BABU WA LOLIONDO: "SIHITAJI MWANAMKE TENA, SINA MWANAMKE TANGU MWAKA 2009"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 11. 2018

Komentáře • 133

  • @abdullahrashid6297
    @abdullahrashid6297 Před 5 lety +15

    Sasa cha ajabu nini bwege wewe unafikiria kila mtu anamzuka na mapenzi niaje arufu unamuuliza maswali Mzee Kama unaongea na mtoto kuweni na heshima amekwambia amefiwa na mkewe hata Pole hujampa Kazi kuuliza maswali bila kuwa na nidhamu Shwain Sana wewe

  • @lauedwardwilliam8582
    @lauedwardwilliam8582 Před 5 lety +37

    Dhu kumbe badoyupo babu kama kweli unamkumbuka babu like hapa ilitwende sawa

  • @edinachami1754
    @edinachami1754 Před 5 lety +5

    RIP wote waliofia kwenye foleni ya babu loliondo,

  • @angelshoo1153
    @angelshoo1153 Před 5 lety +30

    Rudisha jero zetu mzee 😂😂😂😂

    • @fabianjulius5274
      @fabianjulius5274 Před 5 lety

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @angelshoo1153
      @angelshoo1153 Před 5 lety

      @@fabianjulius5274 😂😂😂😂

    • @fabianjulius5274
      @fabianjulius5274 Před 5 lety +1

      @@angelshoo1153 majorities died coz of this man .. 😕

    • @jafarimsaghaa95
      @jafarimsaghaa95 Před 5 lety

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Duh!

    • @janeschurmanns7364
      @janeschurmanns7364 Před 5 lety +3

      😅😅😅😅mzee tapeli

  • @ashaally6993
    @ashaally6993 Před 5 lety +7

    Mmmh nilikuwa namskiaga tuu huyu babu leo ndiyo nimemuona
    Watu wengi walikufia njiani wakienda huko kwa babu mpaka jirani yetu

  • @saidntisi5994
    @saidntisi5994 Před 5 lety +11

    Mwizi huyu anajidai anam2mikia Mungu wakat alidanganya ulimwengu kwmb anatibu wa2,hadi wngn waliacha A.RVs wakafa kwaajil yk,ashindwe na alegee

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 Před 5 lety +2

    Kama bado una kumbukumbu ya huyu babu wa loliondo kwamba alikuwa maarufu na aligonga sana fedha za vikombe, na kama huja mkubali huyu jamaa juu ya maswali anayomuuliza babu kutokana na kukosa maudhui ukilinganisha na umri wa babu, gonga like hapa.

  • @onesmosaimon6719
    @onesmosaimon6719 Před 5 lety +1

    kumamae unamuuliza mambo ya wanawake n mtot mwenzio uyo

  • @damianjeremia3821
    @damianjeremia3821 Před 5 lety +9

    Nahisi huyu babu alitumiwa na watu wakubwa ili kuwapa dawa watu na kusahau dozi zao kitu ambacho kiliwagharimu maisha yao

  • @rosenamundi7359
    @rosenamundi7359 Před 5 lety +13

    Gonga like kama unamkubali babu wa loliondo.

  • @lukasessau7457
    @lukasessau7457 Před 5 lety

    mzee nomaa sana ulipiga watu kekundu huyu nimtumishi wa shetani100%

  • @edsonndomba1049
    @edsonndomba1049 Před 5 lety +1

    Babu shavu limemkubari sana ndoto zinatoa

  • @bintiiddy7043
    @bintiiddy7043 Před 5 lety

    Akili nywele kibaya zaidi hatjuwi nizawapi mzee ponda pesa zawatu walileta wenyewe😂😂😂😂

  • @fundibombatanzania3457

    babu piga kazi na kuamini bibi yangu Ali kunywa kikombe paka sasa yuko fresh

  • @konde_boy5759
    @konde_boy5759 Před 5 lety +1

    Nommaa

  • @zachariamishai7258
    @zachariamishai7258 Před 5 lety

    Ila ww Mzee ni mtata sana!😂 mzee alipigaga mpunga afu akapotea kudadek😂😂 daah! Nilikunyosheag mikono mzee😄🙌🙌

  • @katarinawilliam9960
    @katarinawilliam9960 Před 5 lety +1

    Mimi toka 2006 sijawahi kuwa na mwanamme.Ni KUAMUA TU na kujikeep busy na mambo ya maana.Mwisho wa siku una lala usingizi mzuuuuriii.

