USIKU SAA 9 TOA CHOZI SOMA NYIRADI NZITO HIZI OMBA DUA MUDA MREFU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024

Komentáře • 123

  • @JimmyKirumbi-ys4cz
    @JimmyKirumbi-ys4cz Před rokem +12

    Assalam a'laikum sheikh Mimi Natamani sana uwe shekh wangu Wallah yaani uwe mwalimu wangu wa dini Kama una madrasa nahitaj kujiunga hata Kama si madrasa nahtaj uwe mwalimu wng tafadhal Nakuomba saana maana ctk kupotea😭 nahisi kwa kupata darasa zako zaidi nitakuwa ninavyotaman WALLAH🙏 tafadhal. Mimi kwenye simu sitosheki😭 nataman kufaham mengi zaidi Inshaallah

  • @user-pb8kc1lv9t
    @user-pb8kc1lv9t Před 8 měsíci +11

    Lailah anta subhanallah kuntu mina dhawlimin *110
    Allahu maina kaafun kariim tuhib hafufuana *100
    Subhanallah wanihamdihi subhanallah laazimu *100
    Lailah ih lallahu washarikalahu la muhukuh walhamdu yuhii wayumitu wahuwa ala kulishayn kadir *100
    Awahu maswalala sayyid nah muhammad wa ali washabi wasalim *10/100

  • @nabilajafar180
    @nabilajafar180 Před rokem +9

    Masha allah mungu akuhifadhi shekhe wetu unatupa muongozo mzuri kuna jambo nilikuwa nimekwama kuna nyiradi ulio fundisha nilifatilia nyiradi hiyo nashukuru mungu nimepiga hatua alhamdulilah rabil a'allamina

  • @aishangina8588
    @aishangina8588 Před rokem +33

    Asalam aleikum, Allah akuzidishie umri na baraka tele. Kwasababu njia zangu ilikuwa zimefungika, kumswalia mtume kama ulivyo tufundisha, zote zimefunguka bidhnillah na kupata ambazo siku weza kutarajia. Yaniii ningependa kutoka ushuhuda kutokana na wema wa kumswalia mtume wetu, lakini naogopa mtandao. Allah Kareem na zaidi ya hayo ulitwambia tufanye dhikri hii Bali tusijaribu kwasababu Allah ajaribiwi na atajibu jawabu

    • @asiahamis7893
      @asiahamis7893 Před rokem +5

      Usiogope mtandao ndugu yang juu ya kutoa ushuhuda kwan amtegemeae Allah hadhalilik hata siku moja unavyo toa ushuhuda wapo ambayo sio waislam lkn wanasukiliza wengine wanaangalia comment za waislam tu kwaakili ya kujifunza

    • @mwadawaidd1751
      @mwadawaidd1751 Před rokem

      Maa shaa Allah,Allah azidi kukufungulia Habibty

    • @user-wg2ex6wq4r
      @user-wg2ex6wq4r Před rokem

      MashaaAllah umemswalia mtume kwa muda gan ?

    • @RWANOMBEASHIRU-nh5xt
      @RWANOMBEASHIRU-nh5xt Před 9 měsíci +1

      Shekh Otmani Allah akuzidishie umri mrefu. Na akulinde dhidi ya maadui wanaopinga kazi unayoifanya.

  • @alimsuya8466
    @alimsuya8466 Před 5 měsíci +2

    Masha Allah Sheikh wetu,Allah akujalie afya njema na umri mrefu ili somo lako liwe ni endelevu kwa walioamini.

  • @ashurakabura7268
    @ashurakabura7268 Před 10 měsíci +2

    Shukran saana sheikh wetu, Allah akulipe kheyri kwa ukumbusho mashallah

  • @halimandune7317
    @halimandune7317 Před rokem +7

    Sheikh wangu nakuomba umuombee kijana kutoka Kenya mwenye Sickle cell anemia,hakika huyu kijana amekata tamaa hdi anaomba msamaha jamaa zake.Huyu kulingana na story yake ni yatima kafiliwa na wazazi na dada zake wanne kwa siku moja.Kilicho mnusuru na kifo hicho alikuwa katika kuuguwa haya maradhi ndo akabakiya nyumbni. Jina anaitwa Micheal Jina lengine limenitoka lkn innshaAllah apate afueni kwa maradhi hayo.

