Rais Magufuli aagiza Mmiliki anyang'anywe Musoma hotel "hata kama ni MwanaCCM mzuri"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 09. 2024
  • Rais Magufuli ameendelea na ziara yake Mikoa ya kanda ya ziwa na ambapo Septemba 05 2018 akiwa Mkoa wa Mara ameagiza Mmiliki wa Musoma Hotel kunyang'anywa.

Komentáře • 51

  • @ladybilionaire379
    @ladybilionaire379 Před 6 lety +14

    Ktk East Africa huyu ndie Rais wa kweli kabisaa mwenye uchungu na wananchi wake love my President 🙌

  • @yusuphsimon4656
    @yusuphsimon4656 Před 6 lety +10

    wewe ni rais makini sana.
    Appreciate you JPM

  • @user-bc1fv2kv7h
    @user-bc1fv2kv7h Před 3 měsíci +1

    Simba Mungu akupumzishe salama kamanda mtetezi wetu

  • @ladybilionaire379
    @ladybilionaire379 Před 6 lety +3

    Daaah!! mkuu umeipiga vizuri saana hii ngome ndio imefanya mkoa wa mara uwe masikini mpka mwisho yaani ni mkoa uliodumaa kupita maelezo Mungu akupe maisha marefu na akubariki saana Rais wangu nakupenda mnooo

  • @kareemsukri3256
    @kareemsukri3256 Před 6 lety +7

    Sijaona rais msema Kweli mpenda Maskini mcha Mungu Alie na hamu kubwa kuiendeleza nchi yake ndugu watanzania muko na rais Alie na imani anaezuia ufisadi Tanzania itainuka mpeni Magufuli imani hamtojuta Cc Kenya hatuna mwokozi

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 Před 6 lety +1

    Mimi nikiandika mengi nitaharibu yaani Nakupenda sana Mtani Magu

  • @gracewayanga105
    @gracewayanga105 Před 6 lety +4

    Magu you're the best

  • @mjedengwapoizon8726
    @mjedengwapoizon8726 Před 6 lety +5

    Msema kweli.........

  • @pasiankimario2268
    @pasiankimario2268 Před 6 lety +4

    mkuuu nakupongeza sana .i

  • @emmanuelzani502
    @emmanuelzani502 Před 6 lety +2

    Haya yanayofanywa na Mheshimiwa Magufuli, ndiyo tuliyokuwa tunayataka watanzania. Ninaamini, hata wale ambao hawamkubali sasa, itafika mahali watamuelewa, na watamkubali tu.

  • @sofiakomba3641
    @sofiakomba3641 Před 6 lety +2

    Mzee nyoa aiseee,kazi nzuri

  • @vicemedicalhealthcareoffic2311

    Huyuu jamaaa hana Musiala na mtu, kweli ni kweli , l real appreciate u !

  • @richardsoka2400
    @richardsoka2400 Před 6 lety +1

    Watakomaaaaa! Nyerere II huyoooo! Dr Rais Magufuli!

  • @MambaAfrica
    @MambaAfrica Před 6 lety +1

    Jp moto wakuotea mbali.

  • @josephinekabuka8190
    @josephinekabuka8190 Před 6 lety +3

    tulio mikoani tunafahamu na kuelewa kuwa serikali inafanya kazi na rais upo makini kufuatilia. Mungu akulinde muheshimiwa

  • @onlinedweller7237
    @onlinedweller7237 Před 6 lety +2

    Huenda hukuipata kura yangu 2015 ila this time naona unavyojihakikishia kuipat. Lazima tuwe na kiongozi anajiamini na jasiri.

  • @salmaothman153
    @salmaothman153 Před 6 lety +1

    Mungu mwema jaman ulikuwa wapi siku zotee jpm nalia kwa furaha

  • @newagecommunications7258
    @newagecommunications7258 Před 6 lety +1

    Tunakuombea maisha marefu utufikishe nchi ya ahadi..

  • @fatmahmwinyi4061
    @fatmahmwinyi4061 Před 6 lety

    Uwii maskiniii my president kazeeka xx...kwelii majukumu yakuiendsha NChii xio mchezo...mungu axmame naww inshaAllah

  • @pasiankimario2268
    @pasiankimario2268 Před 6 lety +3

    mkuuu nakupongeza sana .

  • @amanibwire4423
    @amanibwire4423 Před 6 lety +1

    naona mvi zimekuwa nyingi nilitamani uendelee kuwa kijana,piga kaz MH

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph740 Před 6 lety +4

    Wakuu wa KATA mpo....MADIWANI mpo...wakuu wa WILAYA mpo...Wakuu wa MIKOA mpo....WABUNGE mpo...MAWAZIRI mpo.....!
    Yaani Mkulu hii cheni inatakiwa ihakikishe changamoto zinatatuliwa....haiwezekani wao Wapo tu’ kwenye VITI VYA KUZUNGUKA huku MADHILA kibao Kwa WANANCHI...!
    Yaani kama hawaoni’ Sijui wao kazi zao wanazozijua ni zipi....?...Au wanajua uongozi ni jina tu’ Mpaka kila kitu aseme Rais..?
    Kiongozi unatakiwa utatue Tatizo unaloliona kwenye eneo lako ‘ hutakiwi KURELAX ikiwa unajua kabisa kuna tatizo...!
    ...FANYENI KAZI....!

  • @methodemmanuel4658
    @methodemmanuel4658 Před 6 lety +1

    Wasira alivotajwa sasa, amegeuka kama sio yeye.

  • @bilimaso9392
    @bilimaso9392 Před 6 lety

    Raisi mwenye uchungu wa nchi nakuombea kwa mwnyzimng akuzidishie miaka mingi

  • @fathermore9772
    @fathermore9772 Před 6 lety +1

    nimemuona kitwanga kama anasikia baridi vile

  • @halimasaleh5705
    @halimasaleh5705 Před 6 lety

    Na nyinyi mnaowapokonya wananchi mabango Rais alishawakataza ndio maana anawaambia,mpunguze kiherehere

  • @beatricekamengekamenge5543

    😂 😂 😂 Raisi wangu😚😚😚😚watu wa bunda wanabunda tuu bila maji 😂😂

  • @DEGESTAR
    @DEGESTAR Před 6 lety +1

    Ambiya watu wako waache kulogana please😀😀😀😀👉😀

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 Před 6 lety

    Leo hasomi mabango?

  • @emanuelmoshama1747
    @emanuelmoshama1747 Před 6 lety

    ivi uyo jamaa ni nani

  • @Ba63828
    @Ba63828 Před 6 lety

    MBONA HAWI MKALI HIVO KWA MAKONDA NA WANDISHI HAMJALI? MIMI NAAMINI WANGEKUA WEMEFANYA KAMA ALIVOFANYA MAKONDA WANGESHATUMBULIWA MARA MOJA. WELL MAY BE IT'S MY MISCONCEPTION.