Assalam a'laikum sheikh Mimi Natamani sana uwe shekh wangu Wallah yaani uwe mwalimu wangu wa dini Kama una madrasa nahitaj kujiunga hata Kama si madrasa nahtaj uwe mwalimu wng tafadhal Nakuomba saana maana ctk kupotea😭 nahisi kwa kupata darasa zako zaidi nitakuwa ninavyotaman WALLAH🙏 tafadhal. Mimi kwenye simu sitosheki😭 nataman kufaham mengi zaidi Inshaallah
Lailah anta subhanallah kuntu mina dhawlimin *110 Allahu maina kaafun kariim tuhib hafufuana *100 Subhanallah wanihamdihi subhanallah laazimu *100 Lailah ih lallahu washarikalahu la muhukuh walhamdu yuhii wayumitu wahuwa ala kulishayn kadir *100 Awahu maswalala sayyid nah muhammad wa ali washabi wasalim *10/100
Masha allah mungu akuhifadhi shekhe wetu unatupa muongozo mzuri kuna jambo nilikuwa nimekwama kuna nyiradi ulio fundisha nilifatilia nyiradi hiyo nashukuru mungu nimepiga hatua alhamdulilah rabil a'allamina
Asalam aleikum, Allah akuzidishie umri na baraka tele. Kwasababu njia zangu ilikuwa zimefungika, kumswalia mtume kama ulivyo tufundisha, zote zimefunguka bidhnillah na kupata ambazo siku weza kutarajia. Yaniii ningependa kutoka ushuhuda kutokana na wema wa kumswalia mtume wetu, lakini naogopa mtandao. Allah Kareem na zaidi ya hayo ulitwambia tufanye dhikri hii Bali tusijaribu kwasababu Allah ajaribiwi na atajibu jawabu
Usiogope mtandao ndugu yang juu ya kutoa ushuhuda kwan amtegemeae Allah hadhalilik hata siku moja unavyo toa ushuhuda wapo ambayo sio waislam lkn wanasukiliza wengine wanaangalia comment za waislam tu kwaakili ya kujifunza
Sheikh wangu nakuomba umuombee kijana kutoka Kenya mwenye Sickle cell anemia,hakika huyu kijana amekata tamaa hdi anaomba msamaha jamaa zake.Huyu kulingana na story yake ni yatima kafiliwa na wazazi na dada zake wanne kwa siku moja.Kilicho mnusuru na kifo hicho alikuwa katika kuuguwa haya maradhi ndo akabakiya nyumbni. Jina anaitwa Micheal Jina lengine limenitoka lkn innshaAllah apate afueni kwa maradhi hayo.
Asalaam aleikum, Allah akujaalie kila la kheri ,akujaaie furaha, elimu na fahamu ,afya na mwisho mwema. Shukran kwa kutufundisha mambo ya kheri. Allah atakulipa Sheikh Othman.
Mashaa Allah Sheikh wetu Allah akupe kila la kheri duniani na Akhera. Hakika unatufunza mambo mema yenye misingi imara ya dini yetu. Jazakallahu l-kheir.
Aa Insh hjb shukran sana jazakallah kheri..alhamdullah naona mambo yangu ya funguka kuna kitu ilikua nakitaka alhamdullah nimejibiwa alhamdullah alhamdullah
Nilikosana namume wangu maswali usiku nadhua Kila siku Sasa nilipomaliza kuswali saa 9 nikaswali alifaj nikapatwa nausingiz gafla nikaota bwanaangu amekuja lkn amekasirika akaniomba maji ykuoga lkn Hana Raha then nikamuona kanakwa amebeba babaake kanakwamba amebeba kiti apo sikuelewa je yamanisha nn usitadhi
Asalam Aleikum warahmatullah wabarakatuhu nauliza ustadh jee usipokua tahara unapo leta dhikri hizo ulotuelezea jee yafaa kusoma na zile aya za quran pamoja na sura zake?
