MANENO ALIYOYASEMA MALAIKA ISRAEL | ALIPOAMBIWA AKATOE ROHO YA MTUME MUHAMMAD |SH: OTHMAN MICHAEL

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 08. 2024

Komentáře • 89

  • @rashidimohamedi7016
    @rashidimohamedi7016 Před 2 lety +8

    Shehe haya mawaidha Bora kabisa sijapata kusikia Allah akupe Jannat Firdaus nasi sote ameen

  • @marwamuhammad5703
    @marwamuhammad5703 Před 2 lety +5

    Yani ulivyotoa hii darsa najiona kama nilikuepo jirani ALLAH akulipe kheri shekh wetu kwa kutufungua. mengi zaidi tumejifunza mengi na kujua utukufu wa qur'an na ukubwa wa ALLAH subhanna wataala na malaika wake pamoja na mtume wetu muhammad S.A.W nimefurahi sana mungu atukutanishe sote peponi kwa huruma wake .allahumma ameen

  • @nepomucenenyandwi5233
    @nepomucenenyandwi5233 Před 2 lety +7

    Uyu mukali sana masha Allahu ilmu nzu mno namkubali kwa ilmu anayo tupatiya kutoka kwa Alla tabark wataaal shukla jazila

  • @suheilahsuheilah4968
    @suheilahsuheilah4968 Před 2 lety +10

    TAKBIRRRR ALLAH AKBAR TUMSWALIENI MTUMI MUHAMMED S.A.W,KWA BARAKA ZAKE ALLAH AUONGOZE UMMATI MUHAMMED S.A.W TUWE NA IKHALS TUWE NA TAKUWALLAH DAIMA TUMSWALIENI MTUME MUHAMMED S.A.W SIKU YA KIYAMA MTUME MUHAMMED S.A.W AKAJIFAKHIR KWA UMATI WAKE TUMEMPENDA NA KUMUAMINI MTUME MUHAMMED S.A.W BILA KUMUONA YA RASULULLAH ALLAH ATUKUTANISHE NA KIPENZI CHETU YA RABBY TENA PEPONI JANATU NAIMM🤲

  • @ramoballawa5783
    @ramoballawa5783 Před rokem

    kumbe hata mawaidha ni bonge moja la kiburudishi bhana nmeinjoy saana♥️♥️🙏🙏

  • @abudoomar8551
    @abudoomar8551 Před 2 lety +5

    Allahu akbar...
    Masha Allah.

  • @alicenirera392
    @alicenirera392 Před rokem

    The best sheikh in the African

  • @radjabumwamedi8641
    @radjabumwamedi8641 Před 4 měsíci

    Allah akujaz kheri sheikh na mwisho mwema

  • @deotv503
    @deotv503 Před 2 lety +3

    Hadithii imenifungua mamboo mengii mashaallah🙏🙏🙏

  • @mamanabdoul4397
    @mamanabdoul4397 Před rokem

    Maa shaa Allah.hadi raha

  • @jaz9974
    @jaz9974 Před 2 lety +2

    Mashaallah mashaallah sheihk allah akuzidishie kila lenye gheir.

  • @ip_header
    @ip_header Před 27 dny +1

    Mashaallah

  • @nepomucenenyandwi5233
    @nepomucenenyandwi5233 Před 2 lety +3

    From burundi tunampata miya kwamiya

  • @salmalaga3132
    @salmalaga3132 Před 2 lety +1

    Mungu akubaliki Sana shehe nimesikia raha Sana illliyochanganyikana nahuzuni kusikia manenohayo mafundisho matamu Sana tatizo mb ningependa kufatilia vipindivyako vyote walioko dar wanakufaidi sana

  • @a.856
    @a.856 Před 2 lety +2

    Jazakallah khayran

  • @ramadhanbakarimtambo2024
    @ramadhanbakarimtambo2024 Před 2 lety +2

    Elimu ni bahari kweli allah kasema kadri siku zinakwenda. Tunaona masheikh na elimu nzuri kabisa

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko Před 2 lety +1

    Mashaallaah mola akuhifadh na mambo ya shar ust othuman

  • @lisauroble31
    @lisauroble31 Před 2 lety +1

    MUngu akupe umri sheghe mawaidha mazur amin

  • @AlbertKimbory-ep4qm
    @AlbertKimbory-ep4qm Před 8 měsíci

    Ahsante she.

  • @halimaisaac9144
    @halimaisaac9144 Před 2 lety +2

    Asc sheikh othman jazakumu llahu qeyra

  • @MasoudAhmad-n2h
    @MasoudAhmad-n2h Před měsícem

    ماشاءالله

  • @samutykuntathebantu8402
    @samutykuntathebantu8402 Před 2 lety +1

    Wacheni bagi Mungu yupi amwombe mtu ambaye angoja kuhukumiwa...mfu duniani wacheni kukufuru na kumwabudu Huyo mwarabu shenziii...

    • @mustayoo
      @mustayoo Před 2 lety

      Inshallah mungu akupe hikma ufahamu uislamu.Allah anisamee mm na ww.

