Ni miaka 3 ya MATESO, Mama wa Binti aliyeingia kwenye MADAWA afunguka MAZITO, ajuta kumpeleka ULAYA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 09. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Komentáře • 274

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 Před měsícem +47

    Pole mama kweli kwenye malez hakuna mjanja ni Mungu ni Mungu ,ndiye anayetulindia watoto wetu na kuwaongoza ,pole Mungu nimwema

  • @laoiyadi1176
    @laoiyadi1176 Před měsícem +46

    Huyu ni mama bora kabisa ❤️ Hadi nimetamani Ningekuwa na wazazi wangu pia wanipe moyo kwenye magumu yangu lakin MUNGU Hukutaka😢 angalia mama huyu Kupambana kumponya mwanae dah hakika MUNGU Akubariki mziza wewe🙏Nimekupenda bure

    • @EstarMichael
      @EstarMichael Před 29 dny

      Nimelia kwasababu yahuyu mama..sijawahi ona upendo kamahuu❤❤❤❤❤

    • @EstarMichael
      @EstarMichael Před 29 dny

      MUNGU akubariki wewe mama na wewe mtoto acha kujiendekeza maisha niyako..ole wako ungepata wazazi wangu ungejua hujui

    • @glammummy
      @glammummy Před 26 dny

      kwakweli😢

    • @johnjohn8112
      @johnjohn8112 Před 5 dny

      Sending you love and lights.

    • @laoiyadi1176
      @laoiyadi1176 Před 5 dny

      @@johnjohn8112 Asante sana 🙏

  • @asterialucas4680
    @asterialucas4680 Před 25 dny +9

    Mama Joleen umeniliza,I want to give such kind of love and support to my kids and loved ones.

  • @halifamkindi2102
    @halifamkindi2102 Před měsícem +36

    Hakuna kama mama❤

  • @sleeprelaxation8431
    @sleeprelaxation8431 Před měsícem +11

    Leen na mataizo yake yote Mungu alimpa wazazi ambao alijua wata mtunza, watavuka huo mtiani. Hongera kwa familia nzima. Leen stay blessed.

  • @mushtaqakram9843
    @mushtaqakram9843 Před měsícem +24

    Safi sana ayo ndio mambo ya kuwainyesha watanzania sio kama tv online zingine kila kukicha mambo ya kipumbavu tu yasiyokuwa na maadili

  • @MellanieKay
    @MellanieKay Před měsícem +13

    Wow! What a patient, God fearing, intelligent and wise mother. Congratulations to the whole family.

  • @user-wk1ix1gm1p
    @user-wk1ix1gm1p Před 29 dny +12

    Huyu mama ni mama wa mfano kwa wamama wote , mtt akinyea mkono haukatwi bali unaoshwa , yaan mama muelewa sana na mkarimu sana , nimekupenda sana mama

  • @ireneshao7950
    @ireneshao7950 Před měsícem +22

    Huyu Binti ni mzuri mno Mungu azidi kukutunza wewe na mama❤

  • @shamsaseiph3270
    @shamsaseiph3270 Před měsícem +20

    Mungu atulindie hiz familia zetu na hili janga la madawa

  • @chikusangalala7759
    @chikusangalala7759 Před měsícem +19

    Du pore sana mama wewe ni mama bora yani mama kama nyinyi wachache❤❤❤

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 Před 21 dnem +4

    Asante sana Mama umeongea kwa uwazi mkubwa kabisa bila kuficha wazazi wasikie na kujifunza, pole sana Mama na Asante sana kwa kuwa wazi

  • @user-xn8jh1yw1h
    @user-xn8jh1yw1h Před 28 dny +5

    Poleni sana. Jitahidini sana yule kijana asipate tena mwanya wa kufahamu mienendo ya Binti. Mwenyezi Mungu na amtangulie kila aendapo.

