@@rogath_silayohao wakomoro ni waswahili halisi na asili yao hasa ni huku huku pwani ya Afrika Mashariki, mababu zao waliingia kwenye visiwa hivyo na Kiswahili chao kwa karne nyingi sana wakaweka makazi ya kudumu, ingawa kwa kiasi kikubwa wao bado wanatumia Kiswahili cha zamani sana kinachoitwa Kikomori ambacho ni moja ya lahaja za Kiswahili kama zilivyo lahaja za Kiswahili zinazopatikana pwani ya Kenya, Somalia, Msumbiji, Madagaska Kaskazini na Kongo Mashariki, pia lahaja nyengine za Kiswahili wanazotumia wakomoro ni pamoja na Kingazija, Kinzwani, Kimwali na Kimaore, umbali na kuwepo kwa bahari kubwa baina yao na yetu huku Afrika mashariki vimesababisha kutochanganyikana nao na hivyo kupelekea lahaja zao kutoingia ktk mabadiliko haya ya kilugha ya Kiswahili hiki cha sasa tunachokizungumza kilichobadilika miundo, misamiati na hata misimu. Lahaja zao hizi ni sawa na lahaja ya Kiunguja cha Zanzibar ambacho sasa ndicho kiliyorasimishwa na ndicho tunayokitumia ktk kukiandika na kuikisoma kama Kiswahili sanifu, kwa sasa lahaja ya kiunguja imechanganyika na lahaja ya Kimrima inayotumika pwani ya Tanzania ambapo mchanganyiko huo wa kilahaja ndiyo wa Kiswahili hiki cha sasa tunachoongea watu wa Dar es Salaam na kuenea maeneo mengi ya Tanzania na hata Mombasa nchini Kenya na maeneo mengine ya Afrika Mashariki.
Najitahidi hata namimi japo niongee kwa busara angalau kama Eng. Hersi ila busara zenyewe zinaniambia no. Huku sio level yako 😂😂😂 Barikiwa sana Rais wetu wa Yanga 🤲🤲🤲
Asante serikali yetu kwa msaada wenu kwa pakome piya asante rais wa time yetu eghiniya kwa jitihada yako kwa tim ukiongozwa vyema na mfadhili wetu Ghalib sports pesa na wote wadau
Tatizo lenu Viongozi Hamkanushi Haraka Habari na uvumi mbalimbali unao tia doa Katika Timu Yetu Japo ❤❤❤❤ Naeapenda sana 😂 😂Tena Mnastahili Kupew Maua yenu🎉🎉
Hiv unaielewa vizuri mitandao au? Inabidi uache shughuli kila siku mda wote upoteze kujibu uzushi, utatoka kwenye focus wazungu wanasema. kumbuka hizo story ni mbinu za maadui kujuwa siraha zenu..hii vita inaenda kuanza upya mda sio mlefu. Madirisha yataongea..kunakitu hujui.
Natokea mkoa wa songwe hapo rais wetu umeongea ukweli usipo kuwa na ngozi ngum tulivyo watanzania maneno mengi sana juu ya viongozi yenye hasra lazima uvumilivu uwepo.
Wanahc watatutoa mchezoni ndyo maana kila cku wanatengeneza skendo mfano yule shoga cjui anajiita Zaka mpimbavu mmoja hv wala hana Content kuongea hajui
Wa kwanza from Comoros 🇰🇲🇰🇲🇰🇲 kila shabiki wa Yanga tujuwane kwa like zenu
Kumbe Comoros mnaongea Kiswahili, Safi Sana Mwananchi.
@@rogath_silayo😂😂😂😂🙌
@@rogath_silayohao wakomoro ni waswahili halisi na asili yao hasa ni huku huku pwani ya Afrika Mashariki, mababu zao waliingia kwenye visiwa hivyo na Kiswahili chao kwa karne nyingi sana wakaweka makazi ya kudumu, ingawa kwa kiasi kikubwa wao bado wanatumia Kiswahili cha zamani sana kinachoitwa Kikomori ambacho ni moja ya lahaja za Kiswahili kama zilivyo lahaja za Kiswahili zinazopatikana pwani ya Kenya, Somalia, Msumbiji, Madagaska Kaskazini na Kongo Mashariki, pia lahaja nyengine za Kiswahili wanazotumia wakomoro ni pamoja na Kingazija, Kinzwani, Kimwali na Kimaore, umbali na kuwepo kwa bahari kubwa baina yao na yetu huku Afrika mashariki vimesababisha kutochanganyikana nao na hivyo kupelekea lahaja zao kutoingia ktk mabadiliko haya ya kilugha ya Kiswahili hiki cha sasa tunachokizungumza kilichobadilika miundo, misamiati na hata misimu. Lahaja zao hizi ni sawa na lahaja ya Kiunguja cha Zanzibar ambacho sasa ndicho kiliyorasimishwa na ndicho tunayokitumia ktk kukiandika na kuikisoma kama Kiswahili sanifu, kwa sasa lahaja ya kiunguja imechanganyika na lahaja ya Kimrima inayotumika pwani ya Tanzania ambapo mchanganyiko huo wa kilahaja ndiyo wa Kiswahili hiki cha sasa tunachoongea watu wa Dar es Salaam na kuenea maeneo mengi ya Tanzania na hata Mombasa nchini Kenya na maeneo mengine ya Afrika Mashariki.