❤kusema ukweli kutoka moyon nilifanya kisha nikafunga baada ya kuftulu nikaswali natoka zangu chumbani chini ya mlango nimeona pete sijui ina maana gani kwangu me allah nilimuomba ulinzi juuu ya maadui zangu sasa jamani unaweza kunisaidia maana sielewi
Nilikosana n mume wangu sikutaraja pia kama itakua ivo lkn namka usiku naswali nasoma dua sasa nilipomaliza kuswali nilikujiwa nausingizi wagafla nikaota bwanaangu amekuja lkn amekasirika kweli akaniomba maji ykuoga bt hana raha then apo nikaona kana kwamba amebeba babaake kanakwama amebeba kiti lkn apo apakua apo tunapokaa sijui ilikua n wp yamanish nn hyo ndoto plz usitadh
Assalam Aleykum Sheikh, samahani sana nilikuwa nakuomba msaada wa kuandikiwa surat Yassin kwa kiswahili na surat walkiya. Allah azidi kukujaza heri kwa mafunzo yako
Asalkum sheikh me ninasuali naomba unite moyo me nilimuomba sana Allah anipunzishe uzazi but kipindi hichhicho ameniruzuku tena ujauzito bila kutarajia ....but nimeshkur sijui kher yangu niipi
Sheikh kwanza asante kwa darsa Allah akuweke allamdulillah, maana tunapata kujuwa vitu vizur kama hivi pia ninaswali nilazima tuzisome hizi adhikar zote tano au naweza kusoma mbili au tatu kwa sku?
Shekhee samahan naomba kuliza jee ni haki mume kuoa na kumficha mkewe hat alipoulizwa pia alikata lkn ukweli ni kwamba amefunga ndoa namwanamke mwingine jeee ina swih ndoa iyo au mke anawwz kuikubali
Alafu usitadhi uko kwenye swala zausiku kumuomba allah muwe na mawasiliano namumeo lkn uote bwanaako amekuja lkn amekasirika pia sio apo mnapokaanje inamaana gani
Asalam alykum warahmatulahi wabarakatuh.Naomba ushauri juu ya kazi yangu,mm ni house maid hpa Saudia,kipato changu nikidogo lkn nashukuru Mungu. Naeza nunua kazi kama hii lkn nitoke kwa boss huyu bila kumuaga juu siku nyingi nimemuomba aniongezee lkn bdo aniambia niende nymbni nikija aniongeze Mia.Inaniuma kuwa mahitaji yangu kuyakidhi ni vigumu hdi anidai 400 riyal nilikopa nikitaka kupeleka kijana wangu high school. Sasa mwezi wa 9 binti yangu atakikana kwenda University,na hpo ndo nitakuwa namaliza kulipa deni?.Nifanyeje juu hio ya kununua naeza pata hta ya 2000riyal kwa mwezi??.Haki nko njia panda nisadie Sheikh wangu nakuomba.
Naomba kuuliza izo dhikr yaan kumswalia mtume unaweza kufanya muda wowote? Au ni usk tu? Je ninaweza kusoma kdg alaf baadae nikamalizia kutokana ufinyu wa muda?
Assalam a'laikum sheikh Mimi Natamani sana uwe shekh wangu Wallah yaani uwe mwalimu wangu wa dini Kama una madrasa nahitaj kujiunga hata Kama si madrasa nahtaj uwe mwalimu wng tafadhal Nakuomba saana maana ctk kupotea😭 nahisi kwa kupata darasa zako zaidi nitakuwa ninavyotaman WALLAH🙏 tafadhal. Mimi kwenye simu sitosheki😭 nataman kufaham mengi zaidi Inshaallah
Lailah anta subhanallah kuntu mina dhawlimin *110
Allahu maina kaafun kariim tuhib hafufuana *100
Subhanallah wanihamdihi subhanallah laazimu *100
Lailah ih lallahu washarikalahu la muhukuh walhamdu yuhii wayumitu wahuwa ala kulishayn kadir *100
Awahu maswalala sayyid nah muhammad wa ali washabi wasalim *10/100
Masha allah mungu akuhifadhi shekhe wetu unatupa muongozo mzuri kuna jambo nilikuwa nimekwama kuna nyiradi ulio fundisha nilifatilia nyiradi hiyo nashukuru mungu nimepiga hatua alhamdulilah rabil a'allamina
Asalam aleikum, Allah akuzidishie umri na baraka tele. Kwasababu njia zangu ilikuwa zimefungika, kumswalia mtume kama ulivyo tufundisha, zote zimefunguka bidhnillah na kupata ambazo siku weza kutarajia. Yaniii ningependa kutoka ushuhuda kutokana na wema wa kumswalia mtume wetu, lakini naogopa mtandao. Allah Kareem na zaidi ya hayo ulitwambia tufanye dhikri hii Bali tusijaribu kwasababu Allah ajaribiwi na atajibu jawabu
Usiogope mtandao ndugu yang juu ya kutoa ushuhuda kwan amtegemeae Allah hadhalilik hata siku moja unavyo toa ushuhuda wapo ambayo sio waislam lkn wanasukiliza wengine wanaangalia comment za waislam tu kwaakili ya kujifunza
Maa shaa Allah,Allah azidi kukufungulia Habibty
MashaaAllah umemswalia mtume kwa muda gan ?
