Hongereni sana kwa kazi yenu kubwa sana ya kuwajali watu wanaishi kwenye mazingira magumu. Waliokuwa wanamnyanyasa wanaona aibu . Walidhani wanandhalilisha kumbe wamempeleka kwenye baraka zake . Mungu wabariki wote waliojitolea kumjengea huyu mama nyumba .
Mwenyezi mungu atawalipa wote mlio mchangia mungu awabariki hao watoto wake nao mungu awabariki wasome waje wamsaidie mama yao hao ndugu wa mume waliyo mnyanyasa walaaniwe maisha yao yote
Dhulma haidumu ila kinachodumu ni hasara now hyu Alie wadhulumu wakijua kuwa ndio mwisho wamaisha yake nafamilia sasa ameumbuka na ataendelea kuumbuka. Baadhii ya wananduku sijui wanamawazo gani kiukweli kweli una ufiwa na kaka yako au mdgo wako alafu unakuwa jasir kuwafukuza watotp wanduku yako na mjane😢😢😢 kweli. Wew unabakia na wakwako ety kuwa hao ndio wenye maana. Au marazingine haujaoa ndio unahitaji uoe kwa nyumba ya ndgyo ? . Au pia wenda aliekufa alikuwa ndio anatumali kwenye Ukoo namidume mpo kibao mnaamua kugawana juukwajuu mali za marehemu mapengine wapo wazaz nao wanakuwa naushikiano kwenya hizi dhulma. Moja ya mambo magumu uwe Mkirsto mpagani Muislamu nk Mali ya mayatima ukila bila ridhaa yao unujue Utakuwa dhalili hapa na Aghera. Na jambo jingine yale ulio ytenda ujue pakutokea hap watoto wako unao walisha hz dhulma nisawa na moto ivyo jiandae hiend wao wakaja kuwa ndio kifo chako. 😢😢😢😢😢😢 inauma now huenda leo hii mlicho kidhulumu hamnacho tena na ALLAH amemjaalia Huyo mlie mdhulumu maisha na watoto wanasoma vema jiulize hap wako wapo vipi?
MUNGU ALIE MBINGUNI AWABARIKI PIA AWAWEZESHE KUENDELEA KUWAJENGEA WAJANE, MASIKINI, NA KUSOMESHA WATOTO YATIMA DAR NA MIKOA YOTE YA TANZANIA. KWENYE NCHI ZETU ZA KIAFRIKA MAMBO HAYA YANGEWEKWA SAWA TENA KIRAHISI SANA NA WENYE UWEZO.
wasafi mnajua kutembelea na upepo wa mafanikio sio kuibua matatizo ya watu.kwanza mkupasa kuonesha sababu mpo kwa ajili ya mafanikio mbona aliyefanya malisa G au kwa sababu mwana harakati wa upinzani na nyie ni chawa wa mafanikio
SERIKALI YA RWANDA INAWAJENGEA WAJANE, MASKINI, WATOTO YATIMA, WAZAZI WASIO NA WATOTO, NYUMBA KAMA ZA VIJIJI VYA UJAMAA SEHEMU MOJA ZINAITWA UMUDUGUDU NDANI YA NCHI YOTE YA RWANDA.
Unazungumzia rwanda ambayo ni sawa na mkoa mmoja wa hapa tanzania? Hiyo idadi ya hao wajane wa rwanda nzima zidisha mara mikoa 25 kisha uone tanzania inaweza kujenga kwa hao wajane?
Allahu Akbar mashallah kwa kila alie husika Allah mbarik
Mungu awazidishie wale wote wsliojitoa kumsaidia huy mama.
Mungu awabariki mjaze pale mlikotoa.
Usimuache mungu katika maisha yako ya hapa nchini ya jua Kwa Yale aliyokutendea maishan mwako.,ashushwaye bwana atampandisha na kuketi na wakuu juu.
