AMINI USIAMINI HILI NDIO ENEO LA BEI JUU ZAIDI KULALA TANZANIA, MILIONI 22 SIKU MOJA, UNAOGA NA PAPA
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- Inawezekana usiamini kwamba kuna sehemu zinagharimu zaidi ya shilingi Milioni 22 za Kitanzania kulala kwa usiku mmoja tu! Amini au usiamini sehemu hizo zipo, tena hapa hapa nchini kwetu Tanzania.
Thanda, ni sehemu kwa ajili ya mapumziko iliyotengenezwa na mtu binafsi katika eneo la kisiwa cha Shungimbili kilichomo Wilaya ya Kisiwa cha Mafia. Kisiwa hiki kina ukubwa wa takribani hekari 20 ambamo ndani yake imejengwa nyumba moja. Nyumba hiyo ina vyumba vya kulala vitano na vibanda viwili pembezoni mwa ufukwe wa bahari ya Hindi kusini mwa Tanzania ambapo familia ya watu mpaka 10 inaweza kuishi.
Thanda Hotel full respect, na sio wote wanaijua
Oya bandugu tufanyen mema na tumuombe Mungu tuipate Pepo yake .....ndio kwenye starehe ya kudumu
Naam
Unaijua pepo wewe? Wakati wenzio wanapambana na maisha na kukuibia rasrimali na kufaidi maisha kupitia utajiri wako, wewe unang'ang'ana na pepo! Kama dunia ndo pepo Mungu amekupatia? Unajuaje pepo iko wapi! Akili za ajabu hizi zitatuua ngozi nyeusi
@@samkitwima7933 ww mzima lakn ....ivi uliona hapa dunian kuna stareh endelev...haya kuwa tajir na iyo stareh unayitaka tuone utaishia wapi.....
@@ommymehmed8880 We unadhani Mungu alimuumba binadamu ateseke duniani kisa kuna pepo? Endelea kuibiwa afu ujidanganye eri Mungu anawapenda maskini. Kwanza watu kama nyie ndo mnatuharibia dunia kwa kujidanganya kuna mbingu wakati Mungu ametupa mbingu safi ya Afrika wajinga weupe kwa kushirikiana na vibaraka kama wewe mkiiangamiza.
@@samkitwima7933 ww ukapmwe mavi.. Naona hujielewi kijana au kidada hata hueleweki...hapa sijaongelea utajir wala umaskin tulionao ....ninachokiongelea hapa ni kwamba starehe zozote au shida zozote hapa dunian ni za kupita tu na sio za kudum....hivyo basi ni muhim kumuomba Muumba wetu atujaalie PePo yake ....
😂😂 story haichekeshi kwa wenye hela ila wengine inachekesha 😂😂😂
😄😄
😂😂😂acha tu
😂😂😂😂😂
Yaniiii ii ni kweli kabisa
diva akilala kilimanjaro anatutangazia nchi zima😂😂😂
Binafsi nlitamani kuona mtanzania ndo anamiliki hii sehem😪
Ili nchi iwe na maendeleo wamiliki duniani kote wanatoka nje ya nchi ukienda Dubai wamiliki wamarekani ukienda marekani wamiliki waisrael ukienda Africa kusini wamiliki warusia ndio dunia ilivyo
Mm pia 😢
Habari njema,Ningependa kufahamu tumeingiza kiasi gani Cha kodi kupitia uwekezaji huu tangu kuanzishwa kwake.
Millard kwann Mnatutia stress za maisha?
🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sio hapo thanda tuu mafia nzima nikisiwa kinachokuja kwa kasi ki utalii na nikisiwa kikubwa cha utalii
Wanangu wa Mafia piga kelele
😂😂😂✋🤚🤣🤣🤣
Millard.ayo
Napenda unavyotanga
Very clear swahili
Pronunciation.
Hongera sana Pasco...
