NAJUTA KUPATA UTAJIRI I MKE WANGU AMEPASULIWA TUMBO LA MIMBA NDUGU YANGU AMETUMA WATU KUNIUA ILI A.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 01. 2023
  • NAJUTA KUPATA UTAJIRI I MKE WANGU AMEPASULIWA TUMBO LA MIMBA NDUGU YANGU AMETUMA WATU KUNIUA ILI A.
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    #NAJUTAKUPATAUTAJIRI #MKEWANGUAMEPASULIWATUMBOLAMIMBA #NDUGUYANGUAMETUMAWATUKUNIUA #KUTIKAVU #tikitvkiakilizaidi
  • Zábava

Komentáře • 209

  • @tikitvog
    @tikitvog  Před rokem +4

    Kutazama part 02 ya Kuti Kavu bofya link 👇👇👇
    czcams.com/video/FoGgDQ_rFmg/video.html

    • @Michael-wu6vd
      @Michael-wu6vd Před rokem

      Kuwa na moyo mkuu.

    • @Michael-wu6vd
      @Michael-wu6vd Před rokem +1

      Kaka hata mm unanitoa choz kua mgumu.

    • @evelynlehnard3928
      @evelynlehnard3928 Před 6 měsíci

      Wazungu waliamua kumaliza mbegu za mimea hasa yalio muhimu kwa afya ya mwanadamu ili kuleta njaa siku za usoni. Waafrika turudi kwa matunda yenye mbegu.

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu2887 Před rokem +23

    Hii story inafundisha, Inachekesha, Ina huzunisha, mimi nimeipa No 1 🙏.

  • @sashamakoiso880
    @sashamakoiso880 Před rokem +12

    Wa kwanza leo naombeni like zangu jsmani

  • @dianadaudi3380
    @dianadaudi3380 Před rokem +73

    Tunaosoma comenti tujuane me mkinipa like 50 tu zinatosha kabisa

  • @salhaali9284
    @salhaali9284 Před rokem +7

    Mtihan

  • @janeshayo1667
    @janeshayo1667 Před rokem +9

    Pole sana aisee kwa mitihani

  • @mamakekhubeiby4206
    @mamakekhubeiby4206 Před rokem +7

    Hizi like uwa mwazipeleka wapi ❓❓❓❓❓❓

  • @azizaaziza7996
    @azizaaziza7996 Před rokem +12

    Leo mie wangapi namba yangu like muweke Kwa wingi

  • @janeshayo1667
    @janeshayo1667 Před rokem +13

    Hii dunia heri ukutane na wanyama utajua jinsi ya kuwaepuka lakini sio binadamu binadamu tumekua zaidi ya wanyama mnyama anaweza hata akakuacha ukaenda lakini sio binadamu mwenzio

  • @msaysha5886
    @msaysha5886 Před rokem +10

    Habari Tiki TV tuko 🤝

  • @emanuelmbaga6848
    @emanuelmbaga6848 Před rokem +4

    Daaah🙊🙊🙊

  • @marrymazengo1315
    @marrymazengo1315 Před rokem +14

    Kwa Hali hii lazima ujutie utajiri me ndo mana naonaga heri uwe masikini lakini unaamani na furaha na maisha yako

  • @amangearge9594
    @amangearge9594 Před rokem +6

    Daaah😞😞

  • @dariamushi9356
    @dariamushi9356 Před rokem +9

    Dunia simama nishuke khaaah 😳🤔

  • @hellenmkalla350
    @hellenmkalla350 Před rokem +22

    A good story teller indeed. One love from 🇰🇪

    • @salomemueni100
      @salomemueni100 Před rokem

      Wueh..huyu akuje churchill show japokuwa amepitia magumu.

  • @amangearge9594
    @amangearge9594 Před rokem +14

    Kunawatu wanamikasa duniani 🙊🙊

  • @shaphaina9941
    @shaphaina9941 Před rokem +10

    Daaahhhhh subhana llah adui yako hatoki mbali

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796

    MBONA ILO JINA LA MUUWAJI MUNALI FICHA? SEMENI JINA WATU WAMJUE WACHENI KUFICHA MAJINA YA WAIWAJI MUONYESHEGE ATA SURA NDIO WATU WAMJUE AMA MWAFURAIYA JU SIRLEWI KWANINI MWALIFICHA.

