Pole sana mchungaji kwa yaliyokupata na mkeo huko Awendo Kenya. Mimi ni mKenya na ninathibitisha kwamba polisi wakwetu wa ngazi za chini wana hiyo tabia ya kutesa watu, hata wakenya wenyewe wanateswa hivyo. Endelea tu kuwasamehe na kuwaombea.Nafuatilia sana mafundisho yako kutoka hapa Nairiobi.
Ohh my God. I loved this servant of God after listening to him the same day i learn about his promotion to Glory. I cant stop crying. What happened?why now, please someone help me understand.
@@princessrose5882 haina haja ya kutukana ndugu yangu poleni na msiba ni swali tu wala ambalo ungeweza kujibu bila matusi.kuwa basi mstaarabu hupendezi kutukana na kama una uchungu sana basi tufanye yale ambayo alikuwa anatuambia haswa la kufanya mapenzi ya Mungu na kufuata njia safi hilo tu Mungu azidi kutusaidia tufanye mapenzi yake.love you dear🙏🙏
RIP this man of God was amentor to my life, your teachings will live forever 🙏
Jina la Bwana Yesu litukuzwe kupitia utumishi wako.Pumzika Kwa amani mtumishi wa Mungu.Mama Mungu akutie nguvu Katika huduma.
Pole sana mchungaji kwa yaliyokupata na mkeo huko Awendo Kenya. Mimi ni mKenya na ninathibitisha kwamba polisi wakwetu wa ngazi za chini wana hiyo tabia ya kutesa watu, hata wakenya wenyewe wanateswa hivyo. Endelea tu kuwasamehe na kuwaombea.Nafuatilia sana mafundisho yako kutoka hapa Nairiobi.
Kweli yaani wamejaa tamaa lazima ukiwa unaendesha gari uweke hela za kuwapa njiani 🙈
Mm ni mkenya but hii ni tabia muozo
@@celestinebenson8183 kabisa yaani.Mbaya sana
Aiseee kweli,ukiaacha kumtumikia Mungu, automatically utamtumikia shetani.... you're not with us but your words are with us
Kindly members of the church take care of his wife and children. Musiwachee
Hakika Ulikua jasiri kufanya Kazi ya Mungu na ulitekeleza hadi ulipo kumbatiana na mauti. Mungu Akujalie Mwisho Mwema
Mm ni Mkenya ,hio ni tabia ya police ya kenya pastor Tusaidie kuombea police ya kenya
tulipenda uishi daima lakini mungu atakupenda zaidi
Daima mungu hamuachi mwana wake amina
Pumzika kwa amani
Ohh my God. I loved this servant of God after listening to him the same day i learn about his promotion to Glory. I cant stop crying. What happened?why now, please someone help me understand.
instablaster...
Mungu ahimidiwe
Mafundisho makuu Mchunganji RI I P Kenya
RIP Baba Mchungaji tutakukumbuka daima
Ahsante kwa somo LA imani yenye ujasiri
Doh!!!wakenya ni wana roho mbaya sn!!
Ameen barikiwa Sana
Ningemtemea mate ya ushidi mm
Amen
Imagine,makosa ya gari ni kukosa sitbelt mteja anaumiaje,it was unfair, pole mama!.
Njina la mungu ni la mungu
ntakukumbuka sana Babaa ingawa umetuachaaa😓😓😓ohhh nenda salama
Pumzika kwa Aman
Nimeamini yesu yupo
Mitimingi bado Unaishi jaman
PUMZIKA KWA AMANI MTUMISHI WA BWANA 🙏
AMEEN
Nice one
R. I. P. Baba
Dah pumzka kwa aman
Ameeee
Somo zuri
We Missed u baba
R I P Peter
Pumzka kwa aman
Yaaaanii
hahahahah asante
Mh siku hizi kuna walinzi madhabahuni au macho yangu.🙄
Shut up my friend,,,tunaomboleza mchungaji huyu katuacha 😭😭😭😭
@@princessrose5882 haina haja ya kutukana ndugu yangu poleni na msiba ni swali tu wala ambalo ungeweza kujibu bila matusi.kuwa basi mstaarabu hupendezi kutukana na kama una uchungu sana basi tufanye yale ambayo alikuwa anatuambia haswa la kufanya mapenzi ya Mungu na kufuata njia safi hilo tu Mungu azidi kutusaidia tufanye mapenzi yake.love you dear🙏🙏
Pumzika kwa Amani mchungaji
Amina amina
@@childofgod4412 Barikiwa sana sana nimekupenda!!!