MELI KUBWA KUTOKA UARABUNI, INABEBA TANI ELFU 55

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 47

  • @apostlejohn.k.mutukaa.k.aj2837

    Kama ulishangaa treni kukwama miaka 30, SIKIA HAPA MIAKA 129!
    Weka like twende sawa

  • @fatumahassan8212
    @fatumahassan8212 Před 3 lety +6

    Hongera tanzania kwa miundo mbinu bora na kuongeza hadhi ya tz na history ya kipekee.....🇧🇬

  • @benedictorsailon9496
    @benedictorsailon9496 Před 3 lety +11

    Safi Sana serikali yetu Mambo mazuri yaja zaidi

  • @maishacenter-eastafricatv3976

    East Africa tunakwenda kudpend kwa Tanzania, Kenya hangeni sana, huyu Magufuli ni rafiki Sana wa maendeleo, ana Nia, ana Akili
    Love from Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @AmazingWars
    @AmazingWars Před 3 lety +10

    Big up sana Tanzania,,, safi sana bandari Tanzania

  • @michaelkimweri6363
    @michaelkimweri6363 Před 3 lety +12

    Utaki tafuta nnchi ya kuishi.Magu pamoja sana

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 Před 3 lety +6

    Pongezi nyingi mnooo. Mungu ibariki Tz Mungu tuvushe uchumi wa kati juu 2025. Mombasa byebye tuwwashie mataa.

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 Před 3 lety +8

    Asante sana JPM

  • @reginakaleme3798
    @reginakaleme3798 Před 3 lety +9

    Hongera Sana Uncle magu👍👍👍 lakin ukiyaona yanavozama Sasa 🤭🤭

  • @emanuelmlay9084
    @emanuelmlay9084 Před 3 lety +6

    Tanzania Yang Daima 🇹🇿🇨🇩

  • @johnmbugani6532
    @johnmbugani6532 Před 3 lety +3

    Huyu Magufuli huyu, we acha tuu

  • @temkezatv4381
    @temkezatv4381 Před 3 lety +2

    Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI

  • @michaelkimweri6363
    @michaelkimweri6363 Před 3 lety +11

    Mabeberu msitugombanishe,Magu Rais wetu anatutosha,mpaka 2035.

    • @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
      @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52 Před 3 lety

      Mhh!!mnagombanishwa au mnajigombanisha wenyewe?!kuna msemo kima akikosa kuchapia miti huja,,,,,,,,kwahiyo be ready

    • @michaelkimweri6363
      @michaelkimweri6363 Před 3 lety +1

      @@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52 hutaki unstaka Magu the best prisdant,mshazoea lainlaini.tuwe wazalendo hakuna atakae kupa pesa mfukono..sikila uliwzolo liwe.komaa.huyu ndio rais wa miaka 30,subiri tu.

    • @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
      @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52 Před 3 lety +1

      @@michaelkimweri6363
      Haya nnaakae 30'40'60 au milele 'yetu macho japo hatuoni yote' mungu ndio anaona vilivyosiri na dhahir 'letu sikio japo hatusikii yote' mungu ndie anayeskia yaliyomo moyoni' na mwisho tunasema japo maneno pungufu mungu ndio anamaneno yalokamilika na akisema kitu kuwa kina kuwa'tusubir na tuone'only

    • @hamisimakasala3378
      @hamisimakasala3378 Před 3 lety

      @@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52 mtangoja sana, safari unaendelea!!!

    • @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
      @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52 Před 3 lety

      @@hamisimakasala3378 sio sana' mungu ashasema na anasema kweli ' bali yaraunahu baida wanarahu qariba' wao wanaona iko mbali na cc tunaona iko karibu' inshalla Allah yuko pamoja na wenye kusubir na anapokea mashtaka ya wenye kudhulumiwa 'hasbiya Allah wanighma lwakil 🤲

  • @ramadhaniadammakange3639
    @ramadhaniadammakange3639 Před 3 lety +4

    Shikamoo Dada Ummi mwalimu

  • @bakariabdul7088
    @bakariabdul7088 Před 3 lety +2

    #Eti wajerumani hawakutaka tuendelee!!!....G.E.A.C.O built all this infrastructures 4 their benefit in her colonies and for her mother nation..

  • @JosephDesideri
    @JosephDesideri Před 3 lety +8

    Mkoa wa Tanga.

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud9088 Před 3 lety +5

    Magu tishio

  • @gregorychogelo2013
    @gregorychogelo2013 Před 3 lety +1

    #TanzaniaMpya
    #VivaJPM

  • @sylvesterhassan8280
    @sylvesterhassan8280 Před 3 lety +1

    Iyo gati si ijengwe haraka meli ifike kabisa

  • @samasob8233
    @samasob8233 Před 3 lety +3

    Ndugu mwandishi uliza maswali muhimu, kwa nini huo uchimbaji haukufanyika sasa hivi mpaka kwenye gati? gati linaloonekana hapo ni vipi? itachukua muda gani kujenga gati jipya inaanza lini hiyo shughuli?

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 Před 3 lety

    Wehu wanaona haya si yakusifia na si ya kumsifia anko Magu, Viva Magufuli.

  • @mussaseifabdullwahid341

    Sisi wazanzibar tutashushia mizigo yetu kenya tumechoka na dhulma zenu

    • @jackmichael1953
      @jackmichael1953 Před 3 lety

      kashushe kwani nani anataka mizigo toka Zanzibar?

  • @onesmojustice2348
    @onesmojustice2348 Před 3 lety

    Kilometa mbili maana yake wakiiba wanasepa hamuwapati

  • @J4UPro
    @J4UPro Před 3 lety +2

    Kumekucha tanga

  • @ameedamilja7992
    @ameedamilja7992 Před 3 lety +1

    Ushamba huo, mlichelewa wapi? Ummy mwalimu umekaa bungeni kwa miaka 5 Tanga haikubadilika, hiyo bandari ilikuwa mipango ya muda mrefu tangu enzi ya Kikwete nyie mnachukua credit as if umefanya kitu. Tulia mama, wenye akili tunajua yanayojiri usijipake rangi sio yako. Hata angekuwa mbunge wa CUF hapo still bandari ingemaliziwa tuu. ACHENI KUFUNIKA MADUDU YA KUIBA KURA KILA MTU ANAJUA MLICHOKIFANYA. SHENZI.

  • @marymfugwa847
    @marymfugwa847 Před 3 lety +1

    Sasa wasipo shusha nchi jirani watapataje mapato?

  • @hafsasaif8004
    @hafsasaif8004 Před 3 lety +1

    Nani Au Chama gan kilikuwa Madarakan Achen Uwongo Makuma Nyinyi
    Kwan Najuwa Mnao Wangopea Ni Watto Wenu Makuma Nyieee!!

  • @jumakiatu.628
    @jumakiatu.628 Před 3 lety +1

    maFgluLi.rAhisi.wEtU.tinAkupEnDa.siSi.wAtnZniyA.wotE.wAzaLenDo.mAbEbErlLu.waNApAta.PuleSha.huKko.siSi.tiNasoUnGa.mBeRe.tu.hA..lhA

    • @kingdavid1924
      @kingdavid1924 Před 3 lety

      Acha ujinga wewe juma andika vizuri unaharibu na kuidhalilisha lugha yetu.

  • @charlesmwisera7175
    @charlesmwisera7175 Před 3 lety

    Huo ni ushamba miaka 59 ya uhuru tunashangaa meli