Sasa cha ajabu nini bwege wewe unafikiria kila mtu anamzuka na mapenzi niaje arufu unamuuliza maswali Mzee Kama unaongea na mtoto kuweni na heshima amekwambia amefiwa na mkewe hata Pole hujampa Kazi kuuliza maswali bila kuwa na nidhamu Shwain Sana wewe
Kama bado una kumbukumbu ya huyu babu wa loliondo kwamba alikuwa maarufu na aligonga sana fedha za vikombe, na kama huja mkubali huyu jamaa juu ya maswali anayomuuliza babu kutokana na kukosa maudhui ukilinganisha na umri wa babu, gonga like hapa.
Tumemjua huyo babu sababu ya kikombe na nilijua kabisa utamuuliza juu ya Kikombe ila ulivo Fara,Fara,Fara,Fara unamuuliza mambo ya mke na huangalii namna ya mahusiano yako na weee ....Millard mnakuaje siku izi....kujiamini kunapitiliza sanaa
Mzee, uwe na uwakika kwamba aliyekutuma kipindi kile cha kikombe alikuwa kweli ni Mungu aliziumba mbingu na nchi. Kama yalikuwa ni mawazo yako mwenyewe na hakuwa Mungu useme na utubu kabla nyakati mbaya hazijakujilia.
Ila we mzee shukuru kipindi hicho kulikuwa hamna WhatsApp maana tungeona mengi huko! Ila naamini Mungu anampa mtu kwa namna yeyote ile ilikuwa njia yako ya kupata!
Babu nawajua watoto wake wote na familia yake kwa ujumla siku anakuja kumzka mke wake alilitwa na walinzi kibao mtoto wake mmoja ni mwinjilisti na tunafahamiana sana
Hakuweza kuzuia kifo lakini... sina ushahidi kwamba dawa yake ilikuwa sumu, ila wapo watu wamepona hata sasa hawaumwi kwa mfano kisukari, wapo waliopona kabisa.. kama walikufa basi sio mapenz ya babu bali Mungu mwenyewe. Maana funguo za uhai anazo Mungu tuu
Babu ulitikisa huko Loliondo! Sasa Millard mngetuonyesha hata maendeleo kwa Sasa hapo kwake maana alitula hela sanaa. Alitakiwa awe miongoni mwa matajiri. Yaani tunaishi Arusha nyumba yetu ilikuwa Kama gesti, kila wiki wageni ndugu zetu toka mikoani na dar wanafikia ili waende loliondo kwenye kikombe🤣🤣
Babu loliondo leo una muhoji kirahisi hivyo miaka ile ya kikombe ilikuwa ni ngumu sana kumwona huyu babu. Aligonga sana hela za vikombe huyu.nawe acha kumuuliza babu mambo hayo ya malavidavi bhana. Muulize kikombe kiliishia wapi hilo ndo lingekuwa swali la muhimu, utakuwa huwekopo kipindi watu wanabebwa kwa helicopter kwenda kwa babu, watu kipindi mile wako kwenye msururu kutoka kama kibaha hivi mpaka mlandizi wanakaa kama wiki hivi kabla hawaja mfikia babu, na walipo kwenye mstari hawako na choose wala bafu, wala mahali pakula, wako tuu mstuni na mgonjwa tena aloyezidiwa.
Sasa cha ajabu nini bwege wewe unafikiria kila mtu anamzuka na mapenzi niaje arufu unamuuliza maswali Mzee Kama unaongea na mtoto kuweni na heshima amekwambia amefiwa na mkewe hata Pole hujampa Kazi kuuliza maswali bila kuwa na nidhamu Shwain Sana wewe
Dhu kumbe badoyupo babu kama kweli unamkumbuka babu like hapa ilitwende sawa
RIP wote waliofia kwenye foleni ya babu loliondo,
Rudisha jero zetu mzee 😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@fabianjulius5274 😂😂😂😂
@@angelshoo1153 majorities died coz of this man .. 😕
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Duh!
😅😅😅😅mzee tapeli
Mmmh nilikuwa namskiaga tuu huyu babu leo ndiyo nimemuona
Watu wengi walikufia njiani wakienda huko kwa babu mpaka jirani yetu
ume ona eeee
@@barakamacha4783 👍
Mwizi huyu anajidai anam2mikia Mungu wakat alidanganya ulimwengu kwmb anatibu wa2,hadi wngn waliacha A.RVs wakafa kwaajil yk,ashindwe na alegee
Umeona eheeeee 🤣🤣🤣
Amen 😒
Kama bado una kumbukumbu ya huyu babu wa loliondo kwamba alikuwa maarufu na aligonga sana fedha za vikombe, na kama huja mkubali huyu jamaa juu ya maswali anayomuuliza babu kutokana na kukosa maudhui ukilinganisha na umri wa babu, gonga like hapa.
kumamae unamuuliza mambo ya wanawake n mtot mwenzio uyo
Nahisi huyu babu alitumiwa na watu wakubwa ili kuwapa dawa watu na kusahau dozi zao kitu ambacho kiliwagharimu maisha yao
Kweli kabisa
Gonga like kama unamkubali babu wa loliondo.