Tujuane tulikuja kuangalia baada ya kuona heading ya kuoga na papa ili tuelewe ni papa gani😂😂😂
Papa la gigy money
😂😂😂😂😂
Dah ulichowaza ss 😂😂😂😂
😲😂😂😂😂😂😝
@@anitamwehonge8287 INNALILAH
Napaelewa sana hapo nishalala sana ila kwa sasa nipo U.A.E. kikazi. Wale maboss ambao wamelala hapo naomba like zenu tujuane
Mhhhh hela ya shamba na nyumba na gari juu
😂😂😂😂😂😂😂weeee debrah
Asante Millard Ayo maana sijatoka bure kwani nimejifunza dolphine kwa kiswahili anaitwa pomboo😹.
Mbona hyo cha mtoto
Ulizia Singita Grumeti reserves ndani ya hifadhi ya Serengeti
utaelea huko ni chamtoto aseeee
Natamani insha'Allah ntafanikiwa Allah kareem
Inshallah kwa sote
Nilikuwepo hapo jana, nimefaidi sana papa.
😂😂😂😃 kwa video au live??😉😉
@@ilovejesus9303 🤣🤣🤣
Wewe jamaa
Aaaaàa
😂😂🤣🤣
Ndoto yangu na Mim siku moja nije kulala ktk hiko kisiwa nione uzur wake
Km mzungu anakuwa mwenye kisiwa ndani ya nchi yetu kuna nn tena apo bado kutununua sisi tu
yaani
Mwanzo kilikuwa Cha wavuvi wanapiga Kambi hpo
Mbona marehemu Mkappa anaeneo lake Africa ya kusini
Hii cha mtoto peponi ndo baba lao😁😁
Niliitafuta sana sehemu ya kupumzika na yenye utulivu kama hii kwa mada wa wiki 1 tu asante sana wacha niboking sasa.
Hapo huwezi mzee hajamalizia milard hiko kisiwa unaweka booking kuanzia watu watatu kwa maana million 60 today
🤣🤣🤣
Aaaaaah aisee Dunia isivyoisha kutushangaza wakati nawaza mpaka sasa Duniani nimeishi siku 10,800 na katika siku zote hizo sijawahi kushika milion100 zakwangu kwa mara moja leo mtu anatumia milion 20 kwasiku 🤲🤲🤲🤲🤲
Ndo unamiaka mingapi kwa hizo siku
@@veronicacharles9993 29 hiyo
Acha tu
MB zangu mwenyew zinanipa Stress, Millardayo utantoa roho ety, Wakati Me naitafuta hiyo M5 tu Kuna Mtu anaikul kwa Siku daah😂😂😂😂😂
Hahahahahah
😂😂
Mimi nimelala hapa jana kuamkia leo kwani iko nini😜
Future husband where you baba please bring me there🔮😭😭
Proud to be Mafian man
niaje ndugu yangu
Mimi ndyo nimekaa chumban hku nasoma comments hpa.In kweli nafaidi hapa
Hahahaahahha
Tushukuru kutuelimisha
Kuna watu wana ishi dsm na pwani lakini cha ajabu awpajui shungi 2 kabisa tena unaweza kumuuliza mtu na aka shangaa na aka kuuliza ndio wapi ????
Mi Moja wapo
Me nkajua palm village kumbe ni kuoga na papa 😂😂😂
Mi nilijua papa la gigy money
Kwani ukilala hapo unaiona mbingu direct? Napenda vitu vizuri Ila si huu ujinga wa kuharibu pesa hivi
Haa haaa haaa naishi Scandinavia lakini siwezi kulipa hiyo pesa hata kama pesa ninazo..
Pata kwanza pesa. Ukiwa na pesa kinachoongea siyo wewe ni pesa.
Hawa ni raia wa Tanzania? Mbona Sheria ya nchi hairuhusu raia WA kigeni kununua aridhi
Daaaaaaa Mimi na toka na enda kutafuta Niki pata ndarudi, asante
Its my dream to get a job to that gud environment and interacting with different people
Duh hiyo pesa kwangu ni mtaji,💪🙏
Maa shaa Allah
Watu waliofeli maisha wenzie wakifanikiwa wao hujifanya wanamjua sana mungu
Hii ndioaloyosemaga mzee baba Magu
It's good kaka lakina sio sehemu ghali kuliko nyingine Tanzania jaribu kutafuta lodge inaitwa four seasons safari lodge Serengeti kwa usiku mmoja ni almost $12,000 ambazo ni sawa na karibia mil27 za kitanzania
acha io sehem ambayo ndo mwisho n gurumeti fund ad dolla 27000
Hivi amntarifu chumba kilicho chini ya maji bei gan
Mungu atujalie jenat faridos
Sio pekee angaliq piq mnemba Island utaona pia
dah hii nikali zaidi mzee baba
Hyo zaman Milado nenda sasa hv utashangaa
Tuliotoka mafia like kwangu mafia line/mafia raha
I lik this hotel
Wakati watanzania wanatozwa makodi ya juu na faini kali wa Sweden wana tengeneza 20+ ml kwa siku. Uzalendo mwisho UCHU-ME daima.