  • @Mamshika
    @Mamshika Před měsícem +17

    Mama cute 😍 sana

  • @mam_salum
    @mam_salum Před měsícem +19

    Allah atunusuru kwa vizazi vyetu

  • @tunkuh661
    @tunkuh661 Před 29 dny +20

    Rejea kipindi cha Veronika Frank wa EFM simulizi ya Elibariki kuna vijana huko duniani wanawawinda sana hasa watoto ambao wanaonekana kutoka kwenye familia bora na kuwaingiza mtegoni hasa wa mapenzi ili wanufaike kupitia wazazi wao.
    Na hili limekuwa rahisi kwao kuingia mtegoni kutokana na life style waliyokuzwa hao watoto wengi wanakuwa isolated na maisha halisi ya huku duniani so wanajikuta hawajui vitu vingi kuhusu watu na changamoto zao.
    Japokuwa kuna mazingira pia ya umasikini yanaweza pelekea mtoto kujikuta ktk harakati za kutaka kujifunza namna ya kujipa raha au kuondokana na frustration akajikuta mrahibu
    But all in all hakuna fundi wa malezi ni Mungu tu utupa neema yake

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 Před měsícem +7

    Poleni sana
    Mungu amsaidie huyo dada
    Akae karibu na Mungu na aendelee kutumia dawa na aendelee kupata ushauri
    Nimeskitika sana huyo ni kijana nguvu kazi ya Taifa

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 Před měsícem +29

    Uyu ni mama bora sio bora mama❤

  • @mcdericktv7298
    @mcdericktv7298 Před 26 dny +3

    Mama acha aitwe Mama...Japo sehem kubwa uwezo wa kiuchumi umefanya mpaka arudi katika hari nzuri laki yote yamewezekana sababu ya upendo wa Mama. Hongereni SnS

  • @evandoje1791
    @evandoje1791 Před měsícem +6

    Pole Sana aunt yangu, hakika mungu amekutendea na kumvusha binam yangu kwenye kipindi kigumu, kweli aliteseka kumbe, sifa na utukufu tunamrudishia mungu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Před měsícem +5

    Nani kama mama❤❤❤❤❤ hongeraa mama kwa. Kumkombowaa. Binti kutoka utumwani wa madawa ya kulevya .

  • @user-th9nc2om2x
    @user-th9nc2om2x Před měsícem +4

    Mpendwa wangu wengi tumepitia mtihani huo ni ngumu kuelezeka. God bless you for your motherly support. Wengi wasio experience hayo watakutukana na kukuona mzazi mmbaya au unadekeza mtoto

  • @rosengandile129
    @rosengandile129 Před měsícem +10

    Interview nzuri sana nakukubali sana esco

  • @gloria5990
    @gloria5990 Před 23 dny +2

    What a testimony!! The Lord is with your family. Much respect! 🙏

  • @Zapata88
    @Zapata88 Před 20 dny +2

    Kweli hakuna kama mama Dunian...Kumbe ningekua nae pia yasingenikuta au ningepona mapema labda. Mungu ni mwema niko sawa na ni baba wa familia japo I miss my mom.
    Huyu mama ni mempenda bule na mwanae plus their chemistry na Usiumize mama yako tena mtoto wa kike.
    Pole xana kwa wanao pitia wakati mgumu kama tuliopitia.
    Love from thousand hills 🇷🇼

  • @generosennko8343
    @generosennko8343 Před měsícem +2

    Mama you are our hero for not giving up. Asante kwa kusimama kiimani na practical way ili binti atoke alikokuwa ameingia. Darasa jema sana hili kwa taifa. Asante ndugu mtangazaji kwa kuielimisha jamii. Unastahili maua yako.

  • @user-qs7lj7kj1k
    @user-qs7lj7kj1k Před měsícem +9

    Uyu mama apewe🌹🌹🌹🌹🌹

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq Před 21 dnem +2

    Mama hii ni sinema kubwa sana.
    Mungu ana kupenda sana.
    Dua zako mungu amekusikia.

