Video není dostupné.
Omlouváme se.

DR SULLE AFUNGUKA KUTUMIA PETE ZA MAJINI KUPATA UTAJIRI NA CHEO, AMPINGA MCH. NDACHA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 08. 2024
  • KUHUSIANA NA PETE DR SULLE AMETOA ELIMU NA HISTORIA YAKE TANGU ILIPOKUWA NA SULEIMAN MPAKA KUJA KUTUMIKA NA KIZAZI CHA SASA

Komentáře • 42

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před měsícem

    Mashalah mashalah mwenyezimungu amekujalia sana elimu..nakupendaga sana dokta sule kwajili ya mungu..sisi tunakuelewa sana na tunaamini unachokisema kuhusu mungu wetu...wewe ndo mwanasayansi wetu wakiislam tunajivunia sana kuwa nawewe.. mwenyezimungu akupe heri na mwisho mwema nasisi pia mungu atupe mwisho mwema

  • @faizanassor9400
    @faizanassor9400 Před měsícem

    Hongeraa Dr sule

  • @LucaWanzuki
    @LucaWanzuki Před měsícem +1

    Unajua sala sule mashaalha mungu akupee elimu zaidi

  • @andrewmoi2186
    @andrewmoi2186 Před měsícem +2

    Uyu KWA kweli ni mganga tu lakin nataka kukuambia ukweli Uislamu upo mbali na uchawi

  • @alexwalewale6172
    @alexwalewale6172 Před měsícem

    Mm namkubali huyu Dokta sule wanaobisha wacha wabishe.

  • @malundemoud3719
    @malundemoud3719 Před měsícem

    Dr umeongea vzur Sana umefundsha vtu ambavyo vip shidayetu Elim! Wengi hawakuelewi wanakurupuka!. Ushauri Kama Hujui huspende kukurupuka skliza update Elim/madini!!!.

  • @omarchaijefwa729
    @omarchaijefwa729 Před měsícem +3

    HUYU WALLAHY BILLAHY TAULLAHY ATAMDHALILISHA KABLA KUONDOKA HAPA DUNANI NA MTAKUMBUKA HII COMMENT YANGU,SI YEYE AMEKUMBATIA MALI NA DUNIA?ALLAH ANACHO ALICHOMUANDALIA

  • @user13375
    @user13375 Před měsícem

    Asante sana dr.sulle unatuwakilisha Waislam

    • @msamgunda7684
      @msamgunda7684 Před měsícem

      @@user13375 sio waislam,bali ni wachawi.

  • @ALIBINSAID-mc4el
    @ALIBINSAID-mc4el Před měsícem +1

    Hiyo elimu unayotoa DK sule hapo sio pahala pake ,elimu kubwa kiwango cha wapokeaji bado kipo chini sana ndio maana unaona matokeo ya wengi ni kulaumu tu ,toa elimu sahihi kwa watu sahihi ,kila lakheri

  • @user-wn1oz5pk5f
    @user-wn1oz5pk5f Před měsícem

    Doctor tunaomba ya offisini kwako

  • @osmundmtavangu
    @osmundmtavangu Před měsícem +1

    Km mmemsikiliza vzr Dr. Sule,Nadhani mpaka hapo mmeamini hoja za Mch ndacha kwamba kuvaa pete ni kujitakia mabalaa. Pete ni njia ya mapepo kutumia mwili wa mtu.

    • @ramadhanitawaqal8958
      @ramadhanitawaqal8958 Před měsícem

      Ukimsikiliza Sule Kwa sikio la chuki Tu kisa muislam hautoweza kujua Kamwe ni kitu gani cha ukweli kipo ndani Yake wakristo mna Elimu ndogo Sana ya mambo ya dini tofauti na waislam

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 Před měsícem

    huyu jamaa ana akili sana,mashaallah

  • @Abdulrahmanhassan18
    @Abdulrahmanhassan18 Před měsícem

    Ni kwasababu dhahabu ni madini yenye nguvu ya kulainisha viungo vyamwili vya mvaaji ndiomana wanaume tumekatazwa kuvaa dhahabu.