Kodi wanalipa?
Ndio
Kwani wenye hiyo Hotel wanasemaje
Yeah pako vizuri mwenyew nili enjoyed
Hhhhh...nilitoka hapo jana maids walkua wanakuongelea kwa uzur yan😅
H-hhhhhhhh uwii
Jamaa haamini au hahhaa
@@godrichyera7853 🤣🤣🤣🤣🤣mtaniua ...
Yaan comment ndio zina nguvu kuliko hata video yenyewe🤣🤣🤣
Ahhh pesa ndo Ina nguvu Apo sio çømmênt 😀
millard tunaomba uje uende na serengeti sehemu moja iitwayo nata kuna hotel inaitwa gurumeti utuangalizie io ndo inaongoza
Ni pesa ndogo Sana mngefanya milion mia
Tatitozo hapo kupata nafasi uwa ni issue sana , yaan niliangaika sana mwaka juz
🤣🤣🤣
Daah so pow
Mbona bei hiyo ya zamani, sasa ni dollar 45,000 kwa siku! Tafadhari jamani msibuku kwa hiyo bei.
Duh
Kaka kuna sehemu nyingine iko Zanzibar bei yake ni zaidi ya hio inaitwa zuri hotel kendwa
Aaaah wap, Kuna mission za watu huko,, endeleen kusema hotel😏
Ni kweliii wiki ilopita nilikua apoo🤫🤫🤫
🤣🤣🤣🤣
🙉🙉🙉😂😂
Duuh! haki ya mungu
Alafu hizo kodi sjui zinaenda wapi?nawaza sana kwakweli
Hamna stress hapo hio hesabu ya watu 10 sio mtu mmoja.dola elf10 ukigawa kwa 10 kila mtu mmoja ni dola elf moja ambayo ni sawa na million 2 na laki 2,na hapo wanaweza kupunguza low season mnaweza kupata hata kwa dola 8000 kwahiyo milad ayo usitutishe😂😂😂😂😂
Je wakua kua kuna watu wana pesa kiasi wanaona laki nikama buku 10
Tatizo hapo kupata nafasi ni shida. Anyway nitajaribu tena angalau nipate siku tano tu.😁😁
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😀😀
Looooh
Thanda Island-najua baba ii-
Shikamoo Pesa
Hahaha
Kwamba umesema tunaoga na papa 😃😃😃 kwani ni papa gani unamzungumzia
Papa potro anapatikana kisiwan mafya TU kwa tanzania
Swali ni wanalimiliki hilo eneo la Tanzania??? Na waliuziwa na nani sehemu za kitalii ambazo zinakuwa ni sehemu ya uwekezaji wa taifa
Siku zote serikal humiliki sehemu hiyo bali ni eneo, na jengo ni la mtu mwenyew huku akilipa kodi na sehemu ya share za eneo alilopew,so serikal hupata fungu ya pesa zinazopatikana
@@fettyabiola1389 kwa maana hiyo hata mm au mtu yeyote anaweza ruhusiwa kujenga sehem nyingine kama hiyo Kwa utaratibu ulio elezea wa kuwa analipia eneo na kodi?
@@Donrugi swadakta
Kwa wenye nazo wanaona ni kidogo sana
Nilishaendaga hapo 2010
💥💥💥
Tanzania are been quarantined here.
namm nitaenda jaman had sasa natafuta namba za cm nipen jaman 🤣🤣🤣🏃♀️
0777777771
Af wanapadharau
NIKWELI NPO MAFIA SASA KILINDONI KALIBUN SANA
Hello
Hapana ipo sehem nyingine yenye bei zaidi ya hapo Ngorongoro lodge leo nadani ya hifazi ya ngororngoro chumba $12000
Nooo sio kweli
Lodge ipi iyo?
