BILIONEA WA KILIMO ALLY HAPI, SHAMBANI KWAKE, MAMILIONI ANAYOINGIZA, TOKA U-DC, RC MKULIMA BINGWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 11. 2022

Komentáře • 292

  • @wiliminawiliams9384
    @wiliminawiliams9384 Před rokem +13

    Hongera Sana Mheshimiwa Ally Happy,Hakika wewe ni kiongozi,Mpambanaji,Mwalimu na Mfano wa kuigwa,Mwenyezi Mungu akusimamie Kaka.Unatu-inspire 💕💕

    • @AhmedHassan-vl5zf
      @AhmedHassan-vl5zf Před 4 měsíci

      SASA unampa hongera Yani wakati huyu alikuwa anajuwa kilimo alipo kuwa mkuu WA mkowa alishidwa kuwanufaisha wakulima Kwa kuwapa mafundisho na kuwawezesha lakini alikuwa na roho mbaya Leo kawachishwa kazi ndio anatuonyesha

  • @Chuma-vk4jg
    @Chuma-vk4jg Před 2 dny

    Parabéns adeus ti abençoe sempre mungu akujarie kutoka Moçambique

  • @angelsylvester4795
    @angelsylvester4795 Před rokem +35

    Hongera sana mdogo wangu wewe ni mfano bora sana mzalendo wakweli naona chembecheme za nyerere na magufuli tafuta chako cha halali kuliko hao wafuga matumbo kucha kutuibia wanyonge ipo siku watalia mbele za Mungu watatamani wapewe sekunde warudishe ila muda utakuwa umeisha

    • @epafrangweshemi4014
      @epafrangweshemi4014 Před rokem

      Hakika!! Wana macho hawaoni, Wana masikio hawaoni dhuruma wameifanya ndio mitaji. Acha tutaabike lkn kila mmoja ana ya kujibu muda ukifika.

    • @epafrangweshemi4014
      @epafrangweshemi4014 Před rokem

      Uko vizuri unaonyesha njia kuwa kuteuliwa sio kuhama duniani na kuishi dunia nyingine. Wengine hadi hapo wangekuwa wanachungulia kaburi kwa msongo. Akili ni nywele kila mtu ana zake. Uliwasaidia watu kupata haki zao, si tulikuwa tunaona na kusoma!!? Piga kazi uwafungue watanzania kuishi nje ya boksina kuwaza positively wakati mambo yamegeuka ghafla.
      Acha jamaa yule acheze litungu kama mtaji.🙋
      Well-done Hapi

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před rokem +3

    Ally Happi alikuwa anakwenda na wale wale wa mazoea ya kuimba CCM ya jenga Inchi. Nilisikitika sana kumwaachisha katika Mkowa wa Mara. Angewanyosha watu wa Mara. Alikuwa anataka kuwatoa wanamara kuacha marumbano kugeuza kazi. Hawakumuelewa. Hongera sana kijana. Mungu aendelee kubariki kazi ya mikono yako.

  • @devidpanja115
    @devidpanja115 Před rokem +11

    Dhahabu ni dhahabu tu popote inashine.
    ..hongera sana

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Před rokem +38

    Riziki mafungu saba, Mwenyezi Mungu akufungulie milango yote ya riziki

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 Před rokem +13

    Safi sana. Ni mfano wa kuigwa. Hongera Ally.

  • @dannywiston6391
    @dannywiston6391 Před rokem +31

    Happi alikua na plan b, baada ya siasa alifanya maandalizi ikiwa alishazisoma siasa za nchi hii kulingana na mfumo wa siasa ulivokaa, kila mtawala ana matakwa yake kulingana na aina ya watu anaowataka,alijua hawez kuendana na huu mfumo then alijiandaa, watu wa hivi ni wachache, japo najua hawez kukwepa utumishi maana pia ni passion yake, utakapofika utawala utakaoendana na misimamo,utendaj, wake ataingia Tena japo naamin hawez kuacha kilimo

  • @user-fs7xc2bb5d
    @user-fs7xc2bb5d Před rokem +4

    MashaAllah Mwenyeez Mungu akusimamie Ally Happy riziki mafungu saba tulikuombea sana Mwenyeez Mungu amejibu inadhirihisha usikate tamaa

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před rokem +13

    Mungu ambariki sanaaaa mwanazengo

  • @ednaJF1028
    @ednaJF1028 Před rokem +15

    God bless you and open more opportunities for you 🙏

  • @yhasintakalenyula970
    @yhasintakalenyula970 Před rokem +14

    Anachofanya mheshimiwa ni kizuri sana...Lakini lazima uwe na mtaji wa kutosha.

