PART 2: NAJUTA KUPATA UTAJIRI I MKE WANGU AMEPASULIWA TUMBO LA MIMBA NDUGU YANGU AMETUMA WATU KU..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 09. 2024
  • PART 2: NAJUTA KUPATA UTAJIRI I MKE WANGU AMEPASULIWA TUMBO LA MIMBA NDUGU YANGU AMETUMA WATU KUNIUA ILI A.
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    #PART2NAJUTAKUPATAUTAJIRI #MKEWANGUAMEPASULIWATUMBOLAMIMBA #NDUGUYANGUAMETUMAWATUKUNIUA #KUTIKAVU #tikitvkiakilizaidi

Komentáře • 157

  • @tikitvog
    @tikitvog  Před rokem +4

    Kutazama part 01 ya Kuti Kavu bofya link 👇👇👇
    czcams.com/video/ZLxRzZQ5OtE/video.html

  • @sabinamushi1003
    @sabinamushi1003 Před rokem +17

    Huyu baba ni storyteller mzuri sana Yani ni full package aisee sijutii bando langu one of the best story 2023

  • @esterjeremiah4700
    @esterjeremiah4700 Před rokem +15

    Huyu baba story yake haichoshi kabisa Yani inachekesha inaburudisha na inasisimia this is the one of the best story

  • @dianadaudi3380
    @dianadaudi3380 Před rokem +3

    Hii story nzuri sana aisee Yani sijutii kabisa bando langu naenjoy tu

  • @sabinakilian3176
    @sabinakilian3176 Před rokem +4

    Tiki mmejuaje Yani hapa nilikua sina hata usingizi nikawa najiambia Yani wangeoosti part 2 niangalie gafla naingia nakutana nayo haki nimefurahi sana 👏👏👏👏

  • @asinatimpendwa3702
    @asinatimpendwa3702 Před rokem +2

    Ktk Dunia hii usimuamini mtu yoyote yule hata ndugu WA damu. Kama wewe umejaliwa na mwenyezi Mungu basi weka mikono yako kwa Mungu na umutegemee Mungu peke yake na umuombe akuongoze. Na kama una ndugu wabaya Hama kabisa na wasijue kabisa ulikohamia nenda huko wewe na mke wako na watoto wako tu na usihangaike kabisa na ndugu. Wewe na Mungu wako tu. Kila mtu na maisha yake na kila mtu alizaliwa peke yake. Wazazi watumie tu pesa kwa simu na kuwasiliana kwa simu basi wasijue uliko maana wao wakijua ndugu wanajua. Nenda kajenge maisha yako. Life is too short!

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Před rokem +1

    Mzee ushauliwangu Rudikwa Allahufanye ibada achana na kupenda utajili omba ukipata pakulala unaAfyanzuri na unakula ukipata shukuru tulia kwani Dunia mapito

  • @abdallahrashid169
    @abdallahrashid169 Před rokem +7

    Kweli pombe sio chai hadi baba yako anakusingizia umetembea na mama yako Allah atusaidie

  • @maryammdoe5801
    @maryammdoe5801 Před rokem +4

    Subhanallah Allah atustiri, tumtegemee Allah anatosha na sio ushirikina Subhanallah Allahu akbar, na ndio maana Mali zimekupotea, so kwa sasa rudi kwa Allah na kumuabudu yeye ty na kumtegemea yeye tu na mambo yatakua sawa biidhnillah . Kevin ukisoma hii comment na aifanyie kazi kama yy hana smart phone.

