AMINI USIAMINI HILI NDIO ENEO LA BEI JUU ZAIDI KULALA TANZANIA, MILIONI 22 SIKU MOJA, UNAOGA NA PAPA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • Inawezekana usiamini kwamba kuna sehemu zinagharimu zaidi ya shilingi Milioni 22 za Kitanzania kulala kwa usiku mmoja tu! Amini au usiamini sehemu hizo zipo, tena hapa hapa nchini kwetu Tanzania.
    Thanda, ni sehemu kwa ajili ya mapumziko iliyotengenezwa na mtu binafsi katika eneo la kisiwa cha Shungimbili kilichomo Wilaya ya Kisiwa cha Mafia. Kisiwa hiki kina ukubwa wa takribani hekari 20 ambamo ndani yake imejengwa nyumba moja. Nyumba hiyo ina vyumba vya kulala vitano na vibanda viwili pembezoni mwa ufukwe wa bahari ya Hindi kusini mwa Tanzania ambapo familia ya watu mpaka 10 inaweza kuishi.

Komentáře • 328

  • @malcolmmusa1618
    @malcolmmusa1618 Před 3 lety +13

    Thanda Hotel full respect, na sio wote wanaijua

  • @ommymehmed8880
    @ommymehmed8880 Před 3 lety +100

    Oya bandugu tufanyen mema na tumuombe Mungu tuipate Pepo yake .....ndio kwenye starehe ya kudumu

    • @radhiasalum7156
      @radhiasalum7156 Před 3 lety +2

      Naam

    • @samkitwima7933
      @samkitwima7933 Před 3 lety +6

      Unaijua pepo wewe? Wakati wenzio wanapambana na maisha na kukuibia rasrimali na kufaidi maisha kupitia utajiri wako, wewe unang'ang'ana na pepo! Kama dunia ndo pepo Mungu amekupatia? Unajuaje pepo iko wapi! Akili za ajabu hizi zitatuua ngozi nyeusi

    • @ommymehmed8880
      @ommymehmed8880 Před 3 lety +2

      @@samkitwima7933 ww mzima lakn ....ivi uliona hapa dunian kuna stareh endelev...haya kuwa tajir na iyo stareh unayitaka tuone utaishia wapi.....

    • @samkitwima7933
      @samkitwima7933 Před 3 lety +5

      @@ommymehmed8880 We unadhani Mungu alimuumba binadamu ateseke duniani kisa kuna pepo? Endelea kuibiwa afu ujidanganye eri Mungu anawapenda maskini. Kwanza watu kama nyie ndo mnatuharibia dunia kwa kujidanganya kuna mbingu wakati Mungu ametupa mbingu safi ya Afrika wajinga weupe kwa kushirikiana na vibaraka kama wewe mkiiangamiza.

    • @ommymehmed8880
      @ommymehmed8880 Před 3 lety +2

      @@samkitwima7933 ww ukapmwe mavi.. Naona hujielewi kijana au kidada hata hueleweki...hapa sijaongelea utajir wala umaskin tulionao ....ninachokiongelea hapa ni kwamba starehe zozote au shida zozote hapa dunian ni za kupita tu na sio za kudum....hivyo basi ni muhim kumuomba Muumba wetu atujaalie PePo yake ....

  • @marthahozza2964
    @marthahozza2964 Před 3 lety +37

    😂😂 story haichekeshi kwa wenye hela ila wengine inachekesha 😂😂😂

  • @hazasalimhazasalim2914
    @hazasalimhazasalim2914 Před 3 lety +13

    diva akilala kilimanjaro anatutangazia nchi zima😂😂😂

  • @okajara93
    @okajara93 Před 3 lety +20

    Binafsi nlitamani kuona mtanzania ndo anamiliki hii sehem😪

    • @sijakibwana6745
      @sijakibwana6745 Před 3 lety +8

      Ili nchi iwe na maendeleo wamiliki duniani kote wanatoka nje ya nchi ukienda Dubai wamiliki wamarekani ukienda marekani wamiliki waisrael ukienda Africa kusini wamiliki warusia ndio dunia ilivyo

    • @mwanaidialiame318
      @mwanaidialiame318 Před 3 měsíci +1

      Mm pia 😢

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 Před 3 lety +6

    Habari njema,Ningependa kufahamu tumeingiza kiasi gani Cha kodi kupitia uwekezaji huu tangu kuanzishwa kwake.