  • @gracejapheth3476
    @gracejapheth3476 Před rokem +8

    Hongera sana, Mungu aibariki kazi ya mikono yake.

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama8869 Před rokem +11

    Hongera sana kwakujiajiri 💪💪

  • @limakisasautajirike
    @limakisasautajirike Před rokem +15

    Mimi ni Mtaalamu wa Kilimo, Kiukweli Mr Hapi, passion yake kwenye kilimo ndo inayomfanya afanye mazuri zaidi..... Kilimo ni ni sector mojawapo ambayo kwa sasa inauwezo wa kumtoa kwenye umaskini. Kwa sasa masoko yapo, technology zimeimarishwa na kilichobaki ni kufungua njia mkulima awe na uwezo wa kupata mtaji kirahisi..... Tupo pamoja kukifikisha kilimo kisasa zaidi....

  • @joshuakitunzi9500
    @joshuakitunzi9500 Před rokem +6

    Kaka hongera sana na wadogo zako tuko nyuma twaka kipambania mapinduzi ya maisha kupitia neno "AGRICULTURE & BUSINESS" mungu tuwezesheni afya njema na akili timamu vinatosha mengine tutakipambania,asnte baba

  • @happymsaki1720
    @happymsaki1720 Před rokem +5

    Chapa kazi Dogo Ally Mungu akuongoze

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 Před rokem +2

    Hongera sana sana Mungu wa mbinguni aendelee kukuongoza

  • @ednaJF1028
    @ednaJF1028 Před rokem +34

    I always remember you ❤️
    You worked so hard for the country but they didn't realize that God forbid it

  • @angelsylvester4795
    @angelsylvester4795 Před rokem +17

    Mungu aibariki kazi ya mikono yako kaka nakupenda sana wewe ni mtu mahili sana🙏🙏🙏❤

  • @amanjoseph5356
    @amanjoseph5356 Před rokem

    Hongera sana such Inspiration!

  • @to-chisesoboy7336
    @to-chisesoboy7336 Před rokem +2

    Nakubali sana huyu jamaa ni mkulima mzuri na aliwahi kua mkuu wa mkoa wangu wa MARA 💕💕💕

  • @gracemwanyika7429
    @gracemwanyika7429 Před rokem +1

    Kazi nzuri sana Mheshimiwa,ninapenda sana kujifunza na Mimi kuhusu kilimo

  • @fadhilidini1181
    @fadhilidini1181 Před rokem +10

    nice project

  • @rubebandihai6207
    @rubebandihai6207 Před rokem +2

    That’s very impressive!!

  • @tatoorashedi1787
    @tatoorashedi1787 Před rokem

    Hongera sana kaka yangu mungu abaliki kazi ya mikono yako mnaondolewa viongozi wanawekwa .....

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před rokem +2

    MashaAllah

  • @severinamsuya5963
    @severinamsuya5963 Před rokem +3

    Hongera sana Bro🙏Mungu akubariki wewe na kazi ya mikono yako

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Před rokem

    Hongera sana Ally Hapi, mwenyezi mungu azidi kukusimamia.

  • @nahumumgwama2280
    @nahumumgwama2280 Před rokem +10

    Iringa moja iyo naiona isimani shambani kwa aliy hapi hongera Sana🤝👍

  • @ericgardner7509
    @ericgardner7509 Před rokem +1

    Nakubali George sanga Lwandai sec mlalo unatuwakilisha kinomer nomer👊💪

  • @adolfmjunguz9794
    @adolfmjunguz9794 Před rokem +4

    Uyo ni Superman ukweli namkubali nampenda najifunza mengi sana kwake🇹🇿🙏

  • @jualismushi875
    @jualismushi875 Před rokem +1

    Kaz nzur sana hongera sana

  • @ednaJF1028
    @ednaJF1028 Před rokem +43

    If Tz have 5 people like Ally happy the country should be lucky enough

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale Před rokem +1

      They are more than that. Ila sisi wa mitandaoni hatujui!

    • @oklahommy9838
      @oklahommy9838 Před rokem +1

      Watanzania ni watu wakulaumu tu kila siku sijui serikali imefanya A serikali imefanya B ..yaani mambo kama haya au zaidi ya haya hatuezi fikiri kabisa...sisi tunawaza tuu kuwa stable maishani lakini hata njia yakutufikisha huko hatujui na wala hatutaki kufikiri kabisa

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale Před rokem

      @@oklahommy9838 Mwenye lawama hajawahi kufanikiwa!