Shekh Otmani Allah akuzidishie umri mrefu. Na akulinde dhidi ya maadui wanaopinga kazi unayoifanya.
Masha Allah Sheikh wetu,Allah akujalie afya njema na umri mrefu ili somo lako liwe ni endelevu kwa walioamini.
Shukran saana sheikh wetu, Allah akulipe kheyri kwa ukumbusho mashallah
Sheikh wangu nakuomba umuombee kijana kutoka Kenya mwenye Sickle cell anemia,hakika huyu kijana amekata tamaa hdi anaomba msamaha jamaa zake.Huyu kulingana na story yake ni yatima kafiliwa na wazazi na dada zake wanne kwa siku moja.Kilicho mnusuru na kifo hicho alikuwa katika kuuguwa haya maradhi ndo akabakiya nyumbni. Jina anaitwa Micheal Jina lengine limenitoka lkn innshaAllah apate afueni kwa maradhi hayo.
A/alaykum sheik Allah atakulipa kwa kutujunza mengi ya kheri na yenye mafanikio kwetu kwa hakika tunafaidika na mawaidha yko Alhamdulillah
MASHALLAH SHEHK MWENYEZI Mungu akupe neema yakuweza kutuelimisha zaidi na zaidi inshallah
Asalaam aleikum, Allah akujaalie kila la kheri ,akujaaie furaha, elimu na fahamu ,afya na mwisho mwema. Shukran kwa kutufundisha mambo ya kheri. Allah atakulipa Sheikh Othman.
Amin
Shukran sana shekhe wetu Alla akulipe khery daima ww nafamilia yako nawaislamu kwaujumla
Amiin
Asalam alaykum waramatullah wabarakatuhu shukran sheikh wetu akuzidishie umri na afya njema na akujalie mwisho mwema inshaallah
Asante shekhe kwa kutufundisha dua tunafaidika sana mashallah allah akulipe kheri
Shukran sheikh Allah akujazie kheri katika mambo yako
❤asalamualaikum warahmatuu Allah wabarakatu mashaallah tabarakaallah shukraan jazakaallahul kheeyr yasheikhuunah wabaadhal kheeyr janathu firdaus iwemaakazi yako pamoja nafamilia nzima yarabal alamin
Asalaam alaykum warahma tullahy wabarakatuh shekhe mm naitwa hafswa naomba uniombee juu ya ndoa yng na maisha yangue mtihan
Alhamdullillah Allah akupe umri mrefu Sheikh uendelee kutuelimisha Inshallah
Mashaa Allah Sheikh wetu Allah akupe kila la kheri duniani na Akhera. Hakika unatufunza mambo mema yenye misingi imara ya dini yetu. Jazakallahu l-kheir.
Aa Insh hjb shukran sana jazakallah kheri..alhamdullah naona mambo yangu ya funguka kuna kitu ilikua nakitaka alhamdullah nimejibiwa alhamdullah alhamdullah
Allwa akujalie kila la kher inshallah tuko pamoja sana shehema wetu allwa akulinde na kila shari INSHALLAH
Asante kwa darasa nzuri unaelimisha umms wa kiislam
Jazakallahu khaira , Allah akupe umri mrefu wenye kheri
Mashallah mashallah mashallah Hongera sannaaa Allah akubarik akujaalie kila la kheri Inshallah
Jazaka llah kheir
Mashallah jazakallahu kheri usitadhi
Nilikosana namume wangu maswali usiku nadhua Kila siku Sasa nilipomaliza kuswali saa 9 nikaswali alifaj nikapatwa nausingiz gafla nikaota bwanaangu amekuja lkn amekasirika akaniomba maji ykuoga lkn Hana Raha then nikamuona kanakwa amebeba babaake kanakwamba amebeba kiti apo sikuelewa je yamanisha nn usitadhi
Assalamu alaikum warahmatullah,hakika Allah akuzidishie umri wenye manufaa inshaallah
Mwenyezi mungu akujaalie shekhe
Asalam aleikum.umenibadilisha pakubwa maishani mwangu.
