KWAYA YA VIJANA KKKT KEKO - KVK - AMEFANYAJE..? (COVER) (Official Video)
Vložit
- čas přidán 17. 04. 2021
- Sitaki kujua ilikuwaje, Sitaki kujua ilikuw vipi..! ninachojua nilikuwa kipofu sasa naona, nilikuwa kiwete sasa ninatembea......AMEFANYAJE..?
Karibu kubarikiwa na ujumbe huu na Mungu akubariki.
Nilijua n Sda kwaya..nilipousikia upendo fm..daa kumbe ni vijn wetu kkkt ase mmeimbaa hd milima inaitika.. saut nzrii manen mazuriiii.. utulivu wa ki Mungu kbsa. Utukufu kwa Mungu.
Wachatu ni comment maana wimbo ni mzuri na mmeutendea haki alafu mmependeza sana kama mnaiona comment yangu naomba like zenu
Asante sana!
Mmeimba kama SDA kwaya kumbe kkkt jamn mmenibariki sana Mungu atukuzwe
nimebarikiwa sana na kwaya yenu mmehudumu Yombo vitukaaa mbarikiwee mnaimbaaaa upako juu ya upako
Ameen Ameen asante sana, usiache kutuombea.
Am a living testimony of this great song......i was blind in all spheres : financiallyless, jobless, businessless, childrenless, faithless, homeless, carless, farmproduceless, thankfulless...........Belief me ...sijui amefanyaje.....ninalojua sasa ni kwamba.......am full in ALL the above spheres.....Amen!!!
Praise the Lord
Amen and may Almighty God continue lifting higher and highest , Amen🙏🙏
Ni kweli Yesu ni mwema anatenda Makuu hongereni sana kwa wimbo mzuri.
Glory to God
Hii nyimbo nimeiona tiktok jamaa kapost harusi nafikir mmoja wenu alikua kafunga ndoa . Nimeipenda ghafla kaz nzuri mbarikiwe kwakweli
Ameen! ubarikiwe sana
Kazi nzuri ya marehemu Samson Kibaso
Mimi sio msabato ila napenda sana nyimbo za sabato wamejitahidi sana
Mnaimba vizuri kama wasabato jamani tena hamchezi ovyo kama wapumbavu yaani mmeutendea haki wimbo mbarikiwe sana kwa ujumbe nzuri
Kucheza sio upumbavu, labda kama una mapepo ndio utaona ni upumbavu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ati kama wapumbavu 😂😂😂 Niokotwe Kenya 🇰🇪
Hii song ni cover meaning si yao ni ya kurasini sda
Upumbavu unaingiaje hapo, daud alicheza mpaka akadondosha nguo je alicheza kwanmna gani inahisi?
Im brought here by McgaraB...much love from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Thanks for coming. Be blessed!
Mmeimba vizuri sana, mungu awabariki,kupitia wimbo huu wengi waokolewe wamjue yesu.
Amefanyaje, sijui... hongera sana kwa utumishi huu. hakika ni Mungu tu
Je suis du message du temps de la fin en RDC mais j'apprécie beaucoup ce cantique ILIKUWAJE👍👍👍👍👍
Sichoki kutaza👀 na kusikiliza👂 wimbo unanibariki sana, na Sisi Leo tukimwita Yesu atatutendea, mbarikiwe nyote🙌
Mc Gara kanileta hapa👌🤲👏👏
Hata mimi😂
Melody ya Wasabato 100% Ila yote yote mmemtukuza MUNGU wa Mbinguni,Mbarikiwe Vijana K.K.K.T Mbarikiwe Sana mmeimba vizuri sana
Amefanyaje yesu ametenda kweli. Lutheran church so lovely ladies hair style wow team vikanyage white rubbers
Yesu atanitendea na Mimi, Barikiwa sana🙏
Mwalimu huu wimbo uwe ufunguo wa nyimbo nzuri, natumai umeelewa watu wanapenda tone ipi, inshort watu wengi saaaana walijua huu wimbo ni wa wasabato, so hii inaonyesha nyimbo za sabato ni bora so na sisi tusimamie hapohapo, huu wimbo ni mzuri sana mwanzo mpk kituo hakuna mapungufu, watu wametabasamu vyema, Bwana Yesu lazima alitabasamu kwa sauti hizi zilipaa mpk akasikia
Kweli hata mm Natamani watu wote tungeimba Hivi tukaachana na zile beat za ajabu na kurukaruka ,
Wimbo ni wa wasabato ndio na originali unaimbwa na kwaya ya kurasini SDA , but all in all sote tunamuimbia Mungu na tunakwenda Mbingu moja.