    • @janeshayo1667
      @janeshayo1667 Před rokem +2

      Ushauri mzuri sana nimeupenda👏👏👏

  • @abdallahrashid169
    @abdallahrashid169 Před rokem +3

    Tulioangalia part one njooni ruendelee na uhondo jamani naona story inazidi kua 🔥🔥🔥

  • @kalistamtanzania7220
    @kalistamtanzania7220 Před rokem +6

    Me nikiambiwa nisimulie sijui hata nasimulia nn hee kunawatu wanamikasa huku duniani 😞

    • @Rose-ue2ho
      @Rose-ue2ho Před rokem +1

      Shukuru Mungu kama huna mkasa duniani

  • @mariamnyange199
    @mariamnyange199 Před rokem +1

    Asante tiki tv kwa muendelezo

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu2887 Před rokem +2

    Pole Sana, Binadamu wabaya, Mimi naomba mnipatie namba ya huyu baba nahitaji nionane naye.

  • @aminasminaamina4200
    @aminasminaamina4200 Před rokem +4

    EVERY ONE HAS A STORY
    TO TELL IN LIFE
    BIG UP GUYS
    MUCH LOVE FROM UGANDA

  • @catherinensemwa3907
    @catherinensemwa3907 Před rokem +3

    Story tamu sana hii kama kawaida tunaendelea tulipoishia 👏👏

    • @akilimalindevu520
      @akilimalindevu520 Před rokem

      Tamu mno aisee Yani story nzuri na msimuliaji nae anajua kuisimulia vizuri sana yani

    • @emanuelmbaga6848
      @emanuelmbaga6848 Před rokem

      Tamu mno Yani nilivyoiona nikasema silazi damu,nikaenda kujaza na bando kabisa lisije nikatikia njiani

  • @swahiliandculture6599
    @swahiliandculture6599 Před rokem +5

    Achana na waganga... mwamini Yesu

    • @gracemartine524
      @gracemartine524 Před rokem

      Duh pole sana baba binadamu wabaya sana kikubwa usikate Tamaa tu muombe mungu yupo atakusaidia na kujibu maombi yako pole sana sana 😭😭

  • @davidwaziri8176
    @davidwaziri8176 Před rokem +1

    Ni kweli hayo masharti nilishawahi kwenda kwa mganga nikaambiwa nisitoe mkono kwa mtu yeyote nikakutana na mzee nikatoa mkono dawa ikaharibika kilichonikuta Siri yangu

  • @mariamnyange199
    @mariamnyange199 Před rokem +2

    ilibaki kidogo nikuulize kelvin muendelezo lini daah umenifurahisha sana aisee👏👏👏

  • @asinatimpendwa3702
    @asinatimpendwa3702 Před rokem +1

    Kumbe umewekwa Kinga ndio ukayaona hayo misukure kwa yule bibi WA mkaa. Sasa nakwambia umebalikiwa na Mungu kwa kuwa na mkono WA biashara lakini mala unaibiwa mala kisa hiki na kile harafu huendelei, hiyo nikwasababu unahiyo Kinga ya kukulinda ambayo ni ushirikina hutakiwi kuwa na Mungu na Kinga ya ushirikina ndio maana hufanyikiwi. Muombe Mungu akutakase na umfuate Mungu peke yake ndiye mwenye nguvu na uwezo. Mbele ya Mungu washirikina wote wanashindwa na utafanyikiwa Sana Kwa mikono ya Mungu peke yake. Nenda kautakase mwili wako.

  • @davidwaziri8176
    @davidwaziri8176 Před rokem +2

    Ubaya wa haya maisha ni kwamba tu natoka familia duni lakini wengi wanaotamani tusifanikiwe ni haohao ndugu zetu Yani ukipiga tu hatua kidogo wao ndo maadui wako namba moja eeh mungu tusaidie

  • @dariamushi9356
    @dariamushi9356 Před rokem +1

    Mambo kama haya ndo huwa nayapenda bandika bandua tumemaliza part one tinabandika part two mmenikosha sana 👏

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 Před rokem +4

    Subhanallah mtihani ndio mana usililie utajiri wa mtu hujui siri ya mtu watu ni washieikina balaa na utajiri huu hauna mwisho mwema tumtegemee Allah ambae yupo hafi milele pole kwa mitihani nimejifunza mengi