Allah awabariki wote waliochangia
Mashaallah' ALLAH Awajaalie nyote mloshiriki kumdaidia huyu mama
Mungu awazidishie wote waliochangia huyu mama Allah amjalie afya na umri Aisha Ione vijukuu vyake
Ndugu Malisa Mungu akubariki sanaaaa palipopungua mungu akuongezee kwa kymsaidie Mjane na wengineo waliohusika kwa namna moja au nyingine
Malissa na Gifted hands Mungu ndio atawalipa
Hongereni kwa kumjengea nyumba huyu mama na mungu awabariki
Mbarikiwe sana watumishi ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Dah kumbe sio kila anaeomba msaada stendi ni tapeli 😢😢, Mbarikiwe sana mlofanya hili swala
Mashaaallah Allah Awazidishie baraka tele wote waliochabgia ujuze wa hii Nyumba
Alhdulillah Allah awbarki wote mliohuska Amiima
Pole Sana mm
Mashallah Allah s.w amjalie heri na baraka huyo aliejitolea kumjengea nyumba
Mwenyezi mungu awape baraka wale wote mliojitoa kwa huyu mama
Hongera sana mtumishi wa mungu
Hongereni sana kwa kazi yenu kubwa sana ya kuwajali watu wanaishi kwenye mazingira magumu. Waliokuwa wanamnyanyasa wanaona aibu . Walidhani wanandhalilisha kumbe wamempeleka kwenye baraka zake . Mungu wabariki wote waliojitolea kumjengea huyu mama nyumba .
Hongereni mno kweli waziri mungu akulindesana akutunze na unajua mungu mungu akukumbuke wewe na watoto wako mama.
Mungu akubariki aendelee kuwainua kuwatunza na kuwapigania kwa upendo huu mkuu wa kiungu
Mashallah
Wakati wa mungu ni wakati sahiihi
Mwenyezi mungu atawalipa wote mlio mchangia mungu awabariki hao watoto wake nao mungu awabariki wasome waje wamsaidie mama yao hao ndugu wa mume waliyo mnyanyasa walaaniwe maisha yao yote
Mungu ni mwema sana hongera sana dada
Watanzania kungekuwa Na mshikamano kama huu na upendo daima wengi wangesaidiwa
Mungu awabariki sana walenwaliitoa
Mungu hawabariki wasafi midia😊
mpango wa mungu ni mkuu sana
Mungu awabariki sana!
mungu awabaliki mnoo awazidishie hakika Tz ni nchi ya ahad
Asante Yesu watanzania wanaroho nzuri na dini zetu mbili tunasusana tunapatana watuache
Bismillah MASHAALLAH nyumba nzr
God bless you GH
Mungu awabariki Sana
Waziri Gwajima mwanamke shupavu sanaaaa diyo wa kujilemba huyo ni hapa kazi tu
Mbarikiwe sanaa
Mungu mkuu ametenda
Mimi naamini Mungu hajawahi kuwatupa watu wake Mungu awatunze sana
Mungu awabariki sana watu wa Mungu amina
Mashaallah mungu atawalipa
Weeee amezaa hadi one hallelujah 🎉🎉🎉
dah mungu awabaliki sana warewote murie musaaidia
Mungu akubariki sana uliyefanya hayo yote wabarikiwe wote walioguswa kuhusu huyo mama
Mashallah 🙏
❤❤❤❤❤❤mashaallah mashaallah mashaallah ❤❤❤❤
Mashaa Allah
Allah Aqbar kweli usihuzunike ana yupo
Ila mungu jamani acheni atukuzwe daima yani machozi kunitoka tu
Mungu ni mwema❤
Allahu akbar
Mungu Akitaka kukupa Anakupa tu Na manyanyaso waliokupatia leo ndipo watabisha hodi kwako
Awesome
Ndugu wamme achen roho mbaya jaman hii dunia tunapita hamaogop mungu duuh mie mungu asinijalie roho kam hii
Alhamdulillah ❤❤❤
Mung.akupe.maish.maref
❤❤MUNGU MWEMA.UNATUPA WATU WEMA WALINDE WSPE AFYA LINDS FAMILIA ZAO WATETE MDA WANAO UTUMIA WAVIUMBE WENGINR.MH.AKUPE RIZIKO AKUPE AMANANI ❤LOVE YOU😊
❤❤❤
❤
Nimeskia ata kulia
Mungu atawalipa
Malisa n mtu wa maan kabsaa
Hapo kwenye kukabidhi kumchagua gwajima ni mtu sahihi anaupendo sana yule mama mpenda haki
Mungu ni mkubwa🙏🙏
Mungu ni mkuu zaidi ya yote
🎉
MUNGU ni MWEMA sana
Hawatafuti vyao wanasubiria ndugu yao afe waje kuhamia na watoto wao😂😂dunia rangi rangire
Mawifi na mashemegi shikamooh 😢mahasidi mulimpiga chura teke aibu mnao aya basi musimroge😢😢😢
Wajane wengi wanateseka sana kwa ndugu wa mume kwa ajili ya tamaa ya mali
Yaan ww achen kabisa sitak ata kusikia familia ya mume walivyo nifanya kwa kwel Mungu ni mkubwa na Mungu hamtupi mja wake
Kila jambo na majira yake ,,,Ni majira ya huyu mama MUNGU amemkumbuka na ,MUNGU awabariki woote waliohusika kwa namna moja ama nyingine
Dhulma haidumu ila kinachodumu ni hasara now hyu Alie wadhulumu wakijua kuwa ndio mwisho wamaisha yake nafamilia sasa ameumbuka na ataendelea kuumbuka. Baadhii ya wananduku sijui wanamawazo gani kiukweli kweli una ufiwa na kaka yako au mdgo wako alafu unakuwa jasir kuwafukuza watotp wanduku yako na mjane😢😢😢 kweli.
