HANS AIPIGA NYUNDO SIMBA SC KUMRUDISHA ONANA, AMUITA MVIVU, ''HANA MSAADA WOWOTE SIMBA SC''.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Baada ya Simba SC kufanya maamuzi ya kumrudisha winga kutokea nchini Cameroon, Willy Somba Onana imemfanya mchambuzi kutokea Crown Media Hans Raphael kupinga maamuzi hayo.
    #yanga #yangasc #yangatv #yangaleo #yangalive #caf #cafcl #azamfc #jkupdates #simbasc #simba #simbaleo #simbalive #simbaliveleo #simbatanzania #simbatanzania #nguvumoja #daimambelenyumamwiko

Komentáře • 13

  • @mwanangusana
    @mwanangusana Před měsícem +1

    Geof hamna kitu.......anapapatika tuuu 😜

  • @ozuabrahamu8079
    @ozuabrahamu8079 Před měsícem +1

    Bwana eee Onana hapan ni Bora uwe na kramo hta k nimajeruh akae tu bench kuliko kuw na Onana

  • @raphaelnovatus7085
    @raphaelnovatus7085 Před měsícem

    Onana fundi anaìtaji kocha wa kumpa maelekezo sahihi tena anajua sana

  • @George-q2s
    @George-q2s Před měsícem +2

    Geoff wewe ni mtambo broo, unajua na huna bias kwenye uchambuzi . Daah you are so realistic broo

  • @antonioaidan6980
    @antonioaidan6980 Před měsícem

    Nakumbuka huyo Hance alisema jobe ni bora kuliko fredi sijui uchambuzi wake uko vip huyo jamaa

  • @antonioaidan6980
    @antonioaidan6980 Před měsícem

    Huyo hance sio mchambuzi hata kidogo

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 Před měsícem

    Simba acheni masihara Onana anazurura uwanjani. Sioni kama atabadilika. Kwa Yanga hii kama tunasajili hivi tutajuta. Yanga ipo vizuri sana. Simba tumesajili vizuri lakini kwa Onana tuachane nae. Piga ua tumsajili Mpanzu hatutajuta.

  • @raphaelnovatus7085
    @raphaelnovatus7085 Před měsícem

    Uyu mchambuzi ajui mpira

  • @ambakisyemwanjemba5787
    @ambakisyemwanjemba5787 Před měsícem

    Mbona nyie sauti zenu mnaiga sauti za watangazaji wa wasafiii!!? ukisikiliza huoni tofauti!?

  • @user-sp2pp9yl8g
    @user-sp2pp9yl8g Před měsícem

    ONANA NI MCHEZAJI HATUKUWA NA VIUNGO WA KUMPA PASI MECH ALIZOCHEZA ALIFUNGA MAGOLI MUHIMU

  • @joachimsironga1560
    @joachimsironga1560 Před měsícem +1

    Asikwambie mtu wee onana fundi

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Před měsícem +1

      Ndo maana mkashika nafasi ya 3 ...... Kwa kiwango Cha onana mnasema ni fundiii 🤣🤣🤣