  • @tinershayo6191
    @tinershayo6191 Před rokem +15

    Kama ulikuwa ulikwenda kwa wagaga basi ndio maana umefeli maisha ungemtegemea mungu maisha yangekuwa mazuri mpaka sasa

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 Před rokem +9

    Sina haja, Kidogo changu na YESU MOYONI vyanitosha.

  • @kalistamtanzania7220
    @kalistamtanzania7220 Před rokem +7

    Hadi na mm nimepia aisee😭😭😱

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Před rokem +7

    Inalillahi wainairahi rajuun.... Polesana kaka Allah akupesubra ww ni muislam swari muombe Mungu atakufanyia wepesi

  • @emanuelmbaga6848
    @emanuelmbaga6848 Před rokem +14

    ila huyo mdogo wako anaroho ngumu sana Sasa hii dunia tutamwamini nani kama hadi ndugu wasaliti kiasi hiki

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Před rokem +4

    Tamaa mbaya

  • @ziadaskitchen5060
    @ziadaskitchen5060 Před rokem +5

    Pole kwa mitihan

  • @zuhrakhamis6508
    @zuhrakhamis6508 Před rokem +7

    Mhh lakin babu upo vizur

  • @habarikamili9408
    @habarikamili9408 Před rokem +9

    Asante bro kelvin Shayo tuko pamoja unafanyakazi nzuri sana my role model

  • @joharramadhan7037
    @joharramadhan7037 Před rokem +9

    Umenikumbusha mbali we baba, mi na mdogo wangu hanipendi hadi ananitafutia watu wanizuru kisa nampita kimaisha , na ukiangalia tumetoka familia ya kimasikini sana, mi mungu kanibaliki riziki nimemjengea mama yumba ya kisas@, ya vyumba 7 kila kitu mama haangaiki, lakini mama kama mama anampenda sana mdogo wangu kuliko Mimi, na ukiangalia mdogo wangu hana nyuma wala mbele na wote wako kwenye nyumbaang, lla wananichukia so powa sa mi nalazimika nikae kwenye mikoa ya watu tu wasijenifanyia kitu kibaya wanangu wakapta shida, ila inaniuma sana wapendwa, ingali kuna msemo wanasema hakuna kama mama ila kwangu daaa, mungu anitangulie jamani

  • @maimonamaimona1177
    @maimonamaimona1177 Před rokem +3

    Polesana

  • @mariamnyange199
    @mariamnyange199 Před rokem +6

    Hii nayo Kali jamani

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 Před rokem +6

    Dunia hii dah 🤲🤲🥱

  • @davidwaziri8176
    @davidwaziri8176 Před rokem +8

    Tiki Tv nawapenda San keep the good work brother unatekimisha sana kupitia Mikasa yako ❤️🔥🔥

    • @kalistamtanzania7220
      @kalistamtanzania7220 Před rokem +1

      Hata mm nawàpenda kiukweli wanajitahidi sana kufanya kazi zao sio kama online nyingine

  • @sashamakoiso880
    @sashamakoiso880 Před rokem +9

    😳😳😳😳😳😳

  • @safiaothman5175
    @safiaothman5175 Před rokem +10

    Inna Lillahi Wainna Ilayhi Raji'un.

  • @benedictinelusambo069
    @benedictinelusambo069 Před rokem +8

    Huyu mzee anaongea jaman heee....

  • @aminasminaamina4200
    @aminasminaamina4200 Před rokem +20

    EVERY ONE HAS A STORY TO TELL IN LIFE
    MUCH LOVE FROM UGANDA

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 Před rokem +2

      Thats right. you understand swahili?😄

    • @asinatimpendwa3702
      @asinatimpendwa3702 Před rokem +1

      Ktk Dunia hii usimuamini mtu yoyote yule hata ndugu WA damu. Kama wewe umejaliwa na mwenyezi Mungu basi weka mikono yako kwa Mungu na umutegemee Mungu peke yake na umuombe akuongoze. Na kama una ndugu wabaya Hama kabisa na wasijue kabisa ulikohamia nenda huko wewe na mke wako na watoto wako tu na usihangaike kabisa na ndugu. Wewe na Mungu wako tu. Kila mtu na maisha yake na kila mtu alizaliwa peke yake. Wazazi watumie tu pesa kwa simu na kuwasiliana kwa simu basi wasijue uliko maana wao wakijua ndugu wanajua. Nenda kajenge maisha yako. Life is too short!

