Yani hawa hata hawajui Tanzania kuna nn hawa wapo nje huko hawana ata muda na Tz ndo maana hamuwaoni ata kwenye matokeo ya kitz maana wana mitaala tofaut
Kuna msemo unasema aliekupa elimu hata ya kukusomesha A huwezi kumlipa hata umpe nini sasa tusilalamike jamani hata watowe kiasi gn bado hawajalipa hao😂😂
Hizo ada kawaida tuu watu wanalipa na mtoto akifeli baridii tuuu sio ww unasoma mchamba wima primary and sec ukifelii mawaidha kibaoo hutokii ndani wiki nzima wengne mara unafukuzwa na nyumbnii
Kumbe duniani nimekuja kusindikiza wengine? Chumba 70 tu mpaka Mwenyenyumba anipeleka kwa mjumbe, wengine wanalipa 70M, anyway tumeingia Uchumi wa kati na kati penyewe hatupajui ndio wapi😂😂😂😂
CHA AJABU HIZII SHULE ZOTE HUWA HAZITOI MWANAFUNZI BORA KITAIFA ,,,,Sasa sijui hawafanyi mitiani ya TANZANIA 😅😅,,,,au wanajionyesha tu na kuwa tofautisha watoto wao na watoto wa wengine,,,hakuna hata mwanafunzi ambae kagundua kitu inaonyesha elimu inayo tolewa kwenye hizii shule ,,,ni malezi tuh😁
Mungu aninusuruu kusomeshaa wanangu skulii hizoo najua ipo siku nitaicha bora nitoe sadaka
Watoto wa viongoz ndio husoma huko lakin mimi mwanangu atasoma shule ya kayumba na atawaongoza wote hao sheeeeem
Mimi nimesoma elim bure😂😂😂
😅😅😅 Haya ndio Yale Yale, Unaenda Super Market Unakuta Pesa ya Mshahara wako Wamembandikia Bei ya Mdori wa Kuchezea Watoto 😂😂😂
Aah nmecheka sana😂
Hatar san
Mm ada ya ef sabini inaniumiza kichwa🤕,wenzng 40M chekechea...nazmia
@Joyce Charles Mungu mwema. Utapata kw rehma zake, Ameen!
af chuo unakuj kusoma na waliosom bure kuanzia primary had secondary
Hapana kabisa wengi wanasoma chuo nje
Alafu mazuzu marais ...madoctor wote wanatokea kayumba
Uwiiiiiii na kweliii Hakuna kitu
Ww mtu analipa ada milioni 71 kwa mwaka alafu afanye kazi tz unaweza kumlipa kweli hao wanafanya kazi ulaya huko hahahah
Yani hawa hata hawajui Tanzania kuna nn hawa wapo nje huko hawana ata muda na Tz ndo maana hamuwaoni ata kwenye matokeo ya kitz maana wana mitaala tofaut
Kweli kabisa
@@shylahkawa9074hii
Mbn cc kayumba fresh tu, na hatuwazi🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣Kabisa umbuje😃😃😃😃👌
Hatuna habari kabisa yaani!
😂😂😂🙌🏼🤝
Tunachoangalia mkate tu kikubwa hapa kufanya bidii ya kuwa karibu na Mungu maana haya yote tunayaacha
Yeah...Aga Khan Mzizima. My school..I graduated 1994. So as my brother and sister.
Kuna msemo unasema aliekupa elimu hata ya kukusomesha A huwezi kumlipa hata umpe nini sasa tusilalamike jamani hata watowe kiasi gn bado hawajalipa hao😂😂
Dah! One day my kids will be attending that school
Hakuna hata rais mmoja tz
Aliesoma hpo
Jamani kama shule zote zikiwa na bei kama hizo watu hatutasoma kamwe
Usenge tu million 71 iyo kwio
shule mazingira ni mabaya sana
Mm nikipeleka mwanangu iyo shule labda hela zipo halafu cjui nifanyie nn
Milioni 71 nishasoma chuo kikuu mpaka PHD,nishajenga nyumba ya kawaida tu,nishapata na mtaji wa biashara
MashaAllah. 😁👌🏼
🤣🤣🤣 na unabakiwa na mtaj
Acha kabisa 😃😃😃😃👌
Jaman naomben namba ya cm
Hesabu zako kali, hebu nieleweshe vzr 🤣🤣
Hao ndio viongozi wanaokuja kutawala baadae Dah!!!!
