JINA EPISODE 1- MTU
Vložit
- čas přidán 6. 09. 2024
- JINA SERIES Drama Comedy and musical series
#Jinaseries #Jinaepisode1 #BenroyalMoviesJina #usiaminiepisode11
JINA EPISODE 2 • JINA EPISODE 2 - MTU ...
JINA EPISODE 3 • JINA EPISODE 3 - | MTU...
#film #bongomovies #netflix #streetfighting #benroyalpictures
#blockbusteractionmovie #englishmovies #englishmovies #benroyalmovies #Action #netflix #actionmovie #SISI #trending #Freeyoutubemovies #Englishmovies #Actionmovies #netflix #benroyalmovies #viral #video #action #trending #hollywood
#benroyalmovies #blockbusteractionmovie #trendingnow #PMDmovie #pmd #bongomovies #bestafricanmovie #bollywood #nigerianmovies #film #ytviral #youtube #foryou #drama #indonesia #nigerianmovies #africanmovie #southafrica
#southafricanmovie #netflixmovies
#netflix #viral #video #nigerianmovies #africanmovie #southafrica
#southafricanmovie #drama #viral #video #actionmovie #netflix #new #Best #actionmovie #operationm22 #benroyalmovies #movie #operationredsea #new #video #actionmovie #bestafricanmovie #benroyalmovies #diamondplatnumz #english #bongomovies #juakaliseries #benroyalpictures #safemovie #mobilelegends #bestgameplay #foryou
#freefire #funny #fyp #funnyvideo #netflix #operationredsea2018 #freefire #actionmovie #netflix #video #africanmovies #english
Hamjawai niangusha so mnajuwa zaidi ya wajuwaji tulowazowea✅✅✅🙏🙏🙏🙏💪💪💪💪
Kwa kweli mnavipaji mungu azidi kuwaongezea neema
Ubuntuuuuu💥💥💥💥💥 Fanya mpango utuongeeezeee Dk ndogo Sana hizi
Upendo zaid blood
Benroyal hawatuangushi sai 😁
E Bana eee mnajua mpaka sio vizuri...Bongo movie imebakia mbeyaa.
Kasasira hapa nawapata vizuri nikiwa Kenya
Toa kitu weka kitu baada ya usiamini inafata jina twende kazi benroyal 👍💋❤️
Nyiee wana ni 🔥🔥🔥🔥nakubar
Siwezi kosi hii kitu mnajua sana guys
Nakubali wazee hamjawahi kuniangusha
G kamkazia dogo kwa 20tu 😂😂😂😂 utamu kolea shabiki wa kweli awezi ku skip tangazo.... Angalia tangazo mpaka mwisho tuinue sanaaa
Another one from Ben Royal
Waoooo sijawai kuwachoka aiseee mnajua adi mnajua tena wZeee
Mm ni M T U 🔥🔥🔥
We mtu
jamani nomba for,, much love from gulf
pigeni kazi wahuni mafnikio sio namba za kirumi respect san
Noma sana
Daaah wimbo umetulia sana huu "JINA LA THAMANI" mmetisha sana wanangu
Nyie jamaa nawakubali sana sana,mnajuwaaa.. na hamuna mbayaa,M Mungu awaongoze zaid na zaid
Wanangu mnajuaaaa👊👊👊
Nawakubal na nawafatilia sana ...tungepata wakina ben kama watatu tu tz baaaas tupo mbal kisoko la movie ...NAAMINI BEN AKIPATA BUDGET YA KUTOSHA DAAAAAH WE NI LEVEL ZA MBELE BROH
Hatareeeeeeeee
uuuuuuuuuuuuu🤒
Kazi nzur
Wa mwanzo nn mm
Wakali wa izi mambo
Daaah hii moto tena
Tunaomba uwe unaeka na majina ya ngoma zinazo kuwa kwenye series
Unadhani zipo CZcams?
0YAA BEN EE, KATI YA SISI, USIAMIN, NA JINA KWENYE TUZO TUNAPIGIA KURA IPI MZEE MBONA VYOTE VIGONGO VYA MOTO DADEQ🤣🤣🤣
😀😀😀
Ila sisi ni mwsho
Sisi ni ya moto Kwa kwel
Nawakubali wanangu ❤❤👊👍👍🤜🏿😊
Sema hii kali kuliko usiamin
Atulali amnaga mbamba mba yaaan vitu fire 🔥
Ndio kwanza nimeipray huu ni unyama wazee wangu🇹🇿💥💥💥💣
Kazi zenu mnazifanya with accuracy sana 🤟🤟🤟🤟 hongereni
Wakwanza leo from oman like zenu
Nawakubali sana huyu jamaa namkubali
Oman sehem gani dada
Whuuuuuuuu
👏👏👏
@@nalamzalendoo jamaa unachana sana,
Nakukubali jamaa
Baba lao ni chaguo, mama lao sisi na hii inakoelekea huu ni fire moto chini, wacha tuendelee kula mtori nyama tutazikuta chini.
Big up producer and Ben na timu nzima kiujumla.