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Před 3 lety +38

    Millard kwann Mnatutia stress za maisha?

    • @aishachambo3293
      @aishachambo3293 Před 3 lety

      🤣🤣🤣🤣🤣

    • @gracejasson8690
      @gracejasson8690 Před 3 lety

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @eddy4998
      @eddy4998 Před 3 lety

      Sio hapo thanda tuu mafia nzima nikisiwa kinachokuja kwa kasi ki utalii na nikisiwa kikubwa cha utalii

    • @eddy4998
      @eddy4998 Před 3 lety +1

      Wanangu wa Mafia piga kelele

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 Před 3 lety

      😂😂😂✋🤚🤣🤣🤣

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi6584 Před rokem +1

    Millard.ayo
    Napenda unavyotanga
    Very clear swahili
    Pronunciation.
    Hongera sana Pasco...

  • @mosesbusanya3528
    @mosesbusanya3528 Před 3 lety +42

    Tujuane tulikuja kuangalia baada ya kuona heading ya kuoga na papa ili tuelewe ni papa gani😂😂😂

  • @salehkhamis3063
    @salehkhamis3063 Před 3 lety +1

    Napaelewa sana hapo nishalala sana ila kwa sasa nipo U.A.E. kikazi. Wale maboss ambao wamelala hapo naomba like zenu tujuane

  • @debrahcharz4306
    @debrahcharz4306 Před 3 lety +11

    Mhhhh hela ya shamba na nyumba na gari juu

  • @theopportunitygiver
    @theopportunitygiver Před 3 lety +8

    Asante Millard Ayo maana sijatoka bure kwani nimejifunza dolphine kwa kiswahili anaitwa pomboo😹.

  • @augustinokahinda3939
    @augustinokahinda3939 Před rokem +1

    Mbona hyo cha mtoto
    Ulizia Singita Grumeti reserves ndani ya hifadhi ya Serengeti
    utaelea huko ni chamtoto aseeee

  • @madinakheri487
    @madinakheri487 Před 3 lety +6

    Natamani insha'Allah ntafanikiwa Allah kareem

  • @buye5436
    @buye5436 Před 3 lety +7

    Nilikuwepo hapo jana, nimefaidi sana papa.

  • @gadyetheboss8738
    @gadyetheboss8738 Před 3 lety +6

    Ndoto yangu na Mim siku moja nije kulala ktk hiko kisiwa nione uzur wake

  • @chichimloli5926
    @chichimloli5926 Před 3 lety +4

    Km mzungu anakuwa mwenye kisiwa ndani ya nchi yetu kuna nn tena apo bado kutununua sisi tu

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 Před 3 lety +3

    Hii cha mtoto peponi ndo baba lao😁😁

  • @khamisdaima1455
    @khamisdaima1455 Před 3 lety +8

    Niliitafuta sana sehemu ya kupumzika na yenye utulivu kama hii kwa mada wa wiki 1 tu asante sana wacha niboking sasa.

    • @eddy4998
      @eddy4998 Před 3 lety +2

      Hapo huwezi mzee hajamalizia milard hiko kisiwa unaweka booking kuanzia watu watatu kwa maana million 60 today

    • @andulilemwakihabha2048
      @andulilemwakihabha2048 Před 3 lety

      🤣🤣🤣

  • @issaalfani1030
    @issaalfani1030 Před 3 lety +16

    Aaaaaah aisee Dunia isivyoisha kutushangaza wakati nawaza mpaka sasa Duniani nimeishi siku 10,800 na katika siku zote hizo sijawahi kushika milion100 zakwangu kwa mara moja leo mtu anatumia milion 20 kwasiku 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @barakachaula7050
    @barakachaula7050 Před 3 lety +7

    MB zangu mwenyew zinanipa Stress, Millardayo utantoa roho ety, Wakati Me naitafuta hiyo M5 tu Kuna Mtu anaikul kwa Siku daah😂😂😂😂😂