  • @wolfgangkichai8577
    @wolfgangkichai8577 Před 5 lety

    Smartest Maafaka in Tz. Alikula hela za watu kilainiii 😂😂😂

  • @masungaezekieli3490
    @masungaezekieli3490 Před 5 lety

    mzee kanenepa sana na jero zetu

  • @denniskalisti2570
    @denniskalisti2570 Před 5 lety +7

    Babu kanenepa sa hivi

  • @mwinchumramadhan9484
    @mwinchumramadhan9484 Před 5 lety +3

    Anakula nyeto balaaa

  • @SKILLS360TV
    @SKILLS360TV Před 5 lety +4

    Noooooumaaaa OK ila PITIA HAPA KUONA UCHAFU UKIGEUZWA KUWA MAPAMBO YA NDANI ili kuni sapoti SUBSCRIBE channel hii bofya kapicha kushoto

    • @stellamkama5841
      @stellamkama5841 Před 5 lety

      Dj4sTv decoration ww kila sehem nakukuta

    • @SKILLS360TV
      @SKILLS360TV Před 5 lety

      Ndiyo huwa naaangalia channel mbali mbali za kisha naacha comment kuwaalifu ya kuwa na Mimi nachannel yangu Bofya kapicha kushoto

  • @BedroomTvKe
    @BedroomTvKe Před 5 lety

    👏👏👏👏👏👏

  • @jeremiahmwasapilicharlie2926

    we babu 😂 noma sana

  • @Papa2thaE
    @Papa2thaE Před 5 lety

    Shavu dodo. Dr. Loliondo.

  • @zulfaabdallah3217
    @zulfaabdallah3217 Před 5 lety

    Jamani kwani alifanya nini huyo babu naona kila mtu anamtukana

  • @abdullaabubakar5528
    @abdullaabubakar5528 Před 5 lety

    mimi tangu nizaliwe sijawahi kuwa na mwanamke nikatembea nae sijawahi mpka hivi sasa 22 now

  • @halimarajabu6964
    @halimarajabu6964 Před 5 lety

    Kwanini asiweze uwezi jua labda alipoteza nguvu mda mrefu kabla ya mkewe kufa kwanza nyie wanaume mkishaanza kufika miaka 60 majogoo ayawiki fresh mkifikia 80bs tenaa

  • @jacoblusana1082
    @jacoblusana1082 Před 5 lety

    Wewe mtangazaji feki sana maswali gani sasa ,uliza maswali ya muhimu...

  • @jonaselias7729
    @jonaselias7729 Před 5 lety

    mnafanana...

  • @georgetv5513
    @georgetv5513 Před 5 lety

    Mmm yakweli ayo

  • @clemmyamani7566
    @clemmyamani7566 Před 5 lety

    Mzee anajibu vizuri sana

  • @BedroomTvKe
    @BedroomTvKe Před 5 lety

    Aafi sana baba na hongera sana

  • @abdulkarimhamissi3755
    @abdulkarimhamissi3755 Před 5 lety

    Uyu mzee huyu Dar hatar sana

  • @kadogojoseph4199
    @kadogojoseph4199 Před 5 lety

    inawezekana tena sana Mimi mwenyewe naweza kukaa mwaka na zaidi bila kukutana mwanamke

  • @fuvutv7784
    @fuvutv7784 Před 5 lety +4

    Subscribe kwang jaman

  • @estersulle983
    @estersulle983 Před 5 lety

    Naona Kama mtangazaji anafanana na Babu

  • @daviekasinda6918
    @daviekasinda6918 Před 5 lety

    mawal gn hayo?????

  • @raheemidy1245
    @raheemidy1245 Před 5 lety

    Tumemjua huyo babu sababu ya kikombe na nilijua kabisa utamuuliza juu ya Kikombe ila ulivo Fara,Fara,Fara,Fara unamuuliza mambo ya mke na huangalii namna ya mahusiano yako na weee ....Millard mnakuaje siku izi....kujiamini kunapitiliza sanaa

  • @gidlovesubscribemembertv1609

    Wanafanana sanatu

  • @larickmtui2852
    @larickmtui2852 Před 5 lety

    Kama nimauwaji Tz huyu mzee aliuwa sana

  • @jumamohamed1556
    @jumamohamed1556 Před 5 lety

    Mungu anakuona MZEE!

  • @amosichacha5675
    @amosichacha5675 Před 5 lety

    Mzee, uwe na uwakika kwamba aliyekutuma kipindi kile cha kikombe alikuwa kweli ni Mungu aliziumba mbingu na nchi. Kama yalikuwa ni mawazo yako mwenyewe na hakuwa Mungu useme na utubu kabla nyakati mbaya hazijakujilia.

