NAMNA YA KUISIKIA SAUTI YA MUNGU (Mungu anapoongea na wewe)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 11. 2019
  • JE! UNAWEZA KUTAMBUA MUNGU ANAPO ONGEA NA WEWE?
    KUPATA KITABU KINACHO ONGELEA NAMNA YA KUISIKIA SAUTI YA MUNGU PIGA SIM NUMBER +255759612430
    MAREKANI NA CANADA PIGA +1515 441 4962

Komentáře • 86

  • @edwardmarro978
    @edwardmarro978 Před 4 lety +12

    Machozi yananitoka moyoni Pr somo hili ni kama uliandaa kwa ajiri yangu,
    Eehh Mungu neema yako ikawe juu yetu na utupe macho ya kiroho katika pendo la Yesu kristo Amen.

  • @asharamadhan8806
    @asharamadhan8806 Před 4 lety +2

    Amina Mchungaji ubarikiwe na MUNGU wa MBINGUNI katika JINA LA YESU maana tunabarikiwa sana kwa NENO LA MUNGU unalo tuletea hakika rinatubadirisha maisha yetu MUNGU akupe afia NJEMA kila siku pamoja na familiya YAKO

  • @theresiamwanamkejasiri6510
    @theresiamwanamkejasiri6510 Před 3 měsíci

    Roho yangu ni toleo la zamani😢😢😢😢😢
    Baada ya miaka minne nabarikiwa na hili hubiri,hadi nimeogopa,Tangu nimemjua Yesu 2007 labda bado sikumjua Mungu wangu😢😢😢😢😢,Barikiwa Pastor

  • @catherinehenryameeen5977
    @catherinehenryameeen5977 Před 2 lety +1

    Ameeen.Asante Mungu kwa ajiri ya Mchungaji Mbanga.

  • @pauloropian3093
    @pauloropian3093 Před 4 lety +3

    Thanks Uwepo wa mungu hukaa juu ya sifa " may God bless all "

  • @lenahasantemchungajiauko8811

    Amina mchungaji nabarikiwa sana.naomba ubarikiwe Kwanza ndo ni fwatie nami.

  • @mn9484
    @mn9484 Před 4 lety +1

    Ni katika roho!! Kila siku najifunza zaidi kumsikiliza Mungu hatua kwa hatua. Mungu akubariki Mchungaji, hapa USA Grace.

  • @graceb2398
    @graceb2398 Před 3 lety +3

    I’m blessed to hear your massages always 🙏

  • @user-ps7fy2oj7i
    @user-ps7fy2oj7i Před měsícem

    Amina

  • @selfaakinyi7824
    @selfaakinyi7824 Před 4 lety +2

    Eeeh mungu wangu , nijalie macho ya rohoni. 🙏

  • @sdawalokole9489
    @sdawalokole9489 Před 4 lety +2

    Amen,Mungu ni Roho na sisi ni roho pia

  • @maryosoro5497
    @maryosoro5497 Před 4 lety +1

    Really mchungaji huwa unanibariki sana sana na mahubiri yako

  • @zipporahnyanchoka4291
    @zipporahnyanchoka4291 Před 3 lety +2

    Wah am blessed with your preaching,thanks pastor also b blessed

  • @jaredmayaka2993
    @jaredmayaka2993 Před 2 lety +1

    Amen 🙏🙏 Thanks for good song

  • @franksikombe9860
    @franksikombe9860 Před 4 lety +1

    Tumebarikiwa sana huduma yenu mungu awape uvumilivu muimbe hadi mbinguni by FRANK SIKOMBE-Katavi

  • @kakajey6867
    @kakajey6867 Před 4 lety +6

    Pongezi kwangu wa kwanza kukoment

  • @roselele341
    @roselele341 Před 4 lety +1

    Amina unanifungua kila siku nazidi kuwa na Imani asnt mchungaji mungu akubaliki sana

  • @teddymagori3779
    @teddymagori3779 Před 2 lety

    Ubarikiw paster

  • @maureenjovial6083
    @maureenjovial6083 Před 4 lety

    Amina asante mchungaji nimepata kuchua Mungu n nani.naomba uongozo Wa roho mtakatifu aniwezeshe niskie sauti ya Mungu