  • @abdulazizkassim775
    @abdulazizkassim775 Před měsícem

    Suleiman nikama moussa , moussa alikuwa n'a Power koutoka kwa mungu , n'a siyo fimbo kama fimbo

  • @osmundmtavangu
    @osmundmtavangu Před měsícem +2

    Asante Dr. Sule umesaidia kufichua Siri za Uslamu na jinsi hii dini inavyohusika na uchawi na majini. Wakubisha acha aendelee kubisha,lakini ni dhahiri Uislamu na uchawi ni damu damu!

    • @mohamedharunamohamedharuna7124
      @mohamedharunamohamedharuna7124 Před měsícem +1

      Acha uongo wewe

    • @charlesjohn8843
      @charlesjohn8843 Před měsícem

      Unataka ubishane na mtu anaejua kuran nzima naww hujui hata nusu ya kuran😂​@@mohamedharunamohamedharuna7124

    • @otaibonny8835
      @otaibonny8835 Před měsícem +1

      Ndio maana wachawi wengi ni akina mohammad, Ali, Abdul, Rashid 😅😅😅😅😂

    • @ShomiLongwa
      @ShomiLongwa Před měsícem

      Mungu akuongoze

    • @user-wb3fj3zz4n
      @user-wb3fj3zz4n Před měsícem

      Wewe Angalia viongozi wako woote kanisani wanaofanya maombi hawakosi pete unajua maana hake au unabisha kitu hukijui

  • @AngelinaAkuyen
    @AngelinaAkuyen Před měsícem

    Dr sule mimi salimu niko londwar rakini turukana nahitaji kuja mobasa mulimani kuku tafuta wallahi nasafirinnakutafuta mwezinwatanu

  • @salimchimwaga8384
    @salimchimwaga8384 Před měsícem

    Hizo ni elimu za kidunia hazina uhusiano wowote na dini.

  • @isaacmligo9187
    @isaacmligo9187 Před měsícem

    Duuh!😢

  • @fatumatandika6220
    @fatumatandika6220 Před měsícem

    Dr.anaelimisha sana ila watu wanajitoa ufahamu kama hayatendeki wakati yapo ni bora watu wafahamu elimu hiyo ambayo ipo.

  • @betinvestment3204
    @betinvestment3204 Před měsícem

    Mtume (s.a.w) alipokaa na maswahaba aliwaambia laukama angekuwepo musa namm mkamfata musa basi uma wote mngelipotea kwa maana yeye niwauma huu wa mwisho usitumie pete kisa nabii suleiman alivaa utapotea kama alivyosema mtume Fata tu Quran na sunna zake alizo tuachia basi kufuata hayo aliyotuachia nibora zaidi.

  • @fatumatandika6220
    @fatumatandika6220 Před měsícem

    Dr.watakyelewa tuu usife moyo toa darsa

  • @mwoso
    @mwoso Před měsícem

    Kweli nabii suleiman alikua muislamu?

  • @abdulazizkassim775
    @abdulazizkassim775 Před měsícem

    Suleiman alikuwa n'a ufalme kwa amri yamungu siyo pete

  • @andrewmoi2186
    @andrewmoi2186 Před měsícem

    Ata freemason wameanza apo apo KWA uyo nabii Suleiman ..kwaiyo ata uyu Moja wao awo mashetani anajificha kwenye Uislamu

    • @AngelinaAkuyen
      @AngelinaAkuyen Před měsícem

      Wacha ujinga mungu ariruhusi wazahabu kwamwana muke feza kwamwana wume ume wahinkumuwona akiwa masikini

  • @mohamedabdallah5323
    @mohamedabdallah5323 Před měsícem

    Nyinyi mumeuza akheira yenu

  • @petromachanga5538
    @petromachanga5538 Před měsícem

    Mamaaaa hahaaa mbavu zangu

  • @charlesjohn8843
    @charlesjohn8843 Před měsícem

    Wakristo na nyie tafteni pete jamn😂😂😂 mmebaki nyie tu😊😅

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats Před měsícem

    Uchawi mtupu.

  • @IssaSimbilla-hw9ev
    @IssaSimbilla-hw9ev Před měsícem

    Wajinga hawakosekani hd kiyama kitafika 😂 eti SHEKH