Wew unabakia na wakwako ety kuwa hao ndio wenye maana. Au marazingine haujaoa ndio unahitaji uoe kwa nyumba ya ndgyo ? .
Au pia wenda aliekufa alikuwa ndio anatumali kwenye Ukoo namidume mpo kibao mnaamua kugawana juukwajuu mali za marehemu mapengine wapo wazaz nao wanakuwa naushikiano kwenya hizi dhulma.
Moja ya mambo magumu uwe Mkirsto mpagani Muislamu nk Mali ya mayatima ukila bila ridhaa yao unujue Utakuwa dhalili hapa na Aghera. Na jambo jingine yale ulio ytenda ujue pakutokea hap watoto wako unao walisha hz dhulma nisawa na moto ivyo jiandae hiend wao wakaja kuwa ndio kifo chako.
😢😢😢😢😢😢 inauma now huenda leo hii mlicho kidhulumu hamnacho tena na ALLAH amemjaalia Huyo mlie mdhulumu maisha na watoto wanasoma vema jiulize hap wako wapo vipi?
Bc ndugu utawaona wnajileta hp nakujifanya kumtacuta wkae nae
Hapo atapata mumee anajifanya kumuoa mtaona
Mammae 😂😂 wanaume hawanaga huruma kabisa
Hawe makini na wanaume tapeli
Asisubutu!!
KONGOLE XNA JAMAN
MUNGU ALIE MBINGUNI AWABARIKI PIA AWAWEZESHE KUENDELEA KUWAJENGEA WAJANE, MASIKINI, NA KUSOMESHA WATOTO YATIMA DAR NA MIKOA YOTE YA TANZANIA.
KWENYE NCHI ZETU ZA KIAFRIKA MAMBO HAYA YANGEWEKWA SAWA TENA KIRAHISI SANA NA WENYE UWEZO.
Hiyo ndio nyumba sio zile anazo Jenga mheshimiwa foundation mbeya
Heri yeye ametoa kidogo alichonacho wewe ulichotoa tuonyeshe na wewe tuone kama nikikubwa ila kwa Mungu yeye ametoa na Mungu kabariki haijalishi
MALISA POPOTE ULIPO TUNAOMBA UJE URIPOTI POLIS HAIWEZEKANI😀😀😀😀😀😀😀 MOTO ANAKUITA SENTA MANJANGUUU
wasafi mnajua kutembelea na upepo wa mafanikio sio kuibua matatizo ya watu.kwanza mkupasa kuonesha sababu mpo kwa ajili ya mafanikio mbona aliyefanya malisa G au kwa sababu mwana harakati wa upinzani na nyie ni chawa wa mafanikio
MUNGU ALIE HAI MBINGUNI AWABARIKI.
Wamama km hao mbona wako wwngi mjini
ni muda wake umefika alio andikiwa kupa na hao wengine muda wao wa faraja upo njiani subra ni ngao ya mchamungu
Sema hao wengine pengine wanaendelea kumlaani Mungu juu ya matatizo Yao,
Ila huyu ameanza kumwomba na kumshirikisha Mungu mapema.
Kila mtu na bahati yake
Bahati ya mwenzio........
SERIKALI YA RWANDA INAWAJENGEA WAJANE, MASKINI, WATOTO YATIMA, WAZAZI WASIO NA WATOTO, NYUMBA KAMA ZA VIJIJI VYA UJAMAA SEHEMU MOJA ZINAITWA UMUDUGUDU NDANI YA NCHI YOTE YA RWANDA.
Unazungumzia rwanda ambayo ni sawa na mkoa mmoja wa hapa tanzania? Hiyo idadi ya hao wajane wa rwanda nzima zidisha mara mikoa 25 kisha uone tanzania inaweza kujenga kwa hao wajane?
Unafananisha rwanda na Tanzania? huku kwetu ni kama wilaya moja ndani ya mkoa population yenyewe ndogo