RAIS SAMIA ALIVYOINGIA TENGERU LEO, ULINZI WAKE NASSARI AMKOSHA AKIOMBA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 44

  • @user-eb3sr5wi5v
    @user-eb3sr5wi5v Před rokem +4

    Tunamuomba mwenyezi mungu subhana huwataallah amjaalie rais wetu afya njema ,❤❤❤❤❤❤❤,kazi iendeleee

  • @user-qp9mr5ge5e
    @user-qp9mr5ge5e Před rokem +6

    Shikamoo mama tunakupenda Sana hatuna Nia mbaya na wewe tunakuomba Umtangulize Mungu ndiye atakupa uwezo wa kutuongoza najua huwez kumridhisha Kila mtu uishi maisha marefu Mama Samia

  • @kelvinkangomba9590
    @kelvinkangomba9590 Před rokem +3

    My president❤❤

  • @bongo39
    @bongo39 Před rokem +3

    Mama piga kazi wachawi wanga wafunge midomo yao wezi wa fadhila wasioujua kushukuru mungu

  • @Monica1Mona1
    @Monica1Mona1 Před rokem +1

    Mama samia upo vizuri na unaupiga Mwingi saanaaa Comrade

  • @khalifamutabuzi6583
    @khalifamutabuzi6583 Před rokem

    Kazi Iendelee

  • @ChidBoy-fz8qs
    @ChidBoy-fz8qs Před rokem

    Saf sana mama Samia soko

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825 Před rokem +1

    Safi Sana Mama

  • @davidpaulbernard
    @davidpaulbernard Před rokem

    Ukiona hayo elewa ni nguvu ya pessa inashangilia
    Lakin ukweli ni unabaki. Kuwa ukweli ya kuwa tumeuzwa na hao hao wanaoshangilia wakipewa fedha waandamane wanaweza . so shida ni kwamba tunatofautiana kipato.pole Sana Tanganyika

  • @roseamos2812
    @roseamos2812 Před rokem +1

    ❤❤❤❤❤

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji Před rokem +1

    Piga kazi mama nafungua nchi

  • @ezekielmabwai4614
    @ezekielmabwai4614 Před rokem +4

    Mtapigwa Bei mpaka kaptura zenu

    • @mayaally2512
      @mayaally2512 Před rokem

      HII NCHI WATU WANAJUA WANATAKA NN WA MITANDAONI WANAJISUMBUA NA NI O.OO1%

  • @davidpaulbernard
    @davidpaulbernard Před rokem

    Na aliyoyasema dugai alijua Kila kitu na ndio maana wakamtaka ajiuzuru.ila. Dugai anajua kabisa bandari insuzwa ili tupunguze den la uvico 19.

  • @frankngoloka5416
    @frankngoloka5416 Před rokem +1

    Tatizo letu mambo mazuri comment ni chache,ila jambo baya au mrembo kapiga vitu vya Uturuki comment hadi 10000

  • @highthemetv7857
    @highthemetv7857 Před 6 měsíci

    Kuna mume wa mtu hapo anaita mamaa

  • @kingnkumbi5834
    @kingnkumbi5834 Před rokem +1

    Hizi combati zingne ni jeshi la wapi naomba kueleweshwa 🙏

  • @richardbegga6679
    @richardbegga6679 Před rokem

    Wameripwa Sh ngp hao watu wa CCM?

  • @mohamedbushoberwa9418

    🥰🥰🥰🥰

  • @mrjaula7769
    @mrjaula7769 Před rokem +1

    Jamani hata no comments jamaniii 😭😭😭😭😭😭😭

  • @allymusira2153
    @allymusira2153 Před rokem +1

    Wewe ukimtukana wenzio wanamuelewa

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Před rokem

    WATANZANIA WANAFIKI SANAA. MNALALAMIKA ANAUZA NNCHII, LAKINI BADO HUKU MNA MPIGIA MAKOFII, SASA TUWAELEWEJEE?

