TARZAN 《 01 》

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024
  • ##DIRECTOR_VASCO_SHOTS

Komentáře • 677

  • @Boniphacehachili
    @Boniphacehachili Před měsícem +28

    Kama unamkubali ruta mani gonga like🎉🎉🎉🎉heshma kwako kazi nzuuuri❤❤❤❤❤

  • @amanijumanne5543
    @amanijumanne5543 Před měsícem +27

    Igizo ni nzur sana ina wawomba kitu kimoja ogezeni ubunifu wa kufunga mimba maana mimba mpaka inaonekana kama nimenguo .mefugafunga tumboni ila samahani

    • @muhsiniamiri9310
      @muhsiniamiri9310 Před měsícem

      saf san hayo ndo maon mazur wame jitahd lkn pia tunapasw kuwa kosoa wanapokosea❤

  • @Footballre-zx9lc
    @Footballre-zx9lc Před měsícem +25

    Pongezi kwa ruta man kwaiyi kazi nzuri ame tuletea

  • @LilmmyCrazyfficial
    @LilmmyCrazyfficial Před měsícem +27

    ❤Wa kwanza Mimi Leo kuitizama Tamthilia ya TARZAN 🎉🎉🎉😂😂😂

  • @samponews1689
    @samponews1689 Před měsícem +113

    Me siombi like me nasapoti kazi😂embu tuache utani like Zina raha yake bana😊Aya twende kazi kumsapoti mwanetu 🎉🎉🎉

  • @MbarakaSefu-w6y
    @MbarakaSefu-w6y Před 3 dny +1

    Kaz nzur sana jmn wanaoipenda like me hebu nipeni like zanguuu

  • @zzerosooraj9134
    @zzerosooraj9134 Před měsícem +10

    Taznan bonge la movie big up 💪 luta man from Kenya 🇰🇪

  • @user-vo7yb6wp1m
    @user-vo7yb6wp1m Před měsícem +10

    Woow kumbe kazi nzuri mungu ashidi kukuongoza kaka rutaman🎉🎉❤❤

  • @JescaIrakoze
    @JescaIrakoze Před měsícem +22

    😢Yaniii huyu gumbwa kapendeza Jameni hepu nipe liké hâta tano basii n'a mimi

  • @KambaleMbangale
    @KambaleMbangale Před měsícem +100

    ❤ya leo kali tena tamu❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 ruta man hapa karibuni naona unabeba bendera yawasani bora tanzania hadi nchi zote zinazo zungumza kiswahili , kamaunakubaliana nami gonga like alafu sambaza hii link ❤❤❤❤❤ umoja ni nguvu

  • @CrypsinMoraa
    @CrypsinMoraa Před měsícem +11

    Ni tamu kweli naitazama kutoka 🇱🇧🇱🇧🇱🇧🇱🇧🇱🇧🇱🇧🇱🇧 i miss my motherland Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @JamaliNdwata
    @JamaliNdwata Před měsícem +213

    Kama umeipenda TARZAN tujuane kwa like nawapendaa

  • @annaki318
    @annaki318 Před měsícem +4

    Hiii ni nzurii sanaaa wametukumbuka kina mwaghona na bhughonilee😅😅😅😅😅😅
    Ndagaaaaaaaaa #Boncena🎉🎉🎉🎉

  • @fortunegerishom1827
    @fortunegerishom1827 Před měsícem +8

    Nmeikubali mwanangu,,, movie Kali sana🔥🔥🔥Km unamkubali LUTA MAN Eka like tukisonga

  • @jacksonhafashimana3603
    @jacksonhafashimana3603 Před měsícem +57

    Tulio maliza love bite na tume anza Tarzan tu juane apa🇨🇩

  • @LagerMtandila-g7x
    @LagerMtandila-g7x Před měsícem +9

    Wabongo bhana uwa siwaere wagi sana ilandoivyo mtukwao inabidi ukubar2 chakwako

  • @Isael.6396
    @Isael.6396 Před měsícem +20

    Tarzan,wa kwanza mimi from congo 🎉

  • @rashidkibavu1863
    @rashidkibavu1863 Před měsícem +9

    Kama film ya kiasili basi hata majina yawe ya asili,
    Humu ndani nimeskia jina la HAPPY, ila haikupaswa kuwe na majina hayo ilitakiwa kuwe na majina ya kibantu na si ya kuzungu. Ila season nzuri hongera Ruta

