ALHAM-DULILLAH, ALLAH akupe ziada katika kheri zake huko ulipo DAAAAAAAH inaniumaa sanaa sijapata darsa yako nikikuona live lakini BAADA YA MTUME wallah nakupenda wewe nasikumoja ALLAH atutukutanishe jaanaatul firdau kwa mapenzi yake😭😭😭😭
ALLAH AKUMIMINIE KILA NEEMA NA MALIPO MAKUBWA HUKO ULIKO. HAPANA SHAKA UMEUSAIDIA UMMA DUNIANI NA WEEENGI TUMENEEMEKA SANA SANA NA MAELEKEZO ULIYOTUPA NA SASA TUNAFAIDIKA SANA.
Wallahi nakupenda sana sheikh wangu
Allah akujalie firdausi huko uliko
Amiin
Bado Juhudi yake mpaka leo inaonekana iko juu sana sana.
ALHAM-DULILLAH, ALLAH akupe ziada katika kheri zake huko ulipo DAAAAAAAH inaniumaa sanaa sijapata darsa yako nikikuona live lakini BAADA YA MTUME wallah nakupenda wewe nasikumoja ALLAH atutukutanishe jaanaatul firdau kwa mapenzi yake😭😭😭😭
ALLAH AKUMIMINIE KILA NEEMA NA MALIPO MAKUBWA HUKO ULIKO. HAPANA SHAKA UMEUSAIDIA UMMA DUNIANI NA WEEENGI TUMENEEMEKA SANA SANA NA MAELEKEZO ULIYOTUPA NA SASA TUNAFAIDIKA SANA.
Yaa Allah mpe Qauli thaabit shekhe wetu.
Mashallah
رحمه الله تعالى
Mashallah
Mashallah