Sababu za Mwanaume kutomsahau EX wake, na wanaume wenye malengo ya kuwachezea Wanawake

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • Ukweli mchungu ni kwamba, mwanaume hasahau fadhila ambazo aliwahi kufanyiwa na mtu yeyote wakati akiwa katika wakati mgumu, haijalishi ni EX wake ama lah!! hivyo akifanikiwa hatomsahau pale alipomsaidia. Lakini pia katika video hii nimeeleza namna ambavyo wanaume wenye lengo na wanaume wenye upendo wanavyotofautiana.
    CC: ‪@SimuliziNaSauti‬

Komentáře • 9

  • @user-kx2kt8ng9g
    @user-kx2kt8ng9g Před 6 měsíci +1

    Nauliza swali ukishamnufaisha na akatoboa harafu akakudampo hata mawasiliano akakata ninachojua nikumuachia Mungu TU kwakua hajaenda na akili Yako hananyimbo

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Před rokem +2

    Kweli jiboreshe wewe🙏🙏ongereeni Sana nawasikiliza youtwib mpaka damu inaasisimka🙏

  • @user-nz5oi2ob9k
    @user-nz5oi2ob9k Před rokem

    Ni kweli

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 Před 8 měsíci +1

    Nimeipenda hiyo kuboresha MAHUSIANO Bali kuboresha mtu , Sasa wanavyosema ni ngumu kumfix mtu hapo inakaaje ? Maana unaweza kujiboresha alafu ukakuta mwenzio ndo kwanza kafika 😂😂😂 Sasa si italeta MBINGU na Ardhi ?

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 8 měsíci

      Hata kwa mtaalamu mwenye ubobezi mtu akishakuwa mwenzi wako ni ngumu kumsaidia kisaikolojia..ndo ilivyo..so badilika wewe na umuelewe mwenzi wako ila usijaribu kumfix utafeli sana

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 Před 8 měsíci

    EX ni EX TU , 😂😂😂

  • @Dr.witness02
    @Dr.witness02 Před 5 měsíci

    Kwanini mwanaume ana mchukia mwamke

  • @marthahkanyetta2289
    @marthahkanyetta2289 Před rokem

    Barikiwa