  • @AshaAlly-vy1yl
    @AshaAlly-vy1yl Před 11 měsíci +1

    A/alaykum sheik Allah atakulipa kwa kutujunza mengi ya kheri na yenye mafanikio kwetu kwa hakika tunafaidika na mawaidha yko Alhamdulillah

  • @fatumakambi960
    @fatumakambi960 Před rokem +1

    MASHALLAH SHEHK MWENYEZI Mungu akupe neema yakuweza kutuelimisha zaidi na zaidi inshallah

  • @NaseemKhan-hh6vi
    @NaseemKhan-hh6vi Před rokem +3

    Asalaam aleikum, Allah akujaalie kila la kheri ,akujaaie furaha, elimu na fahamu ,afya na mwisho mwema. Shukran kwa kutufundisha mambo ya kheri. Allah atakulipa Sheikh Othman.

  • @user-fe9jc5di9f
    @user-fe9jc5di9f Před rokem +9

    Shukran sana shekhe wetu Alla akulipe khery daima ww nafamilia yako nawaislamu kwaujumla

  • @halimakenya3632
    @halimakenya3632 Před rokem +1

    Asalam alaykum waramatullah wabarakatuhu shukran sheikh wetu akuzidishie umri na afya njema na akujalie mwisho mwema inshaallah

  • @user-sh7id8of5m
    @user-sh7id8of5m Před 11 měsíci

    Asante shekhe kwa kutufundisha dua tunafaidika sana mashallah allah akulipe kheri

  • @DelightfulPenguin-wk4kv
    @DelightfulPenguin-wk4kv Před 5 měsíci

    Shukran sheikh Allah akujazie kheri katika mambo yako

  • @Shabankitunga
    @Shabankitunga Před rokem +1

    ❤asalamualaikum warahmatuu Allah wabarakatu mashaallah tabarakaallah shukraan jazakaallahul kheeyr yasheikhuunah wabaadhal kheeyr janathu firdaus iwemaakazi yako pamoja nafamilia nzima yarabal alamin

  • @hafswashali7583
    @hafswashali7583 Před 4 měsíci +1

    Asalaam alaykum warahma tullahy wabarakatuh shekhe mm naitwa hafswa naomba uniombee juu ya ndoa yng na maisha yangue mtihan

  • @zenajaha3222
    @zenajaha3222 Před 8 měsíci

    Alhamdullillah Allah akupe umri mrefu Sheikh uendelee kutuelimisha Inshallah

  • @zeyanamohamed778
    @zeyanamohamed778 Před rokem

    Mashaa Allah Sheikh wetu Allah akupe kila la kheri duniani na Akhera. Hakika unatufunza mambo mema yenye misingi imara ya dini yetu. Jazakallahu l-kheir.

  • @faizunmohd9839
    @faizunmohd9839 Před rokem +2

    Aa Insh hjb shukran sana jazakallah kheri..alhamdullah naona mambo yangu ya funguka kuna kitu ilikua nakitaka alhamdullah nimejibiwa alhamdullah alhamdullah

  • @user-dc2nv3lu9l
    @user-dc2nv3lu9l Před rokem

    Allwa akujalie kila la kher inshallah tuko pamoja sana shehema wetu allwa akulinde na kila shari INSHALLAH

  • @user-ub8jz8cb8q
    @user-ub8jz8cb8q Před 9 měsíci

    Asante kwa darasa nzuri unaelimisha umms wa kiislam

  • @nuhusaid1103
    @nuhusaid1103 Před rokem

    Jazakallahu khaira , Allah akupe umri mrefu wenye kheri

  • @zammalik2956
    @zammalik2956 Před rokem

    Mashallah mashallah mashallah Hongera sannaaa Allah akubarik akujaalie kila la kheri Inshallah

  • @AishaMsungi-hm8rd
    @AishaMsungi-hm8rd Před 6 měsíci +1

    Jazaka llah kheir

  • @mwanalima
    @mwanalima Před rokem +1

    Mashallah jazakallahu kheri usitadhi

    • @mwanalima
      @mwanalima Před rokem

      Nilikosana namume wangu maswali usiku nadhua Kila siku Sasa nilipomaliza kuswali saa 9 nikaswali alifaj nikapatwa nausingiz gafla nikaota bwanaangu amekuja lkn amekasirika akaniomba maji ykuoga lkn Hana Raha then nikamuona kanakwa amebeba babaake kanakwamba amebeba kiti apo sikuelewa je yamanisha nn usitadhi

  • @HalimaSaidi-jo9ng
    @HalimaSaidi-jo9ng Před 4 měsíci

    Assalamu alaikum warahmatullah,hakika Allah akuzidishie umri wenye manufaa inshaallah

  • @MaishaMponda
    @MaishaMponda Před 4 měsíci

    Mwenyezi mungu akujaalie shekhe

  • @shabanmurenga9203
    @shabanmurenga9203 Před 7 měsíci +2

    Asalam aleikum.umenibadilisha pakubwa maishani mwangu.

