#LIVE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 18

  • @MachanoMohdmachano-mo6xe
    @MachanoMohdmachano-mo6xe Před 25 dny +5

    Hizi ndo hutuba za kutowa kuwaambia wananchi kwani ccm wamepoteza dira wasubiri tuu kuuwa lakini Mwinyi ndo atupishe hatumtaki Mwinyi hatukutakiii

  • @user-wp8yk6ow8h
    @user-wp8yk6ow8h Před 25 dny +6

    Tunafuatilia sana sana lakini Ahmed Omar maneno yake yasipuuzwe ni lazima Mya crash kwani yale wengine wagonjwa wa moyo yametuumiza sana sanaaaa ni jambo la kushangaza kuona amertad inaonesha tokea alipokuwa na marehemu kama msaidizi wake alikuwa anatumika na ccm 😂😂😂

    • @khamisjuma7616
      @khamisjuma7616 Před 25 dny +3

      nikujuze tu ahmed omar aliwahi kuandika barua ya kujiuzulu kipindi cha maalim mzee akamwambia unashindwa kuvumilia tumefika mwisho wa mapambano? kwa hiyo huyu mtu ni mtu wa kuyumba tu act tunasafisha takataka

    • @Zivago12
      @Zivago12 Před 24 dny

      Ahmed hana zaidi ya uongo tu. Mfano mzuri ni huo alosema hajasaidiwa wala hakuna alompitia viongozi. Mumeona mapicha yalosambazwa akikabidhiwa mabunda ya fedha milioni 15 tena mbali ya kila kiongozi aloenda alimpa fedha. Na mapicha mmeyaonà. Alitaka afanyweje? Waloumizwa ni wengi lakini Ahmed alipata kusaidiwa sana kwa vile Issue yake ilikua kubwa.

    • @Zivago12
      @Zivago12 Před 24 dny +1

      Ahmed keshajibiwa kwa ushahidi wa picha. Tutakapo mjibu yule ni sawa na kumpa umuhimu au KK. Dawa yake ni kumpuuza tu. Kabla hajaritadi alikua akitoa maneno yasoeleweka kwenye group za ACT, mie binafsi alinitia mashaka lakini nilidhani huenda akili kidogo zimefyuzzz kwa kipigo kutoka vikosi ccm. Kumbe aliingia bei hatukujua.

    • @salyali7807
      @salyali7807 Před 23 dny

      ​​@@Zivago12na mie nilikua na fikra hizo hizo ni kua apuuzwe tu hana umuhimu wowote .. wacha tusonge Mbele kwa rehma za Allah tutaipata nchi yetu.. one day yes!

  • @HassanAhmed-di9jq
    @HassanAhmed-di9jq Před 25 dny +4

    Sema wengine nivipofu hata kuona hawaoni tena nawapo hapa hapa duniani makomando wa udongo

  • @salyali7807
    @salyali7807 Před 25 dny +1

    Excellent job weyani TV

  • @Zivago12
    @Zivago12 Před 24 dny

    Hongera kamanda Nahoda

  • @haydarabdallah7914
    @haydarabdallah7914 Před 25 dny +2

    💜💜💜💜💜

  • @AlkafaaMarket
    @AlkafaaMarket Před 24 dny

    Weyani mujipange uzuri picha zina katakata uko mbele musitusumbuwe shukran

  • @TahirAli-i9o
    @TahirAli-i9o Před 24 dny

    Basi jambo halipo kama mamlaka hayo yote hatuna allah atujalie turejeshee mamlaka yetu

  • @jumabonge8577
    @jumabonge8577 Před 24 dny

    ttzo lipo hamlijui

  • @user-lr6qx9df4z
    @user-lr6qx9df4z Před 22 dny

    Kama kashindwa kuchukua nchi marehemu maalim seif hadi kafariki ataweza kuchukua omo na maalim alikua na mvuto dunia nzima wanamuelewa ataweza uyo omo na mwenyewe omo analijua hilo ila hawezi tu kusema asitudanganye naongea hivi mie sii CCM wala chama chochote cha upenzani mana ni upuuzi th
    Wote ni waongo tu

  • @AlkafaaMarket
    @AlkafaaMarket Před 24 dny

    Tunazima kijani tunawasha zambarauuu iyoo inataraddad

  • @husseinmohd6338
    @husseinmohd6338 Před 24 dny

    Mauhty wana adhirika

  • @MussaMussa-v4x
    @MussaMussa-v4x Před 25 dny

    Weyan mnazingua inakatakata

    • @WeyaniTvonline
      @WeyaniTvonline  Před 25 dny +1

      Ni kutokana na suala la kiufundi na Tunaomba Radhi kwa Hilo