Upo vizr babu
Rose Namundi vizur sana
mzee nomaa sana ulipiga watu kekundu huyu nimtumishi wa shetani100%
Babu shavu limemkubari sana ndoto zinatoa
Akili nywele kibaya zaidi hatjuwi nizawapi mzee ponda pesa zawatu walileta wenyewe😂😂😂😂
babu piga kazi na kuamini bibi yangu Ali kunywa kikombe paka sasa yuko fresh
Nommaa
Ila ww Mzee ni mtata sana!😂 mzee alipigaga mpunga afu akapotea kudadek😂😂 daah! Nilikunyosheag mikono mzee😄🙌🙌
Mimi toka 2006 sijawahi kuwa na mwanamme.Ni KUAMUA TU na kujikeep busy na mambo ya maana.Mwisho wa siku una lala usingizi mzuuuuriii.
🙄🙄🙄
Smartest Maafaka in Tz. Alikula hela za watu kilainiii 😂😂😂
mzee kanenepa sana na jero zetu
Babu kanenepa sa hivi
🤣🤣🤣
Anakula nyeto balaaa
Noooooumaaaa OK ila PITIA HAPA KUONA UCHAFU UKIGEUZWA KUWA MAPAMBO YA NDANI ili kuni sapoti SUBSCRIBE channel hii bofya kapicha kushoto
Dj4sTv decoration ww kila sehem nakukuta
Ndiyo huwa naaangalia channel mbali mbali za kisha naacha comment kuwaalifu ya kuwa na Mimi nachannel yangu Bofya kapicha kushoto
👏👏👏👏👏👏
we babu 😂 noma sana
Shavu dodo. Dr. Loliondo.
Jamani kwani alifanya nini huyo babu naona kila mtu anamtukana
mimi tangu nizaliwe sijawahi kuwa na mwanamke nikatembea nae sijawahi mpka hivi sasa 22 now
Kwanini asiweze uwezi jua labda alipoteza nguvu mda mrefu kabla ya mkewe kufa kwanza nyie wanaume mkishaanza kufika miaka 60 majogoo ayawiki fresh mkifikia 80bs tenaa
Wewe mtangazaji feki sana maswali gani sasa ,uliza maswali ya muhimu...
mnafanana...
Mmm yakweli ayo
Mzee anajibu vizuri sana
Aafi sana baba na hongera sana
Uyu mzee huyu Dar hatar sana
inawezekana tena sana Mimi mwenyewe naweza kukaa mwaka na zaidi bila kukutana mwanamke
Subscribe kwang jaman
Naona Kama mtangazaji anafanana na Babu
mawal gn hayo?????
Tumemjua huyo babu sababu ya kikombe na nilijua kabisa utamuuliza juu ya Kikombe ila ulivo Fara,Fara,Fara,Fara unamuuliza mambo ya mke na huangalii namna ya mahusiano yako na weee ....Millard mnakuaje siku izi....kujiamini kunapitiliza sanaa
Wanafanana sanatu
Kama nimauwaji Tz huyu mzee aliuwa sana
Mungu anakuona MZEE!
Mzee, uwe na uwakika kwamba aliyekutuma kipindi kile cha kikombe alikuwa kweli ni Mungu aliziumba mbingu na nchi. Kama yalikuwa ni mawazo yako mwenyewe na hakuwa Mungu useme na utubu kabla nyakati mbaya hazijakujilia.
Ila we mzee shukuru kipindi hicho kulikuwa hamna WhatsApp maana tungeona mengi huko! Ila naamini Mungu anampa mtu kwa namna yeyote ile ilikuwa njia yako ya kupata!
Jamanii vidox njooo
Pwaaaaaaaaa
Babu nawajua watoto wake wote na familia yake kwa ujumla siku anakuja kumzka mke wake alilitwa na walinzi kibao mtoto wake mmoja ni mwinjilisti na tunafahamiana sana
duh"babu fiksi huyo
Mzee katuulia ndugu zetu
Hakuweza kuzuia kifo lakini... sina ushahidi kwamba dawa yake ilikuwa sumu, ila wapo watu wamepona hata sasa hawaumwi kwa mfano kisukari, wapo waliopona kabisa.. kama walikufa basi sio mapenz ya babu bali Mungu mwenyewe. Maana funguo za uhai anazo Mungu tuu
😁😁😁😊
wabongo waliibiwa sana hapa hakiaMungu
Mhu
Subscribe na kwangu jamani ndugu zangu
Mzee ulitufanyaga mazuzu na tukawa mazuzu kweli
😂😂😂😂😂😂😂
Wew mzee me nikajua upo mbele unakul lfe jero zetu umekul sn
Shikamoo mzee..
