#EXCLUSIVE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 86

  • @apostleisaacnyika4669
    @apostleisaacnyika4669 Před rokem +23

    Diva elewa basi mtu akisema Nisamehe ni kwamba amekubali yaishe...Ally Kamwe nakukubali sana mdogo wangu na umefanya jambo jema sana MUNGU Akubariki 🙏🙏

  • @avelinekafuru5146
    @avelinekafuru5146 Před rokem +3

    Time will tell, mark my words. Kamwe is good and fair. Just like his name's twin Mayayi!
    Stay blessed, guys.

  • @user-dz4ob1xj8g
    @user-dz4ob1xj8g Před rokem +5

    Huu mwaka HAJI ... NEVER GIVE UP PAMBANA FUN WANGU ... NA BAB ALI NAE TUMPE HONGERA ... ICHO KIBWENZI NDIO TTZ KITOE TENA USHAKUWA

  • @muhidiniabdulrazaq6005
    @muhidiniabdulrazaq6005 Před rokem +3

    حَسْبُنَا اللهُ وَنِعْمَ الْوَكِيلْ وَنِعْمَ الْمَوْلَى وَنِعْمَ النَّصِيرْ

  • @mohomedalmarjibi9021
    @mohomedalmarjibi9021 Před rokem +4

    Safi sana bro
    Umefanya vzr kuukubali msamaha wa Buggati

  • @hajiwaziri4357
    @hajiwaziri4357 Před rokem +2

    Ally umefanya jambo zuri sana, allah akulipe, huo ndio ukomavu wa fikra

  • @suleymanally1465
    @suleymanally1465 Před rokem +4

    Pongezi Sana Kwa wote mmeonyesha ukomavu wa hali ya juu Sana hongereni, binaadam tunatakiwa kuwa na moyo wa kusameheana hakuna binaadam mkamilifu

  • @katushabedotto2883
    @katushabedotto2883 Před rokem +1

    Alli nakupenda Sana sana Yan hamini ivo

  • @nuhu8691
    @nuhu8691 Před rokem +2

    hongera Sana kamwe

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před rokem +4

    Wabongo mnapenda mipashooo sana

  • @shafiimwenda9253
    @shafiimwenda9253 Před rokem +4

    one of the kind

  • @saidaramadhan5963
    @saidaramadhan5963 Před rokem +5

    I like him very intelligent guy😍

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Před rokem

    Alhamdulilahi

  • @sarahsaimon4095
    @sarahsaimon4095 Před rokem +1

    Leo ally sio yulee ambaye alikuwa anaongea kulee?. Nilishangaa kujiapiza kwamba awezi msamehe kabisa?. Sijui alikuwa na hasira?. Leo ally nadhani kaelewa alchokifanya?. Tunawapenda wote hayo nimapungufu ya kibinadam. Asanteni kwa kusameheana kaka zangu.🙏🙏

  • @umikhamis4507
    @umikhamis4507 Před rokem +2

    Safi kamwe

  • @aimanshija4230
    @aimanshija4230 Před rokem +2

    Waandish wachonganishi sana,,

  • @habibrwegoshora6624
    @habibrwegoshora6624 Před rokem +1

    Ongera Sana KAMWE huyo Diva sio mzuri sidhani kama anaweza kuwa msuruhishi maswali yake ni kama anachonganisha

  • @fortunatafelician5625
    @fortunatafelician5625 Před rokem +6

    Wew Diva Kama kweli unajua kingereza mbona hamumuhoji Mzungu??? Interview za ngeri mwazkmbia mkimpata mswahil mnajifaanyaaaa

    • @susancharles1660
      @susancharles1660 Před 9 měsíci

      Hata mimi wanani boa kiingereza kingi mimi nimeishi nje ya nchi miaka zaidi ya 20 sichanganyi kiingereza na Kiswahili

  • @amosdamian7308
    @amosdamian7308 Před rokem

    Nakukubali Ally ww nibinadamu

  • @luqmanhussein5551
    @luqmanhussein5551 Před rokem +4

    Yote kwa yote bwa mkubwa abadili life style yake kazi na umri ikifika kazi yake inakizana mpk na makamu ya umri u need to change ukweli mchungu lkn dawa🙌

  • @husseinhumbi6373
    @husseinhumbi6373 Před rokem

    Kijana upo smart nimependa ulivojibu wakati mwingine waandishi wa habari wanavikuza vitu pengine wengiviacha ingekuwa Bora sn kuliko kulifukisha ktk jamii

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Před rokem +8

    Yaani huu mwaka masnitch wa HAJI wooote mjitokeze , mmalize yenu yote Ili akimaliza kifungo aanze upya mambo yake...!