  • @emanuelmbaga6848
    @emanuelmbaga6848 Před rokem +4

    Kunawatu mko chapu jamani Yani kidogo niseme wa kwanza naombeni like khaaa🙌😳

  • @akilimalindevu520
    @akilimalindevu520 Před rokem +4

    Ukiona mtu mzima analia ujue kunajambo

  • @amangearge9594
    @amangearge9594 Před rokem +1

    Nikajua imeisha kumbe ndo kwanza story imeanza Yani huku ndo kutamu zaidi kuliko mwanzo kinachonifurahisha kelvin unaulizaga maswali yote na tunapata majibu Yani big up sana kwa hilo hatubaki na maswali kabisa yote yanajibiwa

  • @dianadaudi3380
    @dianadaudi3380 Před rokem +1

    Bodaboda wengi wanakua na kasfa ya kutembea na wake za watu pole sana kwa yaliyokukuta kwa kweli

  • @sabinamushi1003
    @sabinamushi1003 Před rokem +1

    Huyu baba snajuhudi sana ya kazi bado anaweza kufanikiwa kikubwa nikutokukata tamaa tu

  • @catherinensemwa3907
    @catherinensemwa3907 Před rokem +1

    Tiki Tv mambo ni 🔥🔥🔥

  • @akilimalindevu520
    @akilimalindevu520 Před rokem +1

    Daaah 😔😔

  • @asinatimpendwa3702
    @asinatimpendwa3702 Před rokem +6

    Kweli wewe baba unabusala ambayo imetoka kwa Mungu. Ulifanya la maana kuacha mke asiyeoenda watoto wako. Wanawake WA jinsi hiyo ukiwa haupo nyumbani watoto wanateswa kuliko hata mtumwa na wananyimwa chakula. Na wengine wanakwenda kwa waganga ili kuwaua watoto wako. Na wengine wanaenda kwa waganga kuwafanya watoto wako wasifanyikiwe. Wanaume wote mlioa wamama WA kambo kwa watoto wako Ukiona tu kitu kidogo achana na huyo mwanamke

  • @mwaminindayishimiye3149
    @mwaminindayishimiye3149 Před rokem +3

    History hinaendeleya Pole na tumejifunza mengi 👍👍👍😢😢

  • @Kekee9595
    @Kekee9595 Před rokem +3

    Natamani uokoke umpatie YESU CHRISTO nafasi ya maisha yako akukomboe. Ukifanyiwa deliverance utakuwa sawa kabisa. Sababu, nguvu ulizokuwa unatumia ukifanya kazi niza kishetani na lazima shetani akujie Mali zake. Mpe YESU KRISTO maisha yako na utafauru katika maisha.

    • @eddasang9393
      @eddasang9393 Před rokem

      Kabisa, bado madhabau ya miungu inamuandama

    • @lilianmbeyu
      @lilianmbeyu Před rokem

      Heri mwisho wa jambo kuliko mwanzo wa jambo.una nafasi nyingine ya kutengeneza ila kwa Yesu tu pekee inawezekana.Mkenya ila nko warabuni pamoja

    • @Kekee9595
      @Kekee9595 Před rokem

      @@lilianmbeyu AMEN AMEN AND AMEN TO THAT. YESU KRISTO NI MUWEZA WA YOTE.

  • @janeshayo1667
    @janeshayo1667 Před rokem +3

    My brother Shayo you never disapoint

  • @user-tq8ss2wh6m
    @user-tq8ss2wh6m Před 8 měsíci +1

    Mfalme YESU Kristo aishi milele na milele.
    Mimi naona anaitaji YESU KRISTO awe BWANA na Mwokozi wake, amuweke huru na atakuwa huru huru kweli.
    Kwa waganga na wachawi hakuna kitu chochote huko.
    Lakina ukipa YESU KRISTO unapata vyote.
    Huwezi kutajirika inje ya mapenzi ya MUNGU ambaye ni YESU KRISTO.
    Kitabu cha ufunuo : 3:7 inasema YESU KRISTO ndie iko na ufunguo na akifunguwa hakuna wakufunga na akifunga hakuna waiufunguwa.
    Na yohana :1:1-10 inasema passport YESU KRISTO hapakufanyika chochote.
    Asante sana na mubarikiwe na Bwana wetu YESU Kristo.

