DIAMOND AIBUA SHANGWE mbele YA RAIS SAMIA, APIGA SHOW LIVE
Vložit
- čas přidán 9. 08. 2023
- DIAMOND AIBUA SHANGWE mbele YA RAIS SAMIA, APIGA SHOW LIVE
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Kwa kweri Diamond Platnumz anafanya Nchi yetu inakua na tumaiini 👍👍👍
We unaesema diamond hajui music we uko wapi🔥🔥💥💥🌹
Huna akili imba ww bc unaejuw😂
Diamond platnumz anastahili sanamu ya heshima Tanzania 🇹🇿. Ni mwanamuziki wa kiwango na mchango wa juu kupita wengine Tz kwa muda wote
Utasikia kenge mmoja eti diamond hajui nyoooo
Uyu jama mbunifu kweli big up my guy simbaa 🙏🙏🙏🙏
Chapa kazi baba,usijali jasho ❤❤
Mondi ni hatari sana 😍😍
Oyaa umeuwaa sana mondi🙌🙌🔥🔥🔥
Yani kuna wau wanatamani daimond aangke ila siku diamond akifa ama akiacha mziki hakikisheni mtamkumbuka mana nnauakika mziki nao utakuwa baibai tz
Kumbe anajua live🎉🎉
Ulikuwa ujui
Na Simba lama Simba dangote 🌟🌟🌟🌟💥💥💥💯💯💯
Simba Kama simbaaaaaaa💪💪💪
As an EA i'm proud we have you 🦁🦁🦁
Safi diamond,tulikumiss sana❤❤👍👍
shoo flani ivi mamlaka sana 👐👐👐
Diamond we noma ❤
Wcb 4 life umeuwa diamond piga kaz
This Is what we Africans we want uko live kama burnaboy
wanaotea😂😂 live hawawezi
Acha uongo after wapi mbona roho mbaya
Kali sana simba
Ila Dumy tamu tatizo liwapi shows nyingi mzee unaibia sana
Hi imeenda
Good 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
Bro umetisha san mm mwenye ninafanya kz airtel nimependa san
Amazing
Alikiba Anacheza Tu Chooni Hizo Vocal😂😂😂
😂😂😂😂😂
Mbinguni utapasikia ww
Keki y taifa n kubwa mzee
Diamond anachekelea chooni hizo shows za Ali Kiba.
@@saidabdulkadirmjahid8255 DIAMOND PLATNUMZ NUMBER ONE MUSICIAN IN AFRICA.
Simba ni simba
Simba kama simba
Nimeona mambo yako vzr
Simba mnyamaaaaaa
Diamond papa mobimba bug up simba 🎉🎉🎉🔥🔥👊🏿✊🏿
Nice
piga show mond, wengine huku muziki umeshawashinda wanachambana na wanawake
Yani jamaa kajitaidi ila maboya sasa kila mtu mjuaji
❤❤❤
Simbaaaaaaaaa
🔥🔥🔥
Kwa uyo muda, Mmakonde alikua anajibizana na wanawake mitandaoni, hapo ndipo utapojua Simba na swala😅😅
😂
🎉❤❤
Uyu jamaa ajengewe Sanam kweli kwanza fundi
Kadimond kanajua kuishi na watu akajivungi na pesa zake ingekuwa hizo hela za diamond 😂
Hapo mtetezi wa wanyonge mmh ni big no, anapendwa na weeengi mmh hapo Napo ni big no zaidi ni Chawa wake
❤️❤️💯💯💯💯💯
Kivumbi Leo
Kaua Kwa Wimbo Huo wa Kampeni ya Mwaka 2025
Iyo ni nyimbo auto kwaya
Kwaya iyo cyoni nyimbo apo
Na media people atlsast mngetrim zile sehemu alizoimba vizuri ndo mngepost ila kwa kua hamjui pia music so mmejipostia tu
Huyu jamaa
😂😂😂 yaani ni vituko hana alijualo diamond amejiabisha😂😂
Show yenye hadhi ya ikulu,
❤❤❤❤❤❤
Kama ilivokuwq kwq kanumba na move
Hyo Sio life brand 🤔🤔🤔
Safiii
Huyu mwamba hawamuwez
Hao back ups ni hewa, hamna kitu!!
Kihehe
❤❤❤❤❤ 3:03
Tatizo sauti ndio tatizo ile kwenye redio nai tofauti
Unabalaaaaa ww mond
Simba
Huu wimbo wa kusifu ufungiwe
Huyu kaishiwa hizo nyimbo nizakanisani. Ww umezibadilisha hujakoma Kuiba wimbo za watu ww
SIMBA LA MASIMBA DANGOTE🎉
Msanii
Sauti yangapi hiyo???
Ya 3
😂😂😂😂 Jamani hizo shwage ziko wapi? Mnatuchosha wasafii blaza live aachane nayo bwana
Aloooh😂
@@allenonesmomwebembezi6248 ndugu wasafii wanasifia ujinga🤣
Aachane nazo kwa lipi asingeitwa sasa 😅
Mtoto Wa Kiume Punguza Shobo Utashikwa Tako😂
Vinavyoimbwa ata avieleweki
Show kiwango cha lami kama aliyofanya kaka yake alikiba simba day
Siku Simba akija kula mama zenu ndo mtamkubal
Kiba peke yake naeweza
Jamaa kaimba kihee humo
Sauti mbaayaaa
Huyo akasha shindikana
Umh kuimba hujui achana nayo
Unateseka ukiwa wapi Maana yamekutoka
anasema kweli apo naimba nini wati wote awana shangwe wako kimya utafikili wako musibani
@@tomsijohnihapo wapo viongozi wa nchi sio sehemu ya kupiga makelele
Hakuna kitu live show makelele
Napenda kazi zake ila live show sikilizeni anavyo hema
Anahema kwasababu anaimba na kucheza kwa wakati mmoja kama unaona ni simple bac kunya huku unatembea kama Ng'ombe ndio utanielewa. Muda mwingine acheni chuki za kinafki kumkandia mtu anayezidi kufanikiwa na kukuza muziki wa Tanzania kimataifa
Hujui live show,,hakuna live show utaacha kusikia sound,,live show unaimba unavyotaka tofauti na recording
Humna kitu hapo.
Wew mweny kitu upo wapi
@@LatifaOmari-iw8uq Milton Keynes uk
Mwenzako kashatoa maisha sijui wewe na mb zako za jero 😅 poleeeee
Bado huja mfikia kiba
hujuwi kuimba
Imba we tukuone
Anzisha band ww unayejua
Aseee backvocal hamna kitu kabisa....kwa ukubwa wa diamond na anavyoimba hata haviendani...asee mond nenda vocal training na atleast jua basic ya music...kwa ukubwa ulionao ulitakiwa ujue kuimba live ...kuna muda unaimba off kabisa a backvocals wako off
❤❤❤
Simba Kama simba
❤❤❤❤❤❤
❤❤❤