  • @user-iw1jt5ll7m
    @user-iw1jt5ll7m Před měsícem +11

    Bona kama itakua tamu kizindi zote 😂😂😂🎉

  • @user-zw6cy2hn7x
    @user-zw6cy2hn7x Před měsícem +17

    Mbona mnamtesa sana Happy wang ama hana Bahat kwenye mapenzi😂😂😂

  • @FadhiliKyavala
    @FadhiliKyavala Před 2 dny +1

    dah nilikua naichukulia poa kumbe ni mzigo wa kwendaaaa❤🎉 good job

  • @KIJITO-CHA-UTAKASO_HQ98.
    @KIJITO-CHA-UTAKASO_HQ98. Před měsícem +14

    Hujawahi haribu KAZI....upo vyema ...zinafundisha mno...Good content, quality pictures...na wasaniii wako wanavaa uhusika vyema...nice choice of location ..keep it up bro

  • @ollenmlangali2867
    @ollenmlangali2867 Před měsícem +3

    Wasafwa big up mwagona ewane ...mbeya stand up .

  • @pogo946
    @pogo946 Před měsícem +11

    Kazi nzuri mwanzo mmefungua vizuri ila Mganga anatembea na code za #Mwakatobe 😂😂 #zinga kama mmeliona hilo gonga like zangu nyingi sana..

  • @JmmJacky
    @JmmJacky Před měsícem +9

    Noma sana .......watching from 🇰🇪

  • @HamadMwagoani
    @HamadMwagoani Před měsícem +29

    Baisa Acha kuenda na mwendo wa mwakatobe bwana kuna Wana wengi walicheja ya scene ya uganga kuna kama mganga mwavumba,kuna yule chidi unaeza fuata awoo samahani n fan wa Ruta gang kama nimekosea mnisamehee

    • @khido_tz
      @khido_tz Před měsícem +1

      Ni kweli apo kapiga kama mwakatobe bn😂

    • @ngulathfundikira4205
      @ngulathfundikira4205 Před měsícem

      Kweli kabisa kazingua

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 Před měsícem

      Wala hujakosea kazingua

    • @chaggastar9236
      @chaggastar9236 Před měsícem +1

      Kuiga kitu kizuri sio mbaya kwa upande wangu

    • @JohnJustine-no1zv
      @JohnJustine-no1zv Před měsícem +2

      Kaka kama ww unaweza weka naww yako uone kama itapata views Ata wa 5hapo ndio utaamini kuwa mwamba kaupiga mwingi anasitahili pongezi

  • @shidashida6060
    @shidashida6060 Před měsícem +6

    Nzuri sana, mabint nguo zimewapendeza na lutha pia vazi limempndeza bila kusaha mtoto wa chief gumbwa kapendeza 🎉🎉🎉🎉

  • @BenjaminMetanyau
    @BenjaminMetanyau Před měsícem +62

    Sema mganga kunanamna unapita na idea za mwakatobe siyo poa ingependeza kama ungepata ya kwako✊ ingependeza zaidi

  • @essaojohn3971
    @essaojohn3971 Před měsícem +9

    Bonge la story ruta man appreciate it brother

  • @MadingaMadinga-ff7po
    @MadingaMadinga-ff7po Před měsícem +14

    Oya kaz imempata mwenyewe mganga uyo hakoseag kwenye mishe izo baisa mganga

  • @NDAYISHIMIYEEslon
    @NDAYISHIMIYEEslon Před měsícem +54

    Daa leo nimewahi jamani kuwa wa kum na tisa kutok Burundi mnipatie like zangu

  • @Charles-t7h
    @Charles-t7h Před měsícem

    Umetixha ruta tumemaliza love bite now tazan du umetixha kinomabruta🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @vallesndayishimiye2396
    @vallesndayishimiye2396 Před měsícem +7

    Sitokuangusha Mie❤❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮Hadi mwisho

  • @ZuhuraNgubule
    @ZuhuraNgubule Před měsícem +11

    Kaz nzur sana

  • @DamarisMasese-rh6hy
    @DamarisMasese-rh6hy Před měsícem +2

    Kutoka Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 shabiki sugu wa Boncena Ruta man hii kweli kali kanikumbusha unyago aisee nawakubali sana ❤❤❤

  • @samuelbonfils57
    @samuelbonfils57 Před měsícem +11

    Love from Burundi❤❤🎉🎉

  • @AbdulMussakabagambe-qd6lv
    @AbdulMussakabagambe-qd6lv Před měsícem +2

    Ruta mnyama mkali sana kisha chunga sana gumbwa ni moto wa kuotea mbali💪💪💪💪💪

  • @justuukilosh3962
    @justuukilosh3962 Před měsícem +7

    Wa kwanza from Kenya😘

  • @GlorylukaBura
    @GlorylukaBura Před měsícem +26

    Apo Kwan mganga ameharibu movie yote😢😢angeongea sautii yake aachane na ya ZINGA anamharibia 😢😢

    • @johnmwirigi3836
      @johnmwirigi3836 Před měsícem

      @@GlorylukaBura 😆😆😆😆🤔

    • @perajiampipi4473
      @perajiampipi4473 Před měsícem

      @@GlorylukaBura na kaiwezea kwelii 😁

    • @GlorylukaBura
      @GlorylukaBura Před měsícem

      @@perajiampipi4473 kawezea ila atumie tu yake maana si kote anaweza..ep2 katimia yake na movie inanoga tuu🥰

  • @msaniitz
    @msaniitz Před měsícem

    Bayser ña boncena kwa kweli nawapenda sana mnajua kuigiza i say

  • @metrinemanyonge6055
    @metrinemanyonge6055 Před měsícem +5

    Woow nilikua nimengoja❤

  • @jofrayanthony9769
    @jofrayanthony9769 Před měsícem

    Tanzania sijawai ona movie imepangiliwa kama hii the best kila kitu kimekaa sawa director apewe Maua Yake m
    Kwakweli❤❤❤❤❤

  • @boydinhobabaneemadinho9677
    @boydinhobabaneemadinho9677 Před měsícem +17

    Na mm naomba like Leo jamani nimewai nawakubari sana

  • @SelemaneIssa-vr7po
    @SelemaneIssa-vr7po Před měsícem +5

    Na mimi nipeni like japo nimechelewa kuwai

  • @allyraymond175
    @allyraymond175 Před měsícem +3

    nakukubali sana mwanangu boncena najua hii kitu itakuwa kali balaa

  • @user-qg1yh7hy4o
    @user-qg1yh7hy4o Před měsícem +7

    Waoooooo!!! God job maua yako boncena🎉🎉🎉

  • @FonissaamimuAmiama
    @FonissaamimuAmiama Před 3 dny

    Inapendeza sana❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉love story❤❤❤❤❤

  • @user-ec6ow2cx7c
    @user-ec6ow2cx7c Před měsícem +4

    Mko vizuri sanaaaaaaaa team ruta man 🎉🎉🎉

  • @LAURENTPILIMINI
    @LAURENTPILIMINI Před 8 dny

    Gumbwa ume tish pach ❤❤❤❤🎉🎉🎉🏵️🍬🌻🍀🌻❤️🌸🌻🌸🌻

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 Před měsícem +2

    Kazi safi sanaaaaaaa🎉🎉🎉...am in love with the location walai

  • @MinnahMsomal
    @MinnahMsomal Před 3 dny +1

    SASA AO WANAOLINGA KUTOA SNAKE BOY SISI TUPO KWA TARZAN😂😂♥️♥️☑️

  • @RebecaMackenzi
    @RebecaMackenzi Před měsícem +13

    Mganga kamuiga mwakatobe mpaka anakera.

  • @AminaMohamed-td2bi
    @AminaMohamed-td2bi Před měsícem +1

    Nimependa pk boncena mwenyewe kabla sijaimaliza

  • @maestrobindaniel7040
    @maestrobindaniel7040 Před měsícem +20

    Leo nataka gawa like kwa kila mutu sasa sijuwi inanze na nani?