  • @stellah3844
    @stellah3844 Před rokem +2

    Storry hata haichoshi na msimuliaji hachoshi na Mtangazaji pia💞💞💞💞💞💞

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547 Před rokem +2

    Sema Alhamdulillah hayo ni mapito mungu anakupangia kitu kizur usijute mungu anakupitisha yote huyo unakuamgalia je utashukuru au utakufuru sema Alhamdulillah

  • @rehemahramadhani3428
    @rehemahramadhani3428 Před rokem +3

    kelv mm naomba namba huy kaka

  • @akilimalindevu520
    @akilimalindevu520 Před rokem

    Hicho kisa Cha hao waliovaa sanda nimeshawahi kukisikua kumbe ndo kilitokea maeneo ya huko kwenu

  • @queenofireland898
    @queenofireland898 Před rokem +2

    Dah mthn inaskitishaapole sana mzee Allah akufanyie wepes ikiwa mungu hajapanga ww kufa hufi

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Před rokem +1

    Hao majini ndiyo wanatoa taarifazamtu ww unafikili walewaganga ndiyo wamjuemtu habarizao waowakinanani mpakawajue .. Usiende tena kule kwa waganga ni zambi utakufa sasa kwani unsogopa nini kuswari ukatubu kwauliyoyafanya ni mengi juaumemkufuru Mungu saana waganga kibao ushilikina umekuzidi unaonekana unaiiman na Dini yako na usipojilekebisha utajuta kuzaliwa kwani mganganae anaomva Mungu wenzio wanakuchukuliapeszako kwanjia zakishikina. Nakuonea huruma ila jilekebishe

    • @habarikamili9408
      @habarikamili9408 Před rokem

      Na mm nilitaka nishauri lakini kwa huu ushauri wako unatosha kabisa aufanyie tu kazi👏👏

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 Před rokem

      @@habarikamili9408 Umeonaee

    • @aishaabbas9395
      @aishaabbas9395 Před rokem +1

      Pole sana tubia kwa uliofanya na tafuta mwalimu akusomee

    • @mamitomamita6284
      @mamitomamita6284 Před rokem +1

      Pole sana mzee WANGU kilichokuharibia ni ushirikina mzee lakini unawwza kutubia mzee na MUNGU ni mwingi wa kusamehe lakini huyo bro wako inasikitisha sana

  • @marrymazengo1315
    @marrymazengo1315 Před rokem

    Muombe mungu atakufungulia njia upya kabisa kwa kua hakuna jambo gumu lisilowezekana kwake mungu 🙏

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Před rokem +2

    Ushirikina ndio uliokusababishia yote hayo yakakupata

    • @janeshayo1667
      @janeshayo1667 Před rokem +2

      Aamrudie tu mungu tamaa za Mali za kishirikina hazinaga mwisho mwema

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před rokem +2

      @@janeshayo1667 Kabisa shetani mjanja sana aliona mtu huyo ana nyota yamafanikio na yeye akaingilia kati na kwakuwa na yeye hana elimu ya dini ndio akapatikana, mtu huyo angelimshika Mungu tangu alipoanza bishara ya machungwa basi yote hayo yasingemkuta

