Yaaa Allah twakuomba muhifadhi shekh wetu huyu..twakuomba mzidishie elimu na mzidishie wingi wa hekhma...shukrani sanq sana sana shekh tumepata..wengine asubuhi itaanza vizuri.
Allah akuhifadhi hapa dunian na kesho akhera. .sheikh wetu darasa letu juu ya majukumu yalioengezeka ila tunakuhitaji online Allah atujali ramadhani yenye kheri tuifunge tukiwa na afya njema na kupata rehma zake ameen
Mwamba shekh wangu kipenzi cha wengi maneno ya kiswahili lkn allah akbar mwenye upeo mkubwa kasikia maneno umemaliza Maneno mepesi yamekamilika umepiga na kufundisha
WALLAHI NIMEJIFUNZA MENGI SANA KUPITIA KHUTBA HII FUPI. ALLAH AKUONGOZE NA AKULIPE KHERI NYINGI SANA. HII TAALUMA YA HALI YA JUU. ALLAH AKUHIFADHI SHEIKH WALID.
Maashallah shekh Walid umesema kweli kua shekh subky hua hataki kutajwa ila ukweli utabaki kua ni aalimu mkubwa San aliejificha mara nyingi yeye hupenda kusomesha ndo jambo lake kubwa wakati wote ukiingia nyumbani kwake Kam hasomeshi baas ameshika kitabu anajisomea darsa zake za tafsir hutochoka kukaa mbele zake Elmu za fanni pia Allah kamjaalia hakun fanni ambayo utaikosa kwake Allah ampe umri mrefu shekh letu yusufu abdallah subky na Allah ampe kila lenye kheri shekh Walid kwani tunaamini kabisa Kwa nasabu ya Elmu yako hakuna shaka kwako ww ktk hiyo nafasi
Bonge ya sheikh, big Brain - huyu alikuwa wapi ? mawaidha mafupi lkn ujumbe mkubwa, unapenda aendelee asimalize, huyu ndio kiongozi bwana - Asante Mungu.
Hapo ajakusomea Quran
Yaaa Allah twakuomba muhifadhi shekh wetu huyu..twakuomba mzidishie elimu na mzidishie wingi wa hekhma...shukrani sanq sana sana shekh tumepata..wengine asubuhi itaanza vizuri.
Kwa moyo wangu mkunjufu nakuombea kwa M/mungu
Uingie peponi bila ya hesabu
Allah s.w akuepushe na mitihani na fitna za kilimwengu sheikh wetu 🙏🏿
Hikichumaa Allah amlinde
Shekh wetu mzuri shekh walid tutapatamengi kutoka kwako tutapata elimu na tutapata kutanua mapafu kwakucheka kwamambo yako
Kila lakheri Sheikh wangu walid nakufatilia sana Darsa zako,sijui utaziendeleza
Allah akufanyie wepesi shekher wetu
Amiin Ya Rabb
Allahuma barik
Allah akuhifadhi hapa dunian na kesho akhera. .sheikh wetu darasa letu juu ya majukumu yalioengezeka ila tunakuhitaji online Allah atujali ramadhani yenye kheri tuifunge tukiwa na afya njema na kupata rehma zake ameen
Mashallah Allah barik
Mwamba shekh wangu kipenzi cha wengi maneno ya kiswahili lkn allah akbar mwenye upeo mkubwa kasikia maneno umemaliza Maneno mepesi yamekamilika umepiga na kufundisha
MAASHAALLAH, ALLAH AKUSTIRI NA AKUPE MWISHO MWEMA UWE KATIKA PEPO PAMOJA NA MTUME WETU MUHAMMAD SAW
Allahumma Amiin
Mashaallah Allh akubarik
Mashallah mwalimu wetu, hekima nyingi sana
WALLAHI NIMEJIFUNZA MENGI SANA KUPITIA KHUTBA HII FUPI. ALLAH AKUONGOZE NA AKULIPE KHERI NYINGI SANA. HII TAALUMA YA HALI YA JUU. ALLAH AKUHIFADHI SHEIKH WALID.
Maashaa allah
Maashallah shekh Walid umesema kweli kua shekh subky hua hataki kutajwa ila ukweli utabaki kua ni aalimu mkubwa San aliejificha mara nyingi yeye hupenda kusomesha ndo jambo lake kubwa wakati wote ukiingia nyumbani kwake Kam hasomeshi baas ameshika kitabu anajisomea darsa zake za tafsir hutochoka kukaa mbele zake
Elmu za fanni pia Allah kamjaalia hakun fanni ambayo utaikosa kwake Allah ampe umri mrefu shekh letu yusufu abdallah subky na Allah ampe kila lenye kheri shekh Walid kwani tunaamini kabisa Kwa nasabu ya Elmu yako hakuna shaka kwako ww ktk hiyo nafasi
Maashallah tabarakallah sh walid
Mashallah Allah akulinde na kila shari
Masha Allah, Akubarikie In Shaa Allah...
Mashallah
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH. Allah Akuzidishie Elimu Na Akuruzuku Fahamu Njema Ya Rabb. Amiin Amiin Amiin Ya Rabbal Al Amiin
Mashallah allah akup afya njem n mwisho mwema
Nacho kifaham ni kwmba huyu shkhe ana akili mingi sanaaa mpk sijui naelezaje
Mwamba umeongea kwa Balagha ya hali juu mno kwa mwenye upeo mdogo hawawezi elewa
Huyo kwa tunaye mfahamu ni mtu hatari sana ana uwezo mkubwa
@@fahadfaraj6474 Sheikh Mharamu Mziwanda namfahamu vilivyo ni Miongoni wa mwl zangu
@@abubakariali9848 Mungu awape yakin na kila lililo muhimu Mashekhe wetu kwa maslahi ya dini.
Allah akubaariki
Mashaallah shekhe wetu
Alwaghumma barik
Masha Allah
Ma Shaa Allah
Mashaallah. Superb
Maneno haya yana hekma ya ndani sana kapiga kwenye mshono.
Tuliobahatika kusomeshwa na huyu Mwamba darsa zake huchoki wala husinzii . Njaa utakuja kuisikia ukishatoka darasani.
Kwa balaqha walizotembea nazo hii miamba (skh mzuwanda,na skh Walid)wachache tu ndo wanajua nini kimezungumzwa ...