    • @samutykuntathebantu8402
      @samutykuntathebantu8402 Před 2 lety

      @@mustayoo wewe usamehewe wacha ushenzi

  • @hadijaally7770
    @hadijaally7770 Před 2 lety +2

    Mashallah!

  • @omaryteddy62
    @omaryteddy62 Před 2 lety

    Mash Allah

  • @MA-kh2lr
    @MA-kh2lr Před 2 lety +2

    mashallah mashallah mashallah... Allahumma Swali A3laa Muhammad.

  • @husseinkazungu5101
    @husseinkazungu5101 Před 2 lety +1

    MashaAllah shukran sheikh

  • @zumrasaidi6600
    @zumrasaidi6600 Před 2 lety +2

    Masha allh

  • @yusufseifu4967
    @yusufseifu4967 Před 2 lety

    ALLAH akuzidishie kila la kher hapa dunian na Akhera sheikh

  • @saidisiraji6199
    @saidisiraji6199 Před 2 lety

    Mashaa Allah Shekhe Othman tunashukuru sana kwa faida

  • @niassacinema1
    @niassacinema1 Před 2 lety +1

    Masha Allah.

  • @rehemamgunga8854
    @rehemamgunga8854 Před 2 lety +1

    maashallah

  • @adilihassan8455
    @adilihassan8455 Před 2 lety +2

    Subuhannallah!

  • @mwanashamzaramo1763
    @mwanashamzaramo1763 Před 2 lety +1

    ALLAH AKBAR. ....SUBUANALLAH. ...MASHALLAH TABARAKALLAH

  • @ndayushimiyerungarunga8438

    Mansha Allah

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 Před 2 lety +3

    بارك الله فيك
    Allaah akubaarim ، jifunze quran kusoma na kuandika kwa kugusa picha yangu hapo ,Allaah akubali amali zetu

  • @issakawaya8315
    @issakawaya8315 Před 2 lety +1

    Allah abariki

  • @fahadmsophe9192
    @fahadmsophe9192 Před rokem

    Mti wa mkunazi ni wa kweli kabisaa , Katika Science in Astronomy field tunaita The Black Hole, neither anything escape nor entrance in that Black Hole, it’s shape ni Kama hiyo Mkunazi. Waislamu tusome haya mambo yapo kweli kwa Haqq. Fatabaraka Allah ahsanal khaliiqiin.

  • @peacepie2887
    @peacepie2887 Před 2 lety

    Alla akupe umri mref

  • @ashiraftandula4622
    @ashiraftandula4622 Před 2 lety +1

    Allah Akbar

  • @zulficarbacarsuale6877
    @zulficarbacarsuale6877 Před 2 lety +1

    ALLAH AKBAR

  • @ladymuna4945
    @ladymuna4945 Před 2 lety +1

    Shukuran Jazillah

    • @suminabdu6104
      @suminabdu6104 Před 2 lety

      Shukuran Jazira Allah akuzidishiye kilalaheri

  • @sajumahege4903
    @sajumahege4903 Před 2 lety +2

    Umelitoa wapi hilo jina Israel? Achen uzushi

  • @abdallahahmedmmary225
    @abdallahahmedmmary225 Před 2 lety

    Allah akupe tauwfq al,akh an jambo moja apo nikuwa huyo malaika haitwi israel ni malaku l,maut mashaallah

    • @riosteven2406
      @riosteven2406 Před 2 lety +1

      Malakul mauti Ni title jina lake ni Israel Ni kama shaytaan ni title anaitwa ibliis

  • @abdulsaidi7007
    @abdulsaidi7007 Před 2 lety

    Tumsifu MTUME MUHAMMAD

  • @mwanahamisimwinyi1040
    @mwanahamisimwinyi1040 Před 2 lety +1

    mashaAlllah

  • @hashimmohamed3215
    @hashimmohamed3215 Před 2 lety

    Sheikh hapo kwenye mara ambazo sayidna jibreel (as) alikuja kwa mtume Muhammad (saw), wanafunzi tunahitaji ufafanuzi zaidi. Umesema alikuja mara 24,000 itamaanisha alimtokea mtume kwa wastani wa kila siku mara 3 kwa kipindi cha miaka 23 ya utume, labda kama unamaanisha mara 2,400 kwetu italeta maana

  • @leonardharerimana4625
    @leonardharerimana4625 Před 2 lety +1

    Quran 4vrs159 lazima kumwamini Issa kabla ya kufa kwake.
    Quran 43vrs50-59 watu wa muhammad waambiwapo habari za Issa wauliza muhammad mbora ni miungu yetu au yeye Issa?
    Kumbe wafuasi wa muhammad wana miungu.
    Mtafia dhambini msipo mpokea YESU KRISTO MWOKOZI awape kuitwa Watoto wa MUNGU YOHANA 1vrs12

    • @sajumahege4903
      @sajumahege4903 Před 2 lety

      We mgalatia qrn 43:58. Makafiri wamesema: Je! Miungu yetu na Isa, nani bora? Ikiwa yeye yuko Motoni basi sisi na miungu yetu tutakuwa pamoja naye. Hawakupigii mfano huu wewe ila kutafuta ubishi tu, na kushindana kwa maneno, si kwa ajili ya kuitafuta kweli ilivyo. Bali hawa ni watu ambao ni shadidi wa khasama, wamebobea kwa hayo. Tuje huko tukanunue kinyago kilichochongwa pale mwenge kwa laki3 alaf tukiombe shida zetu? Hiyo aya inazungumzia makafiri kama wewe ambaye hapo ulipo una miungu 3, baba mwana na roho ilihali katika uislam Allah ni mmoja tu huyo Issa ni mtume wa Allah tu.