    • @Dafetty
      @Dafetty Před rokem

      Hata mimi bahis😥

    • @aishaabrahaman9957
      @aishaabrahaman9957 Před rokem

      Na mimi nianze ibadaa tuuuh

  • @charlesmapunda5905
    @charlesmapunda5905 Před rokem +4

    😂😂😂Alipokua analia mi nilijua anakufa Mbavu kwa Kucheka 😂😂😂 Duuh

  • @aminasultan7287
    @aminasultan7287 Před rokem +2

    Pole waukae

  • @joymkenya2359
    @joymkenya2359 Před rokem +4

    Shida yetu wakenya hasaa mm , kiswahili hiki kinanipita , hadi aongee polepole ndio nitaelewa , 😂Tz mko na lugha ngumu

  • @SophiaKilimo-gx7xh
    @SophiaKilimo-gx7xh Před rokem

    Pole sana baba kwa misukosuko ya maisha hiyo story yako inafundisha sana tufanye kazi kwa bidii na kumtegemea mungu

  • @wolframchikomo8873
    @wolframchikomo8873 Před rokem +1

    Pole sana ndugu yetu Kutikavu. Kwa kweli unatia huruma lakini Mungu yupo atakukumbuka tena. Pole sana

  • @aziza9093
    @aziza9093 Před rokem +2

    Hapakwabiy balaa

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před rokem

    Usijute maisha ungekuwa dereva ungeshapata ajali Mungu anajua mapito yako. Mikosi YAKO chanzo ni waganga achana na waganga utafanikiwa

  • @aishaabrahaman9957
    @aishaabrahaman9957 Před rokem +1

    Masikini daàaaah polee sana kitu kilichokuponza ni waganga na ulitakiwa kufanya biashara yako ya machungwa ungefika mbalii ulianza kwa kasi sana na kujionesha kwa watu

  • @ziadaskitchen5060
    @ziadaskitchen5060 Před rokem +2

    Mungu akusaidie

  • @hakizimanantawundi9369

    Pole sana kaka yangu. Pamoja na bahati mbaya, ila pia mambo ya madawa ya kishirikina, baba alinionya sana. Kwani aliniambia hizo dawa za kishirikina zinaambatana na changamoto kama hizo. Zinakuwa zinawavuta sana maadui kwamaana zile nguvu zinakuwa zikitaka kuonesha activeness. Baba yangu aliniambia kama nikusaka nisake pesa tu maana anayetoa na anayelinda ni Mungu. Pole sana kaka yangu.🙏🙏🙏

  • @swahiliqueen9920
    @swahiliqueen9920 Před rokem

    Ngende pasikieni tu jamni msitamani kufika ndugu zangu kuna balaa zito huko

  • @swahiliqueen9920
    @swahiliqueen9920 Před rokem

    Kumbe hadi ngende umeshafika kweli ww ni hatari

  • @swahiliandculture6599
    @swahiliandculture6599 Před rokem +2

    Okoka tu...

  • @aishaabrahaman9957
    @aishaabrahaman9957 Před rokem +3

    Natamani nikuchukue nikupeleke veta ukasome udereva alafu ukatoe izo Kinga zako ukasomewe kisomo

  • @stellahgetuno837
    @stellahgetuno837 Před rokem

    I love ur job kevin
    Huyu mtu ananibamba😂😂
    ❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @ruwaidaal-ismaily9099
    @ruwaidaal-ismaily9099 Před rokem +3

    Story nzur sana lakin kitu kinacho nichekesha hapo Anapo lia tu 😄😃

  • @mwitawakimara3649
    @mwitawakimara3649 Před rokem +2

    Basi zile zilienda wapi

  • @mariamnyange199
    @mariamnyange199 Před rokem

    Nimecheka ulivyo beua

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 Před rokem +4

    Kwa kweli uyu baba story yake inafundisha sana pole sana babaang

  • @maimunaabdallah1294
    @maimunaabdallah1294 Před rokem

    Historia zake zinachekesha 😂😂😂
    Ila nimrudishe nyuma pati 1 alisema yeye ni mshirikina na utajiri wa kishirikina ukikosea mashart umekwisha akichunguza ataona

  • @mr.bornfaceakuma2860
    @mr.bornfaceakuma2860 Před rokem +2

    Maisha haya ni kama daftari. Ninafwatilia simulizi kutoka Kenya .

