nampenda sana Mungu aliyewatoa wana wa islael misri na kuwapeleka kanani kwa ushindi wa kicheko na furaha ya milele....Mungu azidi kukaa ndani yenu ili injili hii izidi kuwaokoa watoto wa Mungu.
Kama mtu akienda kwa Mganga anapewa kijiti tu kusema kitamsaidia. Muda mwingine wanepewa mfupa tu wa kuku aliyeliwa na huyo Mganga je Huyu Mungu aliyefanya njia kwenye bahari ya Shamu ukimuomba hawezi kufanya? Mungu hawezi kukuacha njiani kwani alipokua akipita mahali na kumkuta yule kipofu hakumuacha akiwa kipofu. Barikiwa sana
Yes nabarikiwa na wimbo Huu Kwani nilipo usikia Nilikuwa katika Imani ya juu. Nilipata tumaini kubwa kumwamini kristo Kwani nilikuwa mwasilika wa madawa ya kulevya bangi sigara pombe na wizi pia Ameni
Ni kweli Mungu hataniacha kamwe, kwa maana Yeye ndiye aliyenipenda kwanza , aliko nitoa ni mbali Sana, amenipigania katika vita kubwa Sana, na bado namwamini kuwa hauwez kuniacha kwenye vita ninayokutana nayo, kama aliweza kuniokoa awali na Sasa ataniokoa.mbarikiwe Sana kwa kuniganga moyo
It's true he can't neither leave you nor forsake though at times God take time to answer we have to keep on with the race ,God's timing is always th best
AMEN AMEN Hakika Mungu ni Mwema na Mwaminifu hawezi kuniacha njiani safari yangu,nilikotoka na yale ninayo pitia Bwana anajuaa Halleluyah..Mungu awabariki nyote Wapendwa kwa wimbo huu nzuri wa baraka na himizo kwetu Amina
nampenda sana Mungu aliyewatoa wana wa islael misri na kuwapeleka kanani kwa ushindi wa kicheko na furaha ya milele....Mungu azidi kukaa ndani yenu ili injili hii izidi kuwaokoa watoto wa Mungu.
Amen
marion steven Amina
Emeen
MUNGU HAWEZI KUKUACHA NJIANI HATA WEWE USOMAYE HAPA ANAJUA ASINGE TAKA ANGEKUACHA NJIANI
Amen
Ameen my lovel broo
Nampenda sana Mungu wangu yupo nami wakati wote. Asante Yesu
Ameeeen
Amen
Wimbo pendwa unafariji Kila mda kazi nzuri bro wetu Paul Mungu akupandishe viwango na viwango 🙏🙏🙏
MUNGU HAWEZI KUKUACHA NJIANI
These guys are returning the picture of Gospel Music. It once lost shape.
oooooh God bless your people since they inspire us your way
Kweli mungu hawezi kukuacha nimebarikiwa hongera sana
Yayayayayayayayayyaa the kingdom is observing all these
Mtalipwa ujira wenu mbinguni kuna mtu anakombolewa mahali na huduma hii
Mae
Mungu hawezi kuniacha njian naamin ntashinda❤
My favorite song 🔥
mungu hawezi kiniacha njian anajua shida zang machoz yng am blessed with this song aliyeniita ni mungu na c mwanadamu anajua mwanzo na mwisho
Mungu hawezi kukuacha njiani ,lazima akufikishe uendako
Mungu mwema Kila wakati🤲🥰
Men of God 🔥who are crazy of the gospel 🔥🔥 God bless you Paul and Joel . More grace
Mpaka nimelia asee,,,nahisi kubarikiwa,,i know hawez niacha baba 🙏
HERE IS WHERE REAL GOSPEL IS...MUNGU AWABARIKI HAWA WATU AISEE I LOVE THEM A LOT
Mungu hawezi kuniacha njiani
Mungu, hawezi kukusahauuu
Master Joel na Paul Clement, mmekutana m'barikiwe sana
Nakupendaaa bure maan unanifarijibsana
Amen amen amen amen.... Mwenye safari ataitimiza.... Aliye niita ni Mungu si binadamu. Hallelujah!
Kama mtu akienda kwa Mganga anapewa kijiti tu kusema kitamsaidia. Muda mwingine wanepewa mfupa tu wa kuku aliyeliwa na huyo Mganga je Huyu Mungu aliyefanya njia kwenye bahari ya Shamu ukimuomba hawezi kufanya? Mungu hawezi kukuacha njiani kwani alipokua akipita mahali na kumkuta yule kipofu hakumuacha akiwa kipofu. Barikiwa sana
Nimebarikiwa sana .MUNGU azidi kuwainua zaid na zaid AMINA
Amen Mungu awabariki watumishi
Aminaa mungu ni ngome himaraa
Bwana Yesu awazidishe na kuwaongeza zaidi katika karama hii ya uimbaji aliyoweka ndani yenu. Mbarikiwe sanaaa
Nabarikiwa sana ninapokwenda anajua
nime barikiwa na hii nyimbo mungu awabariki sana watumishi wa mungu.
well done na mungu awainue ktk viwango vngine.Nikweli bwana anajua
Hii nyimbo n nzuri yatia moyo n yanitoa machozi na wakati mgumu ninaopitia,naamini Safari yangu ataikamilisha
Mungu hawez kukuacha njian there z power in name of Jesus
Mungu ameweka vitu katika vijana wa mbeya...vitumieni mbarikiwe
Yes nabarikiwa na wimbo Huu Kwani nilipo usikia Nilikuwa katika Imani ya juu. Nilipata tumaini kubwa kumwamini kristo Kwani nilikuwa mwasilika wa madawa ya kulevya bangi sigara pombe na wizi pia Ameni
Amen. I'm convinced and confident that God, who began a good work in me is faithful to complete it.