  • @manyaramrema6531
    @manyaramrema6531 Před 5 lety

    Ila we mzee shukuru kipindi hicho kulikuwa hamna WhatsApp maana tungeona mengi huko! Ila naamini Mungu anampa mtu kwa namna yeyote ile ilikuwa njia yako ya kupata!

  • @habbetyfatmasaid3810
    @habbetyfatmasaid3810 Před 5 lety

    Jamanii vidox njooo

  • @lenjeevara3407
    @lenjeevara3407 Před 5 lety

    Pwaaaaaaaaa

  • @yohanamollel2335
    @yohanamollel2335 Před 5 lety

    Babu nawajua watoto wake wote na familia yake kwa ujumla siku anakuja kumzka mke wake alilitwa na walinzi kibao mtoto wake mmoja ni mwinjilisti na tunafahamiana sana

  • @kherysalum638
    @kherysalum638 Před 5 lety

    duh"babu fiksi huyo

  • @ibrahimbullah8088
    @ibrahimbullah8088 Před 5 lety +1

    Mzee katuulia ndugu zetu

    • @gideons5265
      @gideons5265 Před 5 lety

      Hakuweza kuzuia kifo lakini... sina ushahidi kwamba dawa yake ilikuwa sumu, ila wapo watu wamepona hata sasa hawaumwi kwa mfano kisukari, wapo waliopona kabisa.. kama walikufa basi sio mapenz ya babu bali Mungu mwenyewe. Maana funguo za uhai anazo Mungu tuu

  • @user-bu7fy6ew5w
    @user-bu7fy6ew5w Před 5 lety

    😁😁😁😊

  • @nacert1754
    @nacert1754 Před 5 lety

    wabongo waliibiwa sana hapa hakiaMungu

  • @mrdicetv7642
    @mrdicetv7642 Před 5 lety +3

    Subscribe na kwangu jamani ndugu zangu

  • @amanipeace6007
    @amanipeace6007 Před 5 lety

    Mzee ulitufanyaga mazuzu na tukawa mazuzu kweli

  • @berniehmsafi_4_651
    @berniehmsafi_4_651 Před 5 lety

    Wew mzee me nikajua upo mbele unakul lfe jero zetu umekul sn

  • @andreymalisa1625
    @andreymalisa1625 Před 5 lety

    Shikamoo mzee..
    😂😂

  • @mariaalfonce608
    @mariaalfonce608 Před 5 lety

    mbona mmefanana sana?

  • @deosilayo702
    @deosilayo702 Před 5 lety

    huyu mzeekatoka shavu zile jero jero zimemuinua sana

  • @kulwajeremiah1576
    @kulwajeremiah1576 Před 5 lety

    Babuuuu wa kikombeeeeee

  • @bedatv5634
    @bedatv5634 Před 5 lety

    usisahau ku like page ya ujenzi wa kisasa zone.
    facebook.
    facebook
    facebook
    ujenzi wa kisasa zone.

  • @joycekapande1197
    @joycekapande1197 Před 5 lety

    Mwqndishi msenge

  • @leopoldmwesa6968
    @leopoldmwesa6968 Před 5 lety

    Asaiv babu utakuja na single gani tena!tofauti na ile ya kikombe?

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 Před 5 lety

    Naomba namba ya uyu mzee nimtafte tuzichape kamenenepa duh

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu Před 5 lety

    Babuuuuuuuuu....

  • @chimalidalushi2436
    @chimalidalushi2436 Před 5 lety

    MTANGAZAJI HUJUI RUDI SHULE KABISA

  • @edrickniwamanya439
    @edrickniwamanya439 Před 5 lety

    Duuuh

  • @idrissatuppah5162
    @idrissatuppah5162 Před 5 lety

    Nauli laki tano kikombe 500/ babu alitisha.shikamoo babu.

  • @stevenmsaaada.msaada.389

    Dah. Had shavu uyu Mzee? Kumbe alivunavunae?

  • @BedroomTvKe
    @BedroomTvKe Před 5 lety

    Kwann aoe jamn

  • @bakarirashidi9533
    @bakarirashidi9533 Před 5 lety +5

    huyu mwandishi anaonekakana bado lena yuko tofauti na yule dogo aliyetumwa na millard kule kwenye ajari ya kuvuko kule ukara

  • @abdulrahmanngaluma3768

    Mzee tapeli huyo

  • @mako331
    @mako331 Před 5 lety

    Kijana unamuuliza Babu maswali ya aina gani aisee? U need to know what to ask and who!