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před rokem

      There are few and far between

    • @alluminiumexperttz.12mview13
      @alluminiumexperttz.12mview13 Před rokem

      Ni mkulima mdogo sana hapa bongo

  • @gh7naa
    @gh7naa Před rokem +5

    Mashaaalah

  • @zawadijoel7516
    @zawadijoel7516 Před rokem +3

    Ubarikiwe sana kijana unayejitambua

  • @jamalnaheka1131
    @jamalnaheka1131 Před 4 měsíci

    mashaallah,...Allah azidi kukupambania ndgu ally...imenigusa sana.

  • @manahiljamal834
    @manahiljamal834 Před rokem +7

    Hongera

  • @abbas.h.saydy.3991
    @abbas.h.saydy.3991 Před rokem

    Safi sanaa mkuu Ally Hapi ila atupe connection na sisi tuna nia ya kufanya kilimo chenye faida kubwa kisichotegemea mvua ila hatuna mitaji kwa ajili miundombinu ya maji na pembejeo za kilimo 🙏🙏🙏

  • @firmakisika5073
    @firmakisika5073 Před rokem +17

    Hangera sana mwanangu Ally Hapi kwa kuwaonyesha njia vijana. Mwenyezi akuongoze kwenye kila hatua

  • @fatmashija5637
    @fatmashija5637 Před rokem +5

    Kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuwaji. Saiv Hana shida na mwaswala ya selikali bora afanye yake potelea mbali maana katika selikali utapata changamoto lakin kwa shughuli zake mwenyewe hamna chakumkela mie namtakia. Kila lenye kher na Allah amfanyie uwepes katika kazi zake

  • @happylynguya3464
    @happylynguya3464 Před rokem +12

    Huna budi kufanya hayo, kwa sababu ni lazima akili ya ziada ije.

  • @hanifaomar7438
    @hanifaomar7438 Před rokem +6

    Safi Sana yapi sio lazima ajira mbampana kaka

  • @joshuamatagane1318
    @joshuamatagane1318 Před rokem

    Safi sana,uko vizuri Ally,pigs kazi

  • @ramsonsaid7962
    @ramsonsaid7962 Před rokem

    mwenyenzi mungu amekuonyesha njia yakufanya mungu hamtupi mja wake mungu akubariki hongera sana

  • @wemamanikana9791
    @wemamanikana9791 Před rokem +3

    Hongera sana kwake, Mungu amsimamie na ambariki sana sana

    • @rashidmshindo1527
      @rashidmshindo1527 Před rokem

      safi kaka siasa ya bongo aina chochote ukiwa kiongozi bora unatolewa waache waibe pesa lakini wataziacha tu

  • @CoachHafidh
    @CoachHafidh Před rokem

    So inspiring...ila huyo mtaalam mnaemuhoji sauti ilkua chini sana

  • @salutaricornel819
    @salutaricornel819 Před rokem

    Hongera mhe.kwa kazi na uongozi bora

  • @estherlemburismollel5901

    Hongera kijana wa mfano huko kunaitwa " believe in yourself" hupekekea kufikia ndoto zako. Umeo yesha njia, asante sana.

  • @ednaJF1028
    @ednaJF1028 Před rokem +10

    I was so disappointed that day I heard Samia removed him why????? People like him they're few so I guess they knew he will take over someday that is why they decided to kick him out I'm so so disappointed

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Před rokem

      Sio Samia aliyemwondoa.. ni msoga gang

    • @omarymnuru8746
      @omarymnuru8746 Před rokem

      Rais hapangiwi wa kumteua wa kumtengua, taarifa rasmi na za uhakika zikimfikia juu ya meza maamuzi ya uteuzi/utenguaji hufanyika mara moja

    • @leletimoy1984
      @leletimoy1984 Před rokem

      kuna majungu sana huko,bora katoka na afya yake...piga kazi mdogoangu,hiyo ni hela safi

  • @PromiseJimson-ps5qw
    @PromiseJimson-ps5qw Před 9 měsíci

    Huyu mwamba alitusaidia tukarudishiwa shamba letu lenye ukubwa wa. Ekali60 ambazo tulishadhurumiwa na serikali ya kijiji salute bro

  • @saimonijonas1471
    @saimonijonas1471 Před rokem +2

    Ukiwa napesa kilimo kjnalipa Sana Sana Sana.Hongera Sana kijana mwenzangu.Mungu alisema,nimewapeni Nchi mkailime.Lima Kaka lima.Mungu yuko pamoja nawe.