  • @KikohBoy
    @KikohBoy Před měsícem +29

    Kama umeona kua mganga anajitahid kupita njia za mwakatobe au zinga gonga like tujuane.

  • @Lovekidoti32
    @Lovekidoti32 Před měsícem +2

    Yani napenda movie za hivi za kijijini arafu wanajichora chora ivo Yan dah raha Sana,
    Luta man upo fire 🎉

  • @falejilala1158
    @falejilala1158 Před měsícem +3

    Mwamba ruta man hongera kaka pambana MUNGU atusaidie utimize ndoto zako.

  • @user-fw2jk3mx7g
    @user-fw2jk3mx7g Před měsícem +8

    Mima pandisha kanga juu basi mchirizi huo hapo duh

  • @benjaminwafula
    @benjaminwafula Před měsícem +12

    Naomba kujua n msitu upi huu

  • @user-eo1qy1zh7r
    @user-eo1qy1zh7r Před měsícem +3

    Nakubali sana master movie nzuri sana ❤😂🎉😢😮😅😊

  • @user-il8wx3eq8i
    @user-il8wx3eq8i Před měsícem +19

    Nikajua wanawake ndo wanaomba like kumbe hadi midume😂😂😂😂

  • @iddyramadhan4595
    @iddyramadhan4595 Před měsícem +1

    Mnakoenda sio mnataka likes mpeleke police au makwenu like kwenye channel tu,,,
    Hongera saaaaaana boncena🎉🎉🎉🎉 maua haki yako

  • @ElizabettEmanuel
    @ElizabettEmanuel Před měsícem

    Kumbe Kuna tardhan ya. Kibongooooooooo😅😅😅😅😅😅😅😮😮😮😮😮😮❤❤❤❤❤❤

  • @condeboy257tv9
    @condeboy257tv9 Před měsícem +2

    Nyie Wa Tz Kwa Kusema kweli mnanipa furaha kubwa Sana Kuhusu Movie zenu, Nikiwa huku Rwanda . Hongeleni Sana.

  • @user-ud5mv5qi8w
    @user-ud5mv5qi8w Před měsícem +1

    Mimi wa kwaza naipenda sana tarzan luta mimi shabiki yako kutoka Bujumbura 🎉

  • @gideonodoyo-wk5cw
    @gideonodoyo-wk5cw Před měsícem +2

    Tuachen ubinafsi mwamba kaweza kwenye hii Kaz tumpe 💯❤❤❤Mwagona🙏🙏🙏

  • @benoseaone
    @benoseaone Před měsícem +4

    Anyway hii ni kipande cha kwanza na inapendeza kuona ni very natural. It is good.
    Wasiwasi wangu, kwa nini wameigiza jina? TARZAN wamemaanisha nini? Kwenye jina wamechemka.

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 Před měsícem

      Wameigiza vipi? Nichanue😊

    • @benoseaone
      @benoseaone Před měsícem

      @@aishaomar2287 Tarzan ni jina la filamu ya Kihindi. Jaribu kuseard CZcams utaiona.

  • @TpexCreator
    @TpexCreator Před měsícem +7

    Ndio shida ya wabongo Yan yuko busy anasoma comment yangu badala andike yake 🤨🤨...kaz nzur team ruta man🔥

  • @lumistarboy8499
    @lumistarboy8499 Před měsícem

    Kazi nzuri team Boncena Ruta man never disappoint Kaz nzuri baada ya kazi

  • @IsayaKudeli
    @IsayaKudeli Před měsícem +31

    Mie nimekuja kwa mfumo huu tulio rudia kuangalia mara tatu(3) tujuane sasa APA kwa like sawa mashabiki wa Ruta man

  • @ramseykey940
    @ramseykey940 Před měsícem +8

    Na mimi kutoka south africa 🇿🇦 naombeni like zenu jameni

  • @melaniameri2847
    @melaniameri2847 Před měsícem +1

    Mamaaaa mm nikajua miguu ya ng`ombe ndo wanaokimbia kumbe binadamu naomba mnisamhe😂😂😂😂

