MWIJAKU afunguka baada ya kuzindua kipindi CROWN FM "LEO TENA/ MASHAMSHAM sio washindani tena JIRANI
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- East African number one CZcams channel for Gossips,Sports as well as Politics News owned By BONGO PLUS
KANUNI NA MUONGOZO
Tunaripoti Matukio ya watu mashuhuri katika nyanja ya burudani, Michezo Filamu na mitindo ya maisha kwa kuzingatia misingi ya uandishi wa habari hapa nchini. Kufuata misingi kwa kuripoti habari zenye uwiano na usawa ndani yake,kutokuingilia faragha ya mtu,Kujiepusha na mambo yote yanayoweza kuleta sinto fahamu katika jamii yanayoweza kusababisha uchochezi.
NB:Tuna uhuru wa kufuta maoni yasiyokuwa na maadili au yenye matusi makali.
WeAreEverywhere
#entertainment #exclusive #trending #diamondplatnumz #wasafi #ayotv #update #updatenews #udaku #gossip #mwijaku #babalevo #tanzania #kenya #manara #hajimanara #bongo #habari #justinbieber #bieber #rap #hiphop #hiphopmusic #pop #rnb #rnbmusic #exclusivenews #tmz #tmztrends #arianagrande - Zábava
Crown imepata mtetezi 🤔🤔🤔
Hongera San mkubwa@mwijako unajitum sana ndiomana unafanikiwa
Hahahahah
crown for every body
Daah kwamba Getini tu mlinzi analipwa milion na laki 6😜😂🤣😋😋
KIPINDI BADO....LABDA NDO MNAKITANGAZA
Hutoboi bila mwambino huna ujanja hapa mjini ndio contenti yako.