  • @saidalsalmi9313
    @saidalsalmi9313 Před rokem +2

    Huyu Dogo brian sana.

  • @charlesjoseph1081
    @charlesjoseph1081 Před rokem +2

    Pamoja na kuona msamaha kaa mbali naye atauroga yule ni kinyonga

  • @emmanuelhery9655
    @emmanuelhery9655 Před rokem +1

    Nice sana broo hii ndo maana ya maturity

  • @bernardsaramba4359
    @bernardsaramba4359 Před rokem

    Kama unatumia kiswahili tumia kiswahili tujuwe moja

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 Před rokem +4

    Huyu ndio mtanganzaji wa ovyoo wasafi kengereza hicho cha nn wakati una hoji mtu haujuw kama anajuwa kengereza Wewe una tia kengereza

  • @sanga3801
    @sanga3801 Před rokem

    Mkiamua kuongea kingereza ongeeni mkiamua kiswahili ongeeni ila kiswaenglish hatutaki!!! Kingereza chenyewe hamjui !!! Mnatuchanganya

  • @avelinekafuru5146
    @avelinekafuru5146 Před rokem +1

    Kuweni wakweli. Kumsaidia mtu sio ndio uanze kumsema kila wakati ili kumnyamazisha. Na maybe anatishia ajira ya Kamwe. Hata Haji mwenyewe kafikishwa hapo na watu.
    Haji should know, he is not invincible, he is just a spoilt big brat. People are getting tired of him. Mo, Barbara, Karia, Kamwe, TFF , Dauda, Jerry, K
    Jemedari, etc.
    You can fool some people sometimes, but you can not fool all the people all the time. By Bob Marley and the wailers

  • @johannmaloda6027
    @johannmaloda6027 Před rokem +2

    Ally unataka kupotea...acha kuongea watu,jikite kuongelea issues kaka

  • @hassanidraft1105
    @hassanidraft1105 Před rokem

    Leo unajibu kinafiki,we ni mmoja Kat yawstu nilie kuwa nakukubali lkn mnafiki

  • @aizackkajika5086
    @aizackkajika5086 Před rokem

    We msenge diva mbona unalazimisha mambo

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 Před rokem

    Sio dini furani lakini binadamu mwenye utu ni vizuri kusamehe

  • @kapondamsita476
    @kapondamsita476 Před rokem +1

    Sawa mpovizuri kusameheana nijambo laheri

  • @iddybakar1946
    @iddybakar1946 Před rokem +2

    Alikamwe hao wamezoea kuambiwa kaneno kao kale no coment no coment mana unamueleza yy anazid kukuleta kukuleta tu hahahahahaa

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 Před rokem +2

    Kwanini mumlazimishe kuongea kitu alichowahi ongea kaombwa msamaha yameisha nyinyi mnataka aludie yale yale uchonganishi huo mnapenda watu wagombabe kila wakati haifai iyo siyo vizuli

  • @yamhashtheone8596
    @yamhashtheone8596 Před rokem

    Dívà mbàyà wéwé tena líbàyà hilí dadà

  • @ericsallu3237
    @ericsallu3237 Před rokem

    Mkwewe huyo 🤣🤣

  • @mohamedswaleh6778
    @mohamedswaleh6778 Před rokem +1

    Mbn uelewi mtu unlazimixha mambo yolopita

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před rokem +1

    Mnafeli wapi?