Hata hazpo kwenyd top ten kitaifa c ufala huu
Naomba nitafute elaaaa tuuuu maaana wanangu nawatakia elimu nzurii
Mashallah
Tumesoma karumba lkn alihamdulilahi
Ada za kawaida Sana hata million 71 ya kawaida ilimrad Mtoto apate elim bora
Kwa nyie matajirii tutolee wengee ww ety kawaida af bado huyo mtt namwajiri baadae mm mtu wa kayumba
Ni vizuri kwa mwenye pesa
Hizo ada kawaida tuu watu wanalipa na mtoto akifeli baridii tuuu sio ww unasoma mchamba wima primary and sec ukifelii mawaidha kibaoo hutokii ndani wiki nzima wengne mara unafukuzwa na nyumbnii
Na ada umelipiwa 20000 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hahahaaaaaaaa
Hahaa wamesomeshwa kwa mamilioni lakini mbon wako wengi kitaaaa tu😃😃😃😃😃😃😃😃
Shule za gharama ndo zinaharibu watoto maana wanapewa sana uhuru
Hiyoo ada bora nipewe mtaji
Kabisa yaani
Nimeishia kuona majengo tu kwa nje, labda waniite cku moja wanipe msaada nitoke kimaisha
Kweli dada agu
duuuuhhhhhhh.....💪💪💪
Mmmmhh baba mpaka alime ndosa apate hiyo mil. 71 ni lini??? Ahsante marais was Tz kwa kutoa elim bulee imenisaidia kujua kusoma na kuandika
😂😂😂
Kbs twilumba kha
Jmn kweli sisi fukara tutaishia kusikia kwenye midia eeeh mungu tubaliki nasi familia zetu zisome
Kidumu na mfagio mie ctaki taabu😅😂
Hizo shule za matajiri tu!
Mil 16 chekechea 🤣 na mtu amasomesha watoto 3 wa chekechea hapo🤣😂😅 maisha sio fair
Mmmmmhhhhhh iv mwanafunz akitoka hapo anapatiwa na kaz au
Awa kazi nje nje tena sio Tz mambele uko
@@shamiraathuman4478 mmmmmhhhhh ukiwa unasomesha uko lazima uwe na marafiki au uwezo wa kumpatia mtoto ajira vinginevyoo. !!!!!!
Mmmmh! Watasoma kayumba wanangu
mamaaaa mimi milioni na laki 7 tu inanitoa jasho
Life is not fair😢
Hii ndo dunia na watu wake aisee
Milioni 34 chekechea???? Yeeuuuwiiii mimi jamani🤸🏼♀️🤸🏼♀️🤸🏼♀️🤸🏼♀️
Nyongeza
P funk majani kasoma pia International school of tanganyika
💪💪💪🔥
Na matokeo yake hajakua gavana wa benk kaja kua p funk majani 2 daud balali alosoma kayumba kawa gavana mungu anarehma zake 2jfnze kwa haya
Kumbe
Daya ya umasikini siku moja moja unaushtua unaenda kuuliza nafasi ya kuhamia kama ipo ukitoka hapo unakunywa soda na tikiti bac maisha yanaendelea
😂😀😀😀mamaaaa
Nyoko kweli wewe yaani umenifanya nicheke kama mwehu😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
😅😅😅😅😅
ndomaan mo kiwango milion 71🔥🔥🔥🔥
Kama hakir hazipo hazipo tu, hata kama akasome uingereza wangap wanaenda shule bila hata viatu lakin wanafaulu wanaishi mazingila magu
Kweli kabisa
Mwanangu atasoma mwisho ada million 7 tu kushuka chini zaid ya apo no money to use
Mimi.milioni.tatu kushuka chini😅
Sema mtaala na mtawala
Hizo shule hazina wanafunzi
MI ni mwalimu piq
Wapooo
Unaota!!!? Nini?
Kumbe duniani nimekuja kusindikiza wengine?
Chumba 70 tu mpaka Mwenyenyumba anipeleka kwa mjumbe, wengine wanalipa 70M, anyway tumeingia Uchumi wa kati na kati penyewe hatupajui ndio wapi😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Hhhhhhh tanzania yetuuu
@@aminielyohana3052 🤩🤩🤩🤩
😂😂😂😂😂
Hahaha hahaha Eti za kayumba
Wakimaliza hapo wanakuwa maraisi ama wakurugenzi ama mameneja maana si kwa Ada hizo mm
Najiuliza mbona nchi zilizoendelea wanaelimu nzuri na elimu na matibabu ni bure
Hata kama siwezi yaani karo ni pension ya mwalimu duh.
duh feeza ata no 10 imekosa...
Mmmm makubwa
Naombeni msaada wa maelezo!...
Ubora wa mitaala inayotumiwa na shule hizi upoje kulinganisha na wa kwetu wa NECTA?