  • @petromabagala9186
    @petromabagala9186 Před 4 lety

    Hii kwaya huwa inanivuta karibu sana na Mungu. Mungu akubariki sana Pr Mmbaga

  • @daudnyore4696
    @daudnyore4696 Před 4 lety +2

    I hope one day I will talk, with you man of. God,may The Peace of God that passes all. Understanding keep you by the grace of God

    • @monniekevin9303
      @monniekevin9303 Před 3 lety

      Amina Amina kweli mchungaji taji yako mbinguni itang'aa Sana.usife moyo chochea injili kabisa wengi wanainuliwa kiroho kupitia Yale maneno Mungu ameweka kwako.kama Mimi nashangaa nikama ndio naanza kusikia maneno ya Mungu Kwa mara ya Kwanza baada ya miaka mingi tangu kuamini.Mungu akubariki Sana.

  • @KASICHANANDARO-ud1eh
    @KASICHANANDARO-ud1eh Před 10 měsíci

    Mungu akubariki sana mchungaji

  • @mossesjoseph2202
    @mossesjoseph2202 Před 2 lety +1

    Amen.

  • @cutestpuppies6632
    @cutestpuppies6632 Před 4 lety

    Kila mara ninapokusikiliza, ninabarikiwa na kufunuliwa ukweli mpya, Mungu akubariki sana pastor

  • @lenahasantemchungajiauko8811

    Kwaya nzuri sana mmbarikiwe

  • @janetfrancis7180
    @janetfrancis7180 Před 4 lety +1

    Amina tunabarikiwa na somo zuri

  • @Patience763
    @Patience763 Před 6 měsíci

    Amen Amen mchungaji

  • @hassanhussein6161
    @hassanhussein6161 Před rokem

    amina sana

  • @hellenratemo2813
    @hellenratemo2813 Před 3 lety +3

    Nice message keep it up,I have learned many things from ur sermon pastor, God 🙏 bless you

  • @anchepto8314
    @anchepto8314 Před 4 lety

    Amina tunabarikiwa kwa neno

  • @magdalenamassangwa-qs3ie
    @magdalenamassangwa-qs3ie Před 8 měsíci

    Naomba no zako mtumishi

  • @monicalaizer7596
    @monicalaizer7596 Před 10 měsíci

    Amen

  • @janehlwjn9982
    @janehlwjn9982 Před 4 lety

    Asante kwa mahubiri yako nabarikiwa Sana nkiwa Saudi Arabia napenda Sana mafundisho yako pr ubariwe sana

  • @daviddotto327
    @daviddotto327 Před 4 lety +1

    Mungu awabariki sana waimbaji wa kwaya hii ya sauti ya jangwani kutoka shinyanga ushirika

    • @hondenisonmagufulinyabaro3923
      @hondenisonmagufulinyabaro3923 Před 4 lety

      Mungu akuzaidie ulipo ufanyapo,,,,,Nimejua Choir hii imenitoa jozi kubwa !! Mungu wangu Nani atakuwa juu yangu!!!

  • @lightnesslengine7499
    @lightnesslengine7499 Před 4 lety

    Mungu akubariki pastor

  • @mathiasfrancis2614
    @mathiasfrancis2614 Před 4 lety

    Amina barikiwa parsto

  • @kbsclips6515
    @kbsclips6515 Před 4 lety

    Mchungaji nabarikiwa sana,Mkale Uk hapa

  • @keziaranga6329
    @keziaranga6329 Před 3 lety

    Paster ninabrikiwa sana na masomo yako umenifungua sana macho ya rohini

  • @judithcherono2595
    @judithcherono2595 Před 4 lety

    Amen Mungu ni Roho👏👏

  • @royalpriestsmusic5685
    @royalpriestsmusic5685 Před 2 lety

    AMEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEN

  • @felysytersonduso8064
    @felysytersonduso8064 Před 4 lety +2

    Aminaaa wimbo mxuri

  • @MTUMISHI-254
    @MTUMISHI-254 Před 4 lety

    Hakika mchungaji masomo yako yananibariki nakunibadilisha Sana nami natumia fursa hii kuwambia watu ile Nuru ninayopata kupitia masomo yako

