Professor Jay Feat Harmonize - YATAPITA (Official Audio) Sms 8499592 to 15577 Vodacom Tz
Vložit
- čas přidán 18. 10. 2018
- #Yatapita #ProfessorJay #Harmonize
Yatapita by Professor Jay Feat Harmonize (C) 2018
Sms 8499592 to 15577 Vodacom Tz
YATAPITA OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
BoomPlay: www.boomplaymusic.com/share/ar...
MKITO: mkito.com/artist/1111
iTunes: itunes.apple.com/us/artist/pr...
Spotify: open.spotify.com/artist/1Q5oC...
Dezeer: www.deezer.com/us/artist/4096310
Written & Performed by: Professor Jay & Harmonize
For Bookings: ProfessorJaytz@gmail.com | mxcartertz@gmail.com |
Follow Professor Jay on:
/ professorjaytz
/ professorjaytz
/ professorjaytz - Hudba
Iko poa sana nimekua wa pili kama unamkubali professor jay gonga like
🔥🔥🔥🙌
Nzur sana mzee wa man japo Chelsea LEO imekutoa jasho nyimbo nzur kila siku nitasikiliza
GODFREY PETER sawa kawaida sana ila niliwakosa wamechomokea kwenye mdomo wa mamba
I Like it
Huu wimbo unaweza kupigwa Clouds hata kama wana bifu na Harmonize
harmonize tz voice yako inakuwaga na hamasa.....255 nipeni like zangu
Kama unaamin YATAPITA wanangu niunge mkono kwa lyke lakoo
Maisha chuo kikuu yapasa kujiendeleza....NOOOMAAA....mistari yenye mnato...yakubalika!...
Big up king of hip hop...
Hakuna kinachoshindikana...believe in yourself........KALIII SANAAAA....
Waiting for the video...+254 nawakilisha hapa...ndani ya Mombasani mji wa raha...
Gonga like kama unakubali hii ngoma
Salute sana mimi pia hapa hapa pwani
God song
DAMN!!! Mbunge wa ukawa kauwa, konde boy wa wcb kazika..hii ndio nyimbo yangu bora kwa mwaka huu wa 2018.. unataka nyimbo gani tena ww?? weka likes hapa nyingi..imenigusa ila #YATAPITA
Jamn mbn m kila SKU m nakoment ila sjawqh pata like zenu naomb like zenu kama mnakubalianq namm kuwa harmonize ni gonjwa LA jiji
Kama unaamini magumu yote unayopitia yatapita gonga like
Yatapita wacha tuhustle kwanza
Kwl
Aminia
kila lenye mwanzo lina mwisho wake YATAPITA Big up Professional J
Kama unaamini huu wimbo ungewekwa kwenye CZcams account ya #Harmonize sasa hivi ungetrend gonga like hapa
Dah hii ngoma imebamba mpaka Nanjilinji ama kweli ngombe hazeeki maini kama umeipenda ngoma hii like twenzetu
Ebhnaaa ngoma kalii hakika konde boi u kill it professor j we ni 🔥🔥🔥🔥
Kama una amini uchovu wa MOND NA KIBA UTAPITA like hapa ... Ngoma kali
hata mm sijachelea...kama umeikubali gonga like twenzetu ....YATAPITA😍😍
Harmonize is fine man kila ngoma atotia saut yake inakua Kali,,, Ngoma tam ina ladha ya urojo, tende na halwa
Abuu Rodney poaa
Harmoniz katish
Konde boy is fireeeee bt xalte 2 prof jay,ngma kal,beat yeny hcia za huzun
Utam tupu
Duuuh haya ninyimeni likes pia hii
Clouds daah wanatukosesha mziki mzur xn cc mashabik wakeeeee....
Wimbo unatia hamasa mpaka kijijini kwetu wanasema yatapita huku wanelekea shambani....imefika na tumeipokea huku....