Uimbaji huu kwaya za KKKT wanaimbaga pia sio wasabato peke yake nadhani wa KKKT wenzangu wanaelewa hilo ndio maana kufanya cover Hii ikabamba sababu sio wageni wa hizi sauti
Ujumbe mzuri sana kwetu wanadamu
Mmeimba vizuri na mmebuni sare nzuri sana
Ameen utukufu kwa Mungu. Asante sana!
Yaani kwa MUNGU bwana hakuna baya, kuna wazuri tu, vizuri na mambo mazuri raha tupu.Yesu tutendee watu wako.
Ni kweli kabisa ndugu yangu
TUJUANI TULIOKUWA TUNASUBIRI KWA HAMU HUU WIMBO KAZI YENU NI NJEMA MUNGU AWABARIKI SANA💃💃💃💃💃💃💞💞💞
Ameen Ameen ubarikiwe sana!
@@elct-kekolutheranyouthchoi9828 Ameni
Nilikuwa nasubiria huu wimbo finally hongereni Sana Mungu azidi kuwainua
Mungu awabariki sanaaa
Aiseee niliusubiri mnooooo
adventist system is always awesome, being an adventist you welcome your christian brothers from the Martin Luther roots
Hongereni sana vijana, mmeimba vizuri mnooo. Mungu awakumbuke kwa utumishi wenu.
From Kenya this is wonderful acha mwenyezi atukuzwe
Mpo vizuri wadogo zangu nawapenda, mnaimba vizuri pacha wa sda kurasini
Hongeren sana vijana katka Bwana wetu Yesu krst mm ni muadventist msabato mmeimba vzr sana mungu awabariki huo uimbaji uliotulia ndio unaotakiwa watu wa mungu ndio tunapaswa kumuimbia krst kwa stahili iyo hongeren sana mungu awabark
Ameen Ameen Ubarikiwe sana
Hongeren san mmeimba vizur xan
ujumbe muhimu sana , mbarikiwe sana Wana keko youth Lutheran 🙏💪
Ama kweli mungu ni roho huwa hajifichi mungu awabariki sana.naona kama iko kanisa la wasbato
Barikiweni ninamini akunajabi lilsilo wezekaka kwa mungu
Ujumbe mzuri sana binafsi mimi napenda sana mziki mmefanya niwe shabiki wenu hongeleni sana
Sisi kama SDAs we are happy twin choir we love you guys na tuliletwa huku na Crazy Kenner
Ameen to God be the Glory
Amefanyaje, ilikuaje MIMI SIJUI. Nilaloijua nilikuwa Africa na Sasa niko US, Yesu alifanya. Glory to God.
Hongereni sana
Kazi nzur na Mungu awabariki
Hongereni Sana Kvk....Nawakubali Sana. Mungu azidi kuwabariki ❤️
Ameen Ameen ubarikiwe sana
Nimependa huu wimbo hongera sana kwenu
Heko kwenu enyi vijana kwa kazi nzuri katika shamba la Bwana Mungu
Daaah Mimi nilidhani wasabato et,mmeimba vizuri kwa utulivu mbarikiwe
Imagine heaven, all nations, tribe, religion, race singing in God's presence. I want to be there. God help me.
Huu wimbo unanikumbusha kurasini SDA choir na mtunzi mwalimu kibaso😭😭Na mmeimba vzr kweli cover yake
Hawa ndo watunzi kamili wa hii wimbo waliimba mbele ya kurasini ni wewe ndo hauoni muda ya utoaji kati ya hawa na kurasini
Wimbo ulitungwa Na Kibaso Wa Kurasini
@@faithzolar8695hapana hauoni ni cover ya kurasini?? Soma label hapo juu. (cover) meaning kuna original choir imeimba ambayo ni kurasini wenyeji but keko wameimba vizuri sana kuliko WENYE wimbo
@@faithzolar8695WEWE HUONI WAMEANDIKA COVER 😂
Very touching song,be blessed to continue glorifying God.