Koma lyendege gwakumwitu🕯
Kazi nzuri🙏🙏
next level
Haya ni mapinduzi makubwa 💪🏽👏🏾👏🏾
Waoooooooh nice 👍 movie 🎥
Nawakubali sana wanangu
Mnajua mpaka mnakera🙏🙏
Ben unyama mwingi kakangu 🤞💪💪💪💪
respect sana kwenye kuchana mwnangu nala mzalendo anakjua kuzipiga nyundo
Oiii sana Mwanangu
unajua nini nini wanagu nawakuqali❤👊👊
Sijawahi kuboeka kwa kuona kazi zenu.
Pokeeni hongera zenu kutoka Kenya.
Pia mimi ni mtu
Wanangu sana nakubaliana na nyinyi mwanangu mbanga simuoni Yuko wapy
Nakuja nakuja mwangu, eendelea kutazama
Sijawai kuwapinga…..sending my love❤️
Salute
Boe kutoka Singida hapa show love
Nakubal Sana bon natamani niwe nawaona mkiwa mnashut naomba Mimi nipo mbeya maendeleo hap bon naomba San bg
Tupatie ep2 chap kazi yenu ina fundisho zuri sana ndani yake
Nawakubali sema nilikosa nafasii ya kuwa pamoja nanyie napenda mnajua mnacho kifanya
Kama kawa Kenya 🇰🇪🇰🇪 tuko pamoja
Sjui Kwann ila nmejkuta nampenda tu mtu kweny hii movie mungu aniongoze tu kwakwl
Really nawakubali sna niko nyuma yenu mlipo nipo big up sna
Movie Kali sana🔥🔥🔥🔥Big up wana,,🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💙💙
JINAAA💪💪💪
Me nawakubali Sana et 🔥🔥🔥🔥
💯💯💯🔥🔥🔥
100 100 wana
Yesaya show Show
Nawapenda Sana bonny or George Paula Judith nawapendaa sanaaaaa wakuuuu
Nawakubali sana lkn tatoo ishamaliza mvumo wa editing bado upo hahaha nawakbali wnang wa mbea
Am not understand,may episode 2,bt we are together ,nice filam
Cha mwisho god awalinde mana hii ni talent kubwa sana kwa mbeya na kwa taifa la Tanzania 🇹🇿 big up master kg Tom Abel kikosi na dada wa kuiga sauti pia mchungaji kaplay vzr sana wanao imba wako gud wanajua sana mm siwajazi ila broo nimependa sana uigizaji wenu na mm ntasapoti kwa kile nlicho nacho unyade sana salute 😢 😅
Benroy nakuomba sana nipe mona nampenda sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Very nice job
JINA LA THAMANI TUMAINI LA DUNIA🔥🔥🔥🔥
Oy eeeee huy ndo nala mzee wakuchan
Oy eeeeeeeee mjitahid kutoa nyingine kwa uhalak
Filamu ni nzuri sana waaoh
Nakubal shaa naomba next
Movie za kijanja✊🏿✊🏿✊🏿✊🏿
Mpo vizuri sanaaaaa
Hapo ndo napo kukubaligi Director Ben Royal Yani Mwanzo tu,(Jina la thamani ni Moto It's a perfect drama🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Pamoja Sana Bonge la Series
Nakubal xn kazi yen hamjawahi kutuangusha 🔥🔥🔥🔥
Huo wimbo jina kauimba mwimbaji gani maana una ujumbe mzuri sana....
Benroyal family kizazi sana. Nawakubali from Likonai Mombasa Kenya.
hot 💥💥💥💥cant wait to see the next
Semaaa uuuuuuuuuh🤣🤣🤣🤣🤣
Movie safi sana, nawafwatilia sana kutoka Kenya! Napenda kazi zenu sana
Moto umeanza poa sana msicheleweshe sasa maana mtapunguza utam
Nice brother ❤️
Nimependa sana2 🙏🙏🙏🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Ndaghaaa🔥
SEMA msicheleweshe episodes zingne
Yaaan uvimilivu umenishinda ...ata sijui nikoment ndo niangalie au niangalie Ndo nikoment any way acha niangalie kwanza
Nadhn it's high time nirudi kanisani😊😊😊 kazi safiii❤❤❤ keep the fire 🔥 burning 🔥 👌 ❤❤❤
Nawapata kutoka Oman 🇴🇲 mmetisha Sana 🤜🤛
Hamkoseagi wazeee wa kazi
Daaaaa nmechelewa
Yeah ❤naona tumeanza vizuri ! Acha tutumaini kwamba iyi boro itakuwa ya mwaka huu hadi 2024! Big up sana wakwetu ❤❤😂! Nipo Ohio nawafwatilia kwasana tu !
Nyie watu mnajua sana kazi nzuri
bonge ya kazi vp mwendelezo unatoka lini
Nawaelewa sana benroyal pictures...mungu awazidishie vipaji zaid na muendelee kutupa kilicho bora kwa ubunifu wa hali ya juu🙏
Amen
Movie pambe Sana 💯
Unyama sana familia yangu,, naiona hii 🔥🔥🔥🔥🔥👊👊👊
Kazi iendeleee
❤️❤️
Wahuni wangu wanachana hatari sio poa
Sema huyu mdachi ameimba vizur sanaaa hyo kwaya
Unyama Sana mablood