Mbarikiwe Sana watumishi
Amen nimelia Mimi huyu mungu ni mkuu sana nikitafakari ukuuu wake aaa Simalizi acha nilie kwa furah
Anaye angalia tena hii gonga like kwa nguvuuu
hakika hata na haya MUNGU hawezi kuniacha kamwe hacngetaka angeniacha njiani 🙏🙏🙏
Mungu najua uwez kuniacha njiani
Nafarijika nikiusikiliza huu wimbo maaana unanibariki sanaaa
Tunawapenda sana huu upako mmh lovely and powerful.
Mungu anajua unyonge wangu, ipo siku yote yatakwisha, m'barkiwe sana watumishi wa mungu.
Mungu tuoneshe njia ya kwel tufike mbinguni
Is a good guys am blessed with that song
Mungu akutetee kila uendapo maana unanibariki sana maneno ni mengi lkn mwenye safar ni mungu tu alieanzisha si mwanadamu atatimiza kwangu hata kwako
Its really God knows evefything
Ni kweli Mungu hataniacha kamwe, kwa maana Yeye ndiye aliyenipenda kwanza , aliko nitoa ni mbali Sana, amenipigania katika vita kubwa Sana, na bado namwamini kuwa hauwez kuniacha kwenye vita ninayokutana nayo, kama aliweza kuniokoa awali na Sasa ataniokoa.mbarikiwe Sana kwa kuniganga moyo
Aminaaaaah nmebarikiwa sana
Amen mbarikiwe sana
Toka ndani ya mioyo katika roho na kweli, Mungu awazidishe sana Mr Lwaga na Mr Clement.
Nimejibiwa Na hii nyimbo namshukuru mungu nilipa sana moyo ipo siku
Amen hiyo ni kweli kabisa
kazi Nzuri sana Mbarikiwe Sana
I love song too much, Mungu awezi niacha..yeye anajua napokwenda
Amen. I beliv dah God hawezi kuniacha njian
Amen mungu kweli hawezi kuniacha njiani nimebarikiwa sana na huu wimbo
MUNGU wangu najuwa huwezi niacha njiani
Safari yangu alianzisha mwenyewe, asingetaka angeniacha mwanzoni ninakokwenda yeye anajua✋
Mungu awainue zaidiiii !!! Mmenibariki mno
Yeah najua napkwenda mungu anpajua asingetaka angeniacha mwanzon
Mungu aweza kukuacha njiani unanipa Aman Mungu awabariki sana
Akika MUNGU hawezi kuniacha njiani safari yangu aliianzisha mwenyewe
N kwel kabx,may God bless yweh pple
Oooh anointed song, God bless you all, it's really God knows everything, Amen
nimepokea upako wa juu Sana amina
I like this song nawapenda Sana watumishi wa Mungu
Bro joel lwaga hayo maneno yamenigusa sana amina
Nimebalikiwa sana na wimbo huu .Amina
Mungu tusaidie
I know God is there for me .
MUNGU n mwema
Mungu ni mwaminifu kwa hakika!!
#NikoHai
Don't forget lyrics Its International now days
Some people is created very special for create people's happiness. Be blessed Paul n joel
Anajua hakika, Hajawahi muacha mtu hata mmoja, Awesome Jesus our Lord
Aliyeanza safari nzuri ndani yangu atai kamilisha
Naamini MUNGU utafanya jambo Juu ya maisha yangu
mungu hawezi kuni acha yeye ana jua shinda zangu 🙏🙏
Mungu hawez kuniacha.. Mana yy Ndo ananijua vilivyo
So powerful nawakubali ni kweli mungu anajua.
Mungu awabariki mno kazi yenu n bora mno kwa utukufu wa Mungu
Barikiwa Sanaa wapendwaaa hakika mungu anajua Joel mungu azidi kukutumia jaman
Asante yesu wangu umesema nami kupitia hapa aman
Mungu hawezi niacha njiani!in jesus a live
Watching here from cape town , May Lord God Bless you
I love this song it inspires me..
Mungu awalinde,awafunike kwa damu yake
safi sana, nawapenda sana church boys Lwaga $ Clement
Mungu awabariki na kuwatunza watumish wa Mungu
Lwaga una sauti yakipekee..
Barikiwaaaàaa
Madogo mmefanya gossiple niifirahie ...mbarikiwe sana
It's true he can't neither leave you nor forsake though at times God take time to answer we have to keep on with the race ,God's timing is always th best
These Guys need to do an Album together #theyareperfectgood
Nabarikiwa sana,
Mungu azid kuwaongoza ktk Roho na kwel
Najisikia furaha sana nikiona vijawezangu wanatumikia mungu kwa nyimbo mbalimbali mungu azidi kuwatunze
ubarikiwe sana
MUNGU awabariki sana watumishi!
Baraka za Mungu ziwe juu Yenu guyz,
Am blessed. Nikiwa Egypt
Can't explain how much I love you guys nice collaboration
AMEN AMEN Hakika Mungu ni Mwema na Mwaminifu hawezi kuniacha njiani safari yangu,nilikotoka na yale ninayo pitia Bwana anajuaa Halleluyah..Mungu awabariki nyote Wapendwa kwa wimbo huu nzuri wa baraka na himizo kwetu Amina
Amen this so powerful..
😢 😢 😔 😔 hili nalo najua mungu hawezi niacha safari yangu lazima ataitimiza
Heeeeee linda massawee
Jmn nan huyo
I will never stop man of God
God is able to change every situation..He's a faithful God!