Mungu naomba uendelee kunitumzia muujiza wangu nakataaa magonjwa kwa jina lako
Waoooooo
Hongereni Sana kwakuimba vizur sana
BWANA Awazidishie hekima na upole na unyenyekevu zaidi sana mfike mbali hadi mbinguni kwa Neema ya Yesu!! Nawapenda nyiee
Ameen tunapokea kwa unyenyekevu mkubwa!
Amaizing fantastic ,,MUNGU azidi kuwainia
Amen 🙏🙏🙏 sitaki kujua ilikuwaje ninachojua Yesu amtenda ... nawapenda hii kwaya
Ameen shukrani sana!
WAUUUUUH Mbarikiwe na Bwana YESU Viana had Mshangae.
Hongeren wimbo mzur sn umenibarik saut zmetulia like wasabato
Mmeimba. Kwa utulivu kama wasabato.. Hakika. Mwalimu amefanya kazi kubwa saaana ...Mbalikiwe zaidi waimbaji woote na uongozi wa kwaya kwa ujumla
The song is for kurasini sda
@@gospelsongslyrics7113 to
Woooow my favorite choirs ninawapenda katika Kristo Yesu,mbarikiwe kwakweli,Haya ni mapinduzi makubwa Kweli uimbaji wetu KKKT , Mwalim na wanakwaya wote mbarikiwe mpaka mshangae.......🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Ameen Ameen Utukufu na heshima tunamrudishia Mungu wetu!
Amen
Naupenda huu wimbo unanibariki sana kila siku nausikiliza zaidi ya mara 5 from UK 🇬🇧
Wow! Ubarikiwe sana mtu wa Mungu na asante kwa support.
🎸🎤🎤🙏🙏🙏
Kazi njema San naikubl kazi yenu . Toka iringa huk
Barikiwa sana
Hakika mmeni bamba kinoma. Barikiweni sana, sana wapendwa.
Nilizani wasabato hongera mmeimba vizuri sanaaa
Just like Adventist do ,thank God of Sabbath as visited your church be blessed 🙏
Am a Catholic but you really bless me.am happy,be blessed
Jamani mmejua kunibariki sana sana nimependa toka moyo nami ni mwimbaji mwenzenu Niko musoma ila na sali sabatho kiukweli mnaimba Mungu azidi kuwatumia apendavyo
Aminaaa! Ubarikiwe sana
Amina Mungu azidi kuwatumia apendavyo
The voice/vocal clearly is Lutheran but the action/no movement of the choir definitely is seventh adventise. All in all let the name of the Lord be glorified.
Waaawuuuu l dont understand the language but l enjoy God bless you sisters and brothers and your are so smart
Mungu wetu amekaa katika sifa; nyimbo nzuri na zenye sifa humpendeza Mungu. Hongereni vijana
Hakika mmeutendea haki wimbo,barikiweni sanaa
Amazing song ,people of God be blessed
Hongera sana keko mungu awabariki bado rusha kombora
Ameen! Barikiwa sana! Kombora iko njiani
Wimbo huu ni mzuri sana na mmeuimba kwa hisia. Mungu awabariki sana Vijana wa Keko.
Ameen Ameen ubarikiwe sana!
Amen
This is beautiful.... just like SDA you have done the vocals well
Am thrilled ,watching you singing this song reminds me of the late Samson kibaso of kurasini ,..kwa kweli injili itambae kwa kila lugha na jamaa ,......
Mungu awabariki, mmeimba vizuri saana kwaya yangu. Mrs. Angetile
Barikiweni ujumbe mzuri sana na mmependeza
our congratulations I like it
Mmmmmh! Mwalim inawezekana kuwa ni msabato. Maana co Kwa utulivu huo.