Hz shule hazifany mitihan ya necta
kaah milion 71 maanina huyo mtoto labda kama kuna uhakika atakuja kuwa raisi wa nchi
😂😂😂😂😂umenena mzeee mwenzang
Nakwel
😂😂
Kkkkkkkkk eti eh!😂
😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃
Sisi Hatuwazi kina kayumba na wengine tupo Nao tunapiga spana huku
Duuh mwingine mil 71 hiyo ni mafao ukistaafu baada ya kuhenyeka miaka 30 au 40 kazini duuh maisha haya tunasindikiza kumbe
🤣🤣🤣🤣🙌
HUKO WANAJIFUNZA NINI AU UCHAWI TU WA KUTUBAGUA WANYONGE?
Mmh haya
Mbona hatuzion ktk top 10 ya kufaulisha
Mtaala
Hawatumii sylubus ya tanzania watacompare matokeo vip
Maisha yana utofauti Mkubwa sn.
No no no no haujataja Imperial Sec school na feza girl and feza primary
Hizo shule wanapewa nini hao watoto huko? N elimu hii hii au kuna kingine nyie😳
Wew ni muongo mo dewij wa simba ame soma arusha muongo wew
Asante nashukuru kwa kutizama video hii
Shukuran
Du! Watu wana ela jamani
umeisaau MPONJA
Hulazimishwi ni hiari yakooook
Mmm! somchezo
Khaaaa
Upuuzi uliokuwepo tanzania one anatoka kayumba school aya wanakwama wapi hawa
Yaan Mimi nasomeshe mwanangu shule ada 1.6 lakini nalalamika Sana duuuh kunawatu wanapesa jamani sijui wenyewe wanapata wapi hiyo mijiela tu
Hata wewe mshukuru mungu pesa unayo kuna watu mlo m1 unawashinda.
Samahani wapendwa kwa hiyo wanaosoma kayumba wanasoma nini na hao wanaosoma hizo shule nao wanasoma nini?maisha buana!
Ni sawa na mtu anaepanda bajaji na mwengine kupanda rose rose car. hiyo ndo tofauti yake.
Wanajifunza umagharibi zaidie mtt wa kiume kuvaa hereni na cheni halal
Wanaosoma kayumba wanasoma ili waajiliwe na wanaosoma international wanasoma ili waajili wengine
kuna kashule flan iv kanaitwa lumiere sunrise ada yake m7. 5 na inafuata mtaala wa cambkage na ni chekechea tu
Tukutane Udsm
Sema international School of Tanganyika bei yake za ada ni ndogo sana
tatazo we unatafuta sifa
au ni mhaya nn
Eti Kilimanjaro hiyoo shulee iko Arusha kisigo
Education is key
Noma
Na sis wakinga tulivyo hatupnd shul ni biashar mbel hap
Jamani wao wanafundishaje hivyo
Hata hivyo naona weupe tu
ISZ international school of Zanzibar
Nashangaa sijaona Isamilo school ya Mwanza wala Kaizirege..uwe unatafuta habari zote kuliko kutumia kichwa chako pekee
Wee Kaizilege Ada ata haizidi 5M alfu ipo Necta izi azipo Necta ndgu
Hizo zilizotajwa kaizilege ni sawa na kanumba
Upo
Mbn st. Marys siziioni?
Hela uchizi yaan ada 40M chekechea da nikizipata mtaj hatar
Kufahuru ndio kulele
Haha ina bei kwan unapewa na mke huko huko au
61
like
Ist babalaooooooooo
Hiyo IST ina wanafunzi kweli au madarasa yapo empty
😂😂
Tena wapo wengi balaa na hawanaga maschool bus ukipita pale nje unakuta gari private zimepaki madereva wanawasubir watoto watoke darasani
Hatari sana
@@martinswai8031 Daaah kk watuu wana hela zaooo
Hahaaaaaaaaaa
Aa kumbe feza sec school cha Mtoto tu
CHA AJABU HIZII SHULE ZOTE HUWA HAZITOI MWANAFUNZI BORA KITAIFA ,,,,Sasa sijui hawafanyi mitiani ya TANZANIA 😅😅,,,,au wanajionyesha tu na kuwa tofautisha watoto wao na watoto wa wengine,,,hakuna hata mwanafunzi ambae kagundua kitu inaonyesha elimu inayo tolewa kwenye hizii shule ,,,ni malezi tuh😁
Ndgu awa wanamitaala Yao tofauti mtihan yao haitoki tz
Na wengi unakuta wakimaliza wanaenda kuishi nchi za nje
Maghabe cec
Kuna BLACKRHINO ACADEMY fuatilia
Tena awavaagi sale za shule ukisuka rasta sawa ukivaa tite sawa vaa chichote
Mmh iyo shule
Mbona ktk top ten za ufaulu sijawahi kuziona hizo shule?...
@@mesiamatheo2230 ndo maana akasema azitumii mitaala ya Tanzania ndgu
@@mesiamatheo2230 ndo maana unakuta ao wakimaliza wansfanya kazi nchi za nje uwezi wakuta Tz