Před rokem

    Hiyo Si country Iyo ninhell

  • @mustmsangi9848
    @mustmsangi9848 Před rokem

    Uko vzr xn sky worker

  • @harleyarvanitis7652
    @harleyarvanitis7652 Před rokem

    Jeans 👖. Wacha nihame huko

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr Před rokem

    Huyu aje atawale Tanzania,,,wala rushwa warushwe kwa simba waliwe