  • @MwanasitiKessi-uo7ce
    @MwanasitiKessi-uo7ce Před rokem

    Allah akuhifadhi kwa Kila Shari za Dunia Na akheira akupe umri uzidi kutuzindua kwa kuyaendea yalo Na kheiri tuyaepuke kwa ya Shari!

    • @user-pe2rv8bc5d
      @user-pe2rv8bc5d Před 10 měsíci

      Nakuombea Kwa Mola akupe Rehema zake akukinge na Hasada Amin

  • @user-yh6sz9yr6e
    @user-yh6sz9yr6e Před rokem

    AllAH..akupeafya.njema.shekh.wetu.uzidi.kutupa.mwangaza.maana.wengiwetu.tunaswali.t.nyiradi.hutuzijui.

  • @user-pb8kc1lv9t
    @user-pb8kc1lv9t Před 6 měsíci

    Ya Allah takbari our duaa 🙏

  • @fatihaal-amoody6308
    @fatihaal-amoody6308 Před rokem +1

    Shukran sana sheikh Allah barik

    • @fatihaal-amoody6308
      @fatihaal-amoody6308 Před rokem

      Asalam Aleikum warahmatullah wabarakatuhu nauliza ustadh jee usipokua tahara unapo leta dhikri hizo ulotuelezea jee yafaa kusoma na zile aya za quran pamoja na sura zake?

  • @zaitunjuma870
    @zaitunjuma870 Před 11 měsíci

    mashallah mungu akupe umri mferu sheeh tuzid kupat marifa

  • @sophiaissay6307
    @sophiaissay6307 Před 6 měsíci +1

    ❤kusema ukweli kutoka moyon nilifanya kisha nikafunga baada ya kuftulu nikaswali natoka zangu chumbani chini ya mlango nimeona pete sijui ina maana gani kwangu me allah nilimuomba ulinzi juuu ya maadui zangu sasa jamani unaweza kunisaidia maana sielewi

  • @Twahilikhamisi
    @Twahilikhamisi Před rokem +9

    Shekh m nilixhawah amswalia mtu Kam ulivyotoa nilipat na shoti mkonono kila nikixhika nahixi kinanitetemexha Allah akbar

  • @user-sh7id8of5m
    @user-sh7id8of5m Před 11 měsíci

    Shekhe allah akupe umri mrefu sana uzidi kutupa dawa ya moyo

  • @nkurunzizaabdul-aziz7211

    Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh sheikh maanshaallah tabarakallah kheir
    Jazakallah kheir tunashukur sana

  • @AsmaAbdallah-qr3hs
    @AsmaAbdallah-qr3hs Před 3 měsíci

    Sheikh na mie naomba uniombee dua ya family watu waweze kuelewana na kupendhana maana imekuwa mthihani wallahi

  • @abdulragmababdulsalam5107

    Mashaallah shukran

  • @AdamZome-fh5jf
    @AdamZome-fh5jf Před 10 měsíci

    Shukran sheikh

  • @nadyasuleiman6537
    @nadyasuleiman6537 Před rokem

    Kiukwel Shekhe katuokoa sehemu kubwa sana Allah amzidishie kheri

    • @RizikiMuhamed-si5gj
      @RizikiMuhamed-si5gj Před 10 měsíci

      Asalamu alaykum

    • @RizikiMuhamed-si5gj
      @RizikiMuhamed-si5gj Před 10 měsíci

      Shekh mm nafuatilia sana video 📷 zako you tube ila Sasa hivi nimeamua kujiunga moja kwamoja mana Kuna vingine Nina vikosa

    • @RizikiMuhamed-si5gj
      @RizikiMuhamed-si5gj Před 10 měsíci

      Napenda sana mafundisho yako mana yanaelewa la sana Alla akupe afya njema uweze kututoa ktk Giza na kutupeleka ktk nuru ishaallah