  • @saumuabdi1802
    @saumuabdi1802 Před 3 lety +5

    Mimi nimelala hapa jana kuamkia leo kwani iko nini😜

  • @islandgirl4578
    @islandgirl4578 Před 3 lety +4

    Future husband where you baba please bring me there🔮😭😭

  • @hajikilopher7357
    @hajikilopher7357 Před rokem +1

    Proud to be Mafian man

  • @monicampokwa3776
    @monicampokwa3776 Před 3 lety +3

    Mimi ndyo nimekaa chumban hku nasoma comments hpa.In kweli nafaidi hapa

  • @christophermtega-cu9hx

    Tushukuru kutuelimisha

  • @simonlukiko2850
    @simonlukiko2850 Před 3 lety +6

    Kuna watu wana ishi dsm na pwani lakini cha ajabu awpajui shungi 2 kabisa tena unaweza kumuuliza mtu na aka shangaa na aka kuuliza ndio wapi ????

  • @bonnytv6530
    @bonnytv6530 Před 3 lety +5

    Me nkajua palm village kumbe ni kuoga na papa 😂😂😂

  • @magiehermess9949
    @magiehermess9949 Před 3 lety +3

    Kwani ukilala hapo unaiona mbingu direct? Napenda vitu vizuri Ila si huu ujinga wa kuharibu pesa hivi

  • @Mamatonny2065
    @Mamatonny2065 Před 3 lety +3

    Haa haaa haaa naishi Scandinavia lakini siwezi kulipa hiyo pesa hata kama pesa ninazo..

  • @aviationwonders7575
    @aviationwonders7575 Před 3 lety +1

    Hawa ni raia wa Tanzania? Mbona Sheria ya nchi hairuhusu raia WA kigeni kununua aridhi

  • @mikelinagomezi1766
    @mikelinagomezi1766 Před 3 lety

    Daaaaaaa Mimi na toka na enda kutafuta Niki pata ndarudi, asante

  • @smartnyengo725
    @smartnyengo725 Před 3 lety +5

    Its my dream to get a job to that gud environment and interacting with different people

  • @macamezunguzungu5697
    @macamezunguzungu5697 Před 3 lety +1

    Duh hiyo pesa kwangu ni mtaji,💪🙏

  • @khadijanjama8721
    @khadijanjama8721 Před 3 lety +1

    Maa shaa Allah

  • @krizofrancisco1287
    @krizofrancisco1287 Před 2 lety

    Watu waliofeli maisha wenzie wakifanikiwa wao hujifanya wanamjua sana mungu

  • @fatemaligalawa1918
    @fatemaligalawa1918 Před 3 lety +1

    Hii ndioaloyosemaga mzee baba Magu

  • @aristidmnganya5824
    @aristidmnganya5824 Před 3 lety +1

    It's good kaka lakina sio sehemu ghali kuliko nyingine Tanzania jaribu kutafuta lodge inaitwa four seasons safari lodge Serengeti kwa usiku mmoja ni almost $12,000 ambazo ni sawa na karibia mil27 za kitanzania

    • @danielsostenes1640
      @danielsostenes1640 Před rokem

      acha io sehem ambayo ndo mwisho n gurumeti fund ad dolla 27000

  • @saidsalum9587
    @saidsalum9587 Před 3 lety +1

    Hivi amntarifu chumba kilicho chini ya maji bei gan

  • @Fofo-511F
    @Fofo-511F Před rokem

    Mungu atujalie jenat faridos

  • @shaiduna
    @shaiduna Před 3 lety +3

    Sio pekee angaliq piq mnemba Island utaona pia

  • @christophermartin4572
    @christophermartin4572 Před 3 lety +3

    dah hii nikali zaidi mzee baba

  • @mussafeisal7565
    @mussafeisal7565 Před 3 lety

    Hyo zaman Milado nenda sasa hv utashangaa

  • @nyanguhamisi2812
    @nyanguhamisi2812 Před 3 lety +1

    Tuliotoka mafia like kwangu mafia line/mafia raha

  • @ngwilastar4905
    @ngwilastar4905 Před 2 lety

    I lik this hotel

  • @RIGHTWAYRLC
    @RIGHTWAYRLC Před 2 lety

    Wakati watanzania wanatozwa makodi ya juu na faini kali wa Sweden wana tengeneza 20+ ml kwa siku. Uzalendo mwisho UCHU-ME daima.