😂😂😂😂
😀😀😂😀😂😀salute hata mimi naenda chunga ngo'mbe ila yatapita
Nimekusoma brother #Exaud
Nan kasikia MO DEWJI katajwa humu
Angelica chanel
Bonge la ngoma sema harmonize nyimbo za matatizo matatizo uko vzr sn bro 💥👏
Haha ety nyimbo za matatizo
Kama una kubali harmonize bila kuhacha mzee professor j pinga like yako hapa
yatapita 🔥🔥🔥
Ngoma Kali sana dah hujawah kuniangusha brother prof jay
i do beliave in my self ...bonge moja la ngoma ...#yatapita
Dua yangu bado nipo nanyi mama zangu wa mboga mboga
namie kukoment kila nyimbo na sipati like yatapita tu
Inspiration song. Good job prof jay. Haraf hii ni heat song tiar kama unakubaliana na mm gonga like.
Konde boy na profesa jay mambo n fire🔥🔥 kama unaamini yatapita #gonga like
Daah kama imekugusa gonga like
Young killer Msodoki msodooooooooooki Noma sana
#zujo ft young killer msodoki itakua poa
Ngoma na nusu kama unaikubali gonga like twende sawa
frank saf Sana
Imeweza saana #211🇸🇸🇸🇸 mark register hapa
Niko ndani
Salute sana
Yatapita naombeni like zenu apa tafadhali
I can I must I will ..... Kwel yatapit one day yes kama kwel gonga like tusepe
Kwa wale waliokuwa mbioni kukata tamaa,,, nawashaur ytapta tu kazen
Yaan kama unamkubali harmonize acha majungu punguza wivu yaan konde boy anajua bhana like nyingi kwake please
Mmakonde kutoka MTWARA na the heavy weight MC kwenye ubora wao like ili twende sawa km umeilewa hii ngoma
Nachoweza kusema hakuna na hatokuepo Kama prf Jay Kama utaki kalale njoo ugonge like hapa twende sawa
Siku hizi nyimbo zinazoishi ni zile zinagusa maisha halisi ya watu. Ila yatapita.
Salute sana popote unapozipata hizi rap za profesa naomba ugonge na like usipite
dhaah! hii ngoma kalii nmeirudia kuiskiliza kama mara 4 hv kama unamkubali professor jay gonga like twende sawa
Duuuu kweli Yatapita Na Magu Ataachia kwel gonga like
Yatapita maisha haya kazi za dharau 😭😭😭😍
Leo zamu yangu..sizijui likes, so sad..bonge la ngoma.
Harmonize uko juu kakangu.....prof jay anatisha pia....wimbo wenye mafunzo wasee, proud of ua work
Kutokupata like kila nikicomment yatapita 😂😂😂
najua unapata tabu sana wanakutukana ifikilie kesho yake achana na jana,#prof jay umeflow vizur sana umeturudisha enzi zako
First comment from Kenya.. Shida waTanzania hawaelewi nimesema nini.
nchi yetu na watu wasiojulikana yatakwisha gonga like tuwaumize watekaji😁😂😢
Asante bro!! Hii nyimbo imegusa saaana maisha yangu kupitia kwenye shida na kashfaa nyingi za kimaisha mpk sasa kufika kufanikiwa na nguvu za Mungu tu
Konde boy nakukubali sana watapata ngoma kali
Kama umeikubali hii ngoma gonga like hapa👊👊👊
Jay umegusa story ya maisha yangu, Mungu akubariki.
"Ifikirie kesho yako achana na jana".....kulala visa vihoja mulo kutwa mara moja....bonge la ngoma they have never let me down these two people...🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🤙
hahaha jay wewe mwehu kaka muziki hahahaha
yatapita gonga like hapa bhana.
One of the best inspiration song happened in bongo music
Nimesubiria kwa muda mrefu mistari yako mawe yenye kugusa maisha halisi hatimae umefanya prof. Konde boy kaua asee... Bonge la inspirational song kwa mwaka huu.
