DIAMOND PLATNUMZ: ATANGAZA NDOA, MCHUMBA?
Vložit
- čas přidán 13. 09. 2024
- (PART2) EXCLUSIVE INTERVIEW NA DIAMOND PLATNUMZ KWA MARA YA KWANZA TIMES FM BAADA YA KUTOKA TU KENYA, KAONGEA MENGI SANA KUHUSU BEEF NA MEDIA, ZARI, ALBUM YAKE, WEMA, ALIKIBA, KUFUNGIWA NYIMBO NK.
LilOmmyTV channel maalumu ya Burudani na EXCLUSIVE interview kutoka kwa mastaa unaowakubali.
Fatilia mahojiano ya moto na mastaa unaowakubali kujua kila kitu kuhusu Muziki na Maisha yao, #LilOmmy #THEMVP #KingOfInterviews anakukutanisha nao hapa hapa kwenye #LilOmmyTV
Let's Connect
/ lilommy
/ lilommy
/ lilommyfanpage
lilommy.com/
Hakikisha Subscribe, Gonga Like, Angusha Comment na Share kwenye WhatsApp Groups au Facebook na Twitter..... enjoy!
Hongera diamond platnumz kwa interview nzuri sana, umeonyesha kukerwa na baadhi ya maaumuzi na harakati(ftna,kubaniwa) za kukurudisha nyuma nakupongeza kwa kuweza kustahimili hayo yote nakusimama kwenye kile unachokiamini kwa kujitoa hata kua tayari kwenda jela kwa ajili ya bongo fleva. Maombi yangu kwako ukiwa miongoni mwa watu wenye nguvu ,uelewa na hamasa kubwa kwenye bongo fleva naona ni vyema sana ukaweka wazi hzo ftna na watu wanaozifanya pamoja na baadhi ya media kukukwamisha kwani ni wasanii wengi wanapitia kwenye hayo ambayo wewe umepitia na kwa bahati mbaya sana tasnia imekua ikipoteza wasanii wazuri. Kuna baadhi ya watu(wadau wa tasnia) na media wanaaminika/zinaaminika kwa kuwa tu tunajua yale mambo ambayo wanatuonyesha ila ni imani yangu kuwa endapo ukiliweka hilo wazi utakua umesaidia wasanii weng na tasnia kwa ujumla.
Fantastic........safi sana na hakuna obvious questions kama wanavyo uliza radio station nyingine....hii inamaanisha unafuatilia sana interview zote za mtu utakae mhoji.....nahii inaitwa kujiongeza.💯/💯✔
Mond upo vizuri kaka angu we fanya kazi mungu yupo pamoja na we ila zari ni wako tuu,
lil ommy ur the best presenter in town....together with simbaaaaaaa
Diamond nakuelewa sana lkn vile vile LilOmmy ww ni zaidi ya mtangazaji unajua sana hadi unakera,big up.
Pendeza sanaaa hii interview💟💟💟💟💟💞💞💞💝💝💝💝💝💝💝💝💝
kizazi sanaani umeongea kiakili saana maswali na majibu vyote viko strong big up
Platinuz umekomaa mzee,Big up sana.
Bongo flavour imekuwa kubwa Kwasababu ya chibu (simba Lion) @diamondplatnumz wewe ni kichwa🔥🔥big up
Diamond you are very smart artist, Nakuomba muoe shemeji yetu Zariiiiiiii the bos lady, she qualify to be our shemejiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
You left Zari now your sober congratulations mama langote now you have your son back
Lil Ommy uko vizuri,haubaatishi aisee
ludo kwamolawako achananamziki kunalana uko dogo
Wallah diamond nitakupenda zaidi ukifanya kazi na kiba. Simba&king please my brother
Diamond alizaliwa kwaniaba ya wa Tanzania Mungu ibaliki Tanzanian na watuwote
KWA jinsi alivyoongea blazza simba nahic mpaka waliokuwa wanajiita team kiba washakuwa mafans wake!! AMEN
Adi rahaha anavyoongea diamond eeee leo na comment sana😂😂😂😂🙆
Huyu jamaa ni noma sana, kwenye kujibu maswali ni mtaalamu na ni mtu ambaye anajitahidi kusema ukweli
Kuna watu wamezaliwa na akili za ziada,Diamond plutnumz
Musicians bring a lot of revenues in Tanzania, and that includes salaries for the so called politicians, hero kwa Diamond.