  • @cydrahope5251
    @cydrahope5251 Před 3 lety +3

    Kodi wanalipa?

  • @fatemaligalawa1918
    @fatemaligalawa1918 Před 3 lety +1

    Kwani wenye hiyo Hotel wanasemaje

  • @adamdemarch5565
    @adamdemarch5565 Před 3 lety +1

    Yeah pako vizuri mwenyew nili enjoyed

    • @godrichyera7853
      @godrichyera7853 Před 3 lety

      Hhhhh...nilitoka hapo jana maids walkua wanakuongelea kwa uzur yan😅

    • @benjamininyambaso5041
      @benjamininyambaso5041 Před 3 lety +1

      H-hhhhhhhh uwii

    • @adamdemarch5565
      @adamdemarch5565 Před 3 lety

      Jamaa haamini au hahhaa

    • @mumyhendry2919
      @mumyhendry2919 Před 3 lety

      @@godrichyera7853 🤣🤣🤣🤣🤣mtaniua ...
      Yaan comment ndio zina nguvu kuliko hata video yenyewe🤣🤣🤣

    • @adamdemarch5565
      @adamdemarch5565 Před 3 lety

      Ahhh pesa ndo Ina nguvu Apo sio çømmênt 😀

  • @danielsostenes1640
    @danielsostenes1640 Před rokem

    millard tunaomba uje uende na serengeti sehemu moja iitwayo nata kuna hotel inaitwa gurumeti utuangalizie io ndo inaongoza

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 Před rokem

    Ni pesa ndogo Sana mngefanya milion mia

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu10 Před 3 lety +2

    Tatitozo hapo kupata nafasi uwa ni issue sana , yaan niliangaika sana mwaka juz

  • @Musacholo-el3kc
    @Musacholo-el3kc Před 11 měsíci

    Daah so pow

  • @humphreymwamatandala3669
    @humphreymwamatandala3669 Před 3 lety +2

    Mbona bei hiyo ya zamani, sasa ni dollar 45,000 kwa siku! Tafadhari jamani msibuku kwa hiyo bei.

  • @jojo-ju6yy
    @jojo-ju6yy Před 3 lety

    Duh

  • @oledokoratelombashi9871
    @oledokoratelombashi9871 Před 2 lety +1

    Kaka kuna sehemu nyingine iko Zanzibar bei yake ni zaidi ya hio inaitwa zuri hotel kendwa

  • @faustineleonald2352
    @faustineleonald2352 Před 3 lety

    Aaaah wap, Kuna mission za watu huko,, endeleen kusema hotel😏

  • @mtaalamwamambo2099
    @mtaalamwamambo2099 Před 3 lety +4

    Ni kweliii wiki ilopita nilikua apoo🤫🤫🤫

  • @erickjoseph9140
    @erickjoseph9140 Před 3 lety +1

    Duuh! haki ya mungu

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před rokem

    Alafu hizo kodi sjui zinaenda wapi?nawaza sana kwakweli

  • @abdulatiftu9836
    @abdulatiftu9836 Před 3 lety +1

    Hamna stress hapo hio hesabu ya watu 10 sio mtu mmoja.dola elf10 ukigawa kwa 10 kila mtu mmoja ni dola elf moja ambayo ni sawa na million 2 na laki 2,na hapo wanaweza kupunguza low season mnaweza kupata hata kwa dola 8000 kwahiyo milad ayo usitutishe😂😂😂😂😂

  • @abuuhilary4609
    @abuuhilary4609 Před 3 lety +1

    Je wakua kua kuna watu wana pesa kiasi wanaona laki nikama buku 10

  • @mamawadudu48
    @mamawadudu48 Před 3 lety +3

    Tatizo hapo kupata nafasi ni shida. Anyway nitajaribu tena angalau nipate siku tano tu.😁😁

