#EXCLUSIVE
Vložit
- čas přidán 6. 09. 2024
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Diva elewa basi mtu akisema Nisamehe ni kwamba amekubali yaishe...Ally Kamwe nakukubali sana mdogo wangu na umefanya jambo jema sana MUNGU Akubariki 🙏🙏
Time will tell, mark my words. Kamwe is good and fair. Just like his name's twin Mayayi!
Stay blessed, guys.
Huu mwaka HAJI ... NEVER GIVE UP PAMBANA FUN WANGU ... NA BAB ALI NAE TUMPE HONGERA ... ICHO KIBWENZI NDIO TTZ KITOE TENA USHAKUWA
حَسْبُنَا اللهُ وَنِعْمَ الْوَكِيلْ وَنِعْمَ الْمَوْلَى وَنِعْمَ النَّصِيرْ
Safi sana bro
Umefanya vzr kuukubali msamaha wa Buggati
Ally umefanya jambo zuri sana, allah akulipe, huo ndio ukomavu wa fikra
Pongezi Sana Kwa wote mmeonyesha ukomavu wa hali ya juu Sana hongereni, binaadam tunatakiwa kuwa na moyo wa kusameheana hakuna binaadam mkamilifu
Alli nakupenda Sana sana Yan hamini ivo
hongera Sana kamwe
Wabongo mnapenda mipashooo sana
one of the kind
I like him very intelligent guy😍
Alhamdulilahi
Leo ally sio yulee ambaye alikuwa anaongea kulee?. Nilishangaa kujiapiza kwamba awezi msamehe kabisa?. Sijui alikuwa na hasira?. Leo ally nadhani kaelewa alchokifanya?. Tunawapenda wote hayo nimapungufu ya kibinadam. Asanteni kwa kusameheana kaka zangu.🙏🙏
Safi kamwe
Waandish wachonganishi sana,,
Ongera Sana KAMWE huyo Diva sio mzuri sidhani kama anaweza kuwa msuruhishi maswali yake ni kama anachonganisha
Wew Diva Kama kweli unajua kingereza mbona hamumuhoji Mzungu??? Interview za ngeri mwazkmbia mkimpata mswahil mnajifaanyaaaa
Hata mimi wanani boa kiingereza kingi mimi nimeishi nje ya nchi miaka zaidi ya 20 sichanganyi kiingereza na Kiswahili
Nakukubali Ally ww nibinadamu
Yote kwa yote bwa mkubwa abadili life style yake kazi na umri ikifika kazi yake inakizana mpk na makamu ya umri u need to change ukweli mchungu lkn dawa🙌
Kijana upo smart nimependa ulivojibu wakati mwingine waandishi wa habari wanavikuza vitu pengine wengiviacha ingekuwa Bora sn kuliko kulifukisha ktk jamii
Yaani huu mwaka masnitch wa HAJI wooote mjitokeze , mmalize yenu yote Ili akimaliza kifungo aanze upya mambo yake...!
🤣🤣🤣
Alafu huyu diva bwana wake hamkazi vizuri nyoko huyu
Huyu Dogo brian sana.
Pamoja na kuona msamaha kaa mbali naye atauroga yule ni kinyonga
Nice sana broo hii ndo maana ya maturity
Kama unatumia kiswahili tumia kiswahili tujuwe moja
Huyu ndio mtanganzaji wa ovyoo wasafi kengereza hicho cha nn wakati una hoji mtu haujuw kama anajuwa kengereza Wewe una tia kengereza
😂😂😂😂😂
Mkiamua kuongea kingereza ongeeni mkiamua kiswahili ongeeni ila kiswaenglish hatutaki!!! Kingereza chenyewe hamjui !!! Mnatuchanganya
Kuweni wakweli. Kumsaidia mtu sio ndio uanze kumsema kila wakati ili kumnyamazisha. Na maybe anatishia ajira ya Kamwe. Hata Haji mwenyewe kafikishwa hapo na watu.
Haji should know, he is not invincible, he is just a spoilt big brat. People are getting tired of him. Mo, Barbara, Karia, Kamwe, TFF , Dauda, Jerry, K
Jemedari, etc.