  • @imeldastephano9221
    @imeldastephano9221 Před rokem +1

    Kitu cha kwanza alikame Ilo jina la baskeli. Koti kavu kuanguka....

  • @annesyombua658
    @annesyombua658 Před rokem

    Ata saa hii hujachelewa dugu unaweza jifunza driving aki pole sana shukuru mungu uko hai kuna watu wako na pesa ni wagojwa lakini wewe uko mzima bila ugojwa kwa ukweli kuanguka sio mwisho WA maisha mungu atakuinua tena 🙏

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před rokem

    Umejilogeka mwenyewe kwa waganga, tafuta Mtu akutoe hayo mauchafu ya waganga uanze upya na Mungu

  • @annesyombua658
    @annesyombua658 Před rokem +1

    Jameni ukiona mwanaume akilia sio mchezo woiye 😭

  • @peterstewart9935
    @peterstewart9935 Před rokem +1

    hahahahhahahahahahha...kuti kavu kakalia kuti kavu kwel...pale kwa mganga ndipo aliposhusha mafanikio yake..

  • @yasminathman7917
    @yasminathman7917 Před rokem

    Kevin hongera Kwa kazi nzuri, watching from Nairobi Kenya ✌️

  • @elizabethmwikali9144
    @elizabethmwikali9144 Před rokem +1

    Bro huna pesa lakini huko hai nguvu unayo mungu Ako pamoja na ww

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před rokem

    Toa hizo chale walizokuwekea waganga ndio zinazokuletea nuksi, zinaitwa chale tochi zinamulika maisha yako popote.
    Achana na waganga

  • @henrymassawe699
    @henrymassawe699 Před rokem

    Bwana kuti kavu don't regret. Wewe ni mpambanaji sanaaa na wala hukati tamaa na huyaoneii aibu maishaa. Kuna watu nawajua walikamataa pesaa sana na walipoanguka walikufa kwa stress,walipata stroke lakini wewe bado afya nzuri haya ni maishaa ila usikate tamaaa kabisaa kupata,kukosa na kupoteza ni sehemu ya maisha

  • @ibramrzebra1675
    @ibramrzebra1675 Před rokem +1

    Hii ya Bia nimecheka mpaka basi, Allah atufanyie

  • @user-fs7xc2bb5d
    @user-fs7xc2bb5d Před rokem

    Pole sana ila kwa sasa ungeachana na ushirikina hakika ushirikina ni kati ya dhambi kubwa mshirikina kusamehewa kwake ni kuacha shirk utubu kabla ya umauti kinyume na hapo ukipatwa na umauti ukiwa mshikina mtihan jitahidi kumuomba Mwenyeez Mungu ili upate kufauru hakuna kinachoshindikana kwake

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    KASEMA MSHILIKINA NA ANAPENDA USHILIKINA SASA PESA ZA KISHILIKINA ZITAYAYUKA KAMA ULIVYOZIPATA MWAMBA KUTEMBEA NA MAMA YAKO MZAZI KUTAFUTA UTAJIRI WA MAJINI 🇹🇿🇬🇷

  • @janeongala6684
    @janeongala6684 Před rokem

    We baba😂 una akiri yani tukuchangie uende kwa mganga umri wako ni wakumrudie mungu achana na ushilikina