  • @ericmtalemwa5229
    @ericmtalemwa5229 Před rokem +1

    Hongera sana mheshimiwa

  • @jacksonmkuye7739
    @jacksonmkuye7739 Před rokem +6

    Mwandishi wa habari saikolojia yako ipo kwenye faida tu inavoonesha hutaki kujifunza mambo ya msingi maswali yko yanaharakia faida tu

    • @mdta8161
      @mdta8161 Před rokem +1

      Wanafupisha kutokana na muda

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Před rokem

    Maashallah tabarakallah Allah akujaalie msfanikip mema

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Před rokem +4

    Safiiiii sn broo huna haja ya kuajiriwa

  • @mwigakatumpula5695
    @mwigakatumpula5695 Před rokem +8

    Hiyo ni kwa ufupi itoshe kusema ivo tu 👏👏👏👏👏👏💪💪💪💪💪🙏🙏😃😄😄

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 Před rokem +4

    Hongera sana kwake

  • @gracengole2773
    @gracengole2773 Před rokem

    Nakupenda sana Happy. Wewe ni mfano wa kuigwa. Mwanadamu anamapungufu hajakamilika lakini kile kitu kizuri hata kama ni kidogo ukikichuchumilia kitakupa matokeo.

  • @sadockchengula5542
    @sadockchengula5542 Před rokem

    Dah! Uko vizuri. Hutapata kisukari wala shinikizo la damu ukiweza haya.

  • @frankngoloka2589
    @frankngoloka2589 Před rokem +7

    Hongera sana mpambanaji,mtaji ndiyo shida

    • @happylynguya3464
      @happylynguya3464 Před rokem

      Kwakweli mtaji ndio shida, yeye alikuwa anapata mshahara laki 8 unashindwaje kumiliki maheka kama hayo.

    • @johnmichaellukindo21
      @johnmichaellukindo21 Před rokem

      @@happylynguya3464 mkuu wa mkoa laki nane?

    • @happylynguya3464
      @happylynguya3464 Před rokem

      @@johnmichaellukindo21 Ahahahaha!!!! Ama nimechekesha jamani. Ni milioni 8 John jamani Uwiiiiiii..

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 Před rokem +10

    Hata akipata hasara hajui kama kala hasara😅😅

  • @saidali8338
    @saidali8338 Před rokem

    Safi sana Happy hiyo ndio njia sahihi kilimo hakimtupi mkulima kwa vyovyote,,

  • @jackmabirangacharles9398

    Namkubali Sana Mkuu kwakeli kajitoa pamoja na msingi anao lakini pia hakutaka kushangaa magorofa mjini yuko Bega kwa Bega na wafanyakazi wake kila siku hiyo TU ,
    Inawapa moyo wafanyakazi kufanya kazi Kwa bidii

  • @andrewmashika3756
    @andrewmashika3756 Před rokem

    Hongera sana Ally,.. kila-laheri

  • @deusdedithjoseph7588
    @deusdedithjoseph7588 Před rokem +1

    Hongera sana ALLY HAPPY

  • @peteretlawe6269
    @peteretlawe6269 Před rokem

    Nimependa sana hii

  • @work24onme
    @work24onme Před rokem +5

    Congrats 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽

  • @selestineramadhani7325
    @selestineramadhani7325 Před rokem +12

    Ameweza sababu ana pesa ya mtaji wa kutosha

    • @richardlucas9612
      @richardlucas9612 Před rokem +1

      Sawa kabisa

    • @abdallahmakombo3866
      @abdallahmakombo3866 Před rokem +2

      Na kuthubutu

    • @masellemaziku1096
      @masellemaziku1096 Před 3 měsíci

      Kikubwa ni kujiamini, kuthubutu na kung'ang'ana. Pesa zinahitajika sana, lakini vitatu vya mwanzo ndio muhimu zaidi. Tumpongeze tu. Kafanya jambo zuri. Sisi tuige na tumfuate. Inawezekana sana tu.

  • @eft255
    @eft255 Před rokem

    Interesting..

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du Před rokem

    Our future leader, in waiting.

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před rokem

    Safi saana Hawa ndio vijana wanaojua kutumia fursa

  • @naeematanzania9348
    @naeematanzania9348 Před rokem

    Nimepende💗💗💗💗🌹

  • @afdtfx.9814
    @afdtfx.9814 Před rokem

    Mheshimiwa ally hapi kajitoa mhanga kwa vipande vyake vya pesa.MUNGU MWENYEZI.amzidishie faida.na ampe uvumilivu kuvumilia changamoto za VILIMO.