  • @happynganda2521
    @happynganda2521 Před 28 dny +3

    Nimempenda sana huyu mama amejitaidi sana🥹🥹na Mungu ndio kila kitu tumtangulize yeye wapendwa🙏🏾

  • @mzelusdiary4876
    @mzelusdiary4876 Před 28 dny +3

    Joleen, hongera sanaa lakini pia your mom is a star. Lots of love to your mom

  • @teddyhenry2579
    @teddyhenry2579 Před 29 dny +3

    Mama yani wewe ni shujaaa hongera sana dada angu na pole kwa changamoto zote hizo Mwenyezi Mungu atamvusha salama

  • @gladnessfinda7534
    @gladnessfinda7534 Před 28 dny +3

    Wazazi poleni na Mungu awe kiongozi wa maisha yetu yote.🙏🙏🙏

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Před 29 dny +1

    Hongera sana mama kwa moyo wa upendo uloonyesha, hakika mwenyezi mungu akutunze mama na akujalie maisha marefu. Ameen 🤲.

  • @JasmineSebe
    @JasmineSebe Před měsícem +13

    Malezi bila kumshirikisha Mungu ni kazi bure

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 11 dny +1

      Lakini mama amesema alikuwa anafunga na kuomba ungetaka amshirikishe Mungu kiasi gani? Ni bahati Mungu akujibu maombi yako kwa haraka ni kumshukuru Mungu amepona na yuko salama.

  • @ngwacahnyagwaswa9979
    @ngwacahnyagwaswa9979 Před 28 dny +7

    Duuuhh!! i wish ningepata nafasi kama hii she's so lucky to have a mum like her

  • @judithisaya016
    @judithisaya016 Před 29 dny +1

    Pole sana mama Joyline na wewe ni mama bora.Joyline mshike sana Mungu na mshukuru sana kwa zawadi ya wazazi wako wenye hekima na upendo aliokupa.Sasa fanya matengenezo halisi, toa hizo tatuu mwanangu na uwe na wingi wa sala.Bado wewe ni mdogo kutengeneza maisha yako ya baadae.

  • @claudia1500
    @claudia1500 Před měsícem +4

    Its okey fot her to get a second chance! She can! Her future is still bright!mama endelea kumback up,Mungu amsaidie

  • @DpN-rk8xz
    @DpN-rk8xz Před měsícem +7

    Pole sana MAMA kwa kweli kwa ujasiri Mungu hawabariki wasimamia kwa kweli

  • @user-ov5xc2sy3q
    @user-ov5xc2sy3q Před 27 dny +1

    You're so pretty girl you don't deserve that game Allah akupe nguvu zoote. Proud of you ❤

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e Před měsícem +15

    Wanasema kila siku nani kama mama hakuna

  • @jasminmdimi6059
    @jasminmdimi6059 Před měsícem +5

    Poleni kwa mliopitia mungu ni mwema

  • @skeetergodwins2576
    @skeetergodwins2576 Před 29 dny +1

    Mama Bora sana. Wewe ni mfano wa kuigwa. Hongera sana sana Binti yetu kwa kuvuka huo mtihani

  • @user-mr7gl5ox6u
    @user-mr7gl5ox6u Před měsícem +5

    Mungu azidi kukubariki na kukuongoza

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 Před 29 dny +4

    Always mama ni mama❤

  • @geraldmanoti1716
    @geraldmanoti1716 Před 28 dny +1

    Pole Sana mama,Mama Bikra Maria aliingiliakati changamoto Yako, kilichokusaidia nikufunga naksali, pia naelim nauwezo wakifedha. pole Sana Mama.

  • @anastazia3014
    @anastazia3014 Před měsícem +6

    😢pole mama

  • @yusrashabani-bi6ki
    @yusrashabani-bi6ki Před 27 dny +2

    Mungu awatunze mama zetu❤

  • @mushtaqakram9843
    @mushtaqakram9843 Před měsícem +4

    Na hongera nyingi sana kwa mama

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Před měsícem +4

    Mmmmmh huyu mama anaakili nyingi Sana mtoto kapotezwa..na marafiki.