Miziki hua wana imbaga wa Kenya tu..bora mzee baba ulivo urudisha tena ReturnedOfBongoflave
Ninapo pata kidogo naweka.........
(Maliziaaa kama umeusikia mstari huuu)
Nice talent
Ngoma iko Poa sana 🔥... legend jay na konde boy.. mnajuwa🔥🔥🔥
daaaaaah
harmonize hujai angusha fans wako.... #254 🔥🔥💯💯✔️
Noma wamituringaaaaaa
Kazi safi...
I love this song...Greetings from Ghana..Good Music
Best song.. harmonize n prof jay mnajuwa aisee ... yote yatapita... ngonga like if u like the song..😊😊
Kuna miaka flani hapo nyuma #ProfessorJay alitaka kupotea kwani alianza kufata nyimbo za vijana wa siku hizi, mzee mwezio nimekuwa shabiki wako yangu enzi za HBC! Good song!
i think harmonize if he continues working with mature artist like prof he will be king
Amazing song....can't wait for video
Prof jay ni zaidi ya msanii. 🍾
Gonga like Kama Nyimbo imekugusaa 🔥🔥🔥🔥
KaaaaliEST... Awesome message...
I'm from Afghanistan and I don't understand Swahili but haya yote tunayopitia huku kwetu yatapita tu..
Gift Randu hahaha
Maisha ni chuo kweli na yatapita tu... mungu2 👌
professor loongi since 1995 big up wa gwan tupo hip hop mpaka kesho
kama unaamin kondeboy kaua kinoma noma gonga like
Naickilza inaisha naisikilza tn
Inaisha naskiza tn, imeisha nairudsha tn naona usumbufu kuirudia youtube, nai-download, naweka repeat.. #Yatapita🎶
It should trend.. Professor my favorite tz
Harmonize umebadlka sana humu that is a music nw #congrats 👏👏👏👏👏🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Motoooooooooo wapi likes za mheshimiwa
Konde boy ni 🔥🔥🔥kama unakubaliana na mm gonga like
Ngoma kali saaana salut mzee professor na konde boy tuko pamoja bujumbura
Yaaani bonga akoseagi aiseee
Yatapita tu,sijawahi mkubali Harmonize kwa kuiga sauti ya Diamond ila hapa katisha sana. Mzee Jay umetisha ngoma inatia hamasa kutokubali kushindwa.
nice harmonize may almighty God bless u in your daily routine
Dah kujarbu kwang ndo kwanza npo no. 4 ... any way YATAPITA ..ngoma kali sana ...
dduuuuhhh ngoma nzuri sana
professa jay....big up brother...harmonize i have nothing to say,,,always making it happen
qalii sana hii ngoma dah yatapita magum yoteee!!!
Professor Jay Salute You
Naona Ngoma Imetulia 🔥🔥🔥
Prophessor Jay ur only the king of Rap
Amazing Sana
Unapitia mengi ila mambo hayendi, I CAN✍, I MUST🙏, I WILL💪💪 km Mengi... Uskate tamaa ongeza tu juhudi pambana #Yatapita🔥🔥👌
Harmonize hujawahi kukosea ngoma unazoimbaga hukoseagi God da bless ma best
Conscious song I admire you jay
Iko vizuri sana na imebeba ujumbe mzito sana
Wow kaka, aha haha yatapita... salute you Jay and Hom
Yes Kama ipo itakuja big up Sana kwa song hili prof Jay +harmonize
Izi ndo nyimbo mzee.Sio inama inama nashindwa kuskilza na wazaz apa maskani
Daaah ngoma ime simamia kucha big up sana
Kutoka +254🇰🇪 Hii imeweza...Jay na Harmo it's lits💥💥💥
Nyimbo nzur sana kaka #Joseph....haki kikwer imejawa ujumbe wenye kutia moyo na faraja aswaaa nashinda nausikilza kila wakati
Best best combination... Makofi 👏👏👏👏👏👏