MZEE MBEMBE: AELEZA HAYATI MWINYI ALIVYOKUA AKIENDA MADRASA KUPELEKA WATOTO WAKE AWAFUNDISHE
Vložit
- čas přidán 6. 09. 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media
Mzee huyu mie nampenda sana'halafu uwa anaigiza na jot❤❤❤
Zamani watu wakivaa sare za shule tukiziita marufufu hata watoto wa viongozi wakizivaa.maisha ya mida ile shule huoni kuwa mtoto huyu wa mkubwa au wa kimasikini .wote wako sawa
Hussein mwinyi kakaa msasani na mke wake na ni jiŕani na mama wake wakambo bi khadija bonge
Sheikh unovosema kuhusu mtoto wa marhum mzee mwinyi kuhusu tabia ya hussein mwinyi ninkweli kabisa hata alipokuwa skuli anasoma ni mtu mpole na mwenye heshima kubwa wala hakuwa na majigambo au kujidI mie mtoto wa rais wKati marhum babake akiwa Rais wa Zanzibar
Kaka nimekukubali wenye msasani Yao
Yetu ni ardhi sio msasani
Sio dini tu ataufisad mkubwa pia wameshika
Wee ndio Fisadi na unachoyo kikubwa na maisha ya hio familia nyooo