Allah akuhifadhi kwa Kila Shari za Dunia Na akheira akupe umri uzidi kutuzindua kwa kuyaendea yalo Na kheiri tuyaepuke kwa ya Shari!
Nakuombea Kwa Mola akupe Rehema zake akukinge na Hasada Amin
AllAH..akupeafya.njema.shekh.wetu.uzidi.kutupa.mwangaza.maana.wengiwetu.tunaswali.t.nyiradi.hutuzijui.
Ya Allah takbari our duaa 🙏
Shukran sana sheikh Allah barik
Asalam Aleikum warahmatullah wabarakatuhu nauliza ustadh jee usipokua tahara unapo leta dhikri hizo ulotuelezea jee yafaa kusoma na zile aya za quran pamoja na sura zake?
mashallah mungu akupe umri mferu sheeh tuzid kupat marifa
❤kusema ukweli kutoka moyon nilifanya kisha nikafunga baada ya kuftulu nikaswali natoka zangu chumbani chini ya mlango nimeona pete sijui ina maana gani kwangu me allah nilimuomba ulinzi juuu ya maadui zangu sasa jamani unaweza kunisaidia maana sielewi
Pete ya mafanikio wew unaikimbia Vaa Pete hio
Shekh m nilixhawah amswalia mtu Kam ulivyotoa nilipat na shoti mkonono kila nikixhika nahixi kinanitetemexha Allah akbar
Shukran sheikh
Masha allah upofanya jambo Kwa Iman ndio inavyokua
Nyiradi gani hiyo ulifanya na ulifanyakwahidafigani?
Shekhe allah akupe umri mrefu sana uzidi kutupa dawa ya moyo
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh sheikh maanshaallah tabarakallah kheir
Jazakallah kheir tunashukur sana
Sheikh na mie naomba uniombee dua ya family watu waweze kuelewana na kupendhana maana imekuwa mthihani wallahi
Mashaallah shukran
Shukran sheikh
Kiukwel Shekhe katuokoa sehemu kubwa sana Allah amzidishie kheri
Asalamu alaykum
Shekh mm nafuatilia sana video 📷 zako you tube ila Sasa hivi nimeamua kujiunga moja kwamoja mana Kuna vingine Nina vikosa
Napenda sana mafundisho yako mana yanaelewa la sana Alla akupe afya njema uweze kututoa ktk Giza na kutupeleka ktk nuru ishaallah
Mungu akuhifadhi kama alivyo wahi fadhi mitume na masswahaba zake wwna familia zako pamoja nass waislamu wote Kwa ujumla ishaallah
Kiukwel ni alhamdulilah hatuna bud zaid ya kumshumshukur mungu🙏
MashaAllah Allah bariq 🤲🤲🤲🤲
Allah akuongezee elimu uzidi kutufunza
Nilikosana n mume wangu sikutaraja pia kama itakua ivo lkn namka usiku naswali nasoma dua sasa nilipomaliza kuswali nilikujiwa nausingizi wagafla nikaota bwanaangu amekuja lkn amekasirika kweli akaniomba maji ykuoga bt hana raha then apo nikaona kana kwamba amebeba babaake kanakwama amebeba kiti lkn apo apakua apo tunapokaa sijui ilikua n wp yamanish nn hyo ndoto plz usitadh
jazakkaAllahu kheiran
Mashallah sherk napenda sana darasa zako likini tatizo langu sijui kusoma Qur'an nankombali kikazi nashidwa nkujisadia but naimani ntajua tu inshallah
Tafuta mtu awe anakuandikia kwa maandishi ya kiswahili
@@rahmamohamed6912 xwa asnte
@@umazimwambezi8092
Welcome
Jitahidi kujua mimi niko manjeri ya tanzania lkn maji fun za quraani kupitia simu utube
Aa nunua mas-haf ya tafsir
Nilifata maelekezo yako jinx ya kumswalia mtume mohmmad wallah m shoti ilinipata mikononi kila nikixhika sehemu panitetemexha allahu akbar
Mansha Allah
