UTAJIRI WA DARASSA/ ABBAH AVUJISHA SIRI ZOTE/'ALININUNULIA GARI'/MARIOO/ HAWEZI NIZIDI/ SIFICHI KITU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 09. 2023
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #Dar24 #Dar24Media

Komentáře • 20

  • @eddyeddy2907
    @eddyeddy2907 Před 10 měsíci +3

    Best producers in Tanzania kwa mimi
    1. Abbah
    2. Mocco genius
    3. Yogo beats

  • @maitharobert6833
    @maitharobert6833 Před 10 měsíci +9

    Darassa namuheshimu saana. My favorite rap artists Tz ni Ngwair na Darassa

  • @hilarymark7583
    @hilarymark7583 Před 10 měsíci +10

    Kwa kupitia Marioo huyu Abba ni mtu mwenye roho tajiri sana. Mungu amepitisha time hii kwa kumuinulia watu sahihi wa kuonesha thamani yake na hivyo kufaidi jasho lake

  • @philippemukandama2960
    @philippemukandama2960 Před 10 měsíci +2

    Abbah process nakubali sana interview yako.
    Kweli wewe ni mtu mwenye hakili nyingi sana.
    Ubarikiwe sana ndugu.

  • @bennyngoye8707
    @bennyngoye8707 Před 10 měsíci +2

    Sound ya bongo flavor ipo,sema tunahitaji kui modify tu.

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 Před 10 měsíci +3

    Hilo andiko la Abba linaharamisha muziki… kumbe lucifer katumia mziki kujisahaulisha MUNGU😢😢
    Too sad to use such line bro

  • @nyandamisana3630
    @nyandamisana3630 Před 10 měsíci

    Interview nzuri bongo watu waojua kuhoji ni wachache

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 Před 10 měsíci +3

    1

  • @anthonykishiwa5334
    @anthonykishiwa5334 Před 10 měsíci +3

    Acha dharau et ww huwezi kufeli ktk maisha

  • @chazypantony7133
    @chazypantony7133 Před 9 měsíci

    Sema abbah aache kupiga amapiano atulie kweny bongo fleva na baibuda

  • @yasinimalya4001
    @yasinimalya4001 Před 10 měsíci

    Abah
    Nawezaje connect na wewe

  • @ShowdaddiKatuya-me2fp
    @ShowdaddiKatuya-me2fp Před 10 měsíci

    kitu kizuri nimependa

  • @maitharobert6833
    @maitharobert6833 Před 10 měsíci +5

    Nikimuangalia Abba Process huwa namuona Dr. Dre