Utamaduni wa kushangaza Zanzibar, haupo sehemu nyingine Duniani

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • Tembea uone au subiri usimuliwe...zipo TAMADUNI mbalimbali duniani ambazo hauwezi kudhani kama zipo na zinatumika sehemu fulani kwa sababu huwa ni tofauti sana na ulivyozoea kwa kuwa zinashangaza sana.

Komentáře • 27

  • @samsonmwijage5301
    @samsonmwijage5301 Před 7 lety +4

    Zanzibar is a beautiful place to visit

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi5104 Před 6 lety +2

    Mungu atuwekee utamaduni wetu wakizanzibari

  • @salmaabdu5011
    @salmaabdu5011 Před rokem +1

    MashaAllah zanzibar ilevokuwa mwanzo ilikuwa makka ndogo leo kila kona makanisa yametujaalia na wabara nchi imekuwa kama yatima wahamiaji kilakona

  • @idreamfoto
    @idreamfoto Před 7 lety +2

    Beatiful Island For Real.

  • @ahmedyoung7300
    @ahmedyoung7300 Před 7 lety +2

    beautiful island

  • @hammerQ954
    @hammerQ954 Před 7 lety +7

    😊pia ndo watu pekee tunaomiliki magorofa yanayofanana na treni

  • @dodomikleni9299
    @dodomikleni9299 Před 7 lety +2

    ni kweli asemayo..yaani kama hatujaskia honi basi unajiuliza kunani...pia honi ikilia saa 12 na nusu jioni ama jua kukuchwa ni time ya watoto wote kuingia majumbani,na wengine ndo time ya kuelekea tuition au darsa za madrasa..

  • @lilobooker2052
    @lilobooker2052 Před 7 lety +2

    hio si honi ni IDUVI kwa kiswahili cha asili na ukisema honi ni neno la kizungu.

  • @naimaabdallah9507
    @naimaabdallah9507 Před 6 lety +1

    Masha Allah

  • @omarkhamis9514
    @omarkhamis9514 Před 7 lety +1

    Kila mji ambao ulikuwa chini ya wakoloni ina hivi ving'ora. Hata kuna mtaa hadi leo Mombasa unaitwa King'orani, na ving'ora vinaendelea na ukikisikia kulia ghafla basi ujuwe kuna hali ya hatari inajaribu kutangazwa.

  • @oopsm3574
    @oopsm3574 Před 6 lety +1

    Inamaana mmekuja kutoka nje mmejifanya kuwa wenyewe basi rudini kwenu

  • @damariszuckschwert9489

    Honi iendelee hadi Yesu atakaporudi, msiacha utamaduni huo kwa ajili ya teknolojia. Kila nchi ina tamaduni zao na hawajaziacha kwa sababu ya teknolojia. Swiss wanapiga mlio mkubwa wa saa kila lisaa nilipotimia usiku na mchana, na hawajaacha kwa vile kila mtu ana saa au simu zenye saa, pamoja na teknolojia nyingine zote walizokonazo.

    • @oopsm3574
      @oopsm3574 Před 6 lety +1

      Damaris Zuckschwert : wewe bangi, yesu imehusu nini na honi jinga kubwa.

  • @FatmaothmanFatmaothman-ch5oi

    Mmmh nyny watu hamujaacha tu kuisu mba Zanzibar hamuna jema nyny watu kila mtu na dini yake au mmekatazwa musimuabudu Allah kisa honi na makanisa

  • @user-pj3eb2bo4o
    @user-pj3eb2bo4o Před 5 dny

    Yaani rais mwinyi ukiweza kujenga mpaka huko beaches du utapiga pesa mpska huko nungwi

  • @coogyelectrislabs
    @coogyelectrislabs Před 7 lety +3

    millard hizoo honiii (VING'ORA) mpaka tangaa zipooo mbilii bandari na reli na sIKU ya mwakampya vinaliaaa pia kila saA moja na NUSU ASUBUH KILASIKUUU

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi8977 Před 7 lety +3

    NA AKIPITA RAISI VILE VILE KUAMKIA KWA KUSIMAMA LAZIMA ILIKUWA HESHIMA NZURI SANA KWA RAISI WA HAKI SIO KAMA HUYU WA KUBAMIZA BAMIZA TU NA WATANGANYIKA KWA KUMTUMIA KWA KAZIZAO ZA KITUMWA TUMWA KIUKOLONI WA NCHI YAKE

  • @nassorhilal9807
    @nassorhilal9807 Před 6 lety +1

    Kauli ya kwamba wao ni wenyewe,angalifafanunuwa "wenyewe "ni nani?.

  • @jmwalimutv5114
    @jmwalimutv5114 Před 7 lety +1

    nikweliunayo yasema

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi8977 Před 7 lety

    IKILIA HONI WATU WALIKUWA WANASIMAMA BADALA YA KUKAA KITAKO NI HESHIMA YA ZANZIBARI UKIWA HUSIMAMI POLISI WANAHAKI YA KUKUKAMATA NA KUSHITAKI KWA NINI HUKUSIMAMA ULIPOISIKIA HONI ULIZIA ZAIDI

  • @thabitmohamed8744
    @thabitmohamed8744 Před 6 lety

    Kuhusu honi na kuingia kwa sala ya magharibi hivi vitu haviendani hiyo sio kweli ukweli ni kwamba honi ya magharibi inafata saa za sala sio sala inafata honi si kweli,

  • @brisketkidari1623
    @brisketkidari1623 Před 6 lety

    zamani hata meli zikiondoka zilikuwa zinapiga honi na inaskika hadi michenzani ila sasa haziskiki

  • @emmabays9963
    @emmabays9963 Před 7 lety

    zanzibar kuzuri kuliko jijini mbona