Yes mwalimu wakisabato
Nyimbo zenye utulivu ndizo tunazozitaka ,huezi kwenda mbele za Mungu bila utulivu
Mungu azidi kuwainua vipawa vyenu
for surenilisikia huu wimbo first time upendo radio but leo nimeukuta live God bless all KVK
Ameen, ubarikiwe sana!
Wooow!!! Mmenibariki sana kwa wimbo wenu na mko makini kweli,sifa kwa Yesu
Kibaso aliwafundisha kkkt uimbaji wa kisabato
Hongereni sana kwa kazi nzuri mno!
Wengi tumebarikiwa sana na wimbo huu, regardless of our denominations.
I like the song so powerful and uplifting indeed
Mimi sijuiii🤷♂️Asante Yesu🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Hongereni sana kwa kumtumikia MUNGU
Kazi Nzuri usisahau kutambulisha wenye wimbo. *KURASINI SDA CHOIR*
KKKT hao japo copy ya kurasini SDA na mwalimu wao alikua mmoja Marehemu Kibaso
Nami sinilishangaa
This is definitely the best version of this song, their rendition is better than my favorite kwaya kurasini SDA Church
GOOD, THOUGH EARINGS IMEHARIBU USHUHUDA WA YESU
Naupenda San huu wimbo jamn unanibariki san
Hongeraa sana mpo vizuri mungu abark
Safi Sana mumeimba vizur nimewapenda
Wimbo mzuri kweli Mungu awabariki
Happiness all in god isking you miss of you king man all.chhamreonpor by.
Duuuu mmenikumbusha mbali sana nikiwa nikiwa hapo hapo keko mwaka 2002 nikiwa naimba kwaya kuu furahini.nakina kaka mwasomola
najikuta natamani nipige keleleeee
Bonge la wimbo niliusubiria sana
Hongereni KVK
ujumbe 100%
Ubora wa sauti 150%
Ubora wa picha 180%
what a song!! Dah
Am speechless mbarikiwe tu
Kutoka kkkt Dkms usharika wa makorora tanga pokeeni salamu zangu
Ameen tunazipokea kwa unyenyekevu mkubwa!
Hahaa niliusikia huu wimbo mwaka juzi kwa mara ya kwanzaa nilisubiri hii video mnooooo....kumbe tulikuwa wengi
Bonge la wimbo....Mungu aimarishe hatua zenu
@@consolatablasi6212 h
WAMEKOPY HII NI COVER NYIMBO YA WASABATO KURASINI SDA
Adventist inspired....Gospel to the world 🙌🙌
Hawa KKKT dear
@@annaleonard3864ila umeimbwa hivi hivi na adventist SDA Kurasini kausikilize ndiyo utamuelewa. Hii ni copy ya original ile.
Merci, le chorale de jai' ne sait pa tréstrés bon , en gloria gloria amen
Hapo mwalimu ni msabato pyua kabisa Mungu abubariki kwa kazi zur
I am a Lutheran and I like the way SDA choirs sing. I love the fact that you focus more on the message and not the dance style and beats. This is kkkt singing like SDA . Good work
Hao ni kkkt
Exactly!!
@@pulikisia7963 f0
Thanks keko kkkt choir. I'm blessing through this song. Dah! MUNGU awabariki.
Ameen Ameen
Amen
Mwenyenzi Mungu awazidishie vipaji vya uimbaji maradufu
Great song.Naona mkono wa mwana Sabato hapa
kazi yenye baraka...inabariki
What can I say This is singing . Wow yes I love this feels like heaven oh yes
Safi sana wanangu nawapenda saaqna kqzi mzuri Mungu awabariki
Wimbo mzuri sana hongereni❤❤
Sasa Nina ona 🤰🤱😘
Am an Adventist and u bless me so much u people
MUNGU wa mbinguni awabariki Sanaa vijana
Wamejitahidi hadi nimemkumbuka kibaso jamani
Thought it was an Adventist choir until i saw earrings on the ladies.
Good singing.
Me too.
Not our identity 😅
Hypocrisy ndio mbaya.sdA haha
Hayo makandokando yenu ya kijinga yanawafanya muwachukie watu sababu ya petty things like that meishowe mnaikosa mbingu
Its a covering song,originally sung by Kurasini SDA choir