Tunafuatilia sana sana lakini Ahmed Omar maneno yake yasipuuzwe ni lazima Mya crash kwani yale wengine wagonjwa wa moyo yametuumiza sana sanaaaa ni jambo la kushangaza kuona amertad inaonesha tokea alipokuwa na marehemu kama msaidizi wake alikuwa anatumika na ccm 😂😂😂
nikujuze tu ahmed omar aliwahi kuandika barua ya kujiuzulu kipindi cha maalim mzee akamwambia unashindwa kuvumilia tumefika mwisho wa mapambano? kwa hiyo huyu mtu ni mtu wa kuyumba tu act tunasafisha takataka
Ahmed hana zaidi ya uongo tu. Mfano mzuri ni huo alosema hajasaidiwa wala hakuna alompitia viongozi. Mumeona mapicha yalosambazwa akikabidhiwa mabunda ya fedha milioni 15 tena mbali ya kila kiongozi aloenda alimpa fedha. Na mapicha mmeyaonà. Alitaka afanyweje? Waloumizwa ni wengi lakini Ahmed alipata kusaidiwa sana kwa vile Issue yake ilikua kubwa.
Ahmed keshajibiwa kwa ushahidi wa picha. Tutakapo mjibu yule ni sawa na kumpa umuhimu au KK. Dawa yake ni kumpuuza tu. Kabla hajaritadi alikua akitoa maneno yasoeleweka kwenye group za ACT, mie binafsi alinitia mashaka lakini nilidhani huenda akili kidogo zimefyuzzz kwa kipigo kutoka vikosi ccm. Kumbe aliingia bei hatukujua.
@@Zivago12na mie nilikua na fikra hizo hizo ni kua apuuzwe tu hana umuhimu wowote .. wacha tusonge Mbele kwa rehma za Allah tutaipata nchi yetu.. one day yes!
Kama kashindwa kuchukua nchi marehemu maalim seif hadi kafariki ataweza kuchukua omo na maalim alikua na mvuto dunia nzima wanamuelewa ataweza uyo omo na mwenyewe omo analijua hilo ila hawezi tu kusema asitudanganye naongea hivi mie sii CCM wala chama chochote cha upenzani mana ni upuuzi th Wote ni waongo tu
Hizi ndo hutuba za kutowa kuwaambia wananchi kwani ccm wamepoteza dira wasubiri tuu kuuwa lakini Mwinyi ndo atupishe hatumtaki Mwinyi hatukutakiii
Tunafuatilia sana sana lakini Ahmed Omar maneno yake yasipuuzwe ni lazima Mya crash kwani yale wengine wagonjwa wa moyo yametuumiza sana sanaaaa ni jambo la kushangaza kuona amertad inaonesha tokea alipokuwa na marehemu kama msaidizi wake alikuwa anatumika na ccm 😂😂😂
nikujuze tu ahmed omar aliwahi kuandika barua ya kujiuzulu kipindi cha maalim mzee akamwambia unashindwa kuvumilia tumefika mwisho wa mapambano? kwa hiyo huyu mtu ni mtu wa kuyumba tu act tunasafisha takataka
Ahmed hana zaidi ya uongo tu. Mfano mzuri ni huo alosema hajasaidiwa wala hakuna alompitia viongozi. Mumeona mapicha yalosambazwa akikabidhiwa mabunda ya fedha milioni 15 tena mbali ya kila kiongozi aloenda alimpa fedha. Na mapicha mmeyaonà. Alitaka afanyweje? Waloumizwa ni wengi lakini Ahmed alipata kusaidiwa sana kwa vile Issue yake ilikua kubwa.
Ahmed keshajibiwa kwa ushahidi wa picha. Tutakapo mjibu yule ni sawa na kumpa umuhimu au KK. Dawa yake ni kumpuuza tu. Kabla hajaritadi alikua akitoa maneno yasoeleweka kwenye group za ACT, mie binafsi alinitia mashaka lakini nilidhani huenda akili kidogo zimefyuzzz kwa kipigo kutoka vikosi ccm. Kumbe aliingia bei hatukujua.
@@Zivago12na mie nilikua na fikra hizo hizo ni kua apuuzwe tu hana umuhimu wowote .. wacha tusonge Mbele kwa rehma za Allah tutaipata nchi yetu.. one day yes!
Sema wengine nivipofu hata kuona hawaoni tena nawapo hapa hapa duniani makomando wa udongo
Excellent job weyani TV
Hongera kamanda Nahoda
💜💜💜💜💜
Weyani mujipange uzuri picha zina katakata uko mbele musitusumbuwe shukran
Basi jambo halipo kama mamlaka hayo yote hatuna allah atujalie turejeshee mamlaka yetu
ttzo lipo hamlijui
Kama kashindwa kuchukua nchi marehemu maalim seif hadi kafariki ataweza kuchukua omo na maalim alikua na mvuto dunia nzima wanamuelewa ataweza uyo omo na mwenyewe omo analijua hilo ila hawezi tu kusema asitudanganye naongea hivi mie sii CCM wala chama chochote cha upenzani mana ni upuuzi th
Wote ni waongo tu
Tunazima kijani tunawasha zambarauuu iyoo inataraddad
Mauhty wana adhirika
Weyan mnazingua inakatakata
Ni kutokana na suala la kiufundi na Tunaomba Radhi kwa Hilo