Unalo lilo kukaa na Roho - JOKHA KASSIM (Audio) | MARJAN SEMPA
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- SEMPAZ SOUNDS Ent...
For BOOKING=
EMAIL. Marjansempa@gmail.com
Cell - +254728011195 or +254737307549
The authentic and genuine traditional Swahili Music, that has its origin in Zanzibar and coastal area of Tanzania. The lyrics (Mashairi) in Taarab music are not just ordinary lyrics they're poems or more precisely it's poetry containing significant and instructively information.
In fact all Taarab songs follow the formal rules of traditional Swahili poetry, with intricate rhyming schemes. Furthermore Taarab is one of Swahili people ways of delivering messages to specific individual or individuals with very special metaphor or language codes that most likely and mostly only Swahili people can interpret, so even if you understand Swahili that doesn't mean you comprehend the messages behind, contents and significance of Taarab lyrics.
#MarjanSempa
#Jokhakassim
#Unalililokukaanaroho
#taarab
#2022
@Diamond Platnumz
Nyimbo hii nilikuwa naitafuta sana wallah
Nimetonywa unagomba unagomba
Nimekuchukulia bwana
Si kwa nguvu si kwa kamba
Kaja mwenyewe kijana
@@RioIpo pamoja ndugu yangu yaan niliutafutaa 😍 nmeupata leoo🤔
huuu wimbo wanikumbusha mbali kwenye harus ya dada yangu🤔😍👂🇪🇭
@@ayshajeffa6592 Naam wakongwe sie ndio mana tunakumbukia enzi
@@RioIpo kwa kwel🤗🤗🤝🤝
Haloooo ckwa nguvu ckwa kamba kaja mwenyewe kjana au sio 💯🔥🔥🔥
😄
Kama ww mwanamke na mm mwanamke .....heheheiya. ..tutapambana mpaka kuche ..❤❤❤one of my oldies.
❤❤❤
Napenda hizo nyimbo za taarabu sana!.tot,jahazi modern taarabu,zanzibar taarabu.hongera kwa hawa magwiji kina mama!!.
❤❤❤❤❤
My favourite taarab song of all time
Dah hii taarab namkumbuka my fiancee alikua mdogo wake Ali star wa TOT dah alikua kila album ikitoka ananinunulia jamani was amazing alikua wa kwanzaz kunipeleka Best bite kwaka 2002😂😂😂😂
Ila saleh anaona kaama nilimuacha nikamsaliti kumbe mie nilikua mdg Sina maaamuzi maana familia ilishaamua nikaolewa tu lkn sitakusahau kamwe maishani❤❤❤❤
Enzi zileee bibie jokha kassim❤️
Nakwambia Jokha alikuwa mkali sana
Umeshaachwa solombe hutakiwi tena 💞
Weuweeee
Umenigusa ndipo..chezea jokha weweee
Kaja mwenyewe kijana hapo sasa jokha kassim.wambie
Daaah nimeitafuta sanaaaaa daaah
Nyimbo konk
DaAAH j hii nyimbo long time ssna yAaan hapo nilikuwa bado Binti basi DaAAH sijuii niseme Nini hili Jimbo lipihwe pale kati hatariii
Woyoooo
❤❤❤❤❤
Umechaacha solemba solemba weeeee
Kisasi hicho kisasi kisichokwisha YAANI NYIMBO TAAM SAAANA KITAAAMBO HONGERA JOKHA KASSIM enzi zile CHUDA RELINI TANGA
❤hapo chacha
💯❤️
❤❤ 2023 unalo bibi lilo kukaa na roho
Niacheni
Eeeee unalo
Jokha Ana kithee the the
Eeeh muache jirani yangu 😀😀😀 Zenji huku tangu mie mdogo namuona mwenyewe Da Jokha
🔥♥️♥️♥️🔥
Good
Hata mimi
🎉🎉
SI kwanguvu c kwakamba
Lo,vely
💕🥰😍 woow hii nyimbo nilikuwa naitafuta sana jamani Asante sana merjan,,ila nani ako nao akanitumia maana nimejaribu kuudownload ila imekataa plz,,
❤❤❤❤