Hii jmn nikweli dada mm nilienda balozi ya German kuomba visa ya matembezi wakaniuliza utaki kazi German kumbe maana kuna kazi uko jmn twendeni ukitaka kuja nje kialali nendeni ubalozi sio wachoyo wa fursa
Yani matapeli ni wengi na wanasajili lampuni kila siku ,tatizo watanzania wanapenda kufanyiwa kila kitu, mpenzi utafuiwe kazi utafutwe, bado kulishwa tu
Kufanya maimbi ya Chuo yamerahisishwa sana na vyuo, kila kitu kiko kwenye mtandao wa chuo na email za wahusika wa chuo zinnakuwepo hapo ukiwatumia email wanakupa maelekezo yote kuanzia maelekezo ya chuo, accomodations, watakueleza document za kuandaa kwenda nazo kwenye ubalozi husika, sielewi kwa nini ukampe pesa mtu akufanyie wakati maelekezo yote unayapata moja kwa moja kutoka chuo husika
Da shena habari yako? Kumradhi, kama utaona ujumbe huu nlikua natafuta ile interview ya yule dada aliyeibiwa paspoort yake Ugiriki. Kisha akakaa jela kwa muda kidogo. Kama utapata muda naomba LINK ya hio interview maana nimeitafuta sijaipata.....shukran sana
Watu wengi hawajuwi nini viza wanajuwa ni km kitu cha kughushi viza prosses zake mtu anaweza kukusaidia tu kuomba lkn hana uwezo wa kukupa viza kuhusu kazi nje ya nchi hasa ulaya na Marekani pia hakuna ajent anayeweza kupa kazi kazi hazitolewi na ajent ni vizuri kwanza tusome kwanza nini viza inapatikana vipi na vipi kazi nje ya nchi zinapatikana ukisoma hutotapeliwa
Kinachomiuma ni kwa waliotapeliwa kuomba msaada kwa Raisi, hivi jambo kama hilo ni la kumuitisha Raisi wa nchi? Acheni hizo WaTanzania wenzangu kuna Polisi, kuna Mkuu wa kituo cha Polisi kuna Mkuu wa Wilaya, kuna wanahabari, fikisheni kwenye vyombo husika, hiyo ni kesi ya utapeli
Bora wanetapeliwa maana kama hutaki kujishughulisha kufanya utafiti wa huko unakotaka kwenda basi hata huko unakoenda ungefeli kutokana na tabia ya kupenda kufanyiwa, tumieni muda huo kujifunza utaratibu wa kwenda ughaibuni
Wa Tanzania wengi kinacho wasumbua ni uvivu hawapendi kujisumbua ku fanya research wana penda kufanyiwa kilakitu……..yan mtz yupo radhi akupe pesa akae kusubir unakuja kumkabidhi documents ya alichokutuma umfanyie wataibiwa sana.
Nenda balozi husika, wanatoa taarifa bure kabisa au tembelea kurasa za balozi pia
Hii jmn nikweli dada mm nilienda balozi ya German kuomba visa ya matembezi wakaniuliza utaki kazi German kumbe maana kuna kazi uko jmn twendeni ukitaka kuja nje kialali nendeni ubalozi sio wachoyo wa fursa
@@RosemaryKidiro-wz3uxilikuaje dada kazi ulipata?
This is how you become an asset to the society unatatua mambo magumu tendo la kishuja ujenga mashuja dada
Keep up the good work
Mhuuuu Mungu niongoze nisiwena kiu ya kupeleka kijana wangu amina
Duh B😳 Tuombe sana Mungu atukutanishe na watu sahii,God bless you shena ❤
Kweli dada mungu akubariki kwa Imani Yako dada
Dada hiyo nayo sio mchezo Asante kwa taarifa
Yani matapeli ni wengi na wanasajili lampuni kila siku ,tatizo watanzania wanapenda kufanyiwa kila kitu, mpenzi utafuiwe kazi utafutwe, bado kulishwa tu
Hii umesema
Umeeleza vyema sana, agents wa kupromise mambo makubwa hivi kweli ni utapeli
Hebu msimbebeshe majukumu yenu mh. Raisi.
Kufanya maimbi ya Chuo yamerahisishwa sana na vyuo, kila kitu kiko kwenye mtandao wa chuo na email za wahusika wa chuo zinnakuwepo hapo ukiwatumia email wanakupa maelekezo yote kuanzia maelekezo ya chuo, accomodations, watakueleza document za kuandaa kwenda nazo kwenye ubalozi husika, sielewi kwa nini ukampe pesa mtu akufanyie wakati maelekezo yote unayapata moja kwa moja kutoka chuo husika
Umeeleza vizuri kabisa
Da shena habari yako? Kumradhi, kama utaona ujumbe huu nlikua natafuta ile interview ya yule dada aliyeibiwa paspoort yake Ugiriki. Kisha akakaa jela kwa muda kidogo. Kama utapata muda naomba LINK ya hio interview maana nimeitafuta sijaipata.....shukran sana
Utapeli upo hata kenya yetu kwanza ndio zaidi
Duh hii ni kweli kabisa
Very educative. Thank you
🙏
Watu wengi hawajuwi nini viza wanajuwa ni km kitu cha kughushi viza prosses zake mtu anaweza kukusaidia tu kuomba lkn hana uwezo wa kukupa viza kuhusu kazi nje ya nchi hasa ulaya na Marekani pia hakuna ajent anayeweza kupa kazi kazi hazitolewi na ajent ni vizuri kwanza tusome kwanza nini viza inapatikana vipi na vipi kazi nje ya nchi zinapatikana ukisoma hutotapeliwa
Well said
Kinachomiuma ni kwa waliotapeliwa kuomba msaada kwa Raisi, hivi jambo kama hilo ni la kumuitisha Raisi wa nchi? Acheni hizo WaTanzania wenzangu kuna Polisi, kuna Mkuu wa kituo cha Polisi kuna Mkuu wa Wilaya, kuna wanahabari, fikisheni kwenye vyombo husika, hiyo ni kesi ya utapeli
Duuuu hapa kazi ikoo hallooo 😮
Sana
Juzi tuu nimeona wamama wanalalamika mkenya kaqa tapeli mabilioni et anawatafutia kazi ulaya pamoja na vyuo na frusa A biashara
Inasikitisha sana
Bora wanetapeliwa maana kama hutaki kujishughulisha kufanya utafiti wa huko unakotaka kwenda basi hata huko unakoenda ungefeli kutokana na tabia ya kupenda kufanyiwa, tumieni muda huo kujifunza utaratibu wa kwenda ughaibuni
Kujifunza ni muhimu sana
Kujifunza kwetu tz shidaaa kila kitu kipo online
Wa Tanzania wengi kinacho wasumbua ni uvivu hawapendi kujisumbua ku fanya research wana penda kufanyiwa kilakitu……..yan mtz yupo radhi akupe pesa akae kusubir unakuja kumkabidhi documents ya alichokutuma umfanyie wataibiwa sana.
Kweli usemayo
Ni mfumo wa shule pia mtu yupo form 6 anafanyiwa maombi ya chuo na mjomba