  • @KhayratMhina
    @KhayratMhina Před 29 dny +12

    M2 amesoma sana na amekaanje miaka kibao lakini kiswahili kimenyooka... kuna wale wenzangu namimi sasa... kizungu sana kiswahili wanajifanya wanaunga unga😂😂😂😂😂

    • @user-ky5wu4gc9g
      @user-ky5wu4gc9g Před 14 dny

      Kweli kabisa utasikia okay okay okay!

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 Před 11 dny

      ​@@user-ky5wu4gc9g Ungemsikia sasa Bhoke yulee mtangazaji Eatv utasema ni mzungu anajifunza kiswahili yaani kichefuchefu

    • @jescarwegoshola1754
      @jescarwegoshola1754 Před 10 dny

      😂😂,acha kabisa,

  • @KissaMwaibila-xp7io
    @KissaMwaibila-xp7io Před měsícem +4

    Groly to god

  • @thesimzfamily7961
    @thesimzfamily7961 Před 6 dny

    Aisee pole mama Mungu aendelee kuwashindia jolli damu ya Yesu iendelee kukuponya na kukufungua

  • @FelisterNampoka
    @FelisterNampoka Před 29 dny +1

    Good interview ya sns, love mama

  • @MILK52899
    @MILK52899 Před měsícem +8

    Hutu mama hatari amesoma Math physics ❤

  • @sophiasophia9713
    @sophiasophia9713 Před 28 dny

    Best mom ever, well done mama, ubarikiwe.

  • @mariej6962
    @mariej6962 Před 16 dny +1

    Safari bado ni ndefu. Mungu amsaidie asirelapse. All in all, mama ni kila kitu duniani. Ameongea jambo kubwa sana kuhusu private rehab centers, kwamba kule wanaendelea kupewa hayo madawa, so hakutakuwa na ahueni. Nadhani hizo facilities zimekaa kibiashara zaidi lakini hawana uwezo wa kumsaidia muhanga.

  • @MwitaNchagwa
    @MwitaNchagwa Před 28 dny

    Pole sana rafiki yangu utakuwa vizuri pole mumy kwa kumpigania .mwanao mpendwa ulimepigana mno. Hawa watoto marafiko zangu na ni daktari wao

  • @AminaShabani-ej7so
    @AminaShabani-ej7so Před měsícem +8

    Imagine hii kitu inamkuta mwanao na Huna pesa

  • @zerochanneltanzania3797
    @zerochanneltanzania3797 Před měsícem +2

    God bless u

  • @user-ds5tf9xx1d
    @user-ds5tf9xx1d Před 29 dny +1

    Pole mama na ongera sn kwa kweli ❤❤

  • @user-wk1ix1gm1p
    @user-wk1ix1gm1p Před 29 dny +2

    Wamama kama hawa mungu aendelee kutuletea maana wamepungua , mungu baba tengeneza wanawake sisi tuwe kama huyu mama😢

  • @maxwellking9399
    @maxwellking9399 Před 27 dny +1

    As Christian family you guys should find a strong (Spiritual) man of God with strong anointing and seek a truly deliverance. Secondly, find and start attending live holy spirit ministry / church for a prayer and long term spiritual growth.

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Před měsícem +12

    Hakuna kama mama😢

  • @reney95
    @reney95 Před 28 dny

    Mungu aliekuponya ana kusudi na wewe. Let your purpose touch billions ❤❤❤

  • @gilliardgodfriend5745
    @gilliardgodfriend5745 Před 29 dny +1

    Hongera sana mana
    Elimu ni silaha kubwa saba ktk maisha ingekua huku mtaani hovyo huyu ni kibaka mzoefu😢😢

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 Před 20 dny +1

    Uyu mama mashaallah ❤

  • @nadineshimirimana7483
    @nadineshimirimana7483 Před měsícem +8

    wa nigeria wa baya sana hao wanajulikana Ulaya nzima kwa madawa ya kulevya.. duhh pole dada.

