MALKIA SANURA | SEASON 1 | FULL MOVIE
Vložit
- čas přidán 9. 09. 2024
- Follow Bravoo Genius on Instagram / bravoogenius
Follow Bravoo Genius on Facebook / bravoogx
Follow Bravoo Genius on TikTok www.tiktok.com...
#Dah #Nandy #Mapozi #Newbongomovies #Chididikemovies #ruthkadiri247 #Nandyftalikiba #diamondi #Harmonizenewsong #Diamondplatnum #Mbosso #Marioo #Nandynewsong #Zuchu #Nandy #Mistake #Mwakatobe #Newbongomovie #BravooGenius #MkweMchawi #Bongomovie #Clamvevo #Samiasuluhu
Mwakatobee😂...wangapi twatokea Kenya 😊
Juma jicho umeweza ❤❤
Jamani me mwezenu huyu binti namkubali kinyama ❤❤❤❤
Ngwaaaa ngwaaa😂😂😂
❤❤ mapenzi machungu baba
Big up bravoo genius
Mnakosea sana kwenye kumalizia hatma ya jini sanura na kipara,chibu kaenda wapi na mengine mengi siyo powa
Kumbe Shakira mdigo wa tanga na miuno na Beyonce ni Mnyakyusa😅😅😅😅😅😅 pewa 🎉🎉🎉yako Mwakatobe
😆😆😆
Hawa watoto ni wazuri bana😘
Mwakatobe nakubali na Uganga wako ❤❤
Kuwen na mwendelezo mzuri wa matukio mnatukatisha uhondo jmn
ila wazeee sofia nichuma kwel me nampenda sana sofia ❤❤❤❤
Mwakatobe mtu wangu. Hapo sawaa👍
Shikamoo mwakatobe hah😢😂😂😂et Beyonce mnyakusa
Timu bravoo salt kwenu nawapenda xn
Juma jicho si kwa mistari hiyo yani full kumwaga vina😂😂😂
juma jicho kacheza vzr balaaa
Mwakatobe anaweza kazi ya Uganga
Chiz uyo😂😂😂
Juma jicho umeweza bro chukuwa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Sandra na Sofia big up na ushoga wenu
Ndo napenda saana hiyi 🤣🤣😂😂😂🤣 Tangu Congo 🇨🇩
Jamani picha tamuu tena sana
🙏🏽
Napenda kazi yenu sana
Asante sana
Kwanza mwakatobe nampenda sana
Mwakatobe. Nitafute nikupe pesa
Wapi sasa
Www🎉
Jamani bora mngelichagua Jina jengine yani mwajuma ndo hataki kuirudisha mrejesho yani nibora ni Bali jina😂😂😂😂😂
Juma hicho unaweza mwang😅😅😅😅😅
Ogopa anae tafuna mkaa na kujambaa giza totolo
Kipara bado ujasema na mpaka useme 😂😂😂😂
❤❤ kioara anashida
Ndouzuli 🎉 from kenya
Jaman Sofia mi nataka nkupe mimba nimekupenda
Wewwww Alafu uwe umeota saa mbili usiku ikieelekea saa tatu
Wewwwe!!!!! Ucku Mrefuuu
utamani hata kulala😂😂
😂😂😂😂 Nimechek mpka bas but iko poa next part musinikose😅😅 nichek niishe
Shukrani
Mwakatobe umeshindikana jini kurufii
Kipara wana man😂
Mungu aendelee kuwajalia ubunifu
Napenda sana huyu mganga
Mwakatobe heshima kwako
Mwakatobe😅❤😂😂umejikataaa
Achimenengule! Aachimenengule! Nngwaa🤜...Nngwaaaa🤛
Elfu tisa mia nane😂😂
😂😂
Wahou
Mwakatobe na kukubali sana🎉❤
Mwakatobe 😅😅😅noma san😂😂
Jamani mganga😂😂😂😂
BONGE LA MOVIE
ivi mwakatobe Uganga wako hauitaji ela maana katik move zenu cjawai kuona mnadai ela ata cku moja
Kadai labda kuna sehemu imekupita
Kadi kwenye nyama ya mwanangu, yule mvulana aliepakuliwa ,hapo alidai
Dawa juma mwakatobe alimlaza chumba champangaji ake
😂😂😂 mwakatobeeee
Kipara kwa maneno mmhhh
Mwendo wakuyayuka tu😄😄
Mmmh crismass, nipo hapa kenya
Mwakatobe na kipara wanezingua kwa hii movies
❤❤salamu kutoka kenya huuyu sofia namtaka huku kenya nampenda
Jamani juma
Mwakatope uko juu sna
😮😂😂😂😂mama aminaaa duh mwakatobe mwisho
Mwakatobe big up
Jumaa umetisha sana.
Napenda kaziyenu tuu
Napenda mwakatobe
Usimsahau juma kwa next film
Juma Jicho kanimaliza
Kipara anakuanga serious 😂😂
🎉🎉🎉
Season 2 pliiiz
Team kubwa tunawapenda xana
Njoo kwangu lock man mbona nakutaka
😂😂😂 nimekukataa
😂😂umeonaee mwakatobe chumaa
Sofia huyo kanipendeza hila nampeda sana
❤❤❤❤❤❤🙌🙌💯💯💯
❤KAZI nzuri
Mwakatobe punguza mbwembwe
Mnajitahid
Asante sana
Tunaomba season 2
❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Good morning
❤❤❤❤
Tunaomba season 2 please Bravoo😍
Kipara
Nahtaji part 2
Sofiaaaaa
Mnamalizaje hivyo? tatizo hammalizi vizuri
Ila Sophia black beauty 💕
Mwakatobe😂😂😂💔
Hv nani Ako muona Sophia wa kanumba yule
Na jeuri yote uliyonayo kipara unalia?😂😂😂
Mwakatobe🤣🤣🤣🤣🤣🤣😍
Mtoto njoo nyumbani usiogope
Santana kulfiii😢
Kipara ni kipara tu... na maappointment hakuna bana
Kwani season 2 imekuaje mbona atuioni?
Inchi gani hii
Jichanganye mapenzi ya saivi umpe mtu asilimia 100 itakula kwako mpe robo ili hata likikuacha usiumie roho yako
🎉🎉🎉🎉🎉
hikikipindi kina chapter nyingine ama
Uyo ni Sophia KANUMBA ao?
😅😅😅😅
D😂😂😂😂