  • @shakehmedicatz
    @shakehmedicatz Před měsícem +3

    Jamani heppy mmmh pole sana nawafatilia sana jamani

  • @mobastian5050
    @mobastian5050 Před měsícem +1

    Location nzuri sana❤❤❤❤

  • @mughishajohn3287
    @mughishajohn3287 Před měsícem +2

    Hii nimeipenda sana Tarzan ♥️♥️♥️💪🇰🇪🇰🇪

  • @KambaleMbangale
    @KambaleMbangale Před měsícem +3

    Kazi nzuri, hongera wanangu

  • @salumuwembo-fo5rr365
    @salumuwembo-fo5rr365 Před měsícem +1

    Naipenda Saaana Tangu kongo 🇨🇩🇨🇩🎉🎉❤❤

  • @HannyMuhammed-je7zo
    @HannyMuhammed-je7zo Před 28 dny

    ❤❤❤❤❤ Masha Allah movie nzur sana

  • @user-st3wo7qi2v
    @user-st3wo7qi2v Před měsícem +3

    Kaz nzur sana team Boncena❤❤❤

  • @NasraNgoda
    @NasraNgoda Před měsícem

    Tumeikubari nzuri sana musichereweshe 🎉🎉❤

  • @alexandertembea5940
    @alexandertembea5940 Před měsícem

    Nimeielewa sana hii katka. Mov za boncina ii nimeipenda sana. Boy I 🎉🎉🎉

  • @IssaMkali-k6y
    @IssaMkali-k6y Před měsícem

    Mumetisha sana hii ndomove sas ya ukwel nimeipenda❤

  • @DannyMutai
    @DannyMutai Před měsícem +4

    Congratulations nafatilia from mombasa kenya🇰🇪nakubali

  • @SwifraKitemwe
    @SwifraKitemwe Před měsícem +2

    Move nzur na inaleta hamu ya kuiangalia 🤐👋👋naomba like hapa

  • @SelemaniIddy-nc1nf
    @SelemaniIddy-nc1nf Před měsícem +5

    Nakubali team ruta man

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani3807 Před měsícem

    Mashallah asante sana washilika mungu abaliki kazi zenu ❤❤❤

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki Před měsícem +3

    Waooo kitu kipya ico piga kelele kwa bocena weweee 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MussaHaule-tn3xw
    @MussaHaule-tn3xw Před měsícem

    Waooooo😂😂 umetisha Ruta kwa kuwakilishia Salam wandali mwaghona❤❤❤❤ nmependa sana

  • @User7700
    @User7700 Před měsícem +1

    Ongera rutaman kwa kazi nyingine mungu akuzidishie kipaji mara dufu🎉😅

  • @Boytonytz
    @Boytonytz Před 28 dny

    Nakubali kazi ya luta man🎉🎉🎉🎉🎉❤

  • @HAWAMAULIDI-zl5xd
    @HAWAMAULIDI-zl5xd Před měsícem +1

    Nzuriii❤

  • @Bibi-he6vt
    @Bibi-he6vt Před měsícem +1

    Mko smart na hizo nguo lovely kipepeo na udugu wako❤

  • @officialgee-m3b
    @officialgee-m3b Před měsícem +2

    Ni zaidi ya maajabu brother eeeeh heshima kwako

  • @abdullatif053
    @abdullatif053 Před měsícem +2

    🤓🤣🤣luta man VP ktk kushuka mti mbona km umeanguka, kateleza ❤nimeipenda iyoo🤓🤣🤣🤩🥰

  • @dominicedward4934
    @dominicedward4934 Před měsícem

    Daaaah kaz nzuri sana

  • @ShabaniBandini
    @ShabaniBandini Před 26 dny

    Oya king makokwa mwanangu nakubali asaiv upo clias asana bigapu man

  • @hamisisaid1489
    @hamisisaid1489 Před měsícem +3

    Ruta Man! Nakukubali man.. kazi nzuri sanaa❤❤❤❤

  • @MarryMichael-gf7dc
    @MarryMichael-gf7dc Před 4 dny

    Ngoja tuangalie ila ni zur ❤❤❤❤❤

  • @ahmedbwire882
    @ahmedbwire882 Před měsícem +1

    Ndio mara ya kwanza kuona mganga ana nyota tatu

  • @user-yu9qn4oi3g
    @user-yu9qn4oi3g Před měsícem

    Kazi nzuri sana 👍