WAZEE KIFULIRU AWEKA WAZI ISTORIA YA WABEMBE, NAKUKOMESHA WANAOTAKA KUFANYA VITA NA WABEMBE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 06. 2024

Komentáře • 18

  • @JumaRichard-nc8ok
    @JumaRichard-nc8ok Před 10 dny +1

    Msamaha ni wamuhimu kusamehe na tunaongea kwakua Mungu akupenda , swalilangu ivi mzee angekufa ingekuaje mi naona azibiwetu kesho atafanya linginetu

  • @OMBENIbugimbi
    @OMBENIbugimbi Před 2 dny

    Huyo siyo mufuliru ni mubembe

  • @amisalumona1060
    @amisalumona1060 Před 8 dny

    Kaka umesema chamahana sana Mungu akutuze sana, mfuluru na mubembe ni mtu moja jamani.

  • @user-yz2jt6jf1u
    @user-yz2jt6jf1u Před 12 dny +1

    Amissi kutoka burundi msemaji Ramadhani unasema vizuri sana

  • @KalapaMwanaume
    @KalapaMwanaume Před 7 dny

    Mfuliiru Hana tatizo
    Na mubembe ngoma nzito ndo Ako na
    Matatizo na mubembe

  • @MarthaJoy-lx2qk
    @MarthaJoy-lx2qk Před 10 dny

    Mzee ongera sana ,kwahistoria nzuri sana

  • @MloleWilondja
    @MloleWilondja Před 8 dny

    Mzee Mungu akutie nguvu, Uendelee kutuliza vijana ambao wanataka kupunguza nguvu ya wazalendo. Hiyo ni Système ya kuchochewa na Wanyarwanda

  • @mupendwajagarasteve341

    Tulikuwa na wanaume wafulero wengi.
    Mushubazi
    Bidarira
    Kayamba
    Kita
    Wengi sana

  • @OMBENIbugimbi
    @OMBENIbugimbi Před 2 dny

    Wale ni wabembe walio toweka kwa Léo bureee !!! Namambo inageukaka'huyo ni piyon ya mubembe haiko mufuliru njo vile,site Tina damu,,kwanini sasa munyerwanda mufizi n'a anaanza divisé territoire apewe Yale minembwe muko plus ya 7ans hamuingie minembwe nguvu zilienda wapii,wababu walikufa nazo?kijana usiogope kijana mwenzio juu note muko n'a damu,lamuhimu tutafutiane Amani site tutowe ubaguzi ni yakuharibisha

  • @AsukuluNyassa
    @AsukuluNyassa Před 8 dny

    Enyi wafuliru msikilize mzee wenu, anawashauri sio kwamba anasifia wabembe apana anasema ukweli ilitusije kukoseana.

  • @amisalumona1060
    @amisalumona1060 Před 8 dny

    Jamani jamani, kinwa cha mkubwa kinanukaka lakini arufu yake…… 😢 bafuliru na babembe chukueni akili, mwenye sikio na asikie usauri huo, na sio mubembe anaetowa ushauri mbali ni mzee kongwe mzalendo wa kifuliru ambae anajuwa Historia kabla nyie wote amja zaliwa kabwe.

  • @mwajumasakina9599
    @mwajumasakina9599 Před 8 dny

    munyarwanda aliisha bashinda kufukuza mu Congo, munaanza kupigana nyiye kwa nyie aibu sana,munyarwanda aliisha batawala namunaitika, bitakwira naye naye anaanza tetea banyarwanda, inchi iko naenda pole pole na nyiye muko na rever tu,hiyo inchi haiongozwi na tchisekedi inaongozwa njo na banyarwanda, ba ruberwa gisaro na bengine, mufungule macho babembe na bafuliro nabavira muache distraction

  • @OMBENIbugimbi
    @OMBENIbugimbi Před 2 dny

    Mbona hao wote hawakuweza kumuto wa munyerwanda mu fizi mupaka anafikia kiwango ya kuwaza kigabula territoire yetu ya fizi?inawezekana hawakukuwa nanguvu? générations ya leo itaweza na yazamani ilishindwa??

  • @louisndikumazambo6192
    @louisndikumazambo6192 Před 11 dny

    Mzee uniembye jina y'a mbembe aripanda ku blinde akauwa mû belges arianziya rurimba akakufiya uvira njo kwenje arizikiwa bangelufanya héros national

  • @j...876
    @j...876 Před 10 dny

    ASANTE, NA WA KONGOMANI WOTE WAJUWE HAYO, SISI NI BA OPOSANT BAKILA GOUVERMENT
    TULIHISHI PORINI 30 ANS NA MZEE, TULIFANYA 18 ANS PORINI WAKATI WA KABILA MTOTO, 5 ANS YA FELIX.
    KWAHIYIO TUNA SEMA WAFULERU WA DEPOSE LES ARMES

  • @OMBENIbugimbi
    @OMBENIbugimbi Před 2 dny

    Huyo siyo mufuliru ni mubembe

  • @OMBENIbugimbi
    @OMBENIbugimbi Před 2 dny

    Wale ni wabembe walio toweka kwa Léo bureee !!! Namambo inageukaka'huyo ni piyon ya mubembe haiko mufuliru njo vile,site Tina damu,,kwanini sasa munyerwanda mufizi n'a anaanza divisé territoire apewe Yale minembwe muko plus ya 7ans hamuingie minembwe nguvu zilienda wapii,wababu walikufa nazo?kijana usiogope kijana mwenzio juu note muko n'a damu,lamuhimu tutafutiane Amani site tutowe ubaguzi ni yakuharibisha