    • @RizikiMuhamed-si5gj
      @RizikiMuhamed-si5gj Před 10 měsíci

      Mungu akuhifadhi kama alivyo wahi fadhi mitume na masswahaba zake wwna familia zako pamoja nass waislamu wote Kwa ujumla ishaallah

  • @peltrinechebet-xe2wd
    @peltrinechebet-xe2wd Před rokem

    Kiukwel ni alhamdulilah hatuna bud zaid ya kumshumshukur mungu🙏

  • @futmamohamed7032
    @futmamohamed7032 Před rokem

    MashaAllah Allah bariq 🤲🤲🤲🤲

  • @buhitexmohamed4785
    @buhitexmohamed4785 Před rokem

    Allah akuongezee elimu uzidi kutufunza

  • @mwanalima
    @mwanalima Před rokem +2

    Nilikosana n mume wangu sikutaraja pia kama itakua ivo lkn namka usiku naswali nasoma dua sasa nilipomaliza kuswali nilikujiwa nausingizi wagafla nikaota bwanaangu amekuja lkn amekasirika kweli akaniomba maji ykuoga bt hana raha then apo nikaona kana kwamba amebeba babaake kanakwama amebeba kiti lkn apo apakua apo tunapokaa sijui ilikua n wp yamanish nn hyo ndoto plz usitadh

  • @salimnamusasi558
    @salimnamusasi558 Před 10 měsíci

    jazakkaAllahu kheiran

  • @umazimwambezi8092
    @umazimwambezi8092 Před rokem +4

    Mashallah sherk napenda sana darasa zako likini tatizo langu sijui kusoma Qur'an nankombali kikazi nashidwa nkujisadia but naimani ntajua tu inshallah

  • @Twahilikhamisi
    @Twahilikhamisi Před rokem +26

    Nilifata maelekezo yako jinx ya kumswalia mtume mohmmad wallah m shoti ilinipata mikononi kila nikixhika sehemu panitetemexha allahu akbar

  • @AminaAmina-mv4ko
    @AminaAmina-mv4ko Před rokem +1

    Inshaallah kheri nita fanya hivo

  • @fatumakale7004
    @fatumakale7004 Před rokem

    Shukrn Sana allha akubari

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Před rokem

    Jazzakallah khaillah

  • @FatinaKiondo-ke9tq
    @FatinaKiondo-ke9tq Před 6 měsíci +1

    Amiin InshaAllah

  • @MahraMansoor5969
    @MahraMansoor5969 Před rokem +2

    Wallahi kweli unachokisema

  • @bfofficial1735
    @bfofficial1735 Před 5 měsíci

    MashAAllah ❤

  • @rehemamallya1136
    @rehemamallya1136 Před 4 měsíci

    Assalam Aleykum Sheikh, samahani sana nilikuwa nakuomba msaada wa kuandikiwa surat Yassin kwa kiswahili na surat walkiya. Allah azidi kukujaza heri kwa mafunzo yako

  • @Catherine-mh8sw
    @Catherine-mh8sw Před rokem

    Shukran shekh

  • @noornzanze2373
    @noornzanze2373 Před rokem

    inxhaAllah ntfnya ivo

  • @jamilafuad-5702
    @jamilafuad-5702 Před rokem +3

    Asalkum sheikh me ninasuali naomba unite moyo me nilimuomba sana Allah anipunzishe uzazi but kipindi hichhicho ameniruzuku tena ujauzito bila kutarajia ....but nimeshkur sijui kher yangu niipi

    • @othmanmichaelonline2866
      @othmanmichaelonline2866  Před rokem

      Ipo kheri kubwasana taraj

    • @Twahilikhamisi
      @Twahilikhamisi Před rokem

      Nafuraha kubwa nahix Kuna jambo zuri linakuj Maan furah yangu ni yaajabu kweli cjawah kuw na furah km hii

    • @jamilafuad-5702
      @jamilafuad-5702 Před rokem

      @@Twahilikhamisi kivip umekusudia nini

    • @Twahilikhamisi
      @Twahilikhamisi Před rokem

      @@jamilafuad-5702 maneno yak t Maan mkewng kajifungua mtoto na ww umepat ujauzito had raha

    • @Habibu_manda
      @Habibu_manda Před rokem

      Ata mmbo yako yasipofunguka ila utapata swawab na kujijengea akhela yako

  • @user-gy9cf2le8t
    @user-gy9cf2le8t Před 8 měsíci

    Allah akulipe

  • @user-vc8hg9qp9n
    @user-vc8hg9qp9n Před 10 měsíci +1

    Asante shkeh

  • @asiamohd5516
    @asiamohd5516 Před rokem

    Alhamdullillah. Mashaallah jazakallah kheri.

