Makange ya nyama | Jinsi yakupika nyama yakukaanga.
VloĆŸit
- Äas pĆidĂĄn 8. 09. 2024
- Website:rukiaskitchen.com
Facebook: Rukias kitchen
Instagram: rukias _kitchen
Cookpad: Rukias kitchen
đđœJinsi yakuchoma na kukausha steki ya nyama ya kondoo bila oven kwa njia rahisi na tamu sana. âą Jinsi yakuchoma na kuk...
đđœ JINSI YAKUPIKA NYAMA YAKUKAANGA YAKUFUKIZWA | NYAMA YAKUKAANGA | NYAMA YAKUFUKIZWA | NYAMA. âą Video
đđœ JINSI YAKUPIKA NYAMA YAKUKAANGA TAMU NA LAINI SANA AJABU | NYAMA YAKUKAANGA . âą JINSI YAKUPIKA NYAMA Y...
đđœRosti la nyama na mayai | Jinsi yakupika rosti la nyama na mayai tamu sana. âą Rosti la nyama na maya...
đđœ MISHAKIKI | JINSI YAKUPIKA MISHAKIKI MITAMU YALIOKOLEA VIUNGO | MISHAKIKI RECIPE. âą MISHAKIKI | JINSI YAKU...
đđœJinsi yakuchoma na kukausha steki ya nyama ya kondoo bila oven kwa njia rahisi na tamu sana. âą Jinsi yakuchoma na kuk...
If you would like to watch the video in English press the link âĄïž Meat stew recipe | How to cook fried meat stew | Tasty and easy Kenyan meat stew . czcams.com/video/KTJskWMtmtQ/video.html
Sauti yako nzuri mama
Nilisema nitayapika
Mwanza, nasikia wanakula Sana makange samaki
Kenya na Makange? Hapana. Tanzanian dish.
Yani wewe dada unajua mpaka unakera sijawahi kifeli mapishi yakođđŒđnimejaribu navmakange matamu sanaa
Nice napendaga, makange wengi wanapenda đ
Awwww brings back wonderful memories of my years in Tanzania. Asante sana Da Rukia
Nimependa aisee unajua hadi unakeraaaađ„đ„đ„
Vizur sana mdada... tupe somo
Nimependa hiyo
Very beautiful thank you
Yan tnx ww mdada najifunza vingi mnooo ur the best â€
Veronica Richard thank you so much â€ïžâ€ïž
MashaAllah. Yummy đ
Shukran habibty đđœđđŒđ
đNa mimi ndio nilikuwa niseme mashallah ni nzur Sana mimi napendaga mKange
Halafu mimi napendaga kupika GA hivyo hivyo yani kukaanga nyama Kwanza. Halafu nilikuwa napendaga hizo masiala masiala nikawa nasema nitaitafuta na mimi nipikie mana ant zangu nao walikuwa wanapendaga zitumiaga
Nice work
Mashallah Tabarakaallah đ shukran Allhmdullah nimekuwa bingwa wa kupika kupitia wewe đđđđ
Mariam Hassan Asante sanaâ€ïžâ€ïž
Hujaweka Soya Souce but Fine nmependaaaaaa
Nakukubali sana dada
shukrani Dadađđ
Asante sana dear nimejifunza
Nimependa sana mapishi yako asntâ€
Thank you soo much
Kuna tofauti gani Kati ya rosti na makange?
MashaAllah
Maa shaa Allah Allah akubarik daima ktk kazi zko
Thanks my dear
Mmmmwaaaaaaa
Video nzuri Dada,,,
Binti scho Asante sanaa â€ïžâ€ïž
woow
Nice
Napendaga mapishi yako
Asante
Naomba uniorodheshee vitu vya kununua had I nikamilishe set I nzima
Ok
Naomba nitajie vifaa vya kupikia makange pls ndugu yangu
Hiyo ina kaa tamu kabisa
I love your djsh â€
Wawuu
Please can you show us a cupcake recipie
I will inshallah
Thank you
Asalamu aleikum our names are Rayaan and Safia and we are chefs in our house we are so happy to be cooking your recipes since 2019 shukran
mapishi matamu....sauti yako kama ya mpishi wa ....Aroma of zanzibar!
Yani ninavyo penda nyama na hii vile imepikika, mate yanitoka đ
Tajiri's Kitchen Shukran sista sista yaani ungekuwa karibu tungejipiga na mokimo sio đđđna firifiri
@@RukiaLaltia đ€Łđ€Łđ€Ł Exactly đ
Pika kwako nasie tule
Mimi hua nafatilia tajiris kitchen nawashukuru Masada zangu
Samahani (Madada zangu)
Yummy
đđ
Jee hatuweki fresh tomato?
Mashaallah nice
đ
Hi dear, asante sana tena sana kwa pishi zuurii
maa shaa Allah
Uwez kukwangua karoti na sio kukata
Asante je kuna kitabu chochote ulicho chapisha cha mapishi
Hapana sina
@@RukiaLaltia sawa dada
Rukia asante kwa kutuelekeza upishi wa Nyama ya makange,Swali langu unapokamulia ndimu moja kwa moja ktk nyama ina maana vipeke vya ndimu navyo vinaliwa ktk hayo Makange?
Ndimu ya huku ulaya hazina konde za ndani
Thanks Rukia Kitchen, umetumia olive oil sio?
Ndio
gram masala ndio nini??
Hutumii nyanya????kwa makange aina yyte
Dada nmekuelewa ila hiyo pilipili mboga ,za ragi tofauti zinapatikana wap maan mm nmepata tu ya rangi ya kijani ,,,hiyo ya rangi ya njano na nyekundi nmekoswa au zinajina lingne
Kkoo nenda
Jaman nini maana ya makange
Ni kukaanga
Naomba mtu aniwekeye iyi majina kwa English please
Nini maana ya makange
đđđđđ Tamuuu Saana
Je umepika?
Kama hutaki kuweka pilipl je?
Sio lazima
Nyama ukiipika bila kuweka maji kwanza inakuwaje
Inakuwa tu sawa
Nisipooa nakulaumu wewe dadađđđ kila kitu najua kupika sasa
đđđđđmashallah mashallah nangoja kadi ya harusi
Jamani me sijui iyo pilipili mbog
Pilipili hoho zipo za green, red na yellow ndo anaziita pilipili mboga kwenye vi supermarket vinapatikana
Veiler Onesmo ni pilipili hoho
Pilipili boda ni pilipili hoho alafu anatumia mafuta ya zaituni
jaman pilipili boga ndo nn..??đđ
Pilipili hoho
@@RukiaLaltia asante dear
JE Kama CNA nyanya mkebe?
deepc workshop tumja tomato za kawaida
@@nellymwachai4638 sawa ahsante
Mashaallah
Wow
Nice
Nice