That y nampenda baby simba .he is always social and focused .lots of love to you baby handsome ,from joy mondi kenya
Mm ukisemaa wanatoaa ttuzooo lili ommy ur the baddest presenter aseehhhh hakunaaaw kammaaaa ww kwa sasa hapaa tz aiseeehhhhhhhhh 🔥🔥🔥🔝🔝🔝👏👏🔝🔝🔝🌍🌍🌍
doh, lil Ommy kiwango chako ni sawa na wale wa BBC. mond pia yupo fit kujeilezea japo mi sio mshabiki wake ila FRESH big up.
the best interview ever ever
Lil ommy ur the best presntr😍😍😍big up
honestly nimekukubali mind now najuwa mm ni funs wa music
Wow the guy (dai) ni mzuri katika responding
This man got brains....from +254 ..I love u
king #SIMBA
DIAMOND THE GREATEST 💎🎤🌟🌎🇹🇿
Good job Lil Ommy
yaaaa Diamond mheshimiwa sis tunampenda sana big gap sana
Hawakuezi Bro Baba Tiffah
I think this is the best interview i have watched in a couple of years,diamond got brains for a whole clan......hahahahaha,i love how he admits mistakes and doesn't give a hoot.WCB forever.
Fanya urudie zari bana she's the best woman you desv to spnd the rest of your life with😢😢😢wengine achia majirani
Very Good to be open you're the best musician Wasafi Diamond Platinum
NASIB ABDUL hapo nimekuelewa sanaa na mimi ntakuwa naachia ngoma zangu ijumaa ili waruke nazo club!! by t.o.y ,,big shoutout to MVP
Lilommy hii ilikuwa bonge moja interview ongera sn ommy maswali ya mana majib pia mazur sn
time hawana bifu na msanii yeyote nawakubali sana @LIL OMY nakukubali mzazi
Kiukweli mi team kiba lakini hii interview nimecheka sana ni nzuri mpka unajikuta unacheka kwa sauti
Nakupenda unajielewa japo kila binadam ana mapungufuyake so ww pekeyako 😍😍😍
❤️❤️❤️❤️tele kwa Diamond,kaka mtangazaji uko vizuri sana
PREACH DIAMOND..........Preach......Lil Ommy ....your show Kills
nic waallah mabrook broo D big up africa a bóy from tandale
interview nzuriiii haichoshi unatamani kuisikiliza tyuuuuuu. nmeenjoy ....
Liomi we ni shiiiiida. Brother diamond uko fire MUNGU Awalinde bana. Gonga like twende Pamoja. Napia gusa picha YANGU kwa gospel makini ndugu zangu. Napia usisahau Ku subscriber kushea na kutia comment yako chini
Du,Mondi yuko vizuri sana,big up,amazing interview
if you from +254 you get me when I say diamond speak ngeke datz like octopizo
hamza kwilaula 😀😀😀ngeke ni nn dear
I'm respect you my brother platinum's your took big points in interview
interview hii ni fire,,,,big up modi umeongea ukwel kwa ufupi umewaongelea wasanii wote wanyonge
iko quality
Nampendaga huyu kaka omy jamoon anajua kuulizaga maswali hadi raha... Kudos brooo
very good
Your the best bro genius world records is onto you coz you never fail interviews congrats bro
Dah mambo ni motoooo
Diamond do your thing, supporting you always.