  • @rehemaliloko5700
    @rehemaliloko5700 Před rokem +1

    Sheikh kwanza asante kwa darsa Allah akuweke allamdulillah, maana tunapata kujuwa vitu vizur kama hivi pia ninaswali nilazima tuzisome hizi adhikar zote tano au naweza kusoma mbili au tatu kwa sku?

  • @zaitunjuma870
    @zaitunjuma870 Před 11 měsíci

    Shekhee samahan naomba kuliza jee ni haki mume kuoa na kumficha mkewe hat alipoulizwa pia alikata lkn ukweli ni kwamba amefunga ndoa namwanamke mwingine jeee ina swih ndoa iyo au mke anawwz kuikubali

  • @mohamedmjange5585
    @mohamedmjange5585 Před 6 měsíci

    Mashaallah

  • @FatumaKamtwanje
    @FatumaKamtwanje Před 4 měsíci

    Assallamu alleikum shekhe hizo Dua zote unasoma usiku mmoja

  • @PatimaMakame-wx9sz
    @PatimaMakame-wx9sz Před rokem

    Mashllh akulip kila lenye heri na ww

  • @HabibaYusufu-wc7se
    @HabibaYusufu-wc7se Před rokem +1

    Allah akuhifadhi

  • @ruqairembuta8581
    @ruqairembuta8581 Před 5 měsíci

    Samahani shekhe ,,mbona naota baba yangu amekufa wakat yuko hai

  • @mwanalima
    @mwanalima Před rokem

    Alafu usitadhi uko kwenye swala zausiku kumuomba allah muwe na mawasiliano namumeo lkn uote bwanaako amekuja lkn amekasirika pia sio apo mnapokaanje inamaana gani

  • @mommywarda5529
    @mommywarda5529 Před rokem

    Shukran

  • @FatumaShaban-tf5kv
    @FatumaShaban-tf5kv Před 9 měsíci

    shukran

  • @justaamos2548
    @justaamos2548 Před rokem

    Shekh hizo dua zote ulizozisoma hazina kitabu klichondikwa kiarabu cha kiswahili.mwenye anajua a isaidie jmn.

  • @claraligola6559
    @claraligola6559 Před 5 měsíci

    Asalaam alaykum naombeni anaejua hizi nyiradi aniandikie tafadhali iyo ya tatu imenishinda nawaombeni

  • @ElizabethLizzy-pk3zj
    @ElizabethLizzy-pk3zj Před rokem

    Naomba kuandikiwa kiswahili

  • @halimandune7317
    @halimandune7317 Před rokem

    Asalam alykum warahmatulahi wabarakatuh.Naomba ushauri juu ya kazi yangu,mm ni house maid hpa Saudia,kipato changu nikidogo lkn nashukuru Mungu. Naeza nunua kazi kama hii lkn nitoke kwa boss huyu bila kumuaga juu siku nyingi nimemuomba aniongezee lkn bdo aniambia niende nymbni nikija aniongeze Mia.Inaniuma kuwa mahitaji yangu kuyakidhi ni vigumu hdi anidai 400 riyal nilikopa nikitaka kupeleka kijana wangu high school. Sasa mwezi wa 9 binti yangu atakikana kwenda University,na hpo ndo nitakuwa namaliza kulipa deni?.Nifanyeje juu hio ya kununua naeza pata hta ya 2000riyal kwa mwezi??.Haki nko njia panda nisadie Sheikh wangu nakuomba.

  • @FatmaSubeith-rr5vr
    @FatmaSubeith-rr5vr Před rokem

    Masha allah

  • @user-dw4go1ov4p
    @user-dw4go1ov4p Před rokem

    Naomba kuuliza izo dhikr yaan kumswalia mtume unaweza kufanya muda wowote? Au ni usk tu? Je ninaweza kusoma kdg alaf baadae nikamalizia kutokana ufinyu wa muda?

  • @ElizabethLizzy-pk3zj
    @ElizabethLizzy-pk3zj Před rokem

    Kama hujui kiarabu kuisoma je kusikiza ni kheri pia