So. Nimebarikiwa na nyimbo hii nimeweza wakilisha ninachohisi moyoni kuhusu huyu Mungu na alikonitoa, imenifikisha rohoni barikiwa mtumishi wa Mungu, Huyu Mungu akukweze kwa wakati wake
So wonderful song let our almighty God raise you higher too,but don't turn to depend your minds keep looking for him ever until the end as started,thus jiadhali sana na kiburi cha uzima kwa kuwa ndio silaha anayoitumia shetani kuangamiza huduma nyingi za uimbaji.
Yani nakumbea Sana Sana mwana wa MUNGU,, JEHOVA MUNGU akusimamie Sana
Dah!!! Hatimae sasa wachagga tumefutwa machozi, maana wanasemaga wachagga hawajui kuimba. Ubarikiwe sana dada kwa wimbo mzuri sana
Grace Kimambo Grace nikweli kabasawalahuja kosea mtumishi wa MUNGU kutoka kaskazini
Dada mungu akubariki sanaa wimboo ni mzur na unatia moyoo tumebalikiwaa wasikilizajii
So. Nimebarikiwa na nyimbo hii nimeweza wakilisha ninachohisi moyoni kuhusu huyu Mungu na alikonitoa, imenifikisha rohoni barikiwa mtumishi wa Mungu, Huyu Mungu akukweze kwa wakati wake
Dada happy mushi uko wapi jamani mtumishi wa Mungu ?? Mbona umekaa kimya tena
Jaman kuna watu mna vipaji,Mungu aendelee kukuinua.
Ma Askofu washa moto mpaka ,kieleweke mbingu ziachie majibu yetu
Mbona ujatoa tena nyimbo happy
Keep it up my best friend
Mungu unayemtumikia akubariki
Naupenda sana wimbo huu
hakuna Mungu kama wewe
Hongera sana Dada happyess mosha karibu kwa MUNGU BABA
Nice song nimebarkiwa dada
Amen mwanangu
Nimeshindwa kustahimili baba,matendo yako wewe ni makuu sanaaaaa....wooow
Daah dada ake debora aseee hongela sanaaa kwa hatua uliofikiaaaaa
Da happy mungu awe na ww daima
Good
Dada hongera sana mtumishi wa MUNGU nimebarikiwa sana na huduma yako MWENYENZI MUNGU akubariki na akutangulie katika safariyako
So wonderful song let our almighty God raise you higher too,but don't turn to depend your minds keep looking for him ever until the end as started,thus jiadhali sana na kiburi cha uzima kwa kuwa ndio silaha anayoitumia shetani kuangamiza huduma nyingi za uimbaji.
God bless you, nice song
Hongera sana, Mungu aendelee kukung'aza Happy
onge.
MUNGU BABA anaimba ndani yako unakaribishwa mnooo ..
Waoooo kweli Mungu wetu wa tofauti ubarikiwe ongeza zengine nakuombea ufike mbali
🙌🙏
Amen
wifi yangu MUNGU aliye ziumba mbinguni na nchi akubariki saaaaana maana wimbo huu jamani unanibariki Sana ninapokuwa nausikiliza kila saa
Mungu akuinue zaidi dadaang, classmate wangu. Nimebarikiwa Happy... Hakika hakuna Mungu kama wewe Mungu wetu
Ongeza na zingine jmn wimbo mzur sanaa
Waoo, hakika ndoto zimeanza kutimia, Mungu akuinue zaidi.
Enzi za John Baptist mpaka Leo, Mungu akuongeze hatua
Mungu akutie nguvu Happy *one day Yes"
👏👏👏👏safi sana dada
Hongera sana Happy
hey you,, who would have thought u'll reach here,,,hahahaha congrats, am happy 4 u ,,
Hongera sana mdogo wangu Happy, hakika Mungu ni wa tofauti
the more you are now the more reaction you have in your life
happy upo vizur nakuombea kwa Mwenyezi Mungu ufike mbali
Nice and wonderful song. ..god bless u sister
nice song be blessed in Jesus name
nice song
Hongera happy ubarikiwe na utume wakoo🙌🏿🙌🏿
waoooo!! imana niguhe akandi utuzanile.nimependa sana huduma yako
Duh happy u can sing dopey mwangu ckujua kama u can sing this z dope
Hunger and thirsty for more of God.
This is spiritually song
So nice so beautiful ❤
God bless you
Good music
nahis kubarikiwa ur voice iz so powerful thanx and be blessed ccter ,,,uzid kuinuliwa
Hajila hakuna mungu Kama we penda San happh
aiseee nimebarikiwa sana mpendwa Mungu akubariki pia.
Amen my sister ....hakuna Mungu kama wewe...............
This is awesome. Such an amazing and blessings
Nice song dear!!!!hakika Yesu ni watofauti
Nice song tunakuombea ufike mbal
congrats my dear,,Mungu akutangulie zaidi.
Hongera sana mamii ufike mbali sana
good job sevarnt of God
Upo vizuri sana
God bless more
Mungu akubarki dada kaz nzr
Good song sister
Great song hongera sana Happy wa Mushi umebarikiwa hakika
Powerful song .....am blessed
Ubarikiwe sana!
hakuna Mungu kama ww; ww Bwana unaweza
nice song
Mungu baba akuinue zaid ya hapo ulipofika
nice mamilooo
Nice song
Kama bahati bukuku vileee sauti ..hongera happiness mosha karibu siloamu kwa MUNGU BABA
Ubarikiwe sana dada Happiness
Shalom mtumishi , naomba mawasiliano yako kwa ajili ya utumishi my no 0717520000
hongera mpendwa wangu unaimba vizuri mnooo Bwana Yesu azidi kukuinua🙌🙏🙏🙏👏😘😘😘😘
Mungu akubaliki sana
Amen