SHULE KUMI ZENYE ADA KUBWA TANZANIA HIZI HAPA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 12. 2019
  • #SHULE KUMI ZENYE ADA KUBWA TANZANIA HIZI HAPA #SHULEBORA #SHULEADAKUBWA

Komentáře • 305

  • @mwajumariami2997
    @mwajumariami2997 Před rokem +3

    Mungu aninusuruu kusomeshaa wanangu skulii hizoo najua ipo siku nitaicha bora nitoe sadaka

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 Před 7 měsíci +1

    Watoto wa viongoz ndio husoma huko lakin mimi mwanangu atasoma shule ya kayumba na atawaongoza wote hao sheeeeem

  • @macklinahrv228
    @macklinahrv228 Před 4 lety +11

    Mimi nimesoma elim bure😂😂😂

  • @namkundainfor1265
    @namkundainfor1265 Před 3 lety +13

    😅😅😅 Haya ndio Yale Yale, Unaenda Super Market Unakuta Pesa ya Mshahara wako Wamembandikia Bei ya Mdori wa Kuchezea Watoto 😂😂😂

  • @joycecharles4719
    @joycecharles4719 Před 4 lety +22

    Mm ada ya ef sabini inaniumiza kichwa🤕,wenzng 40M chekechea...nazmia

    • @shammoha5297
      @shammoha5297 Před 4 lety +4

      @Joyce Charles Mungu mwema. Utapata kw rehma zake, Ameen!

  • @azeezhmussa9342
    @azeezhmussa9342 Před 4 lety +18

    af chuo unakuj kusoma na waliosom bure kuanzia primary had secondary

  • @mandytv2667
    @mandytv2667 Před 4 lety +24

    Alafu mazuzu marais ...madoctor wote wanatokea kayumba

    • @wittyjamanidarmura9141
      @wittyjamanidarmura9141 Před 4 lety +1

      Uwiiiiiii na kweliii Hakuna kitu

    • @athumanichato9644
      @athumanichato9644 Před 3 lety +2

      Ww mtu analipa ada milioni 71 kwa mwaka alafu afanye kazi tz unaweza kumlipa kweli hao wanafanya kazi ulaya huko hahahah

    • @shylahkawa9074
      @shylahkawa9074 Před 3 lety +1

      Yani hawa hata hawajui Tanzania kuna nn hawa wapo nje huko hawana ata muda na Tz ndo maana hamuwaoni ata kwenye matokeo ya kitz maana wana mitaala tofaut

    • @gracejesca6913
      @gracejesca6913 Před 3 lety

      Kweli kabisa

    • @justinecharles3105
      @justinecharles3105 Před 2 lety

      @@shylahkawa9074hii

  • @alfredmsambaa1443
    @alfredmsambaa1443 Před 4 lety +18

    Mbn cc kayumba fresh tu, na hatuwazi🤣🤣

  • @happyalman6580
    @happyalman6580 Před 4 lety +9

    Tunachoangalia mkate tu kikubwa hapa kufanya bidii ya kuwa karibu na Mungu maana haya yote tunayaacha

  • @junkie92
    @junkie92 Před 4 měsíci

    Yeah...Aga Khan Mzizima. My school..I graduated 1994. So as my brother and sister.

  • @SulmanAliy-wp8zq
    @SulmanAliy-wp8zq Před 6 dny

    Kuna msemo unasema aliekupa elimu hata ya kukusomesha A huwezi kumlipa hata umpe nini sasa tusilalamike jamani hata watowe kiasi gn bado hawajalipa hao😂😂

  • @carolinaadolf6955
    @carolinaadolf6955 Před 3 lety +6

    Dah! One day my kids will be attending that school

  • @rabanikisusi386
    @rabanikisusi386 Před 3 lety +2

    Hakuna hata rais mmoja tz
    Aliesoma hpo

  • @evaristirazalo7459
    @evaristirazalo7459 Před 3 lety +5

    Jamani kama shule zote zikiwa na bei kama hizo watu hatutasoma kamwe

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 Před 4 lety +4

    Usenge tu million 71 iyo kwio

  • @abdul-bz1cy
    @abdul-bz1cy Před 4 lety +4

    shule mazingira ni mabaya sana

  • @dianajames7131
    @dianajames7131 Před 4 lety +5

    Mm nikipeleka mwanangu iyo shule labda hela zipo halafu cjui nifanyie nn

  • @wahidkombokhamis4330
    @wahidkombokhamis4330 Před 4 lety +38

    Milioni 71 nishasoma chuo kikuu mpaka PHD,nishajenga nyumba ya kawaida tu,nishapata na mtaji wa biashara