  • @RAUNATION
    @RAUNATION Před 5 lety

    prizent umenenepa marahii duh #millard kumbe Unaw atunza vyema vijana

  • @semanasitv8303
    @semanasitv8303 Před 5 lety

    ulitengeneza pesa babu shkamoo

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 Před 5 lety

    Babu amenenepa baada ya kuwaingiza mjini watz!

  • @BedroomTvKe
    @BedroomTvKe Před 5 lety

    Huyo ndo baba yetu

  • @getrudamatoto1979
    @getrudamatoto1979 Před 5 lety

    Mi nidhani ungemuuliza mambo ya kikombe pyeee

  • @gosaizaka1495
    @gosaizaka1495 Před 5 lety

    mzeee mdwanzi kinomaaa

  • @dasonsdachi3087
    @dasonsdachi3087 Před 5 lety

    Babu unafanya kazi gani kwasasa

  • @youngxhadah7951
    @youngxhadah7951 Před 5 lety

    duh huyo ni baba yako nini? mbona mnafanana sana....

  • @agaaah6697
    @agaaah6697 Před 5 lety

    mbn mmefanna kk

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 Před 5 lety

    Babu ulitikisa huko Loliondo! Sasa Millard mngetuonyesha hata maendeleo kwa Sasa hapo kwake maana alitula hela sanaa. Alitakiwa awe miongoni mwa matajiri. Yaani tunaishi Arusha nyumba yetu ilikuwa Kama gesti, kila wiki wageni ndugu zetu toka mikoani na dar wanafikia ili waende loliondo kwenye kikombe🤣🤣

  • @ismailtarimo9465
    @ismailtarimo9465 Před 5 lety +3

    mlijidai kikombe cha babu kimeishia wapi? wabongo ata mavi mtakula

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 Před 5 lety

    Anatakiwa ashitakiwe kwa utapeli!

  • @davythesonProducer
    @davythesonProducer Před 5 lety

    Subcribe channel yangu shabiki langu la ukwenga uweze kupata ma comedy ya ela yote bofonga lipicha apo kushoto mambo yatakua yededee🔥🔥🔥

  • @maryamkhamis9787
    @maryamkhamis9787 Před 5 lety

    Mumefanana kam baba ako anko

  • @benjaminnyimbo9032
    @benjaminnyimbo9032 Před 5 lety

    Umefanana na dingi ako

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 Před 5 lety

    Babu loliondo leo una muhoji kirahisi hivyo miaka ile ya kikombe ilikuwa ni ngumu sana kumwona huyu babu. Aligonga sana hela za vikombe huyu.nawe acha kumuuliza babu mambo hayo ya malavidavi bhana. Muulize kikombe kiliishia wapi hilo ndo lingekuwa swali la muhimu, utakuwa huwekopo kipindi watu wanabebwa kwa helicopter kwenda kwa babu, watu kipindi mile wako kwenye msururu kutoka kama kibaha hivi mpaka mlandizi wanakaa kama wiki hivi kabla hawaja mfikia babu, na walipo kwenye mstari hawako na choose wala bafu, wala mahali pakula, wako tuu mstuni na mgonjwa tena aloyezidiwa.

  • @BedroomTvKe
    @BedroomTvKe Před 5 lety

    Mwacheni baba ywtu

  • @ibrahimsheha215
    @ibrahimsheha215 Před 5 lety

    Tajiri tapeli atari

  • @josenelyramadhan6623
    @josenelyramadhan6623 Před 5 lety

    Mzeee alkuw tapel

  • @abdulshaban6343
    @abdulshaban6343 Před 5 lety

    uyu babu uyu aliwauwa watu uyu walioenda loliondo akuna alie hai mpaka mda huu ayupo

  • @MAAHAD-RAUDHA-ISLAAMIY.

    Vp khs kikombe kimeishia vp

  • @doyermaziwa6382
    @doyermaziwa6382 Před 5 lety +5

    KAMA ULIMSII GONGA LIKE

  • @procazorla2027
    @procazorla2027 Před 5 lety +1

    Mamaeeee nikiuona mzee nakumbuka jero jero za watu 😂😂😂

  • @kimjey0012
    @kimjey0012 Před 5 lety +1

    Babu wa kikombe cha dawa

  • @fundibombatanzania3457

    babu piga kazi na kuamini bibi yangu Ali kunywa kikombe paka sasa yuko fresh

  • @kingsdaniel1048
    @kingsdaniel1048 Před 5 lety +1

    Yaani mzee wa watu anatabasamu bashasha alitafuna pesa za wajinga wengi Tanzania!!😂😂😂😂

  • @abdulrahmanngaluma3768

    Mzee tapeli huyo

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 Před 5 lety

    Anatakiwa ashitakiwe kwa utapeli!