    • @Mina.15
      @Mina.15 Před 28 dny

      You sound slow 🤪she’s old enough to know wrong and right

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 Před 21 dnem +1

      Wanigeria ni wabaya sana wengi wao wako ulaya kwa njia zisizo halali na wajanja wa kurubuni vijana wadogo wanaoenda kusoma bila kujua anamfata kijana kama mpenzi kumbe ndio anamchota kumuweka kama kitega uchumi anajua kijana aliye ulaya Ana wazazi wenye pesa huko Africa, atamuingiza kwenye madawa ya kulevya akishakolea na kuharibikiwa anaenda kwa mwingine

    • @hamidawamba
      @hamidawamba Před 12 dny

      @@Mina.15kasikilize interview yake mpk kufikia hapo sio unaropoka bwege wew

  • @Marzzzzzz20
    @Marzzzzzz20 Před 28 dny

    Duuuhh! The best Interview! Pole sana mama na Jolin

  • @salumft661
    @salumft661 Před měsícem +5

    Wasimpeleke tena njee atarudia tu huyu.. miezi 4 bado kidogo kuzoea kuacha

  • @AsdDsa-fi5qk
    @AsdDsa-fi5qk Před měsícem +7

    Duh namlea mama yangu mungu aninusuru sijawah kutumia kliev chochote

  • @user-gn7xd1yg3t
    @user-gn7xd1yg3t Před měsícem +5

    Ila jamani mama ni mama kwanin hakija kustate baba apa!!? Nimefurahi maelezo ya mama.

  • @MILK52899
    @MILK52899 Před měsícem +5

    Math physics nilisoma hizo hakuna kitu kigumu ila kuna vitu vya ma familia na sisi ni watu wa math physics hesabu kwetu ❤

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 Před 8 dny

    Mungu ni mwema mama ubarikiwe sana

  • @zenadaudzena2849
    @zenadaudzena2849 Před 29 dny +3

    Mama mwenye adabu zake kaamkiwa kaitika vizuri marahaba mwanangu hujambo hadi raha

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před měsícem +5

    Mungu amuonekanie.
    Mtafute Ray C labda atakupa ushauri

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 Před měsícem +7

    Kuwa mwema ,uamzi unaanza na yeye bnafsi,,,bila hivo ,,hata iwaje

  • @eliasaNgahehwa-l2f
    @eliasaNgahehwa-l2f Před měsícem +6

    Wakishua

  • @alphamgimba7125
    @alphamgimba7125 Před 28 dny +1

    Dah mungu azid kukubariki zaid leen

  • @tunkuh661
    @tunkuh661 Před 29 dny +1

    Nakuelewa dada angu pole sana na hayo mimi nimeonja taabu ya hii kitu for 5yrs kwa mdogo wangu, yeye shida ilikuwa bangi na pombe, nimempeleka sober 2times. Isee asikuambie mtu kudeal na watu wa hivi ni ngumu frustration na stress ni za kutosha.
    Binti Mungu akukumbuke usirudi nyuma kule kunatisha kama nini.

    • @theresiambunga4353
      @theresiambunga4353 Před 29 dny

      Uwiii pole amepona ulifanyaje nami nina muhanga wa pombe aisee ni mtihani

    • @tunkuh661
      @tunkuh661 Před 28 dny

      @@theresiambunga4353 Yeah Mungu mwema tulitumia madawa ya hospital na counselling sasa hivi ana nafuu kubwa sana sema akinywa tu anaharibu japo hanywi mara kwa mara

