UCHAMBUZI wa ALI KAMWE: SIMBA vs YANGA - "SIMBA WANA HOFU, YANGA HAWANA cha KUPOTEZA"
Vložit
- čas přidán 3. 05. 2021
- UCHAMBUZI wa ALI KAMWE: SIMBA vs YANGA - "SIMBA WANA HOFU, YANGA HAWANA cha KUPOTEZA"
GLOBAL TV imepiga stori na Mchambuzi wa soka hapa nchini, Ali Kamwe, kuhusiana na Derby ya Kariakoo kati ya SIMBA vs YANGA, utakaochezwa Mei 08, katika dimba la mkapa jijini Dar.]
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline - Sport
Yanga lazima afe leo
Sio kweli, mfano mdg simba inapoint 4 juu hofu itoke wapi
Dada mtangazaji uko vzr.
Nimependa maswali yako.
Kilango weee bravo
Safi sana kamwe
Ni kweli kabisa. Big up Kamwe
Yanga ni kama Ruvu Shooting tu. Wakishinda wamebahatisha.
Umekazana tu yanga hawana hofu kocha wao hana hofu ubingwa hawautaki tena?
Team inamuunganiko imepata matokeo mazr club bingwa ndo Mana ina wasiwasi na Yanga
Bro.mbona hujui kuchambua soka
Oooh. Utopolo hawana presha eeeeh. Sawa.
Ali huwa nakubali katika uchambuzi wako Ila kwa hii mechi siioni sababu yyt ya Yanga kushinda nakubali Derby huwa haina mwenywe Ila kwa hii sijuwi
Ali Kamwe uchambuzi mzuri but please keep distance from that queen before i cross border uniambie why🔚
Mwandishi wa habari she is very beautiful kwakweli
Uyu dada mtangazaji naomba namba yako ya cm.
Mechi ya SIMBA NA YANGA AINA MFUMO UKITEGEMEA HILO UMEUMIA..
Yanga walipo kula 4 mfumo haukuwepo?
Smb hatuna hofu itakuwa mech Kama zingine wachezaj wa smb mkapambane Kama kawa hakuna hofu. Hatuzalau timu yoyote tutapambana
Arafu wewe mdamwingine unakuwaga napointi,
Hapo kwenye confidence nakataa....yanga ndio wanapresha maana wanajua wakipoteza ndio wameliaga kombe msimu huu
huyu jamaa ana akili nyingi sana🔥
Simba baba lao
Very good
Ali umeng'ang'ania sana kuwa simba ndio ina pressure nani kakwambia yanga hawana pressure wakati kumfunga simba ndio kombe lao
Anamaanisha yanga wao hatawakifungwa hawanachakupoteza maaa wanaamin watafungwa2
Nic
Ila refa n waamuz wafuate Hak n sheria z soka kwny Penat itoke penat kwny faulo itoke faulo co kubebana bebana n kuonean Aibu
Hofu ya nn acha uxenge
Tumia lungha nzur kwani mpenz wasimbaa pekeako
💥💥💥
Na Tutawafunga Simba ,then presha hadi game za kimataifa, Simba anaanza kutiwa Gundu trh 8.
Mtakonda mpaka mkufe
Hapo umechemka Simba tunahofu Nini?tutawapiga kwa aibu Sana hao!
Kama haujaelewa usinge coment.
naitakia Simba uxhindi
Simba wanapresha sana
Hatuwezi kutumia nguvu kubwa kwa utoporo sisi tuna Mechi za kima taifa
😁😁😁😁kocha wa Yanga :mi mgeni jaman nisingeweza kuandaa timu muda mfupi '😀😀😀😀😀
Mfumo gani atutakubali kuchezewa tena wanamsimbazi tarehe 8/ mje mkapa studium muone
utembwele siblis fc wanauona wembe wa Mapinduzi unageuzwa wanaanza kuhaha sasa ns ndipo kidomo cha mpepechengo kitakapokatwa
Pulesha unayo wewe sio simba
Itajulikanatuu
Dada Huyo anaitwaje Instagram account
Mdajidanganya sana
Marefa jamaan
Marefaa
Marefaa jamaaan tutakj kuuana pal uwanjan marefa waw
Makn sn n waspendlee tim yyte ile wafuate
Hak /sheria jamaan
Waamuz jamaan
Unajitahidi,lkn Yanga washabiki ndani wanayo majibu tarajari.
Kwan wewe mchambuzi umeambiwa Simba tuna chakupoteza? Peleka utoporo wako kule!!!
Gari ya nan hapo
A K A MAGOLI YAMBALI DEREVA BAJAJI KWADIWAN KIPUNGUNI UKONGA ALI KAMWE ANAWAZA MUNGU AMTANGULIE HUYU NI KASHASHA WA BAADAE
We .ni utopoloooo t una lolote simba amna cha. Kupoteza yanga ndy. Wanaofuuuu sio simba we uchambuz. Wako ovyo KBS kelele. Huko
Hebu tupe uchambuzi wako na wewe
Presha co km unavohis wewe maanayakw kuutaka mchezo zaid kuliko yanga
Unashindwa kuelewa nin maana naya presha embu tulia hapo
Huyu mwehu utopolo mtu
Nae si shabik wa yang tu
Mechi ya simba na yanga amna mwenye uhakika wa kupata matokeo na amna timu mbovu tu subil dakika 90 sawa mikia nadhan tumeelewana.
😃
Unajihami, andaa kiroba cha kubebea magoli mkagawane na utopolo wenzako
Duu aliiii bintii mnaendana huyu changamkia fursaaa
Hahaha umeanza kufungisha ndoa?
Mechi iliyopita morrison alicheza against yanga lakini bado walitoka sare ya moja moja!
Morison ajacheza
@@hajisoud4612 kipindi cha pili dakika za mwisho aliingia.
Sio kweli
@@zuberikupaza1184 Morrison hakucheza Wala sub hakuwepo
Kichaaaa ww
Huyu jamaa fundi wa mpira
Yap
Kwahiyo simba yenye kuongoza kwa points 4 mbele na michezo 2 mkononi wao ndio wanapresha kuliko wasionachochote kweli huu ni uchambuzi
P