    • @aminasminaamina4200
      @aminasminaamina4200 Před rokem +2

      @@jedidahbintidaudi8241 yes darling
      I did swahili in
      my high school

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 Před rokem

      @@aminasminaamina4200 oh nice. no wonder you can listen to such clips. Karibu kwetu Tanzania

  • @shamimhayat7637
    @shamimhayat7637 Před rokem +4

    TIk Tv best in town

    • @tikitvog
      @tikitvog  Před rokem +1

      Asante kwa kuichagua nakuendelea kuifuatilia tiki tv

    • @akilimalindevu520
      @akilimalindevu520 Před rokem +1

      Kweli kabisa tiki ni 🔥🔥

  • @nyapetegath409
    @nyapetegath409 Před rokem +5

    mafundsho makubwa sana

  • @swahiliqueen9920
    @swahiliqueen9920 Před rokem +12

    Hili nifundisho kubwa sana kwa wote wenye tamaa ya Mali na utajiri wa kichawi

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Před rokem +8

    Kumbe ulikua mshilikina uliziki na Allah alivyo kupa ndiyomaana vimepotea ukipewa lizika tu shukuru Mungu fanyakialali tu utanyookewa

  • @jacklinejacklinejonh6530

    Aisee huyu baba anaongea duuh

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 Před rokem +4

    Pole sana kakaang jmn😭😭😭😭ndg hawa jmn dah

  • @taturajabukhalfani7953
    @taturajabukhalfani7953 Před rokem +13

    Wazaramoo sisi Kwa kuongea khaaaa!! !tupeni sifa zetu story ya dakika 30 tunasimulia dakika 10 tu🤣

  • @asinatimpendwa3702
    @asinatimpendwa3702 Před rokem +6

    Ktk Dunia hii usimuamini mtu yoyote yule hata ndugu WA damu. Kama wewe umejaliwa na mwenyezi Mungu basi weka mikono yako kwa Mungu na umutegemee Mungu peke yake na umuombe akuongoze. Na kama una ndugu wabaya Hama kabisa na wasijue kabisa ulikohamia nenda huko wewe na mke wako na watoto wako tu na usihangaike kabisa na ndugu. Wewe na Mungu wako tu. Kila mtu na maisha yake na kila mtu alizaliwa peke yake. Wazazi watumie tu pesa kwa simu na kuwasiliana kwa simu basi wasijue uliko maana wao wakijua ndugu wanajua. Nenda kajenge maisha yako. Life is too short!

  • @evelynmumia5246
    @evelynmumia5246 Před rokem +4

    Ehhh shayo Leo ,hoi ni interview ya kipekee,Ako saw huyu Mzee shayo? From🇰🇪

  • @marymaxmarymax6770
    @marymaxmarymax6770 Před rokem +4

    Wueh! He can tell a long story in a short time.

  • @dodoted5033
    @dodoted5033 Před rokem +2

    Kuti kavu nakupenda buree,jamani nimelia pamoja na wewe.Mungu akubariki akuinuwe tena,na tafadhali kumbuka wajane na yatima ukifanikiwa tena.wachana na ushirikina nyota unayo mwenyewe.❤❤❤

  • @fely_wily
    @fely_wily Před rokem +12

    Nipe like zangu Leo mi wakwanza

  • @dariamushi9356
    @dariamushi9356 Před rokem +9

    Tiki Tv Kiakili Zaidi hii ya leo ni 🔥🔥🔥🔥

  • @asmarajabu5786
    @asmarajabu5786 Před rokem +4

    eti ushirikina 🤣🤣

  • @wardawarda6109
    @wardawarda6109 Před rokem +3

    Huyu sasa pacha ake na Mchungaji Richard Hananja, a.k.a. bilionea. Maneno kama yote hata huchoki sikiliza.