😂😂
mbona mmefanana sana?
huyu mzeekatoka shavu zile jero jero zimemuinua sana
Babuuuu wa kikombeeeeee
usisahau ku like page ya ujenzi wa kisasa zone.
facebook.
facebook
facebook
ujenzi wa kisasa zone.
Mwqndishi msenge
Asaiv babu utakuja na single gani tena!tofauti na ile ya kikombe?
Naomba namba ya uyu mzee nimtafte tuzichape kamenenepa duh
Babuuuuuuuuu....
MTANGAZAJI HUJUI RUDI SHULE KABISA
Duuuh
Nauli laki tano kikombe 500/ babu alitisha.shikamoo babu.
Dah. Had shavu uyu Mzee? Kumbe alivunavunae?
Kwann aoe jamn
huyu mwandishi anaonekakana bado lena yuko tofauti na yule dogo aliyetumwa na millard kule kwenye ajari ya kuvuko kule ukara
Yule yupo vzr hd mie nmemkubal
Can someone translate in english so that we will understand pleace
Mzee tapeli huyo
Kijana unamuuliza Babu maswali ya aina gani aisee? U need to know what to ask and who!
prizent umenenepa marahii duh #millard kumbe Unaw atunza vyema vijana
ulitengeneza pesa babu shkamoo
Babu amenenepa baada ya kuwaingiza mjini watz!
Huyo ndo baba yetu
Mi nidhani ungemuuliza mambo ya kikombe pyeee
mzeee mdwanzi kinomaaa
Babu unafanya kazi gani kwasasa
duh huyo ni baba yako nini? mbona mnafanana sana....
mbn mmefanna kk
Babu ulitikisa huko Loliondo! Sasa Millard mngetuonyesha hata maendeleo kwa Sasa hapo kwake maana alitula hela sanaa. Alitakiwa awe miongoni mwa matajiri. Yaani tunaishi Arusha nyumba yetu ilikuwa Kama gesti, kila wiki wageni ndugu zetu toka mikoani na dar wanafikia ili waende loliondo kwenye kikombe🤣🤣
.
mlijidai kikombe cha babu kimeishia wapi? wabongo ata mavi mtakula
Anatakiwa ashitakiwe kwa utapeli!
Subcribe channel yangu shabiki langu la ukwenga uweze kupata ma comedy ya ela yote bofonga lipicha apo kushoto mambo yatakua yededee🔥🔥🔥
Mumefanana kam baba ako anko
Umefanana na dingi ako
😂
Babu loliondo leo una muhoji kirahisi hivyo miaka ile ya kikombe ilikuwa ni ngumu sana kumwona huyu babu. Aligonga sana hela za vikombe huyu.nawe acha kumuuliza babu mambo hayo ya malavidavi bhana. Muulize kikombe kiliishia wapi hilo ndo lingekuwa swali la muhimu, utakuwa huwekopo kipindi watu wanabebwa kwa helicopter kwenda kwa babu, watu kipindi mile wako kwenye msururu kutoka kama kibaha hivi mpaka mlandizi wanakaa kama wiki hivi kabla hawaja mfikia babu, na walipo kwenye mstari hawako na choose wala bafu, wala mahali pakula, wako tuu mstuni na mgonjwa tena aloyezidiwa.
Babu bwana😂😂😂
Mwacheni baba ywtu
Tajiri tapeli atari
Mzeee alkuw tapel
uyu babu uyu aliwauwa watu uyu walioenda loliondo akuna alie hai mpaka mda huu ayupo
Baba Angu bado yup hai
ABDUL SHABAN wapo weng tu, mimi hata mke wa mjomba wangu bd yupo
Vp khs kikombe kimeishia vp
KAMA ULIMSII GONGA LIKE
Mamaeeee nikiuona mzee nakumbuka jero jero za watu 😂😂😂
Babu wa kikombe cha dawa
babu piga kazi na kuamini bibi yangu Ali kunywa kikombe paka sasa yuko fresh
Yaani mzee wa watu anatabasamu bashasha alitafuna pesa za wajinga wengi Tanzania!!😂😂😂😂
Mzee tapeli huyo
Anatakiwa ashitakiwe kwa utapeli!