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 Před 2 lety

    Jifinze quran kusoma kuandika gusa picha yang hapo kama hautojali

  • @zenaabdallah3797
    @zenaabdallah3797 Před 2 lety

    TAQBIRI TAQBIRI TAQBIRI

  • @oscarngowi4750
    @oscarngowi4750 Před 2 lety

    YESU achananae kabisa huyo Ni habari nyingine kwa MWAMPOSA waislamu wamejazana na wanaponywa

  • @mwinyimohamed9746
    @mwinyimohamed9746 Před 2 lety

    Hamna Malaaika anaeitwa israel

  • @jolinkimaro9939
    @jolinkimaro9939 Před 2 lety

    hadithi zilizotungwa kwa weledi kwa kweli.

  • @mustayoo
    @mustayoo Před 2 lety

    Hakuna malaika anaitwa israel.tusipoteza waislamu kwa hadith za israeliati.

  • @abraarimages1269
    @abraarimages1269 Před 2 lety

    Swadakta Malaika wa kutoa roho anaitwa Malakul Maut

  • @thomasthomas0212
    @thomasthomas0212 Před 2 lety +1

    Acheni kupotosha na kudanganya watu hizo hadithi zote ni zaungo zilitungwa kwa uongo wa hali juu, muhammad hakuwahi kuwa mtume wa Baba yetu muumba mbingu na nchi na vyote vilivyomo na Wala si moja kati ya mtume, Bali yeye alikuwa kati ya Binadamu walio potea kwani hakuwahi kutembea katika kweli ya Baba na Wala akuijuwa kweli ya Baba maisha yake yote ya kikafiri .

    • @abdulrahmanrajab4369
      @abdulrahmanrajab4369 Před 2 lety +1

      Koma eeeeh waislm wastaab naw jifunz ustaarab hatun tabia ya kuchafua vidio zen za mapadr kwa kucomment

    • @hawalasalehmohammed8562
      @hawalasalehmohammed8562 Před 2 lety

      Revert before you return to your creator

    • @fahadmsophe9192
      @fahadmsophe9192 Před rokem

      Kama wewe hujasoma. Usipende kudakia mambo utaangukia pua ndugu. No research no right to speak.😅

    • @user-vg3co1tr9b
      @user-vg3co1tr9b Před 4 měsíci

      Hivi kumbe mungu ni mwanaume eee,,, naona unamwita baba

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 Před 2 lety

    Jifunze quran kusom kuandik gusa picha yang hapo kama hautojali

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 Před 2 lety

    Swallallwahu alayhi wasallam

  • @kyandopatrobanighanile274

    Mbona hakuna hayo maneno ya Ziraili?

  • @abdulsaidi7007
    @abdulsaidi7007 Před 2 lety

    Ametakasika MOLA WA VIUMBE VYOTE ,

  • @masoudkasote6679
    @masoudkasote6679 Před 2 lety

    Israel ndo jina lake la asili malakulmauti ilipewa jina hilo bada yakupewa kazi ya kutowa roho

  • @abuuyahyagagaza4372
    @abuuyahyagagaza4372 Před 2 lety +1

    Hakuna malaika anayeitwa israel.anaitwa malakul mauti

  • @livingstonenyambaya1640
    @livingstonenyambaya1640 Před 2 lety +1

    Mafundisho ya uongo haya waislamu shitukeni

  • @BradothAdm
    @BradothAdm Před 2 lety

    ni aibu kubwa kwacha muislam huyo haitwi israil anitwa malakul mauti kasome tena

  • @leonardharerimana4625
    @leonardharerimana4625 Před 2 lety

    Waongo wakubwa kama baba yenu shetani.ole wenu mkufia kwenye huo uongo.mzidi kutiana faraja za uongo tu upo mwisho na kitaeleweka.
    Yohaba 3vrs36

  • @jambu966
    @jambu966 Před 2 lety

    Malaika Isreal ni yupi wee

  • @jolinkimaro9939
    @jolinkimaro9939 Před 2 lety

    mhnmh mh mh.mh mh

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 Před 2 lety

    Ni malakul- mauti
    Sio malaika israel❌

  • @swaleheismail46
    @swaleheismail46 Před 2 lety +2

    Mash Allah

  • @kizamaulidi6004
    @kizamaulidi6004 Před 2 lety

    Mashaallah