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 Před rokem

    Hapi ameonyesha nguvu kubwa na elimu kwa watanzaniya wenye matumaini ya kupiga hatuwa kimaisha...hongera sana hapi

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 Před rokem

    Weeee jitangaze tu utaundiwa kesi sasa hivi mungu akulinde!

  • @hassankurwa464
    @hassankurwa464 Před rokem +1

    Mh Hapi hongera sana. Vitendo vimesema na hii ni funzo kwa wengine wanao tushangaza.
    Maana tuna viongozi mtu ni Waziri wa Kilimo ama Katibu Mkuu wizara ya Kilimo lkn hana heka tano.
    Big up sana

  • @Max_Is_Well
    @Max_Is_Well Před rokem +2

    We in

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Před rokem

    safi kaka kwaza menawili kazi zakupewa nazo nishida waka una amani chek uk kimya napiga ela zako tu

  • @zuberimkuba2324
    @zuberimkuba2324 Před rokem +2

    Kaz nzur

  • @henrychaula1174
    @henrychaula1174 Před rokem

    Hongera sana

  • @ADRIANAKOMBA
    @ADRIANAKOMBA Před rokem +4

    Mwambieni mama yenuuu ajanikomoa😅😅😅

  • @luhindakanige2987
    @luhindakanige2987 Před rokem

    Hongera mkuu

  • @richardsaidi2448
    @richardsaidi2448 Před rokem

    Hongeraa ally happy.

  • @user-uz9mw1ie6z
    @user-uz9mw1ie6z Před 3 měsíci

    Hongera mh. Ally H.

  • @jameelahkasalu8833
    @jameelahkasalu8833 Před rokem +1

    Nimependa mnooo!

  • @mwajumayona7608
    @mwajumayona7608 Před rokem +3

    Safi Sana kaka Bora tu ujiajiri waachie serikali yao

  • @notickasimchimba7310
    @notickasimchimba7310 Před rokem

    Really namkubali sana ally

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 Před rokem

    Mashaallaah

  • @kelvinnjawike1808
    @kelvinnjawike1808 Před rokem +1

    Hongera sana huyu mfano halisi

  • @stephenntinginya1062
    @stephenntinginya1062 Před rokem

    Inspiring story

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 Před rokem

    ❤❤❤👌

  • @babajay3445
    @babajay3445 Před 4 měsíci

    Natamani sana haya maisha ya kulima na kufuga ila ndio sijui naanzaje

  • @gracegrace6200
    @gracegrace6200 Před rokem +1

    Hawa ndiyo viongozi walio bora, Samia kawatowa karibu wote Kwa chuki zake ya Hayati Magufuli na kutuwekea wapigaji. Ally Hapi alikuwa kiongozi bora kabisa. Alitatuwa matatizo mengi ya wananchi. Hayati Magufuli alikuwa akiteuwa VIONGOZI wenye integrity. Mama anateuwa wapolaji.

  • @makynicky2970
    @makynicky2970 Před rokem

    My future president.

  • @denisyohana8104
    @denisyohana8104 Před rokem

    ongera sana mr hapi

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 Před rokem +3

    Hamna kitu hapo ni mzunguko wa pesa alizochuma serkalini kumbuka ameanza kilimo kwa kwenda shsmba na V8 na hivyo msitudanganye kuonyesha waliochuma pesa serkalini na kuja kujificha kwenye kilimo

    • @calvinpaul2171
      @calvinpaul2171 Před rokem

      Sure

    • @rahatowerlimited3537
      @rahatowerlimited3537 Před rokem

      mbona wapo wastaafu hawana hata ekari moja tu,,huyu ana passion na kilimo na kwenye siasa alipita tu kupata mtaji ili alime kilimo cha biashara

  • @eliasndomba7937
    @eliasndomba7937 Před rokem +1

    Kaka history zuri mno
    BUT fanya marekebisho kwenye number. Milioni 6 kwa heka moja x20= milion 120 key point for me aliye kuwa mh ni milionea ajawa Bilionea. Ili awe Bilionea alime heka 100 and above. Finally kuna garama Za uwekazji 6milioni -4milioni =2milion ×20=40milion anatengeneza kwa msimu...swali rangu ? kwa mwaka pilipili unalima mara ngapi? Kwa mwaka mmoja
    Kazi safi anafanya kwa pesa za kibongo Bongo

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před rokem

    Hongera sana Ally Hapi ulijua kujipanga na plan B,achana na siasa ni pasua kichwa

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi408 Před rokem

    Ally you will be always happy as your name ( Ally happy )