Kwa nini stori iko based juu ya fedha? Kwa nini hukuelezea tu kitu gani kipo, vipi mtu anaweza kwenda, na vipi nchi inavofaidika, uchafu wanaupeleka wapi, wamepangiwa kwa muda gani, historia ya mwenye kisiwa....kisha akamalizia kwa hiyo obssession yako ya fikra za kimaskini?
Iyo bei na Ya Zaman sana Sasaiv ni $22000 Sawa na Tz shilling ml 40 na chenga Kaka watu wanaish
Noma😎
Watu ambao c watanzania wanawezaje kumiliki ardhi nchini mwetu
#Milard Ayo hapo mmetudanganya bwana mimi ni hotelier nafahamu hapo ni $25000 Kwa usiku mmoja na lazima ubuku kwa siku tano ambayo ni 125000 USD Fanyeni uchunguzi vizuri
Shungi mbili 💪
Presidential suites four seasons Serengeti ni $11,000
Booking yake si mchezo hapo mi ndio nimepata nafasi juzi na siku yangu ya kulala ni mwezi ujao nitalala kwa wiki moja na nusu
🤔😴😉😃😂😂😂😂🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣 Sidhani wanaolala hapo wanaweza comment CZcams
nauza eneo karibu na hapo
Yani kisiwa hicho nakumbuka 2000 ilikua tunafikia na maboti yetu ya uvuvi leo kimekuwa kisiwa cha harama cha utalii....
Can someone tag irene uwoya on my behave aristoteeeeeee komesha
Inshaallah siku bado zipo wacha tupambane ntampeleka wife nikiuza nyumba ya urithi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🍾🥂
English please!
Nikweli nimelala sana hapo
Mapato ya hii Hoteli wanalipa kodi asilimia ngapi kwenye pato la Tanzania? Tuchunguze shule za Mafia mjini kama zina Madawati? Kama mgeni amewekeza kisiwani na anaingiza mamilioni kwa siku nategemea alipe kodi kwa serikali ya Tanzania kwa mamilioni hivyohivyo, mtujulishe kwanza hilo kabla ya kuchekelea burudani, hawa wazungu nakuwaga na wasiwasi nao wanachuma pesa kwenye Ardhi yetu na faida hawarudishi
Vitu vya kufanya vipo vingi sana.tupambane kutafuta mkwanja.
ok. nimebomoa mkopo NMB najiandaa kutimba hapo kesho kutwa.
Mhuu
Hapa leo milard umenigusa mm ni mtu wa mafia ila naiomba serikali yetu ya Tanzania waifatilie hii hotel inasemekana haijulikani ki serikali Yani haina usajili mm ni mtu wa utende mafia
Nilihisi hivyo, nimejiuliza wamiliki sio Watanzania nani amewauzia Ardhi yetu? Na kama wamekodishiwa tuelezwe kodi wanalipa kiasi gani? Mamilioni hayo yangeendeleza shule na Hospitali zetu za Mafia
@@darajalakidatukilomgi2362 sahihi kabisa mafia ni kisiwa ambacho kinamapato mengi Sanaa kwa Sasa Kama serikali yetu ingewekeza kisawasawa kwenye utalii basi wangetengeneza pesa sanaa
@@eddy4998 ukiona hivyo pesa inaenda mifukoni mwa wachache
kuitizama mafia inautalii mkubwa kabisa ambao wa kujulikana duniani
Next week ntaenda kuenjoy na mpenz wang japo kwa sku 3
😀😀😀😀
Usimtie kiwewe huyo mpenzi wako mxyuuuuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Watu na pesa zenu
@@Ramadhanimsingwa hahaha
@@rachelbahahazo6362 eti kiwewe watu na pesa zetu lazma tutinge hayo maeneo kwa gharama yoyote hata kama ni 50m per DM
Pakawaida Sana mbona?
Kisiwa kipo Zanzibar ila kinamilikiwa na Wa Sweden..okhh ok