Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Mjini ukija njoo na Mila zako ukija ukafata Mila za watu tutakuokota mtaroni😅😅😅
Sherehe za mjini angalia tu usije ukaiga wallah😂😂
😂😂nifanyie udugu wangu nipe Hata iphone 6😂😢
Mjini mambo mengi 😂eti wakati analia naomba zamaradi tv imchukue live 😂😂😂nyie
Nakuoenda sana kumbuka Mungu akutunzee kaja nakupenda mnoo wewe ni zaidi ya mtu anayejitambuaa❤
Ukitaka kushindana na watu wa mjini unaweza kufia usingizini
😂😂😂Ilo nalo neno undugu wng
😂😂😂
Doctor Kumbuka naye kajivalia zake kijora ya brown so shida zake
Wkat nyie mnatunzana pesa Kuna watu wana kufa na njaa,hawana makazi na wengine wanakufa Kwa malalia tuu kwakukosa mseto wa 3000 tuu 😢😢
Arafu oooh maisha bongo. Magumu 😅😅magumu kwwangu. Mie tu 😅😅🎉mjin. Hatar shingo na tai😅
Mupitie na kwangu wapenzi ❤
Ila bongo stress upende mwenyewe tuuu,huku manara na dula,huku kufagia uwanja,mambo kedekede😂😂😂 mweee
Huyo mwenye sheree ana Farah
Mtasha kawaangusha mziki mbaya
Mmmmh
Cha kujifia nin mie hyo saa ngap sjala chips kuku
Tarabu Na Ngoma cherewa poleni njooni zenji uku
Chioma kahemwa
Tile tinywe tifirai
Yani usiseme tunakufa sema nakufa
Kwani hapo lamada hakunaga viti na Meza jaman😢😢😢
Viti vipo meza zipo hayo ni maamuzi ya wenye shughuli wakae kwenye viti ama ama kwenye zuria na hui ni ustaarabu wetu sisi waswahili wa pwani.upo
Vitu kwani apo bungeni umbea wa JAMVINI mtamu kuliko kwenye kiti
@@minaahminaah7788 umeonaeeeh! Shoga.
Kwani huyo chioma anaolewa au maana sielew
Anaozesha au anaoza
Kufagia uwanja ndiyo maaana yake ni nini
Kuna nini hapo. Mbona sielewi
Wamefurahi tu ndugu yangu 😂😂😂 watoto wa mjini mjini haoo
Mjini Kuna balaa wallah😂😂😂@@sajdatomar6025
Mjini ukija njoo na Mila zako ukija ukafata Mila za watu tutakuokota mtaroni😅😅😅
Sherehe za mjini angalia tu usije ukaiga wallah😂😂
😂😂nifanyie udugu wangu nipe Hata iphone 6😂😢
Mjini mambo mengi 😂eti wakati analia naomba zamaradi tv imchukue live 😂😂😂nyie
Nakuoenda sana kumbuka Mungu akutunzee kaja nakupenda mnoo wewe ni zaidi ya mtu anayejitambuaa❤
Ukitaka kushindana na watu wa mjini unaweza kufia usingizini
😂😂😂Ilo nalo neno undugu wng
😂😂😂
Doctor Kumbuka naye kajivalia zake kijora ya brown so shida zake
Wkat nyie mnatunzana pesa Kuna watu wana kufa na njaa,hawana makazi na wengine wanakufa Kwa malalia tuu kwakukosa mseto wa 3000 tuu 😢😢
Arafu oooh maisha bongo. Magumu 😅😅magumu kwwangu. Mie tu 😅😅🎉mjin. Hatar shingo na tai😅
Mupitie na kwangu wapenzi ❤
Ila bongo stress upende mwenyewe tuuu,huku manara na dula,huku kufagia uwanja,mambo kedekede😂😂😂 mweee
Huyo mwenye sheree ana Farah
Mtasha kawaangusha mziki mbaya
Mmmmh
Cha kujifia nin mie hyo saa ngap sjala chips kuku
Tarabu Na Ngoma cherewa poleni njooni zenji uku
Chioma kahemwa
Tile tinywe tifirai
Yani usiseme tunakufa sema nakufa
Kwani hapo lamada hakunaga viti na Meza jaman😢😢😢
Viti vipo meza zipo hayo ni maamuzi ya wenye shughuli wakae kwenye viti ama ama kwenye zuria na hui ni ustaarabu wetu sisi waswahili wa pwani.upo
Vitu kwani apo bungeni umbea wa JAMVINI mtamu kuliko kwenye kiti
@@minaahminaah7788 umeonaeeeh! Shoga.
Kwani huyo chioma anaolewa au maana sielew
Anaozesha au anaoza
Kufagia uwanja ndiyo maaana yake ni nini
Kuna nini hapo. Mbona sielewi
Wamefurahi tu ndugu yangu 😂😂😂 watoto wa mjini mjini haoo
Mjini Kuna balaa wallah😂😂😂@@sajdatomar6025