  • @anthonydcosta926
    @anthonydcosta926 Před rokem +1

    Kweli kosa hukumbuki? au ni uoga ulonayo juu yake

  • @hamismoviemachine0015

    diva ni kuma sana

    • @barikilangoy4737
      @barikilangoy4737 Před rokem

      Kuma la mama mke wako pia msenge ww ukirudia tena natuma nyingine

    • @narrissajackson3869
      @narrissajackson3869 Před rokem +1

      kuna umuhimu gani wa kutukana hivyo. Why utaje viungo ambavyo hata wazazi wako wanavyo. Jitahidi kuongeza hekima

    • @barikilangoy4737
      @barikilangoy4737 Před rokem

      @@narrissajackson3869 Asante Kwa ushauri wako

  • @kelvinpaul6903
    @kelvinpaul6903 Před rokem +1

    Kwan diva wewe shida yako nn ikiwa jambo limemalizika nafikiri hakuna haja yakuendelea kuzungumzia kuendelea kuzungumzia niishara yakuwa halijakwisha

  • @eaglecrown6470
    @eaglecrown6470 Před rokem +1

    Utani wa jadi, utani wa jadi tafsiri yake sahihi sijui ni ipi🤔

  • @goblessjrtz5464
    @goblessjrtz5464 Před rokem

    Lulu Diva kizungu chako ni kwa wa Bongo tu? Mbona ukiwafanyia interview wakenya huwa unaongea kiswahili fasaha sana na huwa hujaribu hata neno Moja la kiingereza😂😂😂

  • @user-cc4pp2kl5z
    @user-cc4pp2kl5z Před rokem

    We dogo yawezekana ulimkosea make uwa unajionaga we ni mjuaj unajiona unajua Kila kitu kumbe wee ni ka tumbli mflaa unataka kujilinganisha na manala ww unawazim ww all

  • @CRMEDIA-yd7dp
    @CRMEDIA-yd7dp Před rokem +2

    manina wabongo bana English nying kuliko kiswahili hahahahaha interview na kibongo n vichekesho

  • @ibrackibrahim6909
    @ibrackibrahim6909 Před rokem

    Mtangazaji mpumbavu kabisa

  • @kizzstarnly1302
    @kizzstarnly1302 Před rokem +9

    Kinachokera ni hivyo viengereza vyenu vya Kijinga. 🙄

  • @tinuhamisi4037
    @tinuhamisi4037 Před rokem

    Kubali ulimkosea bana alafu ukubal msamahaa

  • @mohamedswaleh6778
    @mohamedswaleh6778 Před rokem

    Alf divs ww mchonganish xn

  • @happynjukiz6495
    @happynjukiz6495 Před rokem

    wewe dogo unapata wapi powerful ya kumsema mtu na familia yake aliye kusaidia nilikuwa nakuona WA maana kijana unae kuelewa kumbe kitumbua tu

  • @anthonydcosta926
    @anthonydcosta926 Před rokem +2

    Lah inamaana wa muslim tu NDO wanasamehana?

    • @Shima_letty
      @Shima_letty Před rokem

      Ety jmnii 🤣🤣

    • @annamosha968
      @annamosha968 Před rokem +1

      Tusaidiane kushangaa!!!!

    • @staminahothman4574
      @staminahothman4574 Před rokem

      kila mtu anazingumzia imani yake yy amezungumza kama Muslim so kama na dini yako inaruhusu kusamehe samehe pia

    • @saliminyusuph6122
      @saliminyusuph6122 Před 5 měsíci

      Imani ya kusamehe NI Uislam peke yake. Utake usitake.

  • @papaadialoo
    @papaadialoo Před rokem +1

    Swali zuri jee ulimkosea?jibu lililotakiwa nilimkosea anisamehe, Kila mwenye akili timamu anaelewa ulimkosea

  • @petermando917
    @petermando917 Před rokem +2

    Iv mko ulaya fakini nyie

  • @siphaholelaholela6956

    Kwenda zako pumbavu hatukutakinafiki wewe

  • @mtutulaclassic6207
    @mtutulaclassic6207 Před rokem

    Acha uoga dogo

  • @abdullaabdulla7039
    @abdullaabdulla7039 Před rokem

    Wewe malaya Diva unajifanya kingereza sana. Kuma la mamayako na unafirwa na wazungu

    • @hijazhija316
      @hijazhija316 Před rokem +1

      Innaalillaahi wainnaa ilayhi raajiuun

    • @mahmoudukusso4488
      @mahmoudukusso4488 Před rokem +2

      Punguza munkari ndugu yangu uislamu hauruhusu dhana

    • @hijazhija316
      @hijazhija316 Před rokem

      Abdullah.."mja wa Allah"..umebeba jina zito sana while kitabia ndo ivo

  • @ericsallu3237
    @ericsallu3237 Před rokem

    Mkwewe huyo 🤣🤣