  • @estherjackson6038
    @estherjackson6038 Před rokem +4

    Ana sauti ya Zembela😁😄

  • @assiahassan2361
    @assiahassan2361 Před rokem +2

    😂😂😂😂Mtangazaji una moyo wa kujikaza hicho kilio tu mm mbavu sina mzee muongeaji huyu MashaAllah

    • @Nashoora8
      @Nashoora8 Před 4 měsíci

      😂😂😂😂😂😂

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 Před rokem +4

    jamani 😭😭😭😭😭

  • @habarikamili9408
    @habarikamili9408 Před rokem +4

    👏👏

  • @rehemahramadhani3428
    @rehemahramadhani3428 Před rokem +3

    kaka kelvi mwambie huy baba nahitaji kufanya biashara nae kama atakuwa teyal

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 Před rokem +1

    Muombe mungu achana shirki mwenyezi mungu ndio kila kitu kwetu

  • @Kekee9595
    @Kekee9595 Před rokem +6

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kulia kwako kunanivutia kucheka aki. Huyu anaweza kuwa good actor kabisa. 🇰🇪

    • @reginamluviji9405
      @reginamluviji9405 Před rokem +1

      🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂 jamn m pia ananivutia kulia kwake ahahahahah jamn mkasa unasikitisha ila kulia sasa

    • @nanyymsoo1921
      @nanyymsoo1921 Před rokem +1

      Aahhh ndio wa sema mkenya mwenzangu ata mimi nimecheka sio kukalibia kucheka

    • @Kekee9595
      @Kekee9595 Před rokem

      @@nanyymsoo1921 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @khadijamisayo7476
      @khadijamisayo7476 Před rokem +1

      🤣🤣🤣

    • @khadijamisayo7476
      @khadijamisayo7476 Před rokem +1

      yaani ana kipaji cha kuigiza ila hajui 🤣🤣🤣

  • @evachuwa3809
    @evachuwa3809 Před rokem +3

    Maisha ndivyo yalivyo kaka

  • @tinershayo6191
    @tinershayo6191 Před rokem +1

    Pole bro

  • @aziza9093
    @aziza9093 Před rokem +5

    Ilinifudisha kabisa ndugu wabay

  • @janetsemahimbo8083
    @janetsemahimbo8083 Před rokem +3

    Ungefungua ac bank. Wasingekuwa wanakuibia hivyo

    • @DeboraUrassa
      @DeboraUrassa Před rokem +1

      pole Sana, bado waweza kufanya zaidi ndg, mwenyenzi mungu akupiganie,

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 Před rokem +1

    Allah anataka umrudie yy tu

  • @zuwenaalamin8985
    @zuwenaalamin8985 Před rokem +3

    Nimecheka kwenye hicho kilio🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣huyu mzee tapel kwel

    • @mariajoseph9735
      @mariajoseph9735 Před rokem

      🤣🤣🤣🤣eti mbona hasikitishi anachekesha kilio kikavu alafu anaongea kana chelehani

  • @suzaynnekenyagah1438
    @suzaynnekenyagah1438 Před rokem

    Jamaa kameza memory 64 GB
    Waalai ni comedian
    At first I thought this guy was blind

  • @mariamnyange199
    @mariamnyange199 Před rokem +4

    😱😱😱🙊🙊

  • @catherinensemwa3907
    @catherinensemwa3907 Před rokem +7

    Mimi mwenzenu siaminigi mtu hata mama yangu simuamini leo nikuamini ww mtu mzima tumekutana ukubwani sahau kabisa hicho kitu

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před rokem

      Kabisa ata mimi aisee siamini mtu

  • @joycekaphevemba7215
    @joycekaphevemba7215 Před rokem

    Huyu jamaa pia usanii upo ndani 😂😂😂😂😂lijamaa ni comedian

  • @nabirabakary4209
    @nabirabakary4209 Před rokem

    Imenifundisha mengi hii stori hata mimi nina ndg zangu 2 tumbo moja wananiandama balaa kisa kuwazid kipato.pole sana babaangu Allah atakulipia 😭😭😭

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 Před rokem +1

    Mhh jamani humu duniani kuna mambo mengi ya ajabu sana. 04.02.23.

  • @janekuria5958
    @janekuria5958 Před rokem

    Kwanini wajuta.akuna cha bure kwa shetani.pole rejea mungu.

  • @felisterandrew8741
    @felisterandrew8741 Před rokem +1

    Jaman wazaramo sikwakuongea uko khaa.