You can fool some people sometimes, but you can not fool all the people all the time. By Bob Marley and the wailers
Ally unataka kupotea...acha kuongea watu,jikite kuongelea issues kaka
Leo unajibu kinafiki,we ni mmoja Kat yawstu nilie kuwa nakukubali lkn mnafiki
We msenge diva mbona unalazimisha mambo
Sio dini furani lakini binadamu mwenye utu ni vizuri kusamehe
Sawa mpovizuri kusameheana nijambo laheri
Alikamwe hao wamezoea kuambiwa kaneno kao kale no coment no coment mana unamueleza yy anazid kukuleta kukuleta tu hahahahahaa
Kwanini mumlazimishe kuongea kitu alichowahi ongea kaombwa msamaha yameisha nyinyi mnataka aludie yale yale uchonganishi huo mnapenda watu wagombabe kila wakati haifai iyo siyo vizuli
Huyu Diva mnafiki anataka kuchochea motooo
Dívà mbàyà wéwé tena líbàyà hilí dadà
Mkwewe huyo 🤣🤣
Mbn uelewi mtu unlazimixha mambo yolopita
Mnafeli wapi?
Kweli kosa hukumbuki? au ni uoga ulonayo juu yake
Ashakwama amekuwa mdogo kama piriton
diva ni kuma sana
Kuma la mama mke wako pia msenge ww ukirudia tena natuma nyingine
kuna umuhimu gani wa kutukana hivyo. Why utaje viungo ambavyo hata wazazi wako wanavyo. Jitahidi kuongeza hekima
@@narrissajackson3869 Asante Kwa ushauri wako
Kwan diva wewe shida yako nn ikiwa jambo limemalizika nafikiri hakuna haja yakuendelea kuzungumzia kuendelea kuzungumzia niishara yakuwa halijakwisha
Utani wa jadi, utani wa jadi tafsiri yake sahihi sijui ni ipi🤔
Lulu Diva kizungu chako ni kwa wa Bongo tu? Mbona ukiwafanyia interview wakenya huwa unaongea kiswahili fasaha sana na huwa hujaribu hata neno Moja la kiingereza😂😂😂
Lulu Diva😂
😃😃😃
We dogo yawezekana ulimkosea make uwa unajionaga we ni mjuaj unajiona unajua Kila kitu kumbe wee ni ka tumbli mflaa unataka kujilinganisha na manala ww unawazim ww all
manina wabongo bana English nying kuliko kiswahili hahahahaha interview na kibongo n vichekesho
Mtangazaji mpumbavu kabisa
Kinachokera ni hivyo viengereza vyenu vya Kijinga. 🙄
😂😂
Wana ushamba mwingi,,,
Kubali ulimkosea bana alafu ukubal msamahaa
Alf divs ww mchonganish xn
wewe dogo unapata wapi powerful ya kumsema mtu na familia yake aliye kusaidia nilikuwa nakuona WA maana kijana unae kuelewa kumbe kitumbua tu
Lah inamaana wa muslim tu NDO wanasamehana?
Ety jmnii 🤣🤣
Tusaidiane kushangaa!!!!
kila mtu anazingumzia imani yake yy amezungumza kama Muslim so kama na dini yako inaruhusu kusamehe samehe pia
Imani ya kusamehe NI Uislam peke yake. Utake usitake.
Swali zuri jee ulimkosea?jibu lililotakiwa nilimkosea anisamehe, Kila mwenye akili timamu anaelewa ulimkosea
Iv mko ulaya fakini nyie
Unateseka😁
Kwenda zako pumbavu hatukutakinafiki wewe
Acha uoga dogo
Wewe malaya Diva unajifanya kingereza sana. Kuma la mamayako na unafirwa na wazungu
Innaalillaahi wainnaa ilayhi raajiuun
Punguza munkari ndugu yangu uislamu hauruhusu dhana
Abdullah.."mja wa Allah"..umebeba jina zito sana while kitabia ndo ivo
Mkwewe huyo 🤣🤣