UTAPELI WA KUTAFUTIWA KAZI ULAYA NA KWENDA ULAYA KIMASOMO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 09. 2024

Komentáře • 34

  • @OfficialDatingAssistance
    @OfficialDatingAssistance  Před 3 měsíci +1

    Nenda balozi husika, wanatoa taarifa bure kabisa au tembelea kurasa za balozi pia

    • @RosemaryKidiro-wz3ux
      @RosemaryKidiro-wz3ux Před 3 měsíci

      Hii jmn nikweli dada mm nilienda balozi ya German kuomba visa ya matembezi wakaniuliza utaki kazi German kumbe maana kuna kazi uko jmn twendeni ukitaka kuja nje kialali nendeni ubalozi sio wachoyo wa fursa

    • @agnessmbuya7490
      @agnessmbuya7490 Před 3 měsíci

      ​@@RosemaryKidiro-wz3uxilikuaje dada kazi ulipata?

  • @user-zr5mk4ud8j
    @user-zr5mk4ud8j Před 3 měsíci +3

    This is how you become an asset to the society unatatua mambo magumu tendo la kishuja ujenga mashuja dada
    Keep up the good work

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 Před 3 měsíci +1

    Mhuuuu Mungu niongoze nisiwena kiu ya kupeleka kijana wangu amina

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Před 3 měsíci

    Duh B😳 Tuombe sana Mungu atukutanishe na watu sahii,God bless you shena ❤

  • @user-fb4gg1me7f
    @user-fb4gg1me7f Před 3 měsíci

    Kweli dada mungu akubariki kwa Imani Yako dada

  • @willsonsamwel1158
    @willsonsamwel1158 Před 3 měsíci

    Dada hiyo nayo sio mchezo Asante kwa taarifa

  • @zidatv1122
    @zidatv1122 Před 3 měsíci +4

    Yani matapeli ni wengi na wanasajili lampuni kila siku ,tatizo watanzania wanapenda kufanyiwa kila kitu, mpenzi utafuiwe kazi utafutwe, bado kulishwa tu

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 Před 3 měsíci

    Umeeleza vyema sana, agents wa kupromise mambo makubwa hivi kweli ni utapeli

  • @stonetown578
    @stonetown578 Před 3 měsíci +2

    Hebu msimbebeshe majukumu yenu mh. Raisi.

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 Před 3 měsíci +2

    Kufanya maimbi ya Chuo yamerahisishwa sana na vyuo, kila kitu kiko kwenye mtandao wa chuo na email za wahusika wa chuo zinnakuwepo hapo ukiwatumia email wanakupa maelekezo yote kuanzia maelekezo ya chuo, accomodations, watakueleza document za kuandaa kwenda nazo kwenye ubalozi husika, sielewi kwa nini ukampe pesa mtu akufanyie wakati maelekezo yote unayapata moja kwa moja kutoka chuo husika

  • @maryamkhamfar4029
    @maryamkhamfar4029 Před 3 měsíci +1

    Da shena habari yako? Kumradhi, kama utaona ujumbe huu nlikua natafuta ile interview ya yule dada aliyeibiwa paspoort yake Ugiriki. Kisha akakaa jela kwa muda kidogo. Kama utapata muda naomba LINK ya hio interview maana nimeitafuta sijaipata.....shukran sana

  • @miriamnjoki8452
    @miriamnjoki8452 Před 3 měsíci

    Utapeli upo hata kenya yetu kwanza ndio zaidi

  • @Jehufamily
    @Jehufamily Před 3 měsíci

    Duh hii ni kweli kabisa

  • @mmarycalvin6395
    @mmarycalvin6395 Před 3 měsíci +1

    Very educative. Thank you

  • @AbdullahOmar-be4wy
    @AbdullahOmar-be4wy Před 3 měsíci +1

    Watu wengi hawajuwi nini viza wanajuwa ni km kitu cha kughushi viza prosses zake mtu anaweza kukusaidia tu kuomba lkn hana uwezo wa kukupa viza kuhusu kazi nje ya nchi hasa ulaya na Marekani pia hakuna ajent anayeweza kupa kazi kazi hazitolewi na ajent ni vizuri kwanza tusome kwanza nini viza inapatikana vipi na vipi kazi nje ya nchi zinapatikana ukisoma hutotapeliwa

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 Před 3 měsíci +1

    Kinachomiuma ni kwa waliotapeliwa kuomba msaada kwa Raisi, hivi jambo kama hilo ni la kumuitisha Raisi wa nchi? Acheni hizo WaTanzania wenzangu kuna Polisi, kuna Mkuu wa kituo cha Polisi kuna Mkuu wa Wilaya, kuna wanahabari, fikisheni kwenye vyombo husika, hiyo ni kesi ya utapeli

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 Před 3 měsíci +1

    Duuuu hapa kazi ikoo hallooo 😮

  • @zidatv1122
    @zidatv1122 Před 3 měsíci +1

    Juzi tuu nimeona wamama wanalalamika mkenya kaqa tapeli mabilioni et anawatafutia kazi ulaya pamoja na vyuo na frusa A biashara

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 Před 3 měsíci +1

    Bora wanetapeliwa maana kama hutaki kujishughulisha kufanya utafiti wa huko unakotaka kwenda basi hata huko unakoenda ungefeli kutokana na tabia ya kupenda kufanyiwa, tumieni muda huo kujifunza utaratibu wa kwenda ughaibuni

  • @sund2553
    @sund2553 Před 3 měsíci

    Wa Tanzania wengi kinacho wasumbua ni uvivu hawapendi kujisumbua ku fanya research wana penda kufanyiwa kilakitu……..yan mtz yupo radhi akupe pesa akae kusubir unakuja kumkabidhi documents ya alichokutuma umfanyie wataibiwa sana.