MASHALLAH ,PIA MIMI❤
Mimi niliskia mgongoni na kichwa yani sikuelewa Allah nimkubwa alhamdulillah sai nafanya kila siku
Nieleweshe jamani
Ni raka mbili za usiku eeeh
Inshaallah kheri nita fanya hivo
Shukrn Sana allha akubari
Jazzakallah khaillah
Amiin InshaAllah
Wallahi kweli unachokisema
MashAAllah ❤
Assalam Aleykum Sheikh, samahani sana nilikuwa nakuomba msaada wa kuandikiwa surat Yassin kwa kiswahili na surat walkiya. Allah azidi kukujaza heri kwa mafunzo yako
Shukran shekh
inxhaAllah ntfnya ivo
Asalkum sheikh me ninasuali naomba unite moyo me nilimuomba sana Allah anipunzishe uzazi but kipindi hichhicho ameniruzuku tena ujauzito bila kutarajia ....but nimeshkur sijui kher yangu niipi
Ipo kheri kubwasana taraj
Nafuraha kubwa nahix Kuna jambo zuri linakuj Maan furah yangu ni yaajabu kweli cjawah kuw na furah km hii
@@Twahilikhamisi kivip umekusudia nini
@@jamilafuad-5702 maneno yak t Maan mkewng kajifungua mtoto na ww umepat ujauzito had raha
Ata mmbo yako yasipofunguka ila utapata swawab na kujijengea akhela yako
Allah akulipe
Asante shkeh
Alhamdullillah. Mashaallah jazakallah kheri.
Sheikh kwanza asante kwa darsa Allah akuweke allamdulillah, maana tunapata kujuwa vitu vizur kama hivi pia ninaswali nilazima tuzisome hizi adhikar zote tano au naweza kusoma mbili au tatu kwa sku?
Shekhee samahan naomba kuliza jee ni haki mume kuoa na kumficha mkewe hat alipoulizwa pia alikata lkn ukweli ni kwamba amefunga ndoa namwanamke mwingine jeee ina swih ndoa iyo au mke anawwz kuikubali
Mashaallah
Assallamu alleikum shekhe hizo Dua zote unasoma usiku mmoja
Mashllh akulip kila lenye heri na ww
Allah akuhifadhi
Samahani shekhe ,,mbona naota baba yangu amekufa wakat yuko hai
Alafu usitadhi uko kwenye swala zausiku kumuomba allah muwe na mawasiliano namumeo lkn uote bwanaako amekuja lkn amekasirika pia sio apo mnapokaanje inamaana gani
Shukran
shukran
Shekh hizo dua zote ulizozisoma hazina kitabu klichondikwa kiarabu cha kiswahili.mwenye anajua a isaidie jmn.
Asalaam alaykum naombeni anaejua hizi nyiradi aniandikie tafadhali iyo ya tatu imenishinda nawaombeni
Naomba kuandikiwa kiswahili
Asalam alykum warahmatulahi wabarakatuh.Naomba ushauri juu ya kazi yangu,mm ni house maid hpa Saudia,kipato changu nikidogo lkn nashukuru Mungu. Naeza nunua kazi kama hii lkn nitoke kwa boss huyu bila kumuaga juu siku nyingi nimemuomba aniongezee lkn bdo aniambia niende nymbni nikija aniongeze Mia.Inaniuma kuwa mahitaji yangu kuyakidhi ni vigumu hdi anidai 400 riyal nilikopa nikitaka kupeleka kijana wangu high school. Sasa mwezi wa 9 binti yangu atakikana kwenda University,na hpo ndo nitakuwa namaliza kulipa deni?.Nifanyeje juu hio ya kununua naeza pata hta ya 2000riyal kwa mwezi??.Haki nko njia panda nisadie Sheikh wangu nakuomba.
Masha allah
Naomba kuuliza izo dhikr yaan kumswalia mtume unaweza kufanya muda wowote? Au ni usk tu? Je ninaweza kusoma kdg alaf baadae nikamalizia kutokana ufinyu wa muda?
Kama hujui kiarabu kuisoma je kusikiza ni kheri pia