Mwenzenu nampenda huyo tafadhali mwambueni Kama inatokea anasoma coment hiii afanye kulike tu kiba niridhike Akyamungu nakupenda hadi nikilala nakuotaga yaani dah ndo ujue nakupenda kiasi gani yaani nakupenda zaidi ya ebitoke kwa benpol ila ishu moja sitaweza kufunguka hadharani Mwaaaaaaahking kiba wangu mi kwangu nakupa 100%
King ni king ...bonge la liveshow wap team maujanja team ubunifu team kiba sema oyoo
Live music is the best music and in all Africa the only person who can give live music and fill it is non other than #kingalikiba #unstoppable
Oyoooooo team kibaaaa
Noma sana bro Bonge la ubunifu brother Ally K safi sana.
King #kiba we ni nomaaaa unatishaaa kama nyukiliaaaa
A king will be always be a king. We love u king kibaaaaaa
Mwenzenu nampenda huyo tafadhali mwambueni
Kama inatokea anasoma coment hiii afanye kulike tu kiba niridhike
Akyamungu nakupenda hadi nikilala nakuotaga yaani dah ndo ujue nakupenda kiasi gani yaani nakupenda zaidi ya ebitoke kwa benpol ila ishu moja sitaweza kufunguka hadharani
Mwaaaaaaahking kiba wangu mi kwangu nakupa 100%
dodoma msipo tuletea #Kipusa wetu hatujiiiiii kwenye kwaya zenu
Hakuna mambo na cd hongera saana king
wewe jamaaaa mnoma Dushelele ngoma ya kitambo hata Leo inachezwa fresh 💟💟💟👍👍👍👍
love u my brother good
Quality
Ummetisha
Hii ndo live band sasa......#King🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Love u forever
Live band yooooooo
yoooooh king kibaaaa mwanzo mwisho 🎵🎤🎺🎶🎸🎻🎷🎧
Nakukubali sana king kiba muzik kipaj men
unaweza king
quality show big upo king kiba
Na utabaki kua king ever 4rever
Wakuacheeeeeeeeeee. miaka mia. king kibaaaaaa
kiba 4rever is king
Without using CD 😂👑👏💪
King kibaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
uko juu king kiba
huyu ndio king
Ali wa kitaaaaa...! Ali wa leooooooo...h
Noma sanaaaa king
Prince Ally
Kiba umetisha
Kingkiba👑👑👑👑❤️
Kiba wewe unatisha
Kiba kwa live unatisha maana sio maujuzi hayo
Nice one!!!
Hili seben kiba hajalitendea haki yaan.... Hapa ndio ungewajua vizur Twanga pepeta au Malaika band.... but umejitahidi
claasc
Great job guys
Nakupenda kiba jamani 😘❤
Salute to the Majesty...
sana tu baba lao
sebene ilo jomon, uwiiiiiiiiiiih
Vita ya wana LWAMA
good live bend hadi raha
SHOW LOVE
Kiba fundi fundi wa mzikii
Woyoooooooooooo
💃🏽💃🏽
nice
Good
Yeaah
Kiba 🏆🫡🥇
kwer
diamond yupo juu sn
#seduceMe
#Konk
😂😂😋😋😋😋😋Kweli King of Africa is Diamond.Like Mike Jackson.Anacheza na kuimba.
katarina william
Unayemtapa Anaweka CD
Atakosaje kuimba na Kucheza
Chezea Mziki Wewe Unafikiri Ni Kuvaa Nguo nyingi ndo usanii
Usie mpenda huwezi msifia hata cku moja bali itabaki kuimba moyoni tu..
hahahaha hapa wap yaan... kaimba tu yaan kucheza kawaachia madogo.. pale alitakiwa awapigie seben la kufa mtu watu wacheze
katarina william hahaha, Ushawahi hudhuria akiperform live??? Usijaribu utaomba chenji mwanakwetu
katarina chukua ngoma hii shindanisha na zilipendwa maaana ukichukua mbagala ni Zero eti
Ovyoooooooo!!!!!
love u my brother good
Quality
love u my brother good