  • @elizalutiga6287
    @elizalutiga6287 Před 3 lety +1

    Looooh

  • @olarivedu5588
    @olarivedu5588 Před 3 lety

    Thanda Island-najua baba ii-

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 Před 3 lety +1

    Shikamoo Pesa

  • @mariamsaid5655
    @mariamsaid5655 Před 3 lety +1

    Kwamba umesema tunaoga na papa 😃😃😃 kwani ni papa gani unamzungumzia

    • @fatmaharuon1313
      @fatmaharuon1313 Před 2 lety

      Papa potro anapatikana kisiwan mafya TU kwa tanzania

  • @Donrugi
    @Donrugi Před 3 lety +7

    Swali ni wanalimiliki hilo eneo la Tanzania??? Na waliuziwa na nani sehemu za kitalii ambazo zinakuwa ni sehemu ya uwekezaji wa taifa

    • @fettyabiola1389
      @fettyabiola1389 Před 3 lety +1

      Siku zote serikal humiliki sehemu hiyo bali ni eneo, na jengo ni la mtu mwenyew huku akilipa kodi na sehemu ya share za eneo alilopew,so serikal hupata fungu ya pesa zinazopatikana

    • @Donrugi
      @Donrugi Před 3 lety

      @@fettyabiola1389 kwa maana hiyo hata mm au mtu yeyote anaweza ruhusiwa kujenga sehem nyingine kama hiyo Kwa utaratibu ulio elezea wa kuwa analipia eneo na kodi?

    • @fettyabiola1389
      @fettyabiola1389 Před 3 lety

      @@Donrugi swadakta

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka Před rokem

    Kwa wenye nazo wanaona ni kidogo sana

  • @JKQGAME
    @JKQGAME Před 3 lety +2

    Nilishaendaga hapo 2010

  • @mikefirstbrand7582
    @mikefirstbrand7582 Před 3 lety +2

    💥💥💥

  • @johns-ud9hh
    @johns-ud9hh Před 3 lety

    Tanzania are been quarantined here.

  • @tousihhhh6765
    @tousihhhh6765 Před 3 lety +2

    namm nitaenda jaman had sasa natafuta namba za cm nipen jaman 🤣🤣🤣🏃‍♀️

  • @umunafisa7060
    @umunafisa7060 Před 3 lety +1

    Af wanapadharau

  • @djnangaxtwo2975
    @djnangaxtwo2975 Před 3 lety +1

    NIKWELI NPO MAFIA SASA KILINDONI KALIBUN SANA

  • @osamamvuoni7514
    @osamamvuoni7514 Před 4 měsíci

    Hello

  • @bashirberuwani1834
    @bashirberuwani1834 Před 3 lety +2

    Hapana ipo sehem nyingine yenye bei zaidi ya hapo Ngorongoro lodge leo nadani ya hifazi ya ngororngoro chumba $12000

  • @Nedjadist
    @Nedjadist Před 3 lety +1

    Kwa nini stori iko based juu ya fedha? Kwa nini hukuelezea tu kitu gani kipo, vipi mtu anaweza kwenda, na vipi nchi inavofaidika, uchafu wanaupeleka wapi, wamepangiwa kwa muda gani, historia ya mwenye kisiwa....kisha akamalizia kwa hiyo obssession yako ya fikra za kimaskini?

  • @kagileman5798
    @kagileman5798 Před 2 lety

    Iyo bei na Ya Zaman sana Sasaiv ni $22000 Sawa na Tz shilling ml 40 na chenga Kaka watu wanaish

  • @brayanphilipo1851
    @brayanphilipo1851 Před 3 lety

    Noma😎

  • @idrisamnyamisikhalifa4348

    Watu ambao c watanzania wanawezaje kumiliki ardhi nchini mwetu

  • @eliudwiston4206
    @eliudwiston4206 Před 3 lety

    #Milard Ayo hapo mmetudanganya bwana mimi ni hotelier nafahamu hapo ni $25000 Kwa usiku mmoja na lazima ubuku kwa siku tano ambayo ni 125000 USD Fanyeni uchunguzi vizuri