  • @user-wk1ix1gm1p
    @user-wk1ix1gm1p Před rokem

    Kwakweli nimejifunza mengi kupitia wewe , maisha ni kupanda Na kushuka , usiende kwa mganga muombe mungu msamaha Na anza upya wewe bado❤ unanafasi , na unavyosimulia bila hata hao waganga ulibarikiwa mkono wa kufanya😂 biashara , waganga ndo wamekuharibu ndo maana unayumba , mungu alishaweka neema kwako kulikua hamna haja😂 ya waganga , shida ni kutokuridhika Na kutaka mambo ya haraka haraka , lakin tunashukuru kwa story nzur inayofundisha Na pia mwandishi wa habari unaijua kazi yako mimi ningecheka mpaka ningesahau maswali ya kumuuliza maana anafurahisha akilia anahuzunisha akiadisia hatujachoka kwa kweli 😂

  • @fatumaduba9145
    @fatumaduba9145 Před 7 měsíci

    Achana na waganga .pole sana kaka

  • @user-bv2mi5ig3d
    @user-bv2mi5ig3d Před 9 měsíci

    Biashara yamadawa ikisambaratika juwa imeisha omba mungu yeye ndiye mweza wayote

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před rokem

    Waswahili upenda Sana ushirikina lakini hauwasaidii kuondoka na umasikini

  • @jacklinejacklinejonh6530

    Rudi kwako ukaendelee na kilimo

  • @mr.bornfaceakuma2860
    @mr.bornfaceakuma2860 Před rokem +1

    Da! simulizi laguza nafsi.

  • @hamismbekae3050
    @hamismbekae3050 Před rokem

    Hmmm! Miskule !!!! Zombies do not exist mzee umehangaika sana na maisha, mpka umechanganyikiwa. Mungu akusamehe bure🙏

  • @ElizabethPaulJr-tk7zp

    Duh

  • @sophiamiondoko7098
    @sophiamiondoko7098 Před rokem +1

    Kidole kimelowa kimelowa

  • @khadijaa815
    @khadijaa815 Před rokem

    Utajiri wa ushirikina itakuwa sasa umekwisha nguvu

  • @maggieboneventura4244

    Yaan apewe hela Tena aende kwa waganga😳? KWANZA anatakiwa kuomba Toba na reheme juu ya dhambi ya mashtaka kutoka kwa baba yake ndo chanzo Cha kuharibikiwa kwake kimaisha ili Mungu amuondolee hiyo laana anaweza Kweli akawa hajatembea na hao wake za watu lakini hii ni vita ya kiroho

  • @asmarajabu5786
    @asmarajabu5786 Před rokem +2

    demu ugonjwa wako 🤣🤣

  • @AishaAisha-uu6uh
    @AishaAisha-uu6uh Před 5 měsíci +1

    Mimi naitwa levina je umeisha oha mimi natafuta mme

    • @tikitvog
      @tikitvog  Před 5 měsíci

      Tutafute kupitia +255 654 980 556 @tikitv

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 Před rokem

    👏👏👏👏safi sana

  • @annesyombua658
    @annesyombua658 Před rokem

    Kuna mambo ulifanyiwa diyo walikuchanganya dawa yenye ulipewa isikusaidie yaani ukachanganyikiwa kufuata magizo woiye pole dugu

  • @gracehizza7011
    @gracehizza7011 Před rokem

    Nani kasikia komfidesho

  • @AishaAisha-uu6uh
    @AishaAisha-uu6uh Před 5 měsíci

    Kama una nioe mimi

  • @sharifaoctavian6478
    @sharifaoctavian6478 Před 8 měsíci

    mwsndishi yani hujui kuwa ndo mchawi

  • @jacklinejacklinejonh6530

    Mmh

  • @kimcash3079
    @kimcash3079 Před rokem

    😭😭😭😭

  • @sharifaoctavian6478
    @sharifaoctavian6478 Před 8 měsíci

    mwandishi mgumu kuelew ssna

  • @christaoman8890
    @christaoman8890 Před rokem

    Ndio sisi wanawake ni micharuko kweli hatuna dogo tunachambua km karanga

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 Před rokem

    🤣😂🤣😂

  • @yothanbilonda9013
    @yothanbilonda9013 Před rokem

    I