  • @muzneali4747
    @muzneali4747 Před rokem

    Wabejibanza kimya ingekuwa hakuna watu ungewaona wakiponda Binaadamu taabu saana

  • @emmapaul1766
    @emmapaul1766 Před rokem

    wauza bandari

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde6900 Před rokem +1

    Watanganyika hata hawajielewi

    • @NDEWARA
      @NDEWARA Před rokem +1

      Mtanganyika nani😂😂 Tanganyika ilikuwa estate ya wajerumani 😢Sisi ni Watanzania 🎉🎉🎉

  • @cleophacephelician6739
    @cleophacephelician6739 Před rokem +2

    TANAZANIA HATUKUWAHI KUWA NA RAIS MNYENYEKEVU NA MCHA MUNGU WA UKWELI KAMA MAMA SAMIAH! ASANTE SANA MUNGU BABA KWA KULIPENDA TAIFA LAKO HADI UKAMLETA MTEULE WAKO AMINA!

    • @hashimuuhehwa1320
      @hashimuuhehwa1320 Před rokem

      Bwege wewe

    • @cleophacephelician6739
      @cleophacephelician6739 Před rokem

      @@hashimuuhehwa1320 Hata utembelee kichwa, sisi huyu ndo rais wetu mpendwa na atakuongoza hata wewe miaka mitano tena. Ukimchukia ndo Mungu anazidi kumbariki zaidi!

    • @hashimuuhehwa1320
      @hashimuuhehwa1320 Před rokem

      @@cleophacephelician6739 Sema wewe sio sisi kiswahili hujui nini au wewe sio Mtanzania?

  • @ambokileasheengai1140

    Kiongozi ukipendwa huwezi kuweka ulinzi mkubwa hivi,,,,sasa wanaogopa nini viongozi wa kiafrika?kutembea nchini mwao kwa ulinzi mkubwa na mabunduki ya vita

    • @ramadhanimtetu3656
      @ramadhanimtetu3656 Před rokem +2

      Hukusomea Protocol ya Usalama
      Kaa kimya Kwani duniani kuna binadamu atapendwa na Kila mtu
      Binadamu huyo hajazaliwa labda wewe utakuwa ndio wa kwanza

    • @ambokileasheengai1140
      @ambokileasheengai1140 Před rokem

      @@ramadhanimtetu3656 viongozi huku ulaya wanararuana kwa maneno ata kwenye mabunge yao...ila hawana ulinzi wa hivyo...ni viongozi wa vi nchi maskini kununua bunduki hizo kuwaua waafrika wenzao..leo tunaona huko sudan..kwani bunduki si viwanda viko ulaya...?

    • @ramadhanimtetu3656
      @ramadhanimtetu3656 Před rokem +1

      @@ambokileasheengai1140
      Ulinzi Kwa Viongozi wetu ni Suala nyeti linaloratibiwa na Vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama sababu Kila mtu ana Maadui na wanaompenda kanuni ya kiusalama inasema m-baya kajificha m-baya haonekani kwa urahisi
      Ndio Maana nchi kama Marekani imepoteza Marais wao kadhaa kwa kuuawa na watu waovu akiwemo Rais Kennedy

    • @cleophacephelician6739
      @cleophacephelician6739 Před rokem

      Wanafiki hamkosi la kusema! Magufuli mlimsifu kila kona ila ulinzi wake mkubwa hamkusema, leo mama analindwa kama watangulizi wake, mmeanza makelele. Tuwaeleweje!? Ulinzi wa rais we unakuhusu nini!?

    • @ambokileasheengai1140
      @ambokileasheengai1140 Před rokem

      @@cleophacephelician6739 mimi ata ulinzi wa Magufuli sikusifia ni upuuzi mkubwa viongozi wa Kiafrika kutembea na ulinzi na magobole yaliotengenezwa ulaya na wao wenyewe wako huru,,ina maana sio wasafi kabisa

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před rokem

    Sina comment acha nikae kimya sina wakili mie😂

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga9509 Před rokem +1

    BANDARI BANDARI SHIKAMOO

    • @Bikhafija
      @Bikhafija Před rokem

      Bandar umefeli mm lazima tuseme ukweli

  • @nolascotesha8996
    @nolascotesha8996 Před rokem

    Stendi yetu yamkoa mama mbona hatuielewi mama,ahadi yastendi imekua kizunguzungu sana.

  • @khalifamutabuzi6583
    @khalifamutabuzi6583 Před rokem

    Kazi Iendelee

  • @khalifamutabuzi6583
    @khalifamutabuzi6583 Před rokem

    Kazi Iendelee