Elbaca, upo komoro sehemu gani?! Nina ndugu zangu wengi huko. Mimi nipo Tanzania, nataka tuwasaliane kaka.
@@rogath_silayoyes comoros tunaongea vizuri kiswahili
Najitahidi hata namimi japo niongee kwa busara angalau kama Eng. Hersi ila busara zenyewe zinaniambia no. Huku sio level yako 😂😂😂 Barikiwa sana Rais wetu wa Yanga 🤲🤲🤲
😂😂
😂😂😂😂😂siyo mzima wewe
@@OmanOman-hj7tv 🙄🙄🙄
Mungu awalinde na maudui Ili mzidi kuijenga clab yetu ya Yanga 💚🖤💚💛🖤💛🖤 Daima Mbele nyuma mwiko
Asante serikali yetu kwa msaada wenu kwa pakome piya asante rais wa time yetu eghiniya kwa jitihada yako kwa tim ukiongozwa vyema na mfadhili wetu Ghalib sports pesa na wote wadau
Allah akujalie Afya njema Rais wetu pamoja na wewe tutafika mbali
Salute mr president,
Yanga daima mbele
MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
Twajivunia injinia hers
Mungu akupe maisha marefu raisi wetu wa yanga wadhamini na viongozi wote wa yanga mubarikiwe sana mungu awe nawe
Yanga Africa tunahitaji kujitambulisha kwny soka la Africa 👍👍👍
Tunawaacha wapuuzi waongee...hata kuwajibu hatuna mda 🔰🔰🔰
Mungu mpe umri mrefu raisi wetu wa yanga na wasaidizi wake
President Hersi 🔥
Your the best broh
Yanga Africans inshallah
Injinia we support you, keep it up
Hiki kichwa mmh 🙌🙌🙌
Kutoka Geita Tanzania mi mwana Chama wa Yanga dam dam❤❤🎉
Nakuelewa Sana Mwamba Mtu wa maana Sana💪💪💪💛💚
Mtu makini kama mimi tu
President 🙌
Allaah Akbar
Tatizo lenu Viongozi Hamkanushi Haraka Habari na uvumi mbalimbali unao tia doa Katika Timu Yetu Japo ❤❤❤❤ Naeapenda sana 😂 😂Tena Mnastahili Kupew Maua yenu🎉🎉
Hiv unaielewa vizuri mitandao au? Inabidi uache shughuli kila siku mda wote upoteze kujibu uzushi, utatoka kwenye focus wazungu wanasema.
kumbuka hizo story ni mbinu za maadui kujuwa siraha zenu..hii vita inaenda kuanza upya mda sio mlefu.
Madirisha yataongea..kunakitu hujui.
The president
Dah ww ugiongoz bora hata kupewa nchi ya urusi basi utaiyendesha vizur sana
Acheni ujinga na ushoga pamoja na chuki za simba yanga yetu.ipo vzri sana
Natokea mkoa wa songwe hapo rais wetu umeongea ukweli usipo kuwa na ngozi ngum tulivyo watanzania maneno mengi sana juu ya viongozi yenye hasra lazima uvumilivu uwepo.
Wamekuelewa na tumekuelewa sisi wana yanga.waumie tu sisi tunafurahi
Mzungu andelee kumlinda rais wetu🎉😊
Leo mm ndo wakwanza
God bless my fans
👍👊👊👊👊💪💪💪💪💪
Dah, walimwengu MANENO ya uzushi mwingi SAAANA!!
Ngoja watunge uongo mwengine badala ya kutengeneza team lao wame invest kwenye propaganda na uongo na wametengeneza genge kbs 😅😅
Viongozi wetu ni wa viwango saana
To the top
Ndio hivo ukiwa kiongoz ni hatali san
Hawana kazi yakufanya ndomana wanatungatunga sana porojo,ndokombe walilobaki nalo ni maropoko tu
Hiyo mbengu ulioipanda hapo unafikiri itaoza haiozi
Safi
President 🎉🎉🎉
Hapo kikwete katajwa maana yake kuwa hata kama ni kweli hamrusiwi kuuliza 😂
❤
Elewa neno vitu vya kipuuzi ,vitu havimake sense yaani senseless....tafsiri ni kuwa mayele aliongea vitu senseless
Wanahc watatutoa mchezoni ndyo maana kila cku wanatengeneza skendo mfano yule shoga cjui anajiita Zaka mpimbavu mmoja hv wala hana Content kuongea hajui
Game lini
Rais wetu wa Yanga ni muwazi kwelikweli
Subirn dawa iwaingie
Enginear wa Iringa wewe hadi ujinyonge?
huyo mzee siasa zisiletwe kwenye michezo