  • @sophsoph4740
    @sophsoph4740 Před rokem

    Yan nimefrahi ...Nimeenjoy

  • @user-pd8cm4sz7m
    @user-pd8cm4sz7m Před 11 měsíci

    Dadaangu mm mama mmoj baba mmoj kanikasirikia kisa pesa zangu kudai had anasem hatak undug namm 😢😢😢😢😢

  • @hamismbekae3050
    @hamismbekae3050 Před rokem

    Anavyo lia kama anacheka anacheka ananikumbusha kipindi kimoja cha Mpoki original comedy 🤣 😆 😂. Ila pole sana mzee

  • @joycenose2356
    @joycenose2356 Před rokem

    Jaman duh

  • @estajoeljastin5139
    @estajoeljastin5139 Před rokem

    Wakat mwingine ukiwa na tatizo la pesa usiangalie cha mwenzio na kukitaman na kukuta unaangukia pabaya mungu atupe uvumilivu to

  • @user-mp4lf4ji8k
    @user-mp4lf4ji8k Před 9 měsíci

    Polee kaka yote maisha tunapita

  • @zuwenaadja2261
    @zuwenaadja2261 Před rokem +2

    Rafiki na ndugu wa kweli ni Mungu tu wanadamu hata ndugu wa kuzariwa tumbo moja akikuzidi kitu unawishi ungekua wewe tu Mungu atuhurumie.

  • @joleal7941
    @joleal7941 Před rokem +1

    Pore san kaka

  • @esterkiyongo2316
    @esterkiyongo2316 Před rokem +4

    ila Kev kazi yako hii mhh unaona mengi

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    WEWE AUTAPATA UTAJILI WA KISHILIKINA PESA UKAE NAZO KIMAISHA BABA YAKO AJAKUSINGIZIA KUFANYA MAPENZI NA MAMA MZAZI UMEFANYA KWELI KUTAFUTA UTAJILI MPUMBAVU WEWE 🇹🇿🇬🇷

  • @mwantumkombo3014
    @mwantumkombo3014 Před rokem

    Mahisha ni shule kunakufaulu n kufeli, ila yote kwa yote kila hatua duwa ni mungu pekee w kumtegemea...Ndugu wabaya sana

  • @bintikashelo675
    @bintikashelo675 Před rokem

    Mmmmmh kwani anacheka analia 😁😁😁😁😁😁😁

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 Před rokem +3

    🙆🙆😫😫🙏

  • @blessingblessing9641
    @blessingblessing9641 Před 7 měsíci

    Ila uyu baba inabidi achukuliwe na lamata

  • @nanyymsoo1921
    @nanyymsoo1921 Před rokem

    Uchawi mtamu wenye uweO ni damu ya Yesu na maji yaliotoka bavuni mwake korogo vizuri .... Na neno lake pamoja na maombi,vanya imani kijikonkula usibe uome hata setani hatakueza.

  • @annesyombua658
    @annesyombua658 Před rokem

    Waah mwaka 84 nilikua na miaka inne nakubuka hio mwaka Dio ilikua wakati WA ukame🙆

  • @richardgibiti3131
    @richardgibiti3131 Před rokem

    Pole kaka Mungu yupo😭😭😭😭😭😭😭

  • @athumanfuko199
    @athumanfuko199 Před rokem

    ha ha ha ha mzalamo kwa kuongea balaa,,dah pole sana

  • @emanuelmgani5288
    @emanuelmgani5288 Před rokem +1

    Chama cha wasoma coments (chawako) tujuane kwa likes

  • @user-pd8cm4sz7m
    @user-pd8cm4sz7m Před 11 měsíci

    Usilie babaangu 😢😮😮😮

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Před rokem

    Sasa huo utajili wizi? . Utapandaje Gari bila kulipa. Mijanaume mingine bwana, uchawi tuu. Ndo maana vifo haviishi Tanzania.

  • @estermamadee8021
    @estermamadee8021 Před rokem

    Dear future husband wazaramo ndio mpo hivi

  • @pascalmgina
    @pascalmgina Před 6 měsíci

    Bondia wa Mabibo tunamjua

  • @JaneDoe-hf3zy
    @JaneDoe-hf3zy Před rokem +2

    Sijui ni cheke si jui nilie maana mzee simuelewi

  • @mercykariithi7919
    @mercykariithi7919 Před rokem

    Jamma kiswahili acha tu

  • @Jenib_
    @Jenib_ Před rokem

    Sasa hela si uweke bank jamani?? Ila anaongea haraka haraka sana aiseee🤣🤣🤣🤣😂😂

  • @jacklinejacklinejonh6530

    Mh

  • @zamdakimaro8040
    @zamdakimaro8040 Před rokem

    TATIZO PIA JINA LINA NAFASI KUBWA SANA KUTI KAVU MMM