    • @roiyajuma9709
      @roiyajuma9709 Před 27 dny

      @@tunkuh661 pole sana

  • @KefaKitutu-wd8wj
    @KefaKitutu-wd8wj Před 14 dny

    Amazing mother

  • @sarahadam4535
    @sarahadam4535 Před 4 dny

    Mama amehandle vizuri majanga alopitia..hapo kwenye kupona sijui ila bado mapema kutoa tamko..nje ya ya nchi sawa ataenda ila isiwe kwa sasa uuwii..malezi ya kudekeza na uhuru ukizidi una madhara yake..mungu akusimamie joyleen

  • @maimunaathumani9121
    @maimunaathumani9121 Před měsícem +2

    Pole mama

  • @Byme6434
    @Byme6434 Před 28 dny +2

    Nimempenda Mama Alivyosema Kitaelewa Daaaah Love you My Mom Forever And Ever 💋💋💋♥️

  • @hosanamsuha4424
    @hosanamsuha4424 Před 23 dny

    Mama ni mama jamani she’s so strong ❤

  • @IssaAbdallah-z7h
    @IssaAbdallah-z7h Před měsícem +3

    Pole San 😢

  • @lilianwaflotina1288
    @lilianwaflotina1288 Před měsícem +7

    Nani kama mama 😢

  • @claratemba44
    @claratemba44 Před 22 dny +1

    Mama unatufundisha sana

  • @victoriamazula5592
    @victoriamazula5592 Před 28 dny

    What a beautiful girl. ❤

  • @DarKopo
    @DarKopo Před 23 dny

    Mama Mungu akubariki mama naamini Joyleeen atakuwa sawa kbsaaaa

  • @miriammhina8424
    @miriammhina8424 Před 27 dny

    Pole sana mama! Na hongera umepambana mno wewe ni shujaa

  • @ttss7716
    @ttss7716 Před měsícem +8

    Kwanza hao wanaigeria ni mahasidi sana😢

  • @josephinesisso6598
    @josephinesisso6598 Před 25 dny

    God is good all the time 🙏jmn Mungu tu hakuna kingine tumtumaini yeye❤

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 Před 21 dnem +2

    Wazazi ongeeni na watoto wenu muwafundishe safe dating / mahusiano ya kimapenzi yaliyo salama, topic hii inarukwa na wazazi watakukaripia na shule na usafi na matumizi ya pesa lakini kwenye dating wazazi wanakuacha upambane na hali yako, ndio maana vijana wengi wanatumbukia kwenye mahusiano mabovu, ya kitapeli, ya uongo, ya kunyanyasa kingono, uraibu na mengine mabaya ni sababu hawana elimu ya kuchuja, na hata wakishaingia kwenye mapenzi mabovu hawajafundishwa njia za kujiokoa, kuna mengi ya kujifunza kupitia hii habari, mzazi zungumza na mwanao

  • @AdamTugala
    @AdamTugala Před 29 dny +1

    Lin mm adam mungu akusaidie uliptia magumu sana

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 Před měsícem +3

    Jamani asubiri aanzishe hiyo shughuli yake hapa TANZANIA KWANZA

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 Před měsícem +5

    Hii video nitaisambaza MAANA INAMAFUMZO YA PHD KWA WENGINE

  • @ChadoraMANYENGA
    @ChadoraMANYENGA Před 12 dny

    MUNGU AWAEPUSHE WATOTO WANGU LAKINI LIKITOKEA JARIBU NAOMBA MUNGU ANISAIDIE SANA NIPAMBANE KWAJILI YA WATOTO WANGU AMEEN

  • @NeemaSteven328
    @NeemaSteven328 Před 28 dny

    Pole sana mama. Joelyn MUNGU azidi kukuponya

  • @user-gc2bk4rq9k
    @user-gc2bk4rq9k Před 25 dny

    Kwa kweli interview ni nzuri mnoo hongera...sio wengine kutwa habari za mapenzi.
    Mama hongera Sana wewe ni mama jeshi la kristo.. UBARIKIWE.❤

  • @teddyhenry2579
    @teddyhenry2579 Před 29 dny +3

    Mama mzuri jamani unaongea kwa busara mno