  • @donprinceabselhalims7421
    @donprinceabselhalims7421 Před 3 lety +1

    Shungi mbili 💪

  • @edlumala9428
    @edlumala9428 Před 3 lety +1

    Presidential suites four seasons Serengeti ni $11,000

  • @ericksangajr7173
    @ericksangajr7173 Před 3 lety +2

    Booking yake si mchezo hapo mi ndio nimepata nafasi juzi na siku yangu ya kulala ni mwezi ujao nitalala kwa wiki moja na nusu

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 Před 3 lety

      🤔😴😉😃😂😂😂😂🤣🤣🤣

    • @jacobkeleman8001
      @jacobkeleman8001 Před 3 lety +1

      🤣🤣🤣🤣 Sidhani wanaolala hapo wanaweza comment CZcams

  • @AIInsights23
    @AIInsights23 Před rokem

    nauza eneo karibu na hapo

  • @hassammohammed5046
    @hassammohammed5046 Před 3 lety +1

    Yani kisiwa hicho nakumbuka 2000 ilikua tunafikia na maboti yetu ya uvuvi leo kimekuwa kisiwa cha harama cha utalii....

  • @khadijahussein3089
    @khadijahussein3089 Před 3 lety

    Can someone tag irene uwoya on my behave aristoteeeeeee komesha

  • @christiannyamamba9089
    @christiannyamamba9089 Před 3 lety +1

    Inshaallah siku bado zipo wacha tupambane ntampeleka wife nikiuza nyumba ya urithi

  • @amosepimack399
    @amosepimack399 Před 3 lety

    English please!

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu10 Před 3 lety +2

    Nikweli nimelala sana hapo

  • @darajalakidatukilomgi2362

    Mapato ya hii Hoteli wanalipa kodi asilimia ngapi kwenye pato la Tanzania? Tuchunguze shule za Mafia mjini kama zina Madawati? Kama mgeni amewekeza kisiwani na anaingiza mamilioni kwa siku nategemea alipe kodi kwa serikali ya Tanzania kwa mamilioni hivyohivyo, mtujulishe kwanza hilo kabla ya kuchekelea burudani, hawa wazungu nakuwaga na wasiwasi nao wanachuma pesa kwenye Ardhi yetu na faida hawarudishi

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Před rokem

    Vitu vya kufanya vipo vingi sana.tupambane kutafuta mkwanja.

  • @abrahamreginald9858
    @abrahamreginald9858 Před 3 lety

    ok. nimebomoa mkopo NMB najiandaa kutimba hapo kesho kutwa.

  • @yelemiastephano7273
    @yelemiastephano7273 Před 3 lety

    Mhuu

  • @eddy4998
    @eddy4998 Před 3 lety +2

    Hapa leo milard umenigusa mm ni mtu wa mafia ila naiomba serikali yetu ya Tanzania waifatilie hii hotel inasemekana haijulikani ki serikali Yani haina usajili mm ni mtu wa utende mafia

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 Před 3 lety

      Nilihisi hivyo, nimejiuliza wamiliki sio Watanzania nani amewauzia Ardhi yetu? Na kama wamekodishiwa tuelezwe kodi wanalipa kiasi gani? Mamilioni hayo yangeendeleza shule na Hospitali zetu za Mafia

    • @eddy4998
      @eddy4998 Před 3 lety

      @@darajalakidatukilomgi2362 sahihi kabisa mafia ni kisiwa ambacho kinamapato mengi Sanaa kwa Sasa Kama serikali yetu ingewekeza kisawasawa kwenye utalii basi wangetengeneza pesa sanaa

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 Před 3 lety

      @@eddy4998 ukiona hivyo pesa inaenda mifukoni mwa wachache

  • @khatibumuba407
    @khatibumuba407 Před 3 lety

    kuitizama mafia inautalii mkubwa kabisa ambao wa kujulikana duniani

  • @junioryasin5306
    @junioryasin5306 Před 3 lety +2

    Next week ntaenda kuenjoy na mpenz wang japo kwa sku 3

  • @jerryjuma1339
    @jerryjuma1339 Před 3 lety

    Pakawaida Sana mbona?

  • @ngamanyajoshua839
    @ngamanyajoshua839 Před rokem

    Kisiwa kipo Zanzibar ila kinamilikiwa na Wa Sweden..okhh ok