Rais Magufuli aagiza Mmiliki anyang'anywe Musoma hotel "hata kama ni MwanaCCM mzuri"
Vložit
- čas přidán 10. 09. 2024
- Rais Magufuli ameendelea na ziara yake Mikoa ya kanda ya ziwa na ambapo Septemba 05 2018 akiwa Mkoa wa Mara ameagiza Mmiliki wa Musoma Hotel kunyang'anywa.
Ktk East Africa huyu ndie Rais wa kweli kabisaa mwenye uchungu na wananchi wake love my President 🙌
wewe ni rais makini sana.
Appreciate you JPM
Simba Mungu akupumzishe salama kamanda mtetezi wetu
Daaah!! mkuu umeipiga vizuri saana hii ngome ndio imefanya mkoa wa mara uwe masikini mpka mwisho yaani ni mkoa uliodumaa kupita maelezo Mungu akupe maisha marefu na akubariki saana Rais wangu nakupenda mnooo
Sijaona rais msema Kweli mpenda Maskini mcha Mungu Alie na hamu kubwa kuiendeleza nchi yake ndugu watanzania muko na rais Alie na imani anaezuia ufisadi Tanzania itainuka mpeni Magufuli imani hamtojuta Cc Kenya hatuna mwokozi
Kareem Sukri Asante kwa kuliona hilo ukweli Rais tunae
Mimi nikiandika mengi nitaharibu yaani Nakupenda sana Mtani Magu
Magu you're the best
Msema kweli.........
mkuuu nakupongeza sana .i
Haya yanayofanywa na Mheshimiwa Magufuli, ndiyo tuliyokuwa tunayataka watanzania. Ninaamini, hata wale ambao hawamkubali sasa, itafika mahali watamuelewa, na watamkubali tu.
Mzee nyoa aiseee,kazi nzuri
Sofia Komba kamnyoe..
Huyuu jamaaa hana Musiala na mtu, kweli ni kweli , l real appreciate u !
Watakomaaaaa! Nyerere II huyoooo! Dr Rais Magufuli!
Jp moto wakuotea mbali.
tulio mikoani tunafahamu na kuelewa kuwa serikali inafanya kazi na rais upo makini kufuatilia. Mungu akulinde muheshimiwa
kura yangu haikupotea
+Mem Meme kweli kbs
Huenda hukuipata kura yangu 2015 ila this time naona unavyojihakikishia kuipat. Lazima tuwe na kiongozi anajiamini na jasiri.
Mungu mwema jaman ulikuwa wapi siku zotee jpm nalia kwa furaha
Tunakuombea maisha marefu utufikishe nchi ya ahadi..
Uwii maskiniii my president kazeeka xx...kwelii majukumu yakuiendsha NChii xio mchezo...mungu axmame naww inshaAllah
mkuuu nakupongeza sana .
Mbona mnashusha hilo bango la akina mama?
Acheni hilo bango Magufuli asomee msishushe
Mary Gaspar si anajua kila kitu.?!!
naona mvi zimekuwa nyingi nilitamani uendelee kuwa kijana,piga kaz MH
Wakuu wa KATA mpo....MADIWANI mpo...wakuu wa WILAYA mpo...Wakuu wa MIKOA mpo....WABUNGE mpo...MAWAZIRI mpo.....!
Yaani Mkulu hii cheni inatakiwa ihakikishe changamoto zinatatuliwa....haiwezekani wao Wapo tu’ kwenye VITI VYA KUZUNGUKA huku MADHILA kibao Kwa WANANCHI...!
Yaani kama hawaoni’ Sijui wao kazi zao wanazozijua ni zipi....?...Au wanajua uongozi ni jina tu’ Mpaka kila kitu aseme Rais..?
Kiongozi unatakiwa utatue Tatizo unaloliona kwenye eneo lako ‘ hutakiwi KURELAX ikiwa unajua kabisa kuna tatizo...!
...FANYENI KAZI....!
Wasira alivotajwa sasa, amegeuka kama sio yeye.
Raisi mwenye uchungu wa nchi nakuombea kwa mwnyzimng akuzidishie miaka mingi
nimemuona kitwanga kama anasikia baridi vile
Na nyinyi mnaowapokonya wananchi mabango Rais alishawakataza ndio maana anawaambia,mpunguze kiherehere
😂 😂 😂 Raisi wangu😚😚😚😚watu wa bunda wanabunda tuu bila maji 😂😂
Ambiya watu wako waache kulogana please😀😀😀😀👉😀
Young star juma ha ha ha ha nimecheka kwa sauti
Siyo ambiya
Leo hasomi mabango?
ivi uyo jamaa ni nani
MBONA HAWI MKALI HIVO KWA MAKONDA NA WANDISHI HAMJALI? MIMI NAAMINI WANGEKUA WEMEFANYA KAMA ALIVOFANYA MAKONDA WANGESHATUMBULIWA MARA MOJA. WELL MAY BE IT'S MY MISCONCEPTION.