🔥🔥🔥
Yes
I love this.. Nice guys.. Nice questions nice answers
@lilommytv...tumwagie full shoo,sisi wengine hatuishi bongo maboy na hatupati nafasi ya kusikiliza live,,,,,,big up sana homeboy
king of Africa Diamondplatnumz🔥🔥🔥🔥🔥
SIMBA + Lil omy = MOTOOOO
Nice
Mambo ni 🔥
😍😍😍😍
TIMOTHEO KILEO ❤️🔥
+queen_ btrice nichek humu bas 0752074838
queen_ btrice 😊😊
Michael Godfrey 🙏🏾
Interview nzuri kuliko zote zilizowahi kutokea Tanzania.
wewe jamaa upo vizuri sana kiakiri
Kwakuimba ku hakupati msanii yoyote. salut.. kama sio wewe bongofleva isingefika hapo. boonge la nyimbo SIKOMI. ila tu umeimba nyimbo kama hukomi lkn. unaba tu lkn hujifunzi nilidhani unaimba umeshajifunza lkn unaimba nyimbo umemsema wema kisha huyo huyo umemrudia.mh
Umeongea vizuri kwa hilo. wewe sio mtu wa kushindanishwa na msanii wa Tanzania yoyote. bora ulivyojitoa. waachie wajifuraishe..
czcams.com/video/BcbK3s1thwQ/video.html
💕💕💕
kutoka mbuga ya tandale 💯💯💯💯💯💯💯💯🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
"r.I.p_blauz fm
Ombeni Ibawa umenivunja mbavu sana duuuh blauzi
Uko sawa mond uko makin sana big up xana
Interview imekua tamu kwasababu kwa sasa mond anamaswali meng yanayohitaj majibu yake
Sema uyo mama mwenyewe kitengo amemkera asee
Great interview
Mpaka nimenunua MB mara 2 iv
nasibu muowe wema achana na malaya amisa kaka muputezee kumbuka maisha yako na wema
Makini brother simbaaa
i LOVE diamond i LOVE Lilommy 💗
Diamond unaakili sana
nice mond
Waziwaziwazi PLATINUM si si wakenya twwakupenda Sana bro we tu. Kuwait Paris kenyans in France twakungojea kwa maparty different like boat party and Africans clubs come on TANDALEBOY!!!
thnkx Dmond
The best interview ever👌👌👌
czcams.com/video/BcbK3s1thwQ/video.html
Diamond &wema much love
Diamond is a
Great inspiration
Diamond , you are good and talented.I like you my son, please keep it up, and be careful before geting married.
amazing unajua kujieleza sanaa
GREAT
lil ommy uko vizuri kijana big up kwako na mgeni wako mond
Kaz nzuri sana daimond pamoja na Lilom
Appreciate bro, coz unaongea fact mzee
Kumchukia huyu kijana na kumuwekea vikwazo NI kujitesa mwenyewe.....huyu mtoto NI Kama kaa la Moto hakamatiki yaani #hawezekani 🙌🙌🙌🙌
Yaaan ommy nimtangazajiiiii anauliza maswali yalionyoooka yaaan upo perfect💋
Kombo
Diamond amekua sasa 👏🏾👏🏾👏🏾
Daaah!!! Mond umemfanya nipate nguvu za ku haso coz nilishakata tamaa kwa maneno ya watu!!! Tanx sana
dude anajitambua sana, na atazid kuwaalbia wasanii wasiotaka mabadlko, big up blaza
Hongera Simbaaaaaaa..
Diamond ,jinsi ninavyopenda mziki wako ndivyo ninavyopenda kukuona na Zari.She's the best woman for you.
Hakika nime enjoy sana interview nzuri sana umenifurahisha kinoma chuki hazijengi mkuu I like that
mambo
Safi cmba
lil ommy you kill them
ww ndo presenter tanzania hii
TIMOTHEO KILEO kweli 🔥
+queen_ btrice wee mzur
TIMOTHEO KILEO Asante
kupendapenda uzuri, utapenda na majini broo!!
+queen_ btrice niache na contact basi beatres au nichek tsup 0752074838
🔥🔥🔥
Best Presenter In Town
stop commenting stupid stuff was he born with zari no relationship break up sometime for a reason so stop blaming Dee he had a good thing or life with zari you guys don't no those people and as we talk i have experience too you can't control a men on the media let him be do your work take care of the family he is a celeb...it's only him to control himself to do the right thing for the sake of the family guys let him move on with his life
Mashaallah diamound uwo ndo uwanaume 👏👏
Sanaaaaa ani kizazi sana
Dogo. Wewe. Mtata
Flora James kizazi san😃
hahahaaaaaa
u are de best ma brother
aminia lil omy
Diamond ni fireeeeeee