  • @barakachongera9705
    @barakachongera9705 Před 2 lety

    Hakika nimejua vitu vya thamani Thana"

  • @aurolanyatambe215
    @aurolanyatambe215 Před 3 lety

    Vitabu vyako kwa Zanzibar napataje

  • @samsonngweina5048
    @samsonngweina5048 Před 3 lety

    😂😂😂 Amina pastor

  • @akwiliniswai5203
    @akwiliniswai5203 Před 4 lety

    Amina sana

  • @charleskaselya7744
    @charleskaselya7744 Před 4 lety +1

    Habari mm sijaelewa hubiri la umiliki, nilikuwa nalisikiliza usiku baadaye nimeikuta inaniambia video hii ni private na naisearch haipo mmeifuta?

  • @dausonmdee4303
    @dausonmdee4303 Před 4 lety

    somo halijaishaaaaaaa

  • @fredmselle2227
    @fredmselle2227 Před 3 lety

    Naomba kujua km hicho kitabu kipo moshi

  • @messagerkambale5830
    @messagerkambale5830 Před 2 lety +1

    Nina hitaji hiinyimbo ime ni jenga,

  • @rehemaisaack1728
    @rehemaisaack1728 Před rokem

    Hili somo sehemu ya pili yake inayofata naipata wapi nimetafuta humu nimekosa

  • @suzanaagustinookelo4953

    Lakini picha ya mzungu

  • @elishashillah9776
    @elishashillah9776 Před 4 lety +1

    Hili somo natamani Sana, Kulipata lote, Jamani, naomba nisaidiwe kulipita! Naomba Kama unaweza nitumia ktk Email ni
    elishashillah139@gmail.com au WhatsApp Number 0767522247
    Nisaidie sana

  • @rosepeter8996
    @rosepeter8996 Před 3 lety

    AMEN🙏mchugaji mmbaga ninalo swali,sasa nimesikiza mahubiri yaki yakaniguza kweli,hivi ikiwa mimi nim Catholic,na sali kwa rosary,ama kwa kanisa kuna ile picha ya yesu kama amesulubuwa,je nivyema kuviinamia au kuzishududu wakati wakuomba au ni dhambi?.

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  Před 3 lety +2

      Kutoka 20:4,5 Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia. Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,

    • @rosepeter8996
      @rosepeter8996 Před 3 lety +1

      @@MahubiriPrMmbaga asante sana naona nimeanza kufunguka macho sasa.hili somo la mchungaji nalisikiza like kika siku.limenufunia akili sana.mungu na akubariki pastor 🙏🙏🙏

  • @patrickemmanuelemmanuel9354

    ubarikiwe mtumishi wa mungu ninawezaje kupata kitabu chako cha namna ya kusikia sauti ya mungu mm niko sumbawanga namba zangu za simu ni 0757392906 lkn pia ninachangamoto yakufanya maamzi yakuongoka nanilisha muapia mungu kwamba sitarudi tena ktk imani yangu ya zamani yaani imani ya Rc lkn kumekuwa napambano ndani yangu nakati ya watu ambao mmechangia kufungua imani mpya ndani ya roho yangu niww pr mmbanga Lawrence odondi wa kenya mchungaji Emmanuel mwakalinga wa iringa nimewafuatilisana mafundisho yenu

  • @waltermakori5855
    @waltermakori5855 Před 4 lety

    How can i get the song very good song

  • @hondenisonmagufulinyabaro3923

    Hii kwaya gani 👆 please??
    Niambie Naomba tu

  • @laithvayinga1122
    @laithvayinga1122 Před 4 lety

    Mchungaji naomba nambaako ninashida ...nashukuru kwa masomo

  • @erickmahindu9198
    @erickmahindu9198 Před 3 lety

    Our father in heaven, means? He's a male

  • @roselele341
    @roselele341 Před 4 lety

    Uku sijayajua makanisa yp ila sijui yapo wapi

  • @aurolanyatambe215
    @aurolanyatambe215 Před 3 lety

    Amina

  • @esthersimuli9952
    @esthersimuli9952 Před 2 lety

    Amen

  • @maureenkemei9254
    @maureenkemei9254 Před 3 lety

    Amen