  • @dulabori9922
    @dulabori9922 Před 3 lety +4

    Hao ndio viongozi wanaokuja kutawala baadae Dah!!!!

  • @adammwambuluma6894
    @adammwambuluma6894 Před 3 lety +2

    Hata hazpo kwenyd top ten kitaifa c ufala huu

  • @devothaherman5820
    @devothaherman5820 Před 9 měsíci

    Naomba nitafute elaaaa tuuuu maaana wanangu nawatakia elimu nzurii

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement2534 Před 2 lety +3

    Mashallah

  • @fatmakiruwasha2378
    @fatmakiruwasha2378 Před 4 lety +4

    Tumesoma karumba lkn alihamdulilahi

  • @hijjaferrari8243
    @hijjaferrari8243 Před 4 lety +4

    Ada za kawaida Sana hata million 71 ya kawaida ilimrad Mtoto apate elim bora

    • @annaazaeli2145
      @annaazaeli2145 Před 3 lety

      Kwa nyie matajirii tutolee wengee ww ety kawaida af bado huyo mtt namwajiri baadae mm mtu wa kayumba

  • @philomenamakonge227
    @philomenamakonge227 Před 3 lety +1

    Ni vizuri kwa mwenye pesa

  • @dullahmudy2255
    @dullahmudy2255 Před 4 lety +7

    Hizo ada kawaida tuu watu wanalipa na mtoto akifeli baridii tuuu sio ww unasoma mchamba wima primary and sec ukifelii mawaidha kibaoo hutokii ndani wiki nzima wengne mara unafukuzwa na nyumbnii

  • @abedinegoheriel8264
    @abedinegoheriel8264 Před 4 lety +2

    Hahaa wamesomeshwa kwa mamilioni lakini mbon wako wengi kitaaaa tu😃😃😃😃😃😃😃😃

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 Před 11 měsíci

    Shule za gharama ndo zinaharibu watoto maana wanapewa sana uhuru

  • @miltonmachage2462
    @miltonmachage2462 Před 4 lety +5

    Hiyoo ada bora nipewe mtaji

  • @neemamwanga4910
    @neemamwanga4910 Před 4 lety +4

    Nimeishia kuona majengo tu kwa nje, labda waniite cku moja wanipe msaada nitoke kimaisha

  • @mohamedmnjeja3271
    @mohamedmnjeja3271 Před 4 lety +2

    duuuuhhhhhhh.....💪💪💪

  • @twilumbakabelege3426
    @twilumbakabelege3426 Před 4 lety +13

    Mmmmhh baba mpaka alime ndosa apate hiyo mil. 71 ni lini??? Ahsante marais was Tz kwa kutoa elim bulee imenisaidia kujua kusoma na kuandika

  • @estomiailomo7844
    @estomiailomo7844 Před 3 lety +1

    Jmn kweli sisi fukara tutaishia kusikia kwenye midia eeeh mungu tubaliki nasi familia zetu zisome

  • @holycrossctc5174
    @holycrossctc5174 Před 4 lety +9

    Kidumu na mfagio mie ctaki taabu😅😂

  • @ananiamkasu8847
    @ananiamkasu8847 Před 3 lety +2

    Hizo shule za matajiri tu!

  • @amnymbega877
    @amnymbega877 Před 3 lety +4

    Mil 16 chekechea 🤣 na mtu amasomesha watoto 3 wa chekechea hapo🤣😂😅 maisha sio fair

  • @deogratiusdominick8882
    @deogratiusdominick8882 Před 3 lety +2

    Mmmmmhhhhhh iv mwanafunz akitoka hapo anapatiwa na kaz au

    • @shamiraathuman4478
      @shamiraathuman4478 Před 3 lety +1

      Awa kazi nje nje tena sio Tz mambele uko

    • @deogratiusdominick8882
      @deogratiusdominick8882 Před 3 lety

      @@shamiraathuman4478 mmmmmhhhhh ukiwa unasomesha uko lazima uwe na marafiki au uwezo wa kumpatia mtoto ajira vinginevyoo. !!!!!!

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před 3 lety

    Mmmmh! Watasoma kayumba wanangu

  • @ebaraniathomas4750
    @ebaraniathomas4750 Před 3 lety

    mamaaaa mimi milioni na laki 7 tu inanitoa jasho

  • @carrenkapia7841
    @carrenkapia7841 Před 2 lety +3

    Life is not fair😢

  • @ambakisyemwakinunu2002
    @ambakisyemwakinunu2002 Před 3 lety +1

    Hii ndo dunia na watu wake aisee

  • @schosay_
    @schosay_ Před 3 lety +1

    Milioni 34 chekechea???? Yeeuuuwiiii mimi jamani🤸🏼‍♀️🤸🏼‍♀️🤸🏼‍♀️🤸🏼‍♀️

  • @mapenzitz
    @mapenzitz Před 4 lety +2

    Nyongeza
    P funk majani kasoma pia International school of tanganyika

    • @BONGOSTARMEDIA
      @BONGOSTARMEDIA  Před 4 lety

      💪💪💪🔥

    • @khalidali1130
      @khalidali1130 Před 3 lety

      Na matokeo yake hajakua gavana wa benk kaja kua p funk majani 2 daud balali alosoma kayumba kawa gavana mungu anarehma zake 2jfnze kwa haya

    • @enitafelix1943
      @enitafelix1943 Před 3 lety

      Kumbe

  • @yusuphmwanjoli9862
    @yusuphmwanjoli9862 Před 3 lety +1

    Daya ya umasikini siku moja moja unaushtua unaenda kuuliza nafasi ya kuhamia kama ipo ukitoka hapo unakunywa soda na tikiti bac maisha yanaendelea

  • @tousihhhh6765
    @tousihhhh6765 Před 4 lety +5

    ndomaan mo kiwango milion 71🔥🔥🔥🔥

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 Před 3 lety +2

    Kama hakir hazipo hazipo tu, hata kama akasome uingereza wangap wanaenda shule bila hata viatu lakin wanafaulu wanaishi mazingila magu

  • @HanceBablo-ot8sz
    @HanceBablo-ot8sz Před 4 měsíci

    Mwanangu atasoma mwisho ada million 7 tu kushuka chini zaid ya apo no money to use

  • @sunsetpictures7484
    @sunsetpictures7484 Před 4 lety +1

    Sema mtaala na mtawala

  • @everythingshorts255
    @everythingshorts255 Před 4 lety +5

    Hizo shule hazina wanafunzi

  • @jacobkeleman8001
    @jacobkeleman8001 Před 4 lety +29

    Kumbe duniani nimekuja kusindikiza wengine?
    Chumba 70 tu mpaka Mwenyenyumba anipeleka kwa mjumbe, wengine wanalipa 70M, anyway tumeingia Uchumi wa kati na kati penyewe hatupajui ndio wapi😂😂😂😂

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 Před 4 lety +1

    Hahaha hahaha Eti za kayumba

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 Před rokem +1

    Wakimaliza hapo wanakuwa maraisi ama wakurugenzi ama mameneja maana si kwa Ada hizo mm

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 Před 11 měsíci +1

    Najiuliza mbona nchi zilizoendelea wanaelimu nzuri na elimu na matibabu ni bure

  • @shillakhamisi6563
    @shillakhamisi6563 Před 4 lety +7

    Hata kama siwezi yaani karo ni pension ya mwalimu duh.

  • @dannymyegeta4379
    @dannymyegeta4379 Před 3 lety +2

    duh feeza ata no 10 imekosa...

  • @mariammvaa5190
    @mariammvaa5190 Před 4 lety +1

    Mmmm makubwa

  • @fredducaunt1724
    @fredducaunt1724 Před 4 lety +6

    Naombeni msaada wa maelezo!...
    Ubora wa mitaala inayotumiwa na shule hizi upoje kulinganisha na wa kwetu wa NECTA?

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 4 lety +30

    kaah milion 71 maanina huyo mtoto labda kama kuna uhakika atakuja kuwa raisi wa nchi

  • @khamiskamtoi5094
    @khamiskamtoi5094 Před 3 lety

    Sisi Hatuwazi kina kayumba na wengine tupo Nao tunapiga spana huku

  • @nancyfamilysharesmoments7634

    Duuh mwingine mil 71 hiyo ni mafao ukistaafu baada ya kuhenyeka miaka 30 au 40 kazini duuh maisha haya tunasindikiza kumbe

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 Před rokem

    HUKO WANAJIFUNZA NINI AU UCHAWI TU WA KUTUBAGUA WANYONGE?

  • @asmarashid743
    @asmarashid743 Před 4 lety +1

    Mmh haya

  • @binsultan6981
    @binsultan6981 Před 4 lety +2

    Mbona hatuzion ktk top 10 ya kufaulisha

  • @mbarikiwambarikiwa3988
    @mbarikiwambarikiwa3988 Před 3 lety +2

    Maisha yana utofauti Mkubwa sn.

  • @upendomfaume3792
    @upendomfaume3792 Před 3 lety +1

    No no no no haujataja Imperial Sec school na feza girl and feza primary

  • @bryson0772
    @bryson0772 Před 7 měsíci

    Hizo shule wanapewa nini hao watoto huko? N elimu hii hii au kuna kingine nyie😳

  • @danielurassa4909
    @danielurassa4909 Před 2 lety

    Wew ni muongo mo dewij wa simba ame soma arusha muongo wew

  • @2nukhamis447
    @2nukhamis447 Před 4 lety +1

    Shukuran

  • @anitajacob3641
    @anitajacob3641 Před 4 lety +2

    Du! Watu wana ela jamani

  • @kevindesigner6795
    @kevindesigner6795 Před 4 lety +1

    umeisaau MPONJA

  • @faustinluambano2958
    @faustinluambano2958 Před 4 měsíci

    Hulazimishwi ni hiari yakooook

  • @alexbenedict5378
    @alexbenedict5378 Před 4 lety +1

    Mmm! somchezo

  • @yasintakihwele1413
    @yasintakihwele1413 Před 4 lety +1

    Khaaaa

  • @abduiddi4188
    @abduiddi4188 Před 3 lety

    Upuuzi uliokuwepo tanzania one anatoka kayumba school aya wanakwama wapi hawa

  • @lissamsalu12345
    @lissamsalu12345 Před 3 lety +1

    Yaan Mimi nasomeshe mwanangu shule ada 1.6 lakini nalalamika Sana duuuh kunawatu wanapesa jamani sijui wenyewe wanapata wapi hiyo mijiela tu

    • @khadijashabani5509
      @khadijashabani5509 Před 2 lety

      Hata wewe mshukuru mungu pesa unayo kuna watu mlo m1 unawashinda.

  • @magrethjohn8576
    @magrethjohn8576 Před 4 lety +2

    Samahani wapendwa kwa hiyo wanaosoma kayumba wanasoma nini na hao wanaosoma hizo shule nao wanasoma nini?maisha buana!

    • @eddimalon6051
      @eddimalon6051 Před 4 lety

      Ni sawa na mtu anaepanda bajaji na mwengine kupanda rose rose car. hiyo ndo tofauti yake.

    • @prettyh7509
      @prettyh7509 Před 4 lety

      Wanajifunza umagharibi zaidie mtt wa kiume kuvaa hereni na cheni halal

    • @zawadichalale4047
      @zawadichalale4047 Před 2 lety

      Wanaosoma kayumba wanasoma ili waajiliwe na wanaosoma international wanasoma ili waajili wengine

  • @siwemasalehe192
    @siwemasalehe192 Před 2 lety +1

    kuna kashule flan iv kanaitwa lumiere sunrise ada yake m7. 5 na inafuata mtaala wa cambkage na ni chekechea tu

  • @nyambuli.mmanyasi6859
    @nyambuli.mmanyasi6859 Před 3 lety +2

    Tukutane Udsm

  • @hijjaferrari2623
    @hijjaferrari2623 Před 3 lety +2

    Sema international School of Tanganyika bei yake za ada ni ndogo sana

  • @smolletmwakamele4275
    @smolletmwakamele4275 Před 3 lety +1

    Eti Kilimanjaro hiyoo shulee iko Arusha kisigo

  • @JanetSemweta
    @JanetSemweta Před 9 měsíci

    Education is key

  • @fredchengula384
    @fredchengula384 Před 4 lety +1

    Noma

  • @jamesmwita2995
    @jamesmwita2995 Před 3 lety

    Jamani wao wanafundishaje hivyo

  • @mwanamisiramadhan4773
    @mwanamisiramadhan4773 Před 4 lety +3

    Hata hivyo naona weupe tu

  • @khamisali5444
    @khamisali5444 Před 3 lety

    ISZ international school of Zanzibar

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 Před 3 lety +1

    Nashangaa sijaona Isamilo school ya Mwanza wala Kaizirege..uwe unatafuta habari zote kuliko kutumia kichwa chako pekee

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Před 9 měsíci

    Upo

  • @sylvesterfrancis6826
    @sylvesterfrancis6826 Před 3 lety +1

    Mbn st. Marys siziioni?

  • @edwardrichard5071
    @edwardrichard5071 Před 3 lety

    Hela uchizi yaan ada 40M chekechea da nikizipata mtaj hatar

  • @blandnakonkii7470
    @blandnakonkii7470 Před 3 lety

    Kufahuru ndio kulele

  • @ramadhankibaja8892
    @ramadhankibaja8892 Před 3 lety

    Haha ina bei kwan unapewa na mke huko huko au

  • @mselanondo5148
    @mselanondo5148 Před 4 lety +3

    61
    like

  • @asnawlopez1212
    @asnawlopez1212 Před 3 lety

    Ist babalaooooooooo

  • @martinswai8031
    @martinswai8031 Před 4 lety +6

    Hiyo IST ina wanafunzi kweli au madarasa yapo empty

  • @amirzamir483
    @amirzamir483 Před 4 lety +3

    Aa kumbe feza sec school cha Mtoto tu

  • @ismailahmed5133
    @ismailahmed5133 Před 3 lety +1

    CHA AJABU HIZII SHULE ZOTE HUWA HAZITOI MWANAFUNZI BORA KITAIFA ,,,,Sasa sijui hawafanyi mitiani ya TANZANIA 😅😅,,,,au wanajionyesha tu na kuwa tofautisha watoto wao na watoto wa wengine,,,hakuna hata mwanafunzi ambae kagundua kitu inaonyesha elimu inayo tolewa kwenye hizii shule ,,,ni malezi tuh😁

  • @estart8634
    @estart8634 Před 3 lety

    Maghabe cec

  • @noelsiay6062
    @noelsiay6062 Před 3 lety

    Kuna BLACKRHINO ACADEMY fuatilia

  • @msowanelson5452
    @msowanelson5452 Před 4 lety +2

    Tena awavaagi sale za shule ukisuka rasta sawa ukivaa tite sawa vaa chichote

  • @elilanda7137
    @elilanda7137 Před 4 lety +1

    Mmh iyo shule

    • @mesiamatheo2230
      @mesiamatheo2230 Před 3 lety

      Mbona ktk top ten za ufaulu sijawahi kuziona hizo shule?...

    • @shamiraathuman4478
      @shamiraathuman4478 Před 3 lety

      @@mesiamatheo2230 ndo maana akasema azitumii mitaala ya Tanzania ndgu

    • @shamiraathuman4478
      @shamiraathuman4478 Před 3 lety

      @@mesiamatheo2230 ndo maana unakuta